Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Yericko,
Nakuwekea ''uongo'' wangu mwingine hapa.
Mwambie jamaa yangu kuwa hapa kwa nyakanga hakwishi nyimbo:

''When Sal Davis came to Dar es Salaam and recorded a programme with
Chipukizi, I remember that he sang ''The Moon was Yellow and the Night was
Young.''

That show with Sal Davis was the pinnacle of Chipukizi Club's career;
soon after, Chipukizi Club was off the air, banned for political reasons.
The young boys and girls were not portraying the image of the youth Mwalimu
Julius Nyerere was trying to project.

The vacuum left by Chipukizi was soon to be filled by new groups like The
Rifters, The Sparks and The Tonics and the afternoon "boogies" at the
Arnatouglo Hall, which we sometimes called the Sunday School.

However, thesegroups did not have the elegance of Chipukizi. While Chipukizi
was elitist,these new groups were sort of "free for all."

Chipukizi inspired me to pick up the guitar. I had excelled in playing the
flute and mouth organ. I could play all the Kwela songs by the legendary
Spokes Mashiane.

However, it was the music of stars like Sal Davis thatexerted the greatest
influence on me. Many young boys at that time whoplayed the guitar tried
to copy the style of Hank B. Marvin, lead guitaristof the Shadows, the group
which backed Cliff Richard. Dar es Salaam was notshort of talent.

There was the late Adam Kingui (the Rifters) Abby Sykes (the father of Dully
Sykes the Bongo Flava artist), George Muhuto (the Sparks), David Gordon (of
the Safari Trippers, who introduced me to the music of Eric Clapton, the
British blues guitarist)), and others. Hank B. Marvin liked to play open
strings mixed with high pitch picking right at the back of the guitar just
behind the pick up, thus producing a peculiar sound.

It was many years later when Hank Marvin had faded and guitarists like Jimi
Hendrix, Carlos Santana, Jose Feliciano and others came into the scene that
we also bent with the wind of change.

I personally strove to emulate thejazz guitarist Wes Montgomery but with little
success, for no one can playthe guitar the way Wes - a slow melodious riff using
all his fingers beforeswitching octaves midway or in the last part of the song.

Some few years ago, I met Salum Hirizi, a former member of Chipukizi, in
Dubai and we got down to talking of our days growing up in Dar es Salaam.
Salum married his childhood sweetheart Amina.

Their son, Abdullah, ateenager, was surprised to hear that his old man used to be
a singer. Heasked me, in English with a London accent, what kind of songs his father
used to sing.

I told the boy that whenever I think about his father, thesong ''Summertime'' comes
to my mind.

This, briefly, was what cultural life was like in the Dar es Salaam ofthe1960s.''

Na hapa umewasahau Flaming Stars. They had a big contribution to Dar youth music in the years 1965-1967 when they left for Kenya. The lead guitarist was Mike Mhuto.
 
Na hapa umewasahau Flaming Stars. They had a big contribution to Dar youth music in the years 1965-1967 when they left for Kenya. The lead guitarist was Mike Mhuto.

Jasusi,
Umenikumbusha kweli nimewasahau.

Flaming Stars lead guitarist alikuwa Cuthbert Sabuni siyo Mike Muhuto.
Bass alikuwa Peter Kondowe (Peko).

Muhuto alikuwa Sparks.
 
Ninazo picha hapa za Okello akiwa na jeshi lake, na nyingine akiwasili Dar,

Pia ninazo picha za Abdulaman Babu akiwasili Zanzibar akitokea Dar, hii ni baada ya mapinduzi!

Yericko,
Hizo picha ni za baadae sana baada ya usiku wa mapinduzi yenyewe.

Babu, Hanga na Karume walikuja na boti ya Mzee Shebe ambae alikuwa
kaajiriwa na Myahudi.

Huyu Yahudi hatajwi katika historia ya mapinduzi.

