Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Jasusi, yaani mimi nacheka tu...wakati mwingine natamani hata kukaa kimya. Nimeuliza Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya TAA ilipoanzishwa mwaka 1948 baada ya Zanzibar kujitoa AA? Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya AA/TAA wakati Mwalimu tayari ni kiongozi wa AA Tabora mwaka 1945? Nimeuliza Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya TAA mwaka 1953 alipogombea uongozi wa juu wa TAA kwa kupambana na Mwalimu Nyerere?

Kwa hili swali la mwisho, waongo watadai Abdulwahid ndiye alikuwa Raisi! Hapana, Abdulwahid Sykes hakuwahi kuchaguliwa kuwa Raisi wa TAA toka iundwe mwaka 1948 hadi TANU inaasisiwa mwaka 1954...yeye alikuwa ni katibu tu, period. Ndiyo maana mimi nasema TAA ilizorota sana kwa kukosa uongozi baada ya uhamisho wa Raisi wake Dr. Vedasto Kyaruzi hadi inampata kiongozi mpya, Mwalimu Nyerere mwaka 1953.

Naona unajiuliza maswali kisha unajijibu mwenyewe, jibu lako hebu soma maneno ya Nyerere hapo juu.

Hivi kuna mtu muongo na mnafiki kama wewe si wewe ndiyo umetuletea habari humu jamvini kuwa mikutano ya TANU ilikuwa inafanyika PUGU nyumbani kwa Nyerere.

Hebu msome tena Nyerere hapo juu kwenye maandishi ya blue anaelezea jinsi alivyokuwa anatoka PUGU kwa miguu kuja mjini (Kariakoo) kufanya mikutano ya TANU, mpaka Wazee wetu wa kiswahili wanywa kahawa na wenye akili za madarassa wakamununulia baiskeli.

Wewe endelea kucheka lakini wanajamvi wanakusoma ulivyokuwa muongo na mtu wa hasad.
 
Wickama,
Ikiwa umeridhia na BAKWATA hilo hakuna wa kukuzuia.

Binadamu lazima tughitilafiane hatuwezi kukubaliana kwa
kila jambo.

Ila ngoja nikupe kitu huenda hukijui.

Wale wote walioleta fitna ya kuvunja umoja wa Waislam
wote wamekufa dhalili chini ya unyayo.

Kuna waliotubia hadharani.

Kuna waliosafiri hadi Zanzibar kumshika miguu Sheikh
Hassan bin Amir na kutaka radhi.

Wapo wengine miili yao ilitahayar muda tu baada ya
kukata roho.

Wapo waliosalitiwa na hao waliowasaidia kuivunja EAMWS.

Lakini kubwa kuna aliyeomba dua Allah amuweke hai ashuhudie
wote waliotia fitna wakidhalilika na Allah alimkubalia dua yake.

Katika kundi lile la fitna alipokufa wa mwisho haukupita muda na
yeye akafa.

Huyu ni Shariff Adnan mmoja wa wanafunzi wa Sheikh Hassan bin
Amir.

Mzee MS; Shukran sikuyasikia awali. Ila kama hata Sheikh Alishalipiwa KISASI na Mola wake kwa kuwadhalilisha waliomfitini, na wote wameshakufa, basi tuliohai hatuna tena AGENDA ya uchungu na Machungu. Wewe unajua zaidi lugha. Yaani Scores have already been settled (kama ulivyoonesha). Kwa hiyo THIS IS LIFE, WE ARE NOT GONNA BRING BACK THE SHEIKH, NOR THE EAWMS, NOR LIVE THEIR TIMES, LETS MOVE ON. Its hard for your generation but somewhere along the line one needs to be pragmatic.
 
Wild Card,
Waislam wanalo BARAZA KUU na ndilo linaloendesha
mambo ya Waislam takriban miaka 20 sasa.

Tatizo ni kuwa linapigwa vita na serikali.
Sasa usije na swali mbona rais Muislam.

Uwanja wa Markaz ni wakfu wa Waislam.
Ponda hakuvamia.

Mtu havamii kilichochake.

Juu ya kubezwa Ponda lakini mbele ya
Waislam ni mfano wa kuigwa.

Sikwambii darja yake kwa Allah.

acha kuwadanganya ndugu zangu waislamu eti ponda mfano kuigwa... Na kama akifanyacho ni heri wewe mbona ktk movement kama hizo zakuvamia viwanja vya watu huwa hushiriki.
 
