Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

I dont know,
lakin kwa kuwa tuh Adrew kama mwanafamilia wa julius kakana katu katu kumfaham huyu mwana asie na baba basi nashawishika kusema kwamba huyu mdandia nasaba za watu ana case kubwa ya kujibu,
especially katika kutumia jina la watu kinyume na sheria pamoja na kulidhalilisha,
Ni wakati wa kumpuuza sasa kwa kila anachokisema.
Mbona jambo hili linakushughurisha sana kuliko mada inayojadiliwa? wewe binafsi unajuaje kama huyo unayemuita baba yako mzazi ndie hasa "biological father" wako? Mimi naamini msomi wa ngazi yako asingejishughurisha na nasaba ya mtoa hoja bali na hoja inayojadiliwa!
 
Mbona jambo hili linakushughurisha sana kuliko mada inayojadiliwa? wewe binafsi unajuaje kama huyo unayemuita baba yako mzazi ndie hasa "biological father" wako? Mimi naamini msomi wa ngazi yako asingejishughurisha na nasaba ya mtoa hoja bali na hoja inayojadiliwa!
mkuu umeua.pokea goodmorning yangu.
 
Jana nilipoweka hapa hostoria ya Zanzia kuanzi miaka 2000 iliyopita nilifanya hivyo kwa maksudi mazima nikidhani kuna mtu atahitaji kujua zaidi historia hiyo,

Lakini ajabu wewe uliishia kuomba source of information tu,

Nilistaajabu sana lakini nikakusihi usome na ujenge hoja kutoka kwayo,

Lakini kumbe nalikuwa nikimpigia mbuzi gitaa!


Jitulize taaaratibu bila papara wala jazba!

Rudi ukurasa wa nne kutoka hapa tulipo na kisha uisome ile historia ile, baada ya hapo njoo ukurasa wa pili tu nyuma hapo tumeeleza wazi jinsi Wakristu Wareno ilivyowalazimu kuinunua ardhi na kuwaokoa manusura wa kibantu

Tumeweka na kile ukitakacho siku zote alimaarufu kama SOURCE

Acha porojo ni rudi wapi? weka vyanzo vya habari zako unazipata wapi? Ni hayo tu.
 
Jiepushe kuweka mahubiri ya kidini hapa!

Tunajadili historia hivyo kuwa mwangalifu tunapolazimika kuhusisha dini tusije vunja kanuni za mjadala huu!

Wewe kauzu kweli mimi ndiyo naleta mijadala ya kidini? ha haa ha, unafiki kitu kibaya sana.
 
Wacha mkwara haya maneno mwambie Nicholas kamanda mwenzako.

Nimetoa rai hiyo nikitambua fika uwepo wako huku nikitambua nguvu ya kiroho iliyo moyoni mwako!

Ninakuomba ustahimili mjadala huu pasina kuruhusu nguvu yako ya kiroho ikutawale
 
MS akikimbia akimbie tuu....kwani km ameskip maswali karibu yote anategemea nini?Anataka blackmail nani sasa hapa?Unasusia mtihani ambao hujajibu hata moja kwa usahihi...tofauti na watoto wanaonadika bongo fleva halafu wazazi wao kwa misingi ya uchochoezi wa MS wanatoka povu..?Ahsante kwa mfano mzuri wa kuonyesha effects za uchochoezi wake.

Halafu acha "uongo mtakatifu"..Mungu wa kweli hakai na uchafu wowote ukiwepo uongo..ndio maana hakufany akazi ya kufake Yesu ili warumi waue mtu mwingine asiyestahili.Umejibu wapi?maswali hujajibu...na kila kilipokuambiwa urestrain bado next unapost junks nyingine.


Nini sikijui sasa?mbona yote umeyakimbia?Hujaniambia km.Wapi nimekosea..hujajibu maswali yangu uliyoingi akichwa kichwa....junks ulizoziweka nimekuonyesha wapi ni kupotoka.Ukatoa mfano wamtume ..nikakuambia kuwa muhamad hakufuata uislam alioufundisha waislam waufuate...nikakupa mfano kuwa waislam hawakuruhusiwa kuoa wajane wa Muhamad..ingawa kwa waislam wengine Baada ya eda ndoa ingine km kawa.Vipo vingi sana mtu aifanya ila si km alivyohubiri uislam wake...(Tofauti na Nyerere ambaye alihubiri ujamaa, na alikufa mjamaa peke yake~ hiyo ni highlight tuu kuwasaidia ktk kupinga mzee kuwa mtakatifu..).Mke wa Mtume aisha alichezea sana wanasesere ila waislam hawapaswi.