Lakini alikuwapo pamoja na mwenzake na wote hawa walihusika katika
kuiangusha serikali ya Mohamed Shamte.

Jeshi la Okello lilikuwako lakini ni hao Wamakonde wa Kipumbwi.
 
Mag; Nimepost hiyo report ya CIA. Soma hizo pages 33-40s wanamsifu kama a good street fighter kiasi kwamba by the end of the day wapinaji wote walimkubali kama kamanda wao. HAO ni CIA. Wanasema nobody knows alitoa wapi umashuhuri. wanasema huko Pemba ALISHAWAHI KUWA KATIBU WA TAWI LA ASP (1960????) Wanasema alipohamia Unguja alishakuwa na wafuasi si chini ya 200 na kila mara akizungumza kuwapindua waarabu. Ipo humo Soma. Ni kweli hata CIA wanasema by mid 1963 Kambona alimpelekea Hanga silaha (automatics 5 na rifles 10) lakini hizi zilikuwa za ASP. Huyu Okello na WALE 25 alioenda nao kule police posts WALIZIPIGA KAVUKAVU. Hakuna cha automatics. Wakati huo vijana 200 wa ASP wameshaogopa na wamekimbia. Just read. Katika kitabu chake huyu Okello anamlaumu Nyerere kuwa hakuwa mtu wa kuamika na alimnyanyasa!!!! Sasa how can the two be partners???? It is obvious kuwa kufukuzwa kwake ilikuwa ili watawala wa zenj wapumue na isitoshe alikuwa tayari anapendwa sana na askari.
Ndiyo maana namkatalia Mohamed Said kuwa Okelo alifukuzwa Unguja kama mbwa, thubutu! Hakuna mtu ambaye angeweza kupata ujasiri wa kumgusa Okelo na hata Karume mwenyewe alimuogopa. Hii ndio ilipelekea Mwalimu Nyerere kumwalika Okelo kuja Dar es Salaam kwa mazungumzo katika jitihada za kumtenga na wafuasi wake Unguja ili kumsaidia Karume. Kulingana na ripoti za CIA ambazo sasa zipo wazi kwa mtu yeyote kuzisoma;
Okello's visit to Dar es Salaam was reportedly arranged by Nyerere, who was curious to see what kind of a man he was. The President was apparently also motivated by a desire to strengthen Karume's position in Zanzibar; he believed that Okello's absence would give Karume a breathing space in which to establish his own authority.
Na hapa chini tunashuhudia jinsi Filed Marshall John Okelo alivyoitawala Unguja kwa mkono wa chuma;
For days, the flow of Okello’s inflammatory words issued forth constantly from the Zanzibar radio station. Even in the face of a denial by Karume that members and supporters of the overthrown regime would be executed, the Field Marshal kept repeating his frightful threats that he would "cut up into pieces" all the Asians who did not surrender their weapons--or else "throw them into the sea” or "burn them alive after having sprinkled them with gasoline" or transform them into living targets for shooting practice." His stern warning against any foreign interference in the internal affairs of the new republic was in the same extremist vein.
Field Marshall Okello hakuwapa nafasi hata hao mabeberu wanaodaiwa kumtumia...shuhudieni anavyowapa vidonge vyao Waingereza na Wamarekani;

Field Marshal Okello said:
You have just heard fabricated and hypocritical news from BBC, London. This news is from foolish, infidel, savage people who live lies like their father, Satan ..., As from today, the BBC is banned for one month, and we might ban it later until the end of the world....From this moment, British and American press correspondents are banned in Zanzibar because it has been seen that these are hypocrites and liars, I am ready to sever any relations with such hypocritic countries.
Naam huyo ndiye Okello, pamoja na kumkabidhi Uraisi Karume, yeye ndiye alikuwa serikali kama iavyosimuliwa hapa chini;