This was because the nationalized sisal
industry did not have the capacity to dispose effectively and efficiently of
"the means of production and its social product". Structural changes like
over-bureaucratization and centralization effected by nationalization created
opportunities for increased corruption, inefficiency and resource dissipation
(Bolton, 1985: 156). Indeed by 1975, it was already clear to policy
makers that a development policy that was primarily centered on nationalization
could neither solve the problems of underdevelopment nor offer
expedient paths to economic self-reliance. In fact, as some scholars have
postulated, what the policy of nationalization so effectively achieved was to
give rise to "state bureaucratic capitalism" - the use of state capital by a
managerial elite in a manner which entirely conforms to the ethos, values
and dynamics of private capital (Shivji, 1974: 85-90).

SIKAJIJI; MAY YOU BE REWARDED FOR YOUR EFFORTS. EXCELLENT!!!!!!!No religion element in this stuff and to the credit of the analyst, Prof Issa Shivji is NOT A CATHOLIC.
 
Mzee MS; Shukran sikuyasikia awali. Ila kama hata Sheikh Alishalipiwa KISASI na Mola wake kwa kuwadhalilisha waliomfitini, na wote wameshakufa, basi tuliohai hatuna tena AGENDA ya uchungu na Machungu. Wewe unajua zaidi lugha. Yaani Scores have already been settled (kama ulivyoonesha). Kwa hiyo THIS IS LIFE, WE ARE NOT GONNA BRING BACK THE SHEIKH, NOR THE EAWMS, NOR LIVE THEIR TIMES, LETS MOVE ON. Its hard for your generation but somewhere along the line one needs to be pragmatic.

Wickama,
Hakika yamepita kilichobaki ni sisi kujifunza kutoka kwao.

Allah amesema kweli haki siku zote itakuwa juu ya batil.
Kuna mtu anasema ati ninatisha watu.

Hapana sina uwezo huo.
Yaliyowakuta wale waliojenga farka yanafahamika kwingi.

Akitaka na afanye utafiti wake ataupata ukweli labda tutatofautiana
na sababu.

Huenda yeye akasema ule usaliti uliowakumba kutoka serikalini, udhalili
na hata hayo mengine hayakutoka kwa Allah.
 
Wickama,
Ikiwa umeridhia na BAKWATA hilo hakuna wa kukuzuia.

Binadamu lazima tughitilafiane hatuwezi kukubaliana kwa
kila jambo.

Ila ngoja nikupe kitu huenda hukijui.

Wale wote walioleta fitna ya kuvunja umoja wa Waislam
wote wamekufa dhalili chini ya unyayo.

Kuna waliotubia hadharani.

Kuna waliosafiri hadi Zanzibar kumshika miguu Sheikh
Hassan bin Amir na kutaka radhi.

Wapo wengine miili yao ilitahayar muda tu baada ya
kukata roho.

Wapo waliosalitiwa na hao waliowasaidia kuivunja EAMWS.

Lakini kubwa kuna aliyeomba dua Allah amuweke hai ashuhudie
wote waliotia fitna wakidhalilika na Allah alimkubalia dua yake.

Katika kundi lile la fitna alipokufa wa mwisho haukupita muda na
yeye akafa.

Huyu ni Shariff Adnan mmoja wa wanafunzi wa Sheikh Hassan bin
Amir.

Kweli Mzee MS una uwezo wa kujua huyu amekufa kwa ajili ya ubaya wake na yule amekufa kwa ajili ya mema yake.
Hivi mwili wa marehemu unatahayari vipi? na ukitahayari kwa maana hiyo huyo mtu amekufa kutokana na mabaya yake!

Vipi na Viongozi wa BAKWATA nao watakufa kifo gani? maana nao ni zao la 'fitna' na bado wanafanya 'fitna'.
Halafu wana roho ngumu, pamoja na kuona vifo vya wenzao bado wanaing'ang'ania Bakwata!!

Tena kwa hilo la Bakwata, vipi kuhusu Muft Hemed Bin Jumaa na Gorogosi vifo vyao navyo vilikuwa vya
tahayari?
 
Mohamed, kifo ni ahadi ya mwanadamu na Mola wake.
Hakuna anayejua kifo kitamkuta wapi na mazingira gani.
Mwenye uwezo wa kupanga hatima ya mwanadamu duniani na akhera ni mwenyezi mungu peke yake.
Mola ndiye anayejua atamchukua mja wake kwa namna ipi, lini na wakati gani.

