Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Yericko,

Mambo ya upo hapa miezi sita, ofisi yako ipo posta, unaishi Mputu, wala haihusu.

Familia ya Kambarage wanataka kujua Butiama unakaa sehemu gani?
 
Yericko,

Mambo ya upo hapa miezi sita, ofisi yako ipo posta, unaishi Mputu, wala haihusu.

Familia ya Kambarage wanataka kujua Butiama unakaa sehemu gani?

Ritz

Mbona una akili fupi sana? Hapo uliponinakili nimetaja mpaka mtaa ninaoishi laki bado unahoji Butiama naishi wapi?

Nimeshasema suala hili sitalizungumza hapa tena naomba unielewe!

Jadili mada iliyopo ama umeshindwa kalale!
 

Boko haram,

ha haa haa utanipasua mbavu.
 
Last edited by a moderator:
Nipo Butiama sasa hivi. Naulizia kuhusu huyu Yericko,lakini bado sijampata mtu anayemfahamu. Bado naendelea kuulizia. Nimemtuma mtu afanye uchunguzi.

Yericko,

Msome tena huyu jamaa yetu yeye anasemaje, kitovu cha Mwalimu Julius Nyerere kipo Butiama, siyo Mputu.
 

Mji huu una mashartii mpaka ufanikiwee,
na sio kukimbilia nasaba za watu na kujiona ndio wewe,

look at you..!brother adrew kazid kukuumbua leo,
sasa unasema wote hao ni wazazi wako kwa jins ulivyo na akili mbovu,sasa utakua na mababa wangapi?
Haya basi namimi nimepigania uhuru wa nchi hii,niweke kwenye list ya baba zako pia,sawa?
Julius yupi wa kuacha offspring ya kikanjanja kama wewe?

Sasa skia,uache kujigonga gonga na nasaba isiyo yako.na leo iwe ndio mwanzo na mwisho,na ufute hilo jina hapo mwsho uweke jina la baba yako halali,umeskia?

Huu uzi umekuacha mtupu kimwili na kiakili,
utakoma na sisi wanywa ghahawa na wana madrasa..,

nakukumbusha usku huu sasa,hujaanza kuombwa haki ya ndoa kama kawaida yako?

Must be so so craizy...
 
Responsible ya kumfukuza MS katika huu mjadala ataibeba Nicholas! mimi humjibu tu pale alipo na shaka napo kuhusu dini yangu.
MS akikimbia akimbie tuu....kwani km ameskip maswali karibu yote anategemea nini?Anataka blackmail nani sasa hapa?Unasusia mtihani ambao hujajibu hata moja kwa usahihi...tofauti na watoto wanaonadika bongo fleva halafu wazazi wao kwa misingi ya uchochoezi wa MS wanatoka povu..?Ahsante kwa mfano mzuri wa kuonyesha effects za uchochoezi wake.

Halafu acha "uongo mtakatifu"..Mungu wa kweli hakai na uchafu wowote ukiwepo uongo..ndio maana hakufany akazi ya kufake Yesu ili warumi waue mtu mwingine asiyestahili.Umejibu wapi?maswali hujajibu...na kila kilipokuambiwa urestrain bado next unapost junks nyingine.
Nilishakuambia tokea mwanzo kuwa usiingilie usivyovijua!

Nini sikijui sasa?mbona yote umeyakimbia?Hujaniambia km.Wapi nimekosea..hujajibu maswali yangu uliyoingi akichwa kichwa....junks ulizoziweka nimekuonyesha wapi ni kupotoka.Ukatoa mfano wamtume ..nikakuambia kuwa muhamad hakufuata uislam alioufundisha waislam waufuate...nikakupa mfano kuwa waislam hawakuruhusiwa kuoa wajane wa Muhamad..ingawa kwa waislam wengine Baada ya eda ndoa ingine km kawa.Vipo vingi sana mtu aifanya ila si km alivyohubiri uislam wake...(Tofauti na Nyerere ambaye alihubiri ujamaa, na alikufa mjamaa peke yake~ hiyo ni highlight tuu kuwasaidia ktk kupinga mzee kuwa mtakatifu..).Mke wa Mtume aisha alichezea sana wanasesere ila waislam hawapaswi.
Una maana Waislamu wa mwanzo Sahaba na Taabiin hawakutoa Fatwa?!
Vipi Hadith za Mtume SAW kuhusu Mufti anapojitahidi kutoa Fatwa?Si kila Sheikh ni Mufti!
Suala hapa si kwamba sijui enzi ya muhamadi fatwa zilitolewa ua lah...ila kilichotolewa kwanini hakikuwa tayari ktk sheria za kiislam?Na fatwa ni mambo ambayo wanazuoni wengine wanaweza pinga...kuna tofauti ya sheria inayoruhusu sheria ndogo ndogo na Sheria ndongo ndogo zilizotungwa chini ya hiyo sheria.Yaani sheria za manispaa husika zinaweza wekwa na kutewa kila mara halmashauri zinakaa, na mara nyingine wanaweza kuja gundua kuwa sheria nyingine ni makosa.....fatwa nazo zina sura km hiyo...
Nitajie Fatwa moja tu aliyoitoa Osama.. maneno yake karibu yote yanaegemea Sheikh fulani kasema halafu yeye huyafanyia Qiyaas (analogy)
moja tuu?hii hapa: Fataw
1996 fatwā