Suala hapa si kwamba sijui enzi ya muhamadi fatwa zilitolewa ua lah...ila kilichotolewa kwanini hakikuwa tayari ktk sheria za kiislam?Na fatwa ni mambo ambayo wanazuoni wengine wanaweza pinga...kuna tofauti ya sheria inayoruhusu sheria ndogo ndogo na Sheria ndongo ndogo zilizotungwa chini ya hiyo sheria.Yaani sheria za manispaa husika zinaweza wekwa na kutewa kila mara halmashauri zinakaa, na mara nyingine wanaweza kuja gundua kuwa sheria nyingine ni makosa.....fatwa nazo zina sura km hiyo...

moja tuu?hii hapa: Fataw
1996 fatwā


Bin Laden's 1996 fatwā is entitled "Declaration of War against the Americans Occupying the Land of the Two Holy Places". This document is sometimes called the Ladenese epistle, a term derived from bin Laden's surname. It is a long piece, and complains of American activities in numerous countries. It was faxed to supporters across the world.[SUP][4][/SUP] It first appeared in the London-based Arabic paper Al-Quds Al-Arabi.[SUP][1][/SUP]
1998 fatwā

The 1998 fatwā[SUP][2][/SUP] reached Al Quds Al Arabi by fax,[SUP][5][/SUP] and was signed by five people, four of whom represented specific Islamist groups:

  • Osama bin Laden[SUP][6][/SUP]
  • Ayman al-Zawahiri,[SUP][6][/SUP] "emir of the Jihad Group in Egypt", probably meaning Islamic Jihad
  • Ahmed Refai Taha, alias Abu Yasser, of al-Gama'a al-Islamiyya (in Egypt).[SUP][6][/SUP] This endorsement was retracted because of the enormous unpopularity of terrorism in Egypt following the Luxor massacre of tourists and Egyptians by al-Gama'a al-Islamiyya. Taha explained his signature to fellow members of the Islamic Group saying he had only been asked over the telephone to join in a statement of support for the Iraqi people.[SUP][7][/SUP]
  • Mir Hamzah"[SUP][6][/SUP]
  • Fazul Rahman, "emir of the Jihad Movement in Bangladesh",[SUP][6][/SUP] probably Harakat ul-Jihad-i-Islami/Bangladesh or HUJI-B; HUJI itself is in Pakistan.[SUP][citation needed][/SUP]
The signatories as a group were identified as the "World Islamic Front for Jihad Against Jews and Crusaders". This fatwā complains of American military presence in the Arabian Peninsula, and American support for Israel. It purports to provide religious authorization for indiscriminate killing of Americans and Jews everywhere. It appeared in February 1998 and the embassy bombings followed in August.



Bahati mbaya sana waislam wengi hujiaminisha kuwa wanajua uislam kuliko wasio waislam..wanasahau wasio waislam wapo wengi sana waujuao uislam ndio maana hawautaki hata kukaa karibu nao.

Mbaya zaidi pamoja na kutoujua bado wanapoteza muda kukimbilia Biblia.

huyu ndiye mwendawazimu wenu km kigngwala badala ya kufanya udactari hata kama alidesa na kupewa anakwenda ktk dini:Msikilize dr.Naik Zakir:

The Big Bang in the Quran? (Dr. Naik) As far as Qur’an and modern Science is concerned, in the field of ‘Astronomy’, the Scientists, the Astronomers, a few decades earlier, they described, how the universe came into existence - They call it the ‘Big Bang’. And they said… ‘Initially there was one primary nebula, which later on it separated with a Big Bang, which gave rise to Galaxies, Stars, Sun and the Earth, we live in.’ This information is given in a nutshell in the Glorious Qur’an, in Surah Ambiya, Ch. 21, Verse No. 30, which says…. (Arabic).... Do not the unbelievers see…? …. (Arabic)…. ‘That the heavens and the earth were joined together, and we clove them asunder?’ Imagine this information which we came to know recently, the Qur’an mentions 14 hundred years ago.

halfu na hizi links jinsi waislam walivyoamua kuwa so busy ktk:
Science Islam - Evolution Creation or BOTH?
Ehsan Masood: As we celebrate Darwin, let's not forget the many other unsung champions of evolution from around the world | Comment is free | guardian.co.uk
Al-Jahiz - Wikipedia, the free encyclopedia


Unasemea hii?Babylonian Talmud: Yebamoth 59
Hembu soma tena, halafu pange point zako vyema bila kuwa thisi desperate.

