Mheshimiwa,
Kabla zungumza chochote naomba kufahamu,
Umeiangalia hiyo video ya Okello inayomuonyesha akiendesha mapinduzi?
Ah! Hilo mbona rahisi Kadogoo. Kila Jamii hapa duniani ilikuwa/ina DINI yake. Sisi MIAFRIKA ndio tumedanganywa na kuacha dini zetu za asili.
Utakubaliana nami Kadogoo kwamba Wachina, ambao ndio wengi zaidi duniani, sio WAKRISTO wala WAISLAM kwa zaidi ya asilimia 99. Mbinguni kama kupo nao watakwenda. Vivyo hivyo WaJapan, Wakorea,...
Sisi Waafrika kama kawaida yetu ni washobokeaji wazuri wa mambo ya wenzetu na wakati mwingine kuyahusudu zaidi ya wao wenyewe! Sasa hapa Tanzania tunaanza kwenda mbali zaidi. Tunataka kugawana kila kitu kwa misingi ya DINI hizi za kuletewa. Tumeanza kuuana kwa sababu ya dini hizi. Huu ni UJINGA.
Kwani kama angeegemea upande wa wayahudi dhidi ya wapalestina ingekuwaje?Sio kweli unashambuliwa personal uoga wako tu, wewe na mzee Mohamed Said, nani anashambuliwa personal.
Wewe unaweza kujiona unaweka hoja za maana kumbe ni majitaka watu wanashindwa Kufyonza Ilm.
Nani alikudanganya Palestine ni ya waislam peke yao?
Mwl Nyerere alikuwa anaitetea Palestine kutokana na Bethelem na Nazareth pamoja na Jerusalem, Yesu alizaliwa wapi?
Tarudi baadae kufyonza Ilm.
Pilau la biriani? Ndiyo likoje hebu tupe darsa.
Mkuu Jasusi, njia rahisi ya kukubaliana na upotoshaji ni kusema ''andikeni vitabu''.
Kwamba watu wauache upotoshaji uendelee kwasababu kusema huu ni upotoshaji kuna haribu mission.
Watu wanaamini kuwa mapinduzi ya ZNZ yalipandikizwa na Nyerere kwa kutumia wamakonde wa Kipumbwi. Well, kama ni hivyo kwanini wzn wanaofahamu kuwa hizo zilikuwa njama za kuua Uislam wameuyakubali na kuyatukuza.
Kuna mahali tumeuliza Nyerere aliunga mkono Palestina na Polisario kwa misingi gani? Hakuna jibu kwasababu jibu ni kisu chenye ncha mbili kitakata nyuma na mbele. Mjadala umeishia hapo! haya ndiyo matatizo ya historia ya maabara.
Huko nyuma kuna aliyeleta hoja ya Biafra, Nigeria kuwa Nyerere aliunga mkono wakatoliki. Tukauliza hivi karibuni Tanzania imeunga mkono Sudan Kujitenga, je hapo napo inakuwaje! Nyerere hayupo. Hoja za maabara zinakufa.
Tumeambiwa mahali penye ukristo Nyerere hatii mguu, tukauliza vipi Msumbiji, Zimbabwe na SA nako huko wapo wa aina gani! hoja ikafia ndani ya test tube huko maabara.
Tukaambiwa Nyerere aliingilia mambo ya Seychelles kumsaidia Albert Rene wakati wa jaribio la Mapinduzi.
Tukauliza na Comoro nako nani amepeleka askari kumsaidia Zambi, hoja za kufinyanga zikafa.
Kuna upotoshaji kuhusu mgogoro wa Znz, kwa kuanzia tunaambiwa ZNZ ni taifa la kiislam. Inawezekana sielewi mahali naomba msaada, hivi zanzibar ni taifa la kiislam au taifa lililokuwa na waislam wengi. Naomba ilm
Mkuu tukikaa kimya kama ilivyokuwa takribani miongo miwili iliyopita tutakuwa hatuwatendei haki vijana wanaofyonza ilm, tutakuwa tumewatelekeza katika makaro wakifyonza maji ya uani. No way!
Mkuu sikajiji
Kwa mtazamo wa wewe unataka kuniambia kuwa Mwalimu Nyerere aliinjinia mapinduzi yale kwalengo la kupambana na uislamu?
Upotoshaji huo wanajaribu kuupa nguvu kwakutumia kigezo cha "wale ni wazee wetu"
Wakati taifa linasimama kwenye fact, na historia husimama hapo bila kuwa fabricated kwa minajiri flani!
Mjadala huu unahitaji umakini, hekima na ustarabu sana, kwakuwa ni ukweli kuwa kuna watu hapa walipoteza ndugu zao wa damu!