Bin Laden's 1996 fatwā is entitled "Declaration of War against the Americans Occupying the Land of the Two Holy Places". This document is sometimes called the Ladenese epistle, a term derived from bin Laden's surname. It is a long piece, and complains of American activities in numerous countries. It was faxed to supporters across the world.[SUP][4][/SUP] It first appeared in the London-based Arabic paper Al-Quds Al-Arabi.[SUP][1][/SUP]
1998 fatwā

The 1998 fatwā[SUP][2][/SUP] reached Al Quds Al Arabi by fax,[SUP][5][/SUP] and was signed by five people, four of whom represented specific Islamist groups:

  • Osama bin Laden[SUP][6][/SUP]
  • Ayman al-Zawahiri,[SUP][6][/SUP] "emir of the Jihad Group in Egypt", probably meaning Islamic Jihad
  • Ahmed Refai Taha, alias Abu Yasser, of al-Gama'a al-Islamiyya (in Egypt).[SUP][6][/SUP] This endorsement was retracted because of the enormous unpopularity of terrorism in Egypt following the Luxor massacre of tourists and Egyptians by al-Gama'a al-Islamiyya. Taha explained his signature to fellow members of the Islamic Group saying he had only been asked over the telephone to join in a statement of support for the Iraqi people.[SUP][7][/SUP]
  • Mir Hamzah"[SUP][6][/SUP]
  • Fazul Rahman, "emir of the Jihad Movement in Bangladesh",[SUP][6][/SUP] probably Harakat ul-Jihad-i-Islami/Bangladesh or HUJI-B; HUJI itself is in Pakistan.[SUP][citation needed][/SUP]
The signatories as a group were identified as the "World Islamic Front for Jihad Against Jews and Crusaders". This fatwā complains of American military presence in the Arabian Peninsula, and American support for Israel. It purports to provide religious authorization for indiscriminate killing of Americans and Jews everywhere. It appeared in February 1998 and the embassy bombings followed in August.



Bahati mbaya sana waislam wengi hujiaminisha kuwa wanajua uislam kuliko wasio waislam..wanasahau wasio waislam wapo wengi sana waujuao uislam ndio maana hawautaki hata kukaa karibu nao.

Mbaya zaidi pamoja na kutoujua bado wanapoteza muda kukimbilia Biblia.
Umedai kuwa Waislamu wamedanganya watu kuwa evolution ipo kwenye Quran, nitajie.
huyu ndiye mwendawazimu wenu km kigngwala badala ya kufanya udactari hata kama alidesa na kupewa anakwenda ktk dini:Msikilize dr.Naik Zakir:
The Big Bang in the Quran? (Dr. Naik) As far as Qur'an and modern Science is concerned, in the field of ‘Astronomy', the Scientists, the Astronomers, a few decades earlier, they described, how the universe came into existence - They call it the 'Big Bang'. And they said… ‘Initially there was one primary nebula, which later on it separated with a Big Bang, which gave rise to Galaxies, Stars, Sun and the Earth, we live in.' This information is given in a nutshell in the Glorious Qur'an, in Surah Ambiya, Ch. 21, Verse No. 30, which says…. (Arabic).... Do not the unbelievers see…? …. (Arabic)…. ‘That the heavens and the earth were joined together, and we clove them asunder?' Imagine this information which we came to know recently, the Qur'an mentions 14 hundred years ago.

halfu na hizi links jinsi waislam walivyoamua kuwa so busy ktk:
http://www.scienceislam.com/evolution_creation.php
http://www.guardian.co.uk/commentisfree/belief/2009/feb/27/islam-religion-evolution-science
http://en.wikipedia.org/wiki/Al-Jahiz

Unasemea hii?Babylonian Talmud: Yebamoth 59
Hembu soma tena, halafu pange point zako vyema bila kuwa thisi desperate.
 