................Wasio Waislaam wanaujua Uislaam kuliko Waislaam !

Yaani Wasio madaktari wanajua udaktari kuliko madaktari !...........aiseeh !:heh:
 
Hivi ndugu yangu kuna mtu hapa anaepingana na wewe ambae humdarau?

Nilikuuliza kule nyuma kuwa hakuna unachotaka kujifunza katika uzi huu zaidi ya matusi, kejeri na ngano za Mohamed Said?

Hutaki kuingiza chochote kile akilini mwako zaidi ya hayo?


Kwa hali ilipofikia sasa,
anaestahili kupewa pole na kuhurumiwa ni wewe Yericko,nina safari ya kikaz kwenda bagamoyo nitapita hapo CORONATION HOUSE nikupitishie first class Cashewnuts za kuokwa ili upunguze machungu kias,
hapana magomvi,hapana chuki,
tuelezane tuh uchoche wa moh said uko wapi pia tuelezane jina hili la nyerere wewe umelipata wapi,we are brothers...
Lakin linapokuja suala la kutaka ukweli lazima tusimame kidete...
 
................Wasio Waislaam wanaujua Uislaam kuliko Waislaam !

Yaani Wasio madaktari wanajua udaktari kuliko madaktari !...........aiseeh !:heh:

Ulamaa Ally Kombo karibu sana,
Jamaa yao Maxishimba yuko wapi!?
Uchochez wameushindwa wanabadilisha kibao,tukibadilika nao wanalia na kusaga meno,
Moh Said hawataki kumpa nafasi ili asomeshe hapa wao wamekua wanamtusi na kumkejeli,
Mufilisi ni mufilisi tuh,
Mission yao imefeli natural death,ukweli umesimama na wenye kuuelewa tumeuelewa..
 
Ndugu yangu katika somo lolote mwanafunzi hufundishwa
muhimu wa mipaka.

Yaani demarcation.

Tukilichukua somo la Tanganyika na tatizo la elimu toka ukoloni
tukalileta katika Somaliland itakuwa vigumu sana kuchambua.

Huenda una nia njema ya kutaka kufahamu na mimi niko tayari
kukueleza kile ninachokijua lakini hebu jaribu kuliweka sawa hilo
swali lako.
 
Ndugu yangu katika somo lolote mwanafunzi hufundishwa
muhimu wa mipaka.

Yaani demarcation.

Tukilichukua somo la Tanganyika na tatizo la elimu toka ukoloni
tukalileta katika Somaliland itakuwa vigumu sana kuchambua.

Huenda una nia njema ya kutaka kufahamu na mimi niko tayari
kukueleza kile ninachokijua lakini hebu jaribu kuliweka sawa hilo
swali lako.

Karibu sana ndugu yangu baada ya likizo ya siku moja hapa!

Nadhani umejionea watu hawakutegemei wewe uwepo wao hapa bali wanajenga hoja na kuzijibu hoja kadiri zilivyo!

Karibu sana
 
MS akikimbia akimbie tuu....kwani km ameskip maswali karibu yote anategemea nini?Anataka blackmail nani sasa hapa?Unasusia mtihani ambao hujajibu hata moja kwa usahihi...tofauti na watoto wanaonadika bongo fleva halafu wazazi wao kwa misingi ya uchochoezi wa MS wanatoka povu..?Ahsante kwa mfano mzuri wa kuonyesha effects za uchochoezi wake.

Halafu acha "uongo mtakatifu"..Mungu wa kweli hakai na uchafu wowote ukiwepo uongo..ndio maana hakufany akazi ya kufake Yesu ili warumi waue mtu mwingine asiyestahili.Umejibu wapi?maswali hujajibu...na kila kilipokuambiwa urestrain bado next unapost junks nyingine.


Nini sikijui sasa?mbona yote umeyakimbia?Hujaniambia km.Wapi nimekosea..hujajibu maswali yangu uliyoingi akichwa kichwa....junks ulizoziweka nimekuonyesha wapi ni kupotoka.Ukatoa mfano wamtume ..nikakuambia kuwa muhamad hakufuata uislam alioufundisha waislam waufuate...nikakupa mfano kuwa waislam hawakuruhusiwa kuoa wajane wa Muhamad..ingawa kwa waislam wengine Baada ya eda ndoa ingine km kawa.Vipo vingi sana mtu aifanya ila si km alivyohubiri uislam wake...(Tofauti na Nyerere ambaye alihubiri ujamaa, na alikufa mjamaa peke yake~ hiyo ni highlight tuu kuwasaidia ktk kupinga mzee kuwa mtakatifu..).Mke wa Mtume aisha alichezea sana wanasesere ila waislam hawapaswi.