Vivyo hivyo tuepuke kuweka itikadi au hisia za kidini, tufanye hivyo kwakuangalia wahusika wamapinduzi hayo kuwa hawakuweka mbele itikadi ya kidini,
Hili la udini juu ya Zanzibar limekuwa agenda ya wachache ama niseme kuwa ni kikundi kidogo ndani ya jamhuri kinachohubiri haya kwa maslahi yao!
WildCard,
Siyo kila dini ni ya Mungu usipende kutumia fikra zako kwenye mambo ambayo hujui.
Hivi ile dini ya Kibwetere ni ya Mungu? Ukienda Hong Kong kuna dini inaamini sehemu za siri za mwanamke hii dini nayo utasema ni ya Mungu.
Marekani kuna dini za Mashoga nayo utasema ni ya Mungu.
WildCard, usichanganye mambo ndugu yangu.
Mzee Mohamed Said, wewe ulikuwa mtafiti mwenza wa Ghasany, wewe ulipiga picha nyingi sana za waliosimulia habari ya utafiti, vipi leo unajitoa? au unamkejeli rafiki yako Yericko?Yericko,
Umenikweza sana mdogo wangu.
Harith Ph D Harvard aelekezwe mambo na mie
mbumbu mzungu wa reli!
Yericko,
Naona tunatoka nje ya mada au Hili la uchochezi limekwisha? Tuanze mambo ya Znz.
Kama ni hivyo ni vizuri tuanze uzi huo maalum ili tutoe darsa kwani wengine tunajua mengi sana kuhusu hilo.
Barubaru,Nyerere alikuwa na nia kubwa ya kupambana na Uislam wa Tanganyika.
Kumbuka kuwa wazungu walitumia devide and Rule katika utawala wao na kwa kuangalia mazingira ya nchu husika.
Tukianzia na Kenya na Uganda huko kulikuwa na makabila machache sana huko waliyumia UKABILA katika kuwatawala na hilo mpaka leo linawasibu kama kovu la ukoloni.
Kwa upande wa Tanganyika ambako kulikuwa na makabila mengi sana alishindwa kutumia mbinu hiyo na hapo walitumia UDINI yaani dini moja kuifanya superior zaidi ya nyingine, wasomi zaidi ya nyingine na walifanikiwa kwalo.
Kwa kuwa Nyerere alikuwa na nia ya kuliendeleza hilo alipenda kuungana na waZnz ili kuwalagha waislam kutoka Bara. na hata alipogawa madaraka hakukuwa na waislam kutoka bara bali walichukua watu kutka Znz.
ndio maana nasema ni vizuri tuweke uzi maalum tusasambue kwani wengine tumeyaona hayo bila kusimuliwa.
Nyerere alikuwa na nia kubwa ya kupambana na Uislam wa Tanganyika.
Kumbuka kuwa wazungu walitumia devide and Rule katika utawala wao na kwa kuangalia mazingira ya nchu husika.
Tukianzia na Kenya na Uganda huko kulikuwa na makabila machache sana huko waliyumia UKABILA katika kuwatawala na hilo mpaka leo linawasibu kama kovu la ukoloni.
Kwa upande wa Tanganyika ambako kulikuwa na makabila mengi sana alishindwa kutumia mbinu hiyo na hapo walitumia UDINI yaani dini moja kuifanya superior zaidi ya nyingine, wasomi zaidi ya nyingine na walifanikiwa kwalo.
Kwa kuwa Nyerere alikuwa na nia ya kuliendeleza hilo alipenda kuungana na waZnz ili kuwalagha waislam kutoka Bara. na hata alipogawa madaraka hakukuwa na waislam kutoka bara bali walichukua watu kutka Znz.
ndio maana nasema ni vizuri tuweke uzi maalum tusasambue kwani wengine tumeyaona hayo bila kusimuliwa.
Nilipo RED.
naomba usahihishe hapo. Zanzibar hakuna UDINI kwani raia wa nchi hiyo more than 99.9% ni waislam, Je udini huo utatoka wapi?
Fuatilia katika wabunge wake wa kuchaguliwa na wanchi more than 99% ni waislam na wawakilishi wake wa kuchaguliwa na wanchi 100% ni waislam .
Je udini huo utatoka wapi?
Mzee Mohamed Said, wewe ulikuwa mtafiti mwenza wa Ghasany, wewe ulipiga picha nyingi sana za waliosimulia habari ya utafiti, vipi leo unajitoa? au unamkejeli rafiki yako Yericko?
For an educated person who has studied Genetics and knows that parents contribute 50% each of the genes in the child, such an educated person will never believe this trash! And yet you always boast that your holly book is full of knowledge... Well, there is no genetics in that book, if at all it is the supreme source of your knowledge! Mohamed Said, have you ever heard of the term "inbreeding depression"?