Ritz

Mbona una akili fupi sana? Hapo uliponinakili nimetaja mpaka mtaa ninaoishi laki bado unahoji Butiama naishi wapi?

Nimeshasema suala hili sitalizungumza hapa tena naomba unielewe!

Jadili mada iliyopo ama umeshindwa kalale!
Anataka aje kulipua?...pia ajue familia ya Nyerere wapo very smart...asitegemee majibu ya kusatisfy adrenaline na testosterone zake.Ila jibu la wenye akili.Kwa waliowahi angalia Interview na mwanafamilia yeyote...atajua..hii familia imekomaa..Na ukimya wao..ni kwa vile wanaamini.."At every moment there is only one president"
 
Nipo Butiama sasa hivi. Naulizia kuhusu huyu Yericko,lakini bado sijampata mtu anayemfahamu. Bado naendelea kuulizia. Nimemtuma mtu afanye uchunguzi.

Sawa, tufanye Yericko Nyerere si mtoto wa mzee wako i mean si mtoto wa Mwalimu JK Nyerere.
Lakini je wewe kama wewe unalipi la kusema au kuchangia katika mjadala huu? Unakubaliana na
simulizi za Mohamedi Saidi pamoja na kitabu chake? Haya yote anayoyaeleza hapa kuhusiana na
baba yako Je,ni kweli? Ni hayo tu kwa sasa.
 
Wakuu Nicholas na Sadeeq

Ninawaomba msitoke nje ya mada,

Tutulie kwenye Historia ya Tanganyika na mapito yake,

Tukiingiza mijadala ya dini itatutoa uwepo wetu hapa!

Tuendelee ndugu zangu!

mkuu-Nimejaribu sana kuangalia kwanini kunakuja mabo ya dini sana..nikagundua hata upotoshaji wa huyu MS ulibase kwenye kwenye dini, hata zaidi ya siasa na competition ya makundi mbalimbalia ya jamii za kitanzania kulikopelekea wengine kuachwa na wengine kujenga hila na uchochoezi badala ya kupambana.

Hata ukiangalia salamu zao na kila wakisema ni dini tupu+uarabu.Ni katika fikra za kidini hawa jamaa ndipo wanapotoka na kujisukuma ktk nafasi ambayo si ya kushirikiana na wengine.

Ni katk kujitenga kwao ndipo waisala hujichuja na kubaki nyuma...ila ktk kushirikiana wangeshiriki mazuri mazuri ya wengine na wangekwenda pamoja.

Nilikuwa najaribu tuu kuwaonyesha kuwa si kwamba hatuijui dini yao, na si kwamba tunataka ijadili, na hivyo wasi vutike tublackmail kwa kauli za mara kwa mara..."mara oh mnauchukia uislam, mara Nyerere aliupiga vita, mara sijui uislam ni ukweli, mara sijui waislam nini na nini".
 

Asante sana mkuu,

Tusonge mbele mkuu,
Nimeweke ile historia ya Zanzibar hapo nyuma, je una la kuongeza ama kushauri mkuu?

Shusha lile darasa la ardhi nami nitalishusha hapa tuwafundishe historia hawa ndugu zetu
 
Nature ndio nini hebu tufafanulie kwasababu umetutajia vitu vitatu hapo nilipo bold red sayansi,mungu wa waislamu na nature!
nicholas has nailed it.post yake ni epic and pure scientific.ninamashaka kama wewe na ritz mmemuelewa/mtamuelewa.lol
 
Mbona unaanza omba msaada tuta km mlemavu...huku ukitaka jipa profile kwa kujifagilia..jibu hoja ili watu wauone huo usomi...watu hawana buda wa blah blah....sasa wewe msomi bado blah blah..na kulalamika km JK,wale wengine makuli wastaafu wacheza bao nao hulalamika tuu na si watendaji..sasa huoni kwanini kundi lenu ni la failure..?sasa pamoja na wingi wenu, na kuweka vitu vingi bado hakuna aliyejibu chochote..nidedications na kulalama tuu....sasa JF wawasaidiaje?
Mnatusaidia mno kila tunapokusomeni.