Mohamed, acha kufur! wewe ni mwanadamu. Hao waliotangulia mbele ya haki wamekwenda kwa mola wao.
Hukumu ya mema na mabay yao yapo kwa mwenyezi mungu. Wewe hupaswi kusema hayo usemayo.

Mohamed, wewe ni mwanadam narudia! siku mola akipenda hujui utakuwa katika hali gani ya kicheko au kutahayari.

Hii ndio saikoloji unayotumia kuwatisha watu huko mitaani na vijijini. Kwamba atakayekataa maandiko yako ambayo umefikia mahali pa kuyapa hadhi ya dini, huyo atakufa katika dhalili au akitahayari.
Mohamed, Uislam ni dini wala si siasa au liwalo.

Dini inasimama yenyewe kwa miongozo yake, haihitaji uongo au uzushi na wala afanyaye hayo hana thawabu.

Ndio maana nasema matisho kama haya yanawatisha waislam wenye weledi na elimu kusimama na kuongoza matokeo yake ndio kama hivi.


Inasikitisha sana.
Wacha porojo wewe Nguruvi,kuzungumzia habari za uislamu uzizozijua.Hapa tunataka vitu vipya kuhusu Nyerere ambaye wewe umejifunga kibwebwe kumtetea.Angalia vitu vipya kumhusu mungu wako ulivyokuwa huvijui kabla.
JokaKuu,

I can confirm without knowing you and where you are /your location that,you know nothing about the Government inner workings and its system.

Una maana ipi unaposema "nifunguke zaidi"!? Haya kwetu ni matusi yaso kiasi ndugu yangu. Au ndo Kiswahili cha kisasa na cha mjini!?

Masuala ya Nyakyoma na Mohammed Enterprises,tayari nilishamalizana na Jasusi(ambaye kwa sababu mzijuazo wenyewe ndie mnaemuamini zaidi kuliko mimi wa Madrassa).

Pia lile suala la Mzee KK ,Jasusi alitumia ustaarabu na kuniepushia Premier League na nyinyi. Jasusi amekuthibitishia tena akakupa na mfano wa matamshi ya Mzee Paul Bomani.

Inaelekea umevamia hoja zangu kwa pupa. Hayo mambo ya Meli ya SMZ mbona nilikupa kiduchu tu. Nina mengi saana. Pale nilikua tu naonyesha ukaidi wa Nyerere kiduchu tu kwa kutokufuata kwake Sharia/Ushauri,kama ulipata wasaa wa kuangalia zile points zangu kwa kina!?

Habari za Mozambique,nakusihi fanya sabra tuimalize shughuli hii. Halafu nikupe darsa,nitakuanzia tangia kifo cha Eduardo Mondlane pale D'Salaam,Internal struggle na mtafaruku ndani ya Frelimo,kuhusishwa kwa Nyerere kwenye kifo cha Mondlane,ukaribu na prefference/choice ya Nyerere kwa Samora Machel,unyama na ushenzi uso mfano ulofanywa na Majeshi ya Tanzania dhidi ya wananchi na raia wasio na hatia wa Mozambique,mkono wa Nyerere/influence na jinsi alivyosababisha RENAMO na FRELIMO kuendeleza vita na khitilafu baina yao na mengineyo mengi.

Nina picha nipo pale Estadio da Machava formerly known as Estadio Salazar 1975. Wanajamvi,niwieni radhi ningeiweka hapa lakini ni group photograph na wahusika wengine itakua si busara asilan kuwaanika hapa.

Ile habari ya sheikh Yahya Hussein uliyoitaka ni ndefu mno na mambo ni mengi saana. Ule ulikua ni mfano tu wa hoja. Nakuongezea tena kiduchu. Sheikh Yahya Hussein,ni mmojawapo wa Watanzania wachache mno,waliokua wanamsaidia Nyerere dhidi ya makaburu wa South Afrika ndani ya South Afrika.
Sheikh Yahya Hussein, kwa kutumia influence na connection yake kwa King wa Swaziland,alifungua "offices" ndani ya South Afrika miji tafauti,Lusaka na London ili kuwasaidia ANC kama alivyotaka na kuomba Nyerere. Nafikiri wengi wenu mnakumbuka jinsi gani ilikua ni risk kubwa mno kufanza mambo hayo wakati huo wa vikwazo dhidi ya Makaburu na kama je kama Makaburu wenyewe wangemgundua!? Sheikh Yahya Hussein ni katika Watanzania wachache wakti huo alokua na passports za UK,Swaziland,Kenya...na zoote hizo alipewa na Marais/Wafalme wa nchi hizo mkononi mwake.