Yericko,
Naona tunatoka nje ya mada au Hili la uchochezi limekwisha? Tuanze mambo ya Znz.
Kama ni hivyo ni vizuri tuanze uzi huo maalum ili tutoe darsa kwani wengine tunajua mengi sana kuhusu hilo.
Jasusi, mimi hoja za Barubaru hata sihangaiki nazo, huyu jamaa ameikana hata nchi yake ya kuzaliwa...labda ni moja katika wale wenye ndoto ya Sultani Sayyid Jamshid bin Abdullah Al Said kurudi Zanzibar kumalizia awamu yake ya utawala iliyotibuliwa na mponda matofali Field Marshall John Okello baada ya kudumu kwa miezi sita tu kuanzia July 1, 1963 hadi January 12, 1964.Barubaru,
Mbona wewe kichwa ngumu? Nimeshakupa darsa hapa kuwa Uganda wana makabila 66 na Kenya wana makabila zaidi ya hamsini. Lakini unarudi na hoja zako sizizo sahihi kuwa Kenya na Uganda wana makabila machache sana. Nitaendelea kukuelimisha mpaka ilm iingie ubongoni.
JOKAKUU,Kama ndio hivyo, inakuaje Kanisa Katoliki wanataka kumtawaza Julius kama Mwenyeheri Mtakatifu? ina maana Kanisa halina taarifa za Nyerere kuipiga vita? haingii akili Kanisa limtawaze Mkomunisti!THE BIG SHOW,..WARENO wa Msumbiji walikuwa WAKATOLIKI na wanachama wa NATO...Eduardo Mondlane, Raisi wa kwanza wa Frelimo hakuwa Mkatoliki. Uria Simango, makamu wake, alikuwa mchungaji wa kanisa la Presbytarian...baada ya kifo cha Mondlane, Uria Simango aliongoza kwa kipindi kifupi kabla "hajapinduliwa" na Samora Machel. Inasemekana Samora, alikuwa Mkomunisti, asiyeamini mambo ya dini. ..Wako wanaodai kwamba Samora[asiyekuwa na dini] alikuwa akiungwa mkono na Nyerere/Tanzania ktk "mapinduzi" yake dhidi ya Uria Simango[mchungaji wa Presbytarian]...sasa ilikuwaje Mwalimu Nyerere [Mkatoliki], awape msaada wa hali na mali Frelimo[chama cha Kikomunisti ]kupindua serikali ya Kireno ambao ni Wakatoliki? Kumbuka kwamba Kanisa Katoliki lilishautambua Ukomunisti kama adui wa Ukatoliki...kwa mtizamo wangu kujaribu kuhusisha kila alilofanya Mwalimu Nyerere na Ukatoli wake ni kutoitendea haki historia.cc😡gombesugu, Jasusi, Mag3, Nguruvi3, Wickama, Mohamed Said, Kudi Shauri
Barubaru hapa si suala la quantity tu, udini ni pamoja na tolerance.Nilipo RED.
naomba usahihishe hapo. Zanzibar hakuna UDINI kwani raia wa nchi hiyo more than 99.9% ni waislam, Je udini huo utatoka wapi?
Fuatilia katika wabunge wake wa kuchaguliwa na wanchi more than 99% ni waislam na wawakilishi wake wa kuchaguliwa na wanchi 100% ni waislam .
Je udini huo utatoka wapi?
Kama Nyerere angekuwa madarakani mwaka 2001 mauaji ya Waislamu Zanzibar yasingetokea! pengine mauaji ya Waislamu wa Mwembechai mwaka 1998 yasingetokea! Sasa ilikuaje Nyerere atume majeshi Biafra Nigeria ili kuwasaidia Wakristo wa huko wajitenge? huku akihubiri umoja wa Afrika na umuhimu wa kuulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar! yatokayo mdomoni sio ya moyoni!Nguruvi3,..nina mfano mwingine mdogo...mara nyingi tumekuwa tukisikia kwamba KANISA KATOLIKI lilihusika na mauaji ya kimbari ya RWANDA...sasa mnakumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyong'aka kuhusu msimamo wa Tanzania wakati mauaji yale yakiendelea?..binafsi sidhani kama Mwalimu Nyerere angekaa pembeni wakati mauaji yale yanaendelea Rwanda. He would have done something. Kama siyo kukemea kwa kauli nzito, basi Tanzania wangeingilia kijeshi. ..sasa tukubaliane na propaganda kwamba genocide ya Rwanda iliratibiwa na "Vetikan." Then kwanini Mwalimu Nyerere alikemea mradi wa Kanisa lake??