As the days passed, Okello's boasts about his role in the revolution and his power in the government grew even more fantastic. In an interview on 16 January, he claimed to have conceived the idea of the revolution without consulting the other leaders. His own powers were, he said, "equal to that of the whole government"
Huyo ndiye Field Marshall Okello, halafu kuna mtu anadai hakuwa na jeshi...surely lies should be made of sterner stuff! Hadithi za mara Babu kuongoza Mapinduzi, Hanga kuongoza Mapinduzi au Karume kungoza Mapinduzi ni funika kombe tu mwanaharamu apite...Waunguja hawautaki huo ukweli ingawa ni wazi kuwa kabla ya Okello hakuna ambaye angeweza kufurukuta mbele ya Sultani. Field Marshall John Okello ndiye aliweza kuwakomboa toka utumwani na kumkimbiza huyo Mkoloni wa Kiarabu hadi kuvikimbia hivyo visiwa vya karafuu na historia hiyo haitafutwa wala kufutika.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu

Kwakweli inachekesha,

Lakini mbele ya Mohamed Said, Okello anakosa uhalali wakuwa kiongozi wa mapinduzi yale kwasababu ya DINI yake,

Laiti angekuwa muislamu basi leo hii angeimbwa sana na Mohamed Said!

Fikiria leo Abdul Sykes aliyestaafu/achana na siasa tangu uchaguzi wa kwanza wa TANU mwaka 1954 mpaka kifo chake,

Lakini leo Mohamed Said amemrudisha nakupaza kuwa ndie nguli wa TANU na Nyerere sio lolote!

MS kawataja akina Kambona na Hanga. Sasa kama ana udini Kambona ni Muislamu? we Bin Nyerere vipi?
 
Mag; Nimepost hiyo report ya CIA. Soma hizo pages 33-40s wanamsifu kama a good street fighter kiasi kwamba by the end of the day wapinaji wote walimkubali kama kamanda wao. HAO ni CIA. Wanasema nobody knows alitoa wapi umashuhuri. wanasema huko Pemba ALISHAWAHI KUWA KATIBU WA TAWI LA ASP (1960????) Wanasema alipohamia Unguja alishakuwa na wafuasi si chini ya 200 na kila mara akizungumza kuwapindua waarabu. Ipo humo Soma. Ni kweli hata CIA wanasema by mid 1963 Kambona alimpelekea Hanga silaha (automatics 5 na rifles 10) lakini hizi zilikuwa za ASP. Huyu Okello na WALE 25 alioenda nao kule police posts WALIZIPIGA KAVUKAVU. Hakuna cha automatics. Wakati huo vijana 200 wa ASP wameshaogopa na wamekimbia. Just read. Katika kitabu chake huyu Okello anamlaumu Nyerere kuwa hakuwa mtu wa kuamika na alimnyanyasa!!!! Sasa how can the two be partners???? It is obvious kuwa kufukuzwa kwake ilikuwa ili watawala wa zenj wapumue na isitoshe alikuwa tayari anapendwa sana na askari.


Wickama,
Hebu achana na hao Wazungu.

Karume usiku ule wa Mapinduzi alilala nyumbani kwa mmoja wa wazee wangu.

Huyu mzee wangu yu hai hadi leo na habari hii yeye ukimuuliza anaingia hapa
anatokea kule.

Lakini unajua mama zetu walikuwapo na wakifahamiana vizuri sana na hawa watu.

Wapi hao CIA wametaja Sakura na Kipumbwi.

Kama s Dk Gahassany nani angelijua habari za Mohamed Mkwawa na Victor Mkello?

Angalau intelligence report za Waingereza wamemtaja Victor Mkello kwa sifa yake
ya kuteleza kama samaki.

Okello Pemba akijulikana kwa matofali yake si kuwa alikuwa kiongozi wa ASP.

Ukitaka kupata habari hizo za kuvamia ngome achana na maneno ya ''Field Marshal''
wa Matofali msome Mzee Aboud Mmasai katika kitabu cha Dk. Ghassany.