Kama unahitaji tena hizi "habari za vinyozi wa Kipata na Mkunguni";nifahamishe nami tajaribu kutafuta fursa. Itanilazim siku nyingine nikuonyeshe kwanini nilisema Nyerere alikosa fadhila au kumkumbuka Sheikh Yahya Hussein!?

Ahsanta na tuendelee na mnakasha.
Kumbe Nyerere hakuhusiswa na kifo cha Karume na mapinduzi ya Zanzibar pekee bali hata na viongozi wa nje na machafuko yaliyopelekea vifo vya maelfu ya watu.
Mtu gani huyu wa kulazimisha watu wamsifie!.
 
Wickama,
Hakika yamepita kilichobaki ni sisi kujifunza kutoka kwao.

Allah amesema kweli haki siku zote itakuwa juu ya batil.
Kuna mtu anasema ati ninatisha watu.

Hapana sina uwezo huo.
Yaliyowakuta wale waliojenga farka yanafahamika kwingi.

Akitaka na afanye utafiti wake ataupata ukweli labda tutatofautiana
na sababu.

Huenda yeye akasema ule usaliti uliowakumba kutoka serikalini, udhalili
na hata hayo mengine hayakutoka kwa Allah.

Heshima yako; To be fair, nadhani ni mbaya sana ku-carry over bitterness to several other generations. Wamachame na Wakibosho sasa hata kujenga milango ikaangalia kwa wengine sio tatizo kama zamani. Mzee MS mkamilifu ni Allah (swt) pekee. Huwezi jua kama Sheikh pia hakuwa na matatizo. Mkamilifu hayupo MS. Ni adabu tuu inatuzuia kuwatafuta haswa marehemu makosa. Lakini more importantly ni kuwa anzia posting yako which i love very much. Sasa, Kama MWENYEZI MUNGU KESHAMLIPIA as you have indicated yourself, for heaven's sake what business do we have by cultivating this perennial bitterness in our Umma? Kumbe criminals walishaadhibiwa? We are robbing them the drive, the zeal, the optimism with which to face life and current challenges.

MS; Soon we shall open borders to all the East African labour market. If we can not change our stance at least NOW, we run the risk, that our muslim boys and girls shall witness fellow muslims (but from Kenya, Rwanda and Burundi and Uganda) being employed in our own backyard while they can not compete. That will be even more terrible. Mzee MS I believe umeshafika Uganda and of course you know that among the better schools in that country are those owned and run by Muslims. Lakini judging from what is currently going on MS, nachohofia ni kuwa karibu tunaendeshea gari kwenye "round-about", chasing a vicious cycle of you did that, and that, you hypocrite, munafiki etc. We drive to nowhere while others are making strides. Ndio maana REPEATEDLY NIMEKUULIZA AND OF COURSE to MANY OTHERS, ok, this is not comfortable, TUFANYE NINI? HATUWEZI KURUDISHA WATU NA NYAKATI ZILIZOPITA. LAKINI LAZIMA PIA TUISHI. NO PRAGMATIC ANSWER SEEMS TO FORTHCOMING. Believe me, THIS IS REALLY SAD.
 
Mzee MS; Shukran sikuyasikia awali. Ila kama hata Sheikh Alishalipiwa KISASI na Mola wake kwa kuwadhalilisha waliomfitini, na wote wameshakufa, basi tuliohai hatuna tena AGENDA ya uchungu na Machungu. Wewe unajua zaidi lugha. Yaani Scores have already been settled (kama ulivyoonesha). Kwa hiyo THIS IS LIFE, WE ARE NOT GONNA BRING BACK THE SHEIKH, NOR THE EAWMS, NOR LIVE THEIR TIMES, LETS MOVE ON. Its hard for your generation but somewhere along the line one needs to be pragmatic.