Kumbuka huyo Nicholas,alifungua ile Thread yake nyingine ya kumlaumu Nyerere kwanini alijiunga na "Chama cha Waislamu/wa Mwambao" kama alivyokiita TANU.
Sikumlaumu Nyerere hata kama nilisema alikosea..kukosea kuna kwa kukusudia, na kuna kufanya makusudi...km MS pia atakvyohukumiwa hapa kwa kutopotosha makusudi km si kujidanganya au kutojua.

BY the way siamini kwamba kuna sehemu nimesema Nyerere alijiunga na TANU...ila alikosea kuifany aiwe na sura ya kitaifa wakati ilizaliwa ktk " miba na mawe"..AA/TAA ilikuwa ya wafanyakazi ambao wengi walikuwa Dar n ailikuwa dar kihasilia....mikoani walikuwa na taasisi zao ila zilikuwa km vyama ya ushirika (KNCU/ACU/ etc) na mbio nyingi za kujenga vyama vya kisiasa.

Nilichokuwa nasema ni kwamba Nyerere angejenga Chama Nje ya Dar kwa mjumuisho wa watu wa mikoa mingine.N asi kuigeuza TAA kuwa TANU na kuipeleka Mikoani kuipa sura ya kitaifa bila kujua ni kma alikuwa anafungua branch ya kampuni aliyoifanya kuwa successful huku wanahisa wote wakiwa ni dar tuu.Na hii ndio fikra ya waislam..ndio maana chochote kisicho 100% kwao ni hasara.Leo CCM ni chama cha kiislam na kikabila..waislam wapo huru bila hata aibu kupiga vita ukristu na uchanga n akaskazini ndani ya CCM,serikali na kila mahali.Kwa vile wanajua chama na serikalini yao.
Pia alikua akimlaumu mno Mzee Marealle,yakuwa ati alikua Kibaraka wa Wakoloni.
Famili tree ya marealle ilikuwa armed na wakoloni kusaidi kupiga mangi wengine, na hata kuchaguliwa kuwa mangi mkuu ni kama Jk alivyoslove issue ya Kashilila na Mbatia...Ahmed Rashid na CUF...CCM haikutambua adhabu za hao wabunge..kwa vile walijuwa mapandiki yao yapo hatarini na wakaamua jaribu geuza game.

Wakoloni walimfanya mangi mkuu,kwa hila ili kujpa uhalali Kilimanjaro na ktl Ardhi ya mangi wengine..ni familia iliyobebwa sana..wengine wakaminywa ila kwa vile ni wapiga "Knock Outs". Si wakoloni au CCM waliweza wanyima pumzi.Sijui huko kwenu mkifanyiwa hivyo km mtapona...?Hivi kuna m.K.W..e..re au mmatumbi anayefanya kazi au biashara Mpanda au Tabora?wengi wanakimbilia mpiji na kimanzi...wanajongea ktk tanuru la pamoja wakisubiri bahati ije,kifo kitakuja.
haha...Yericko atakujibu km alivyowaza ktk hilo.
 
Teh teh..si km nakataa kuwa ktk public sphere a CDM "ILA ULICHOSEMA NI BIG LIE"..mimi ni allergic na uongo...huwa ni bora kutojibu kuliko kudanganya.sidanganyi ktk giza au ktk mwanga..mimi si "MUUMINI WA UONGO MTAKATIFU"..Mungu wetu hapendi uongo hata unaojaribu mpa sifa.Kwani hakuna sifa ya uongo ni Sifa kwa Mungu wetu,Chochote cha uongo kinamdhalilisha kwani kinamshusha..vyote vya kweli ndio sifa pekee zake.ALimtoa YESU na Si Yuda..Yuda alikwenda lipa deni la Shetani.Km walivyo wazee fulanifulani wanaofanya kazi za kudhamini watu ktk mikataba na Jehanum kwa malipo ya Ushawishi ya kupewa hishima ya dunia...Ni laana kwa nchi yetu.

Shariff Ritz anapoitwa yeye ni Kiongozi wa CCM hupenda na kufurahika mno.

Hivi unaufuatilia kweli huu mnakasha ndugu yangu!?