Historia ya mapinduzi ina mengi watu hawayajui kama ulivyoona historia ya TANU kabla
sijafungua kinywa changu.
 
MS kawataja akina Kambona na Hanga. Sasa kama ana udini Kambona ni Muislamu? we Bin Nyerere vipi?

Kadogoo,
Yericko anazungumza kuhusu dini...

Hebu angalia hapa chini habari za Okello:

''John Okello in his book Revolution in Zanzibar used a language with Christian undertones and the source states that one of the presidents of Zanzibar said that Mwalimu Nyerere decided to oust Okello from Zanzibar because he was too much taken by Christian sentiments.

Okello wrote without mincing words that those who participated in the revolution were screened with utmost care and among 4,000 people 270 askaris were selected and among them 245 "were from outside Zanzibar (Kenya, Uganda, Tanganyika, Msumbiji, Malawi, Congo na Zimbabwe, all of them were repsresented)." https://www.jamiiforums.com/#_edn1

It is not important that Okello never mentioned among those how many were Muslims and how many were Christians since the venom against Muslim Arabs includes also Muslims and Christians.




https://www.jamiiforums.com/#_ednref1 John Okello, p. 131

[ii] Ibid. p. 108
 
Ndiyo maana namkatalia Mohamed Said kuwa Okelo alifukuzwa Unguja kama mbwa, thubutu! Hakuna mtu ambaye angeweza kupata ujasiri wa kumgusa Okelo na hata Karume mwenyewe alimuogopa. Hii ndio ilipelekea Mwalimu Nyerere kumwalika Okelo kuja Dar es Salaam kwa mazungumzo katika jitihada za kumtenga na wafuasi wake Unguja ili kumsaidia Karume. Kulingana na ripoti za CIA ambazo sasa zipo wazi kwa mtu yeyote kuzisoma;

Na hapa chini tunashuhudia jinsi Filed Marshall John Okelo alivyoitawala Unguja kwa mkono wa chuma;

Field Marshall Okello hakuwapa nafasi hata hao mabeberu wanaodaiwa kumtumia...shuhudieni anavyowapa vidonge vyao Waingereza na Wamarekani;


Naam huyo ndiye Okello, pamoja na kumkabidhi Uraisi Karume, yeye ndiye alikuwa serikali kama iavyosimuliwa hapa chini;



Huyo ndiye Field Marshall Okello, halafu kuna mtu anadai hakuwa na jeshi...surely lies should be made of sterner stuff! Hadithi za mara Babu kuongoza Mapinduzi, Hanga kuongoza Mapinduzi au Karume kungoza Mapinduzi ni funika kombe tu mwanaharamu apite...Waunguja hawautaki huo ukweli ingawa ni wazi kuwa kabla ya Okello hakuna ambaye angeweza kufurukuta mbele ya Sultani. Field Marshall John Okello ndiye aliweza kuwakomboa toka utumwani na kumkimbiza huyo Mkoloni wa Kiarabu hadi kuvikimbia hivyo visiwa vya karafuu na historia hiyo haitafutwa wala kufutika.

Wanaukumbi,

Kama ni kuchegemea ukuta wa CIA Reports hebu msikize hapa chini nini Hamza Aziz
kamwambia Dk. Harith Ghassany:

''The late Mzee Hamza Aziz who was Inspector General of Police in Tanganyika during the revolution assured me that the CIA report has plausable explanation on Tanganyika's involvement in the Zanzibar revolution. At that time even if I had that report it would not have helped me much without local research and that would not have assisted me without being lead by signs and symbols from national archives in Britain and United States. https://www.jamiiforums.com/#_edn1 Helen-Louise Hunter, researcher and and expert in economics was an employee of the CIA for more than twenty years and is the author of the CIA report which I was told about by the late Mzee Hamza Aziz. ''