Wickama, mbona unang'ang'ania sana Bakwata kwasababu naona unalazimishia watu waikubali Bakwata naona wewe ni "DOUBLE FACE"hivi unaujua vizuri uislamu?kuna mbabe mmoja alikuwa anaitwa FIRAUNI(FARAO)alijiita yeye ni mungu lakini mungu huyu alikufa kifo cha kidhalili sana alizamishwa kwenye maji na mpaka leo habari zake tunazisoma kwahiyo unataka kuniambia kwavile aliadhibiwa kwa kuzamishwa hataadhibiwa kesho kwa mungu?Adhabu iko pale pale kwahiyo watu kujadili agenda ya EAMWS hatakama ilivyunjwa ni haki yao na wale wote walioshiriki kuudhoofisha uislamu kesho kwa mungu yote yatahudhurishwa awe ni Nyerere na wenzake hata kama ni muislamu atajibu yote.
 
acha kuwadanganya ndugu zangu waislamu eti ponda mfano kuigwa... Na kama akifanyacho ni heri wewe mbona ktk movement kama hizo zakuvamia viwanja vya watu huwa hushiriki.

naona wewe ndie unae danganya ponda ni mfano wa kuigwa anae pigania haki ya waislam sio bakwata wapo kwa maslahi yao ila tatizo kila anaedai haki ya waislam kwenu nyinyi ni adai mungu mbariki shekhe PONDA.
 
Jasusi,

Mtu umekuwa Katibu wa TAA Tawi Makerere, Katibu wa TAA Tabora.

Halafu hujui jina la Katibu wa TAA Taifa.

Hii kali labda nikuulize wewe ni Katibu wa Chadema tawi la Marekani humjui jina Katibu wa Chadema taifa.

Ndugu yangu tumia angalau akili uliyopewa na Muumba!

Naomba ujibu kidogo maswali haya kwaajili ya muongozo wa kuelewa mantiki ya kauli ya Mwalimu!

1) Hivi unadhani yote hayo yalitukia katika mwaka mmoja?

2) Mwalimu alikuwa katibu wa Taa kule makelele mwaka gani?

3) Je pale Tabora mwalimu alikuwa katibu wa taa kuanzia mwaka gani hadi mwaka gani?

4) Mwalimu alienda masomoni Scotland mwaka gani na alirejea nchini mwaka gani?

5) Je baada yakurejea kutoka ughaibuni Scotland, mwalimu aliendelea kuwa katibu wa TAA kanda ya tabora?


Hebu funguka kwa hayo kisha nikufunde kiutu uzima swahiba wangu!
 
Heshima yako; To be fair, nadhani ni mbaya sana ku-carry over bitterness to several other generations. Wamachame na Wakibosho sasa hata kujenga milango ikaangalia kwa wengine sio tatizo kama zamani. Mzee MS mkamilifu ni Allah (swt) pekee. Huwezi jua kama Sheikh pia hakuwa na matatizo. Mkamilifu hayupo MS. Ni adabu tuu inatuzuia kuwatafuta haswa marehemu makosa. Lakini more importantly ni kuwa anzia posting yako which i love very much. Sasa, Kama MWENYEZI MUNGU KESHAMLIPIA as you have indicated yourself, for heaven's sake what business do we have by cultivating this perennial bitterness in our Umma? Kumbe criminals walishaadhibiwa? We are robbing them the drive, the zeal, the optimism with which to face life and current challenges.

MS; Soon we shall open borders to all the East African labour market. If we can not change our stance at least NOW, we run the risk, that our muslim boys and girls shall witness fellow muslims (but from Kenya, Rwanda and Burundi and Uganda) being employed in our own backyard while they can not compete. That will be even more terrible. Mzee MS I believe umeshafika Uganda and of course you know that among the better schools in that country are those owned and run by Muslims. Lakini judging from what is currently going on MS, nachohofia ni kuwa karibu tunaendeshea gari kwenye "round-about", chasing a vicious cycle of you did that, and that, you hypocrite, munafiki etc. We drive to nowhere while others are making strides. Ndio maana REPEATEDLY NIMEKUULIZA AND OF COURSE to MANY OTHERS, ok, this is not comfortable, TUFANYE NINI? HATUWEZI KURUDISHA WATU NA NYAKATI ZILIZOPITA. LAKINI LAZIMA PIA TUISHI. NO PRAGMATIC ANSWER SEEMS TO FORTHCOMING. Believe me, THIS IS REALLY SAD.

Wickams,
Mimi nasomesha historia ili tusijerudia makosa.

Wala hapa simsulubu yeyote.
Historia hii laiti isingeandikwa umma ungekhasirika sana.