Natumai tanifahamu japo kiduchu.
K
umbe tunaongea na Mashariff na alhaj, na wengine?ndio maana wanapata shida kumsikia Dr.SLaa....Ndio maana pia tunapata shida kuondoa Dini humu ndani...kwa nini Ritz asipend ekujinasibu na CCM wakati anajua kuwa ni chama cha kidini ,kikanda, na kikabila.?

Ni akili mlidiwa tuu na uhitaji wenu wa msaada wa Nyerere ,hamkuweza digest kuwa ndiye rais wenu aliyefanya magumu kuwa rahisi...including ko solve matatizo yanayoanzia misikitini hadi kuchafua hali ya hewa ktk chama na serikali.
Kuhusu hiyo hoja yako yakuwa CCM hapakaliki,yawezekana ni kweli. Lakini leo mkono ukangia mavi waukata au wausafisha na kuendelea kuwa mkonowo!?
vipi ukipata Kansa?

Mkpa hana shida za namna mnayotaka tuambia hapa...JK kazidi hayo bila kuacha hazina hata na senti kwa siku mbili...sasa hivi serikali imekuwa ni "hand-to mouth", hel aikusanywe asubuhi jioni inatumwa kutumika na halmashauri ili kesho nao wakafanye manunuzi.hakuna makusanyo ya mwaka jana.

Ni huo udini wenu hadi mkamchafua mwenzenu Salim ambaye mlimpigia upatu miaka yote,ndio unawafanya mumchafue Mkapa un fairly...sasa JK anajifunua mwenyewe...tena ana bahati Mkapa hakuwa na hicho kinyongo angmwachia EL amnyofoe uenyekiti,uanachama na mwishowe urais.Mnaangalia pafupi sana....si miaka mingi sana mtaachwa tena ktk mambo mnayojifanya ni wazuri kuyapinga ...mkijaa amka wenzenu wamejizatiti...mtapeana degree feki..ili mje tengeza matakataka yanayoweka uchafu ktk jamii zenu km huu mnaoweka humu ndani.".....................Ole wao wao wanafiki...wanasafisha vikombe kwa nje huku wanaacha uchafu ndani na baadaye kunywa kilichopo ndani.........................."

Nani Kakuambia Nyerere alikuwa na shida na wanae?Kuwapitishia njia za kujituma wenyewe hakufanya kosa, wala wao hawakumuangusha.....ni vurugu za waswahili...wakifakamia na kunajisi kila kitu kwa "fikra kuwa ni zamu yao kula na si zamu yao ya kuzalisha"....kwanini wasiwapishe mjiabishe kwanza na kudhihirishia umma kuwa majukumu si karamu....kisha ndio warudi kuindeleza nchi yao Takatifu..mzee wao alitumia kili yake yote kuleta uhuru kabla ya mwaka bila kumwaga damu, wala kujenga malipizi kwa mkoloni.

Ulitaka waafanyeje..wakahubiri uislam...Wenzako ndio hivyo huwa wanawaambia "Black Americans walio wahuni n awajinga" kuwa kwanini waiingie ktk uislma wapiganie haki km wenzao mashujaa sijui akina Malcom- X, vichaa na wapuuzi walijidanganya uislam ni wa asili ya waafrica...
 
Wewe Yericko,mtoto wa nje ya ndoa/mwanaharamu unaweza vipi kunifunza mimi adabu!?

Wewe ndo ujifunze lugha njema unapozungumza na wenzio! Ok!?

Tafadhali usirudie tena kunambia niwe na adabu...hilo kwenye mila na dasturi zangu ni tusi zito mno!

Nani kakuambia kuzaliwa nje ya ndoa kunaharibu akili na utashi?Kuzaliwa nje ya ndoa kunaweza leta imani ya baba halisi ila si utu wake.By the way mtoto wa nje ya ndoa mara nyingi wana akili na utimamu kuliko uzao wa "Uzao wa Binamu nyam ya hamu".Hata wanyama hawarusiwi kuzaa na wenzao wenye ukaribu wa damu.
 