Wanaukumbi,
Huyo hapo juu anaezungumza ni Dr. Ghassany akisema kuwa hizo ripoti za CIA si lolote bila ya utafiti wa ndani. Ndipo mie ninaposema ''Historia za Wazungu'' haziaminiki.



https://www.jamiiforums.com/#_ednref1 Hamza Aziz na ripoti ya CIA
 
Wanaukumbi,

Kama ni kuchegemea ukuta wa CIA Reports hebu msikize hapa chini nini Hamza Aziz
kamwambia Dk. Harith Ghassany:

''The late Mzee Hamza Aziz who was Inspector General of Police in Tanganyika during the revolution assured me that the CIA report has plausable explanation on Tanganyika’s involvement in the Zanzibar revolution. At that time even if I had that report it would not have helped me much without local research and that would not have assisted me without being lead by signs and symbols from national archives in Britain and United States. Helen-Louise Hunter, researcher and and expert in economics was an employee of the CIA for more than twenty years and is the author of the CIA report which I was told about by the late Mzee Hamza Aziz. ''

Wanaukumbi,
Huyo hapo juu anaezungumza ni Dr. Ghassany akisema kuwa hizo ripoti za CIA si lolote bila ya utafiti wa ndani. Ndipo mie ninaposema ''Historia za Wazungu'' haziaminiki.



https://www.jamiiforums.com/#_ednref1 Hamza Aziz na ripoti ya CIA

Hapa tatizo ninaloliona ni moja tu...wewe Mohamed Said na Dr. Ghassany ni kitu kile kile. Kwa miaka nenda rudi mmeachiwa ukumbi mhubiri chochote kile bila kuhojiwa lakini sasa mambo yamebadilika. May I take this opportunity to remind you that your audience now is very different from the one you are used to, the one that will never blink an eyelid whatever you threw at them. Nimesoma baadhi ya maandishi yake na maudhui ni yale yale ninayoyaona kwenye maandishi yako...hamlitakii mema taifa letu.
 
Last edited by a moderator:
Jasusi,
Umenikumbusha kweli nimewasahau.

Flaming Stars lead guitarist alikuwa Cuthbert Sabuni siyo Mike Muhuto.
Bass alikuwa Peter Kondowe (Peko).

Muhuto alikuwa Sparks.

Kweli kabisa. Cuthbert Sabuni bado tuko in contact. Peter Kondowe sijui alipotelea wapi. George Mzinga alikuwa kwenye drums. Alifariki Italia miaka kadhaa sasa. John Sabuni naye sijamwona miaka lakini najua yuko maeneo ya Arusha.
 
Hapa tatizo ninaloliona ni moja tu...wewe Mohamed Said na Dr. Ghassany ni kitu kile kile. Kwa miaka nenda rudi mmeachiwa ukumbi mhubiri chochote kile bila kuhojiwa lakini sasa mambo yamebadilika. May I take this opportunity to remind you that your audience now is very different from the one you are used to, the one that will never blink an eyelid whatever you threw at them. Nimesoma baadhi ya maandishi yake na maudhui ni yale yale ninayoyaona kwenye maandishi yako...hamlitakii mema taifa letu.
Mag3, Mohamed ni co-author wa kitabu cha Ghassany.
Haya kayasema mwenyewe kwahiyo ukisoma vitabu vyao vinafanana kwasababu lengo lao ni moja.
Nilisoma vitabu vya Mohamed halafu nikasoma cha Ghassany kwakweli kuna wakati nilichanganyikiwa kuwa hawa watu ni mmoja ana majina mawili au!! Kwabahati nzuri namfahamu Mohamed hivyo nili confirm tu kuwa siyo a.k.a.Ghassany
 
Mag3# 14711. Sijui kama watu wanafahamu kuwa kuna de-classified information sasa hivi kuhusu haya mambo.
Nimeuliza kuwa kama Nyerere kwa sababu za kidini na hasa kuushambulia Uislam Zanzibar alichagiza Mapinduzi, je ni kwanini waislam hao hao wazanzibar wanaadhimisha Mapinduzi? Na ni kwanini wale waarabu na wenye unasaba nao wanayapinga mapinduzi? Ni kwasababu uya Uislam au wanasukumwa na kuondoka kwa sultan.