Leo ukweli umedhihiri kwa mengi.
Alhamdulilah.
 
Kweli Mzee MS una uwezo wa kujua huyu amekufa kwa ajili ya ubaya wake na yule amekufa kwa ajili ya mema yake.
Hivi mwili wa marehemu unatahayari vipi? na ukitahayari kwa maana hiyo huyo mtu amekufa kutokana na mabaya yake!

Vipi na Viongozi wa BAKWATA nao watakufa kifo gani? maana nao ni zao la 'fitna' na bado wanafanya 'fitna'.
Halafu wana roho ngumu, pamoja na kuona vifo vya wenzao bado wanaing'ang'ania Bakwata!!

Tena kwa hilo la Bakwata, vipi kuhusu Muft Hemed Bin Jumaa na Gorogosi vifo vyao navyo vilikuwa vya
tahayari?
Platozoom,
Laiti ungekuwa Muislam usingepata shida kutambua nini kinawafika
wanafiki.
 
Wickama, mbona unang'ang'ania sana Bakwata kwasababu naona unalazimishia watu waikubali Bakwata naona wewe ni "DOUBLE FACE"hivi unaujua vizuri uislamu?kuna mbabe mmoja alikuwa anaitwa FIRAUNI(FARAO)alijiita yeye ni mungu lakini mungu huyu alikufa kifo cha kidhalili sana alizamishwa kwenye maji na mpaka leo habari zake tunazisoma kwahiyo unataka kuniambia kwavile aliadhibiwa kwa kuzamishwa hataadhibiwa kesho kwa mungu?Adhabu iko pale pale kwahiyo watu kujadili agenda ya EAMWS hatakama ilivyunjwa ni haki yao na wale wote walioshiriki kuudhoofisha uislamu kesho kwa mungu yote yatahudhurishwa awe ni Nyerere na wenzake hata kama ni muislamu atajibu yote.

Boko; KATIKA HILI LA MAUDHUI YA OSTING YAKO YOU HAVE MY 100% SUPPORT. ILA sina DOUBLE FACE. GO THRU MY THREADS. You will NEVER, and you have NEVER seen me encouraging blind support au outright dissent kwa TAASISI (sio watu) yoyote ya kiislamu. Kwa sababu sioni GAIN. If anything hapa, nasema tuu kuwa jamani sawa, inauma hatuna tena EAMWS, sasa jamani lets MOVE on. We cant have it back. Haina maana nafurahi kutokuwapo taasisi hii la hasha. Naelewa kuwa Taasisi ni kama viumbe Boko, leo vipo kesho havipo. Sikitika sawa, pata somo sawa, lakini pia endesha maisha. Anzia thread one yangu hadi hii, thats what iam trying to say. Iam also saying sio lazima wote kujazana Bakwata. Anayeoona kuna-mboa anaweza anzisha au jiunga na taasisi yoyote nyingine. Ila sio lazima kwa vile kumeku-kuboa basi lazima hiyo taasisi ife. Why? Tofauti ipo hapo. Believe, Mimi sina stake wala hisa Bakwata assuming wanakata shares. Ndiyo maana unaona navyozungumza na MS nikimdadisi what they are doing na progress yao. Kama wanaenda vizuri fine. Lakini sio kuwa kwenda vizuri lazima iendane na kufa taasisi zingine za kiislamu kama Bakwata. Sina lugha nyingine ya kuliweka hili. Haya mengine yote uliyoyasema ya kina firauni tuko pamoja. Infact, bora yeye alitubia kabla ya ku-drawn na akapata ahueni ya kubaki kama specimen pending hiyo mama wa adhabu. Some of us may never get that opportunity hata ya kuelewa tunahitaji rekebisha our ways. Nakushukuru sana Boko for your courage of speaking boldly, objectively and with felt respect. Kuna wanaosahau kuwa na mimi ni mzazi na ni mdau katika islamic development. Shukran sana.
 
Ndugu yangu tumia angalau akili uliyopewa na Muumba!

Naomba ujibu kidogo maswali haya kwaajili ya muongozo wa kuelewa mantiki ya kauli ya Mwalimu!

1) Hivi unadhani yote hayo yalitukia katika mwaka mmoja?

2) Mwalimu alikuwa katibu wa Taa kule makelele mwaka gani?

3) Je pale Tabora mwalimu alikuwa katibu wa taa kuanzia mwaka gani hadi mwaka gani?