Taja kanisa limenunua ardhi Zanzibar wapi na kuwagawia watu siyo unaleta porojo tu.
Vitu vingine jifunze kusoma..nyie mnakimbilia tuu titles za propaganda mlizopangiwa...Nenda pale UDSM kaongee na historians/anthropologists/archaeologists... wakupe reference..ingia ktk achieve za catholics and anglican...nenda bagamoyo kuna museum pale.
Wafuasi wa kwanza wa kikristu walikuwa ni watumwa walionunuliwa n akuanz ajumuia ndogondogo....Sijui utapata wapi hizi series.Ila jaribu tafuta hata online.Wamissionary walikuwa sultani ana waislam wake na ktk milki yake, kitendo cha kumchukulia waumini nadhani unajua ktk uislam.Nitakuletea reference zamshamba ya waliyotumia wakristu wa mwanzo ktk kundi la watumwa, kwa hiyo wakristu wa zenj walikombolewa kwa hela na Imani.Waliotosa huo uhuru wamelaaniwa .

American Society of Missiology Series, No. 38
THE EVANGELIZATION OF SLAVES
AND CATHOLIC ORIGINS
IN EASTERN AFRICA
Paul V. Kollman

Uwe pi aunasoma na Biblia bila kutafuta mistari ya kizushi..soma Gospel moja ukiwa umetulia.Ili uweze pima mazungumzo ya watu n ayale ufudishwayo ktk dini yako..ila pia ukinogea haunyimwi kuison ahadi mwisho.
 
Asante sana mkuu,

Tusonge mbele mkuu,
Nimeweke ile historia ya Zanzibar hapo nyuma, je una la kuongeza ama kushauri mkuu?

Shusha lile darasa la ardhi nami nitalishusha hapa tuwafundishe historia hawa ndugu zetu

Tutawapa as time goes on..ila kuwasaidia waanzie hapa:Zanzibar Christians.

watakuta quote km hizi:
".............The UMCA Missionaries were not idle during this time. Living first in the Mambo Msiige House, on Shangani point, not far from the French mission, the industrious British soon launched into a
building boom of impressive size and variety. First they purchased some farm land in a suburb named Kiungani. By 1866 construction was underway there for a building to be used as a "hostel for released slave boys." Nearby a cemetery was laid out, that today still contains the remains of some of the early Christians on Zanzibar.


Next, in 1873 a second land purchase was made, this time near the center of town, almost a full city block that had been an old market square, where slaves were once sold. The call soon went out for funds to help build a church on the very site where such evil had occurred. This was the start for Christ Church Cathedral.

................."

"......................The UMCA missionaries set about filling their new properties with a variety of religious and secular buildings. At Mbweni, in 1882 they started construction of the St. John's Parrish Church. Nearby they established a village and small farm plots for ex-slaves and built the "Kilimani Little Boy's Home," later to become a girls school. Also at Mbweni they built a number of vocational workshops for training converts in useful skills and finally the St. Mark's Theological College, which later was moved to Kiungani........................."
 
Unamjuwa vizuri Andrew Nyerere?

Unazijuwa mila na desturi za Wazanaki?

Nyerere kwa Wazanaki ni nani mwenye hatimiliki kwamba fulani linamuhusu na fulani halimuhusu?

Mbona hamshangai Mbunge wenu wa viti maalum Chadema yeye ni Msukuma lakini anajiita Leticia Nyerere?

Nawatakia mjadala mwema wanahistoria.
 
Nipo Butiama sasa hivi. Naulizia kuhusu huyu Yericko,lakini bado sijampata mtu anayemfahamu. Bado naendelea kuulizia. Nimemtuma mtu afanye uchunguzi.

Haha......unadhani ukimpata itawasaidia nini hawa jamaa kw amaswali waliyo skip?
 

ok....kind of childish enough .....So jamaa alijua cha kufanya?Sasa una mshangaa nini?ulitaka afanye nini?

Hivyo ndio visa vya wanaazuoni wa ilm ya ahera..ndio visa vya kishenzi tupu....vinavyoharibu akili zao.Visa vingine kweli ni visa....vya kuletea watu shida...wakivicheka badala ya kuchelea.Kuna kingine cha solomon alikuwa na uwezo wa kusikiliza lugha ya mchwa na kusikia wakitongozana......na ahadi za dume kwa jike.....Sijui ilikuwa ina faida gani kwa binadamu na ya nini kuiweka ktk historia.....Nilicheka sana mbunge gamba alipoamua nukuu bungeni km vil eni kitu cha maana.
 

Labda tuwaite hawa ndio wanaelewana lugha na wewe, kahtaan. Nonda. Myanguneni. Ally Kombo. Gavana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…