Nimeuliza tena vipi basi Nyerere ambaye ni ''adui'' wa uislam aisadie Polisario na Palestina?
Nikauliza hata kama alifanya hayo Zanzibar,je hiyo ndio alama ya Nyerere kuupiga vita Uislam?

Ukishauliza maswali haya mara nyingi mjadala unakwisha zinakuja hoja za kitoto sana za kukwepa ukweli.

Utashangaa kuwa wanamapinduzi baadhi yao wapo hai. Hawa wanaosema Karume alilala kwa bibi zao wakati huo hawana maelezo kwanini hawakuchukua kumbu kumbu kutoka kwa wahusika hasa waliopo hai na waliotangulia mbele za haki hivi karibuni bali wanataka kutuaminisha hadithi za kusimuliwa.

Maana nzima ya masimulizi ni kumhusisha Nyerere kwa ubaya halafu wapate kuingia kwa gia ya ukristo kisha ukatoliki na kusambaza chuki zao za wanadamu kutoana roho. Sijui wanafaidika na nini kwasababu dini ya Uislam haielezi hayo.
Kama inaeleza basi awaye anipe ukweli kwa hadithi sunna au Kuran.

Ukimsikia Ilunga akiongea Zanzibar huku akisaidiwa na Mohamed na akina Ponda it's all lies, fabrications and spinning shamelessly. Hawa watu wangekuwa na chama chao wala isingesumbua, kinachowasumbua waislam wengi ni pale wanaposimama na kuutanguliza Uislam kabla ya kuanza ulaghai. Insikitisha sana!
 
Mag3# 14711. Sijui kama watu wanafahamu kuwa kuna de-classified information sasa hivi kuhusu haya mambo.
Nimeuliza kuwa kama Nyerere kwa sababu za kidini na hasa kuushambulia Uislam Zanzibar alichagiza Mapinduzi, je ni kwanini waislam hao hao wazanzibar wanaadhimisha Mapinduzi? Na ni kwanini wale waarabu na wenye unasaba nao wanayapinga mapinduzi? Ni kwasababu uya Uislam au wanasukumwa na kuondoka kwa sultan.

Nimeuliza tena vipi basi Nyerere ambaye ni ''adui'' wa uislam aisadie Polisario na Palestina?
Nikauliza hata kama alifanya hayo Zanzibar,je hiyo ndio alama ya Nyerere kuupiga vita Uislam?

Ukishauliza maswali haya mara nyingi mjadala unakwisha zinakuja hoja za kitoto sana za kukwepa ukweli.

Utashangaa kuwa wanamapinduzi baadhi yao wapo hai. Hawa wanaosema Karume alilala kwa bibi zao wakati huo hawana maelezo kwanini hawakuchukua kumbu kumbu kutoka kwa wahusika hasa waliopo hai na waliotangulia mbele za haki hivi karibuni bali wanataka kutuaminisha hadithi za kusimuliwa.

Maana nzima ya masimulizi ni kumhusisha Nyerere kwa ubaya halafu wapate kuingia kwa gia ya ukristo kisha ukatoliki na kusambaza chuki zao za wanadamu kutoana roho. Sijui wanafaidika na nini kwasababu dini ya Uislam haielezi hayo.
Kama inaeleza basi awaye anipe ukweli kwa hadithi sunna au Kuran.

Ukimsikia Ilunga akiongea Zanzibar huku akisaidiwa na Mohamed na akina Ponda it's all lies, fabrications and spinning shamelessly. Hawa watu wangekuwa na chama chao wala isingesumbua, kinachowasumbua waislam wengi ni pale wanaposimama na kuutanguliza Uislam kabla ya kuanza ulaghai. Insikitisha sana!