4) Mwalimu alienda masomoni Scotland mwaka gani na alirejea nchini mwaka gani?

5) Je baada yakurejea kutoka ughaibuni Scotland, mwalimu aliendelea kuwa katibu wa TAA kanda ya tabora?


Hebu funguka kwa hayo kisha nikufunde kiutu uzima swahiba wangu!

Wewe unayetumia akili alikupa muumba tufahamishe Makelele ndiyo chuo gani?

Hujui hata Nyerere alisoma chuo gani.
 
gombesugu,

..u must have misunderstood what i wrote.

..Masuala ya Msumbiji siyafahamu, kwa hiyo siwezi kukuita mrongo.

..Ila ungesema kuhusu masuala ya namba za mtihani; kwamba kabla ya Prof.Malima kulikuwa hakuna namba, hapo ningekuita mrongo kwasababu nimefanya mitihani ya kitaifa mara 3, na zote nilitumia namba siyo jina.

..nimekushauri um-cc Kudi Shauri kwasababu naamini na yeye ana uelewa fulani kuhusu Msumbiji. U may end up exchanging notes, and even forge a friendship.

JokaKuu,

Haina neno ndugu yangu,mimi nilishakufahamu ilikua haina haja ya kujielezea. Nilitumia tu maskhara ya kimwambao kiduchu...labda hiyo ndo iloleta ile sitofaham kiduchu/minor misunderstanding kwako.

Niwie radhi na tuendelee na mnakasha.
 
Na mimi nimesoma kwenye madrasa yake pale upanga.

Nduka,

Asalaam Alaykum Al Akhiy.

Nafurahi kukusikia na kutambuana hapa jamvini.

Wallahi kama upo hapo D'salaam,nipa salaam sana pia kwa Eddy Islam mwambie nduguyo "Shariff Nganganga" wa Vienna anakusalim atacheka saana!ahaha!!

Ma'salaam.
 
Wickams,
Mimi nasomesha historia ili tusijerudia makosa.

Wala hapa simsulubu yeyote.
Historia hii laiti isingeandikwa umma ungekhasirika sana.

Leo ukweli umedhihiri kwa mengi.
Alhamdulilah.

Sawa sheikh. Malipo yapo kwa Mungu. Kaza buti, na nia njema iwepo. Ila sasa, epuka kulazwa ICU yoyote katika hizi hospitali zetu. Sheikh, wajua tena umelazwa (pengine ajali-Mwenyezi Mungu akupishe nayo), kisha waungwana hawa na uniform zao wanakuwahi na mask ya oksijen, Wallah utatuwachia fadhaa kubwa hapa JF.......(hahahahahah).

Halafu you may not see my postings as often; Iam writing a paper (soil sciences) for publication into one of the journals (European Journal of Soil Science). Some deadline is attached kwa sababu tunakimbiza what they call a "special issue" Sasa hii shughuli may steal alot of my time and energy. Ila i will keep track.

with much love

cc. Nguruvi3, Mag3, Nanren, Gombesugu, Kadogoo, Boko Haram, Mwanakijiji, Platzoon, Jasusi, Ritz, Zali la Mentali, Barubaru, Son of Alaska.
 
Sawa sheikh. Malipo yapo kwa Mungu. Kaza buti, na nia njema iwepo. Ila sasa, epuka kulazwa ICU yoyote katika hizi hospitali zetu. Sheikh, wajua tena umelazwa (pengine ajali-Mwenyezi Mungu akupishe nayo), kisha waungwana hawa na uniform zao wanakuwahi na mask ya oksijen, Wallah utatuwachia fadhaa kubwa hapa JF.......(hahahahahah).

Halafu you may not see my postings as often; Iam writing a paper (soil sciences) for publication into one of the journals (European Journal of Soil Science). Some deadline is attached kwa sababu tunakimbiza what they call a "special issue" Sasa hii shughuli may steal alot of my time and energy. Ila i will keep track.

with much love

cc. Nguruvi3, Mag3, Nanren, Gombesugu, Kadogoo, Boko Haram, Mwanakijiji, Platzoon, Jasusi, Ritz, Zali la Mentali, Barubaru, Son of Alaska.

Wickama,
Nami narejesha kwako kicheko.

Allah anasema katika Qur'an Tukufu kuwa.
Halimfiki mja jambo ila keshaliandika.

Hahahahahahahahahahahahahahahahahaha...
 
Back
Top Bottom