Kaka, kama hautaki habari za kusimuliwa basi ruksa na wewe kuandika habari ulizopata kuziona kuhusu mapinduzi na uhuru wa tanganyika, Tufyonze Ilm.
 
Kaka, kama hautaki habari za kusimuliwa basi ruksa na wewe kuandika habari ulizopata kuziona kuhusu mapinduzi na uhuru wa tanganyika, Tufyonze Ilm.
Hapam unakosea, kwanza nikukumbushe kuwa ilm haifyonzwi bali inafanyiwa fikra.

Hata kwenye vitabu vitakatifu kuna watu wanaofanyia fikra mathalan waislam waliofuzu Theology.

Si kila kitu ni cha kufyonza unawezajikuta una fyonza majitaka.

Pili, nashangaa nikiweka hoja nashambuliwa personal na hoja hazijibiwi.
Narudia tena
1. Kama Mapinduzi ni ya Nyerere kwa ajili ya kuhalifu uislam, vipi waislam waliohalifiwa wayatukuze kule Znz.
2. Kama lengo lilikuwa waislam na uislam na kwa upande wa POLISARIO na Palestina nani hapo mlengwa wa Nyerere?
4. Je, ni znz tu Nyerere alikofanya ''uhalif''? Frontline state pamoja na kwa Boers nako alimlenga nani?
 
Hapam unakosea, kwanza nikukumbushe kuwa ilm haifyonzwi bali inafanyiwa fikra.

Hata kwenye vitabu vitakatifu kuna watu wanaofanyia fikra mathalan waislam waliofuzu Theology.

Si kila kitu ni cha kufyonza unawezajikuta una fyonza majitaka.

Pili, nashangaa nikiweka hoja nashambuliwa personal na hoja hazijibiwi.
Narudia tena
1. Kama Mapinduzi ni ya Nyerere kwa ajili ya kuhalifu uislam, vipi waislam waliohalifiwa wayatukuze kule Znz.
2. Kama lengo lilikuwa waislam na uislam na kwa upande wa POLISARIO na Palestina nani hapo mlengwa wa Nyerere?
4. Je, ni znz tu Nyerere alikofanya ''uhalif''? Frontline state pamoja na kwa Boers nako alimlenga nani?

Sio kweli unashambuliwa personal uoga wako tu, wewe na mzee Mohamed Said, nani anashambuliwa personal.

Wewe unaweza kujiona unaweka hoja za maana kumbe ni majitaka watu wanashindwa Kufyonza Ilm.

Nani alikudanganya Palestine ni ya waislam peke yao?

Mwl Nyerere alikuwa anaitetea Palestine kutokana na Bethelem na Nazareth pamoja na Jerusalem, Yesu alizaliwa wapi?

Tarudi baadae kufyonza Ilm.
 
Kweli kabisa. Cuthbert Sabuni bado tuko in contact. Peter Kondowe sijui alipotelea wapi. George Mzinga alikuwa kwenye drums. Alifariki Italia miaka kadhaa sasa. John Sabuni naye sijamwona miaka lakini najua yuko maeneo ya Arusha.

Jasusi,
Nadhani umemkusudia Raphael Sabuni.

Huyu amekufa alikuwa na band Six Masai
wakipiga AICC.
 
Sio kweli unashambuliwa personal uoga wako tu, wewe na mzee Mohamed Said, nani anashambuliwa personal.

Wewe unaweza kujiona unaweka hoja za maana kumbe ni majitaka watu wanashindwa Kufyonza Ilm.

Nani alikudanganya Palestine ni ya waislam peke yao?

Mwl Nyerere alikuwa anaitetea Palestine kutokana na Bethelem na Nazareth pamoja na Jerusalem, Yesu alizaliwa wapi?

Tarudi baadae kufyonza Ilm.

kama ndio unafyonza elimu ya namna hii nakushauri uache tu
 
Back
Top Bottom