Suala hapa si kwamba sijui enzi ya muhamadi fatwa zilitolewa ua lah...ila kilichotolewa kwanini hakikuwa tayari ktk sheria za kiislam?Na fatwa ni mambo ambayo wanazuoni wengine wanaweza pinga...kuna tofauti ya sheria inayoruhusu sheria ndogo ndogo na Sheria ndongo ndogo zilizotungwa chini ya hiyo sheria.Yaani sheria za manispaa husika zinaweza wekwa na kutewa kila mara halmashauri zinakaa, na mara nyingine wanaweza kuja gundua kuwa sheria nyingine ni makosa.....fatwa nazo zina sura km hiyo...

moja tuu?hii hapa: Fataw
1996 fatwā


Bin Laden's 1996 fatwā is entitled "Declaration of War against the Americans Occupying the Land of the Two Holy Places". This document is sometimes called the Ladenese epistle, a term derived from bin Laden's surname. It is a long piece, and complains of American activities in numerous countries. It was faxed to supporters across the world.[SUP][4][/SUP] It first appeared in the London-based Arabic paper Al-Quds Al-Arabi.[SUP][1][/SUP]
1998 fatwā

The 1998 fatwā[SUP][2][/SUP] reached Al Quds Al Arabi by fax,[SUP][5][/SUP] and was signed by five people, four of whom represented specific Islamist groups:

  • Osama bin Laden[SUP][6][/SUP]
  • Ayman al-Zawahiri,[SUP][6][/SUP] "emir of the Jihad Group in Egypt", probably meaning Islamic Jihad
  • Ahmed Refai Taha, alias Abu Yasser, of al-Gama'a al-Islamiyya (in Egypt).[SUP][6][/SUP] This endorsement was retracted because of the enormous unpopularity of terrorism in Egypt following the Luxor massacre of tourists and Egyptians by al-Gama'a al-Islamiyya. Taha explained his signature to fellow members of the Islamic Group saying he had only been asked over the telephone to join in a statement of support for the Iraqi people.[SUP][7][/SUP]
  • Mir Hamzah"[SUP][6][/SUP]
  • Fazul Rahman, "emir of the Jihad Movement in Bangladesh",[SUP][6][/SUP] probably Harakat ul-Jihad-i-Islami/Bangladesh or HUJI-B; HUJI itself is in Pakistan.[SUP][citation needed][/SUP]
The signatories as a group were identified as the "World Islamic Front for Jihad Against Jews and Crusaders". This fatwā complains of American military presence in the Arabian Peninsula, and American support for Israel. It purports to provide religious authorization for indiscriminate killing of Americans and Jews everywhere. It appeared in February 1998 and the embassy bombings followed in August.



Bahati mbaya sana waislam wengi hujiaminisha kuwa wanajua uislam kuliko wasio waislam..wanasahau wasio waislam wapo wengi sana waujuao uislam ndio maana hawautaki hata kukaa karibu nao.

Mbaya zaidi pamoja na kutoujua bado wanapoteza muda kukimbilia Biblia.

huyu ndiye mwendawazimu wenu km kigngwala badala ya kufanya udactari hata kama alidesa na kupewa anakwenda ktk dini:Msikilize dr.Naik Zakir:
The Big Bang in the Quran? (Dr. Naik) As far as Qur’an and modern Science is concerned, in the field of ‘Astronomy’, the Scientists, the Astronomers, a few decades earlier, they described, how the universe came into existence - They call it the ‘Big Bang’. And they said… ‘Initially there was one primary nebula, which later on it separated with a Big Bang, which gave rise to Galaxies, Stars, Sun and the Earth, we live in.’ This information is given in a nutshell in the Glorious Qur’an, in Surah Ambiya, Ch. 21, Verse No. 30, which says…. (Arabic).... Do not the unbelievers see…? …. (Arabic)…. ‘That the heavens and the earth were joined together, and we clove them asunder?’ Imagine this information which we came to know recently, the Qur’an mentions 14 hundred years ago.

halfu na hizi links jinsi waislam walivyoamua kuwa so busy ktk:
Science Islam - Evolution Creation or BOTH?
Ehsan Masood: As we celebrate Darwin, let's not forget the many other unsung champions of evolution from around the world | Comment is free | guardian.co.uk
Al-Jahiz - Wikipedia, the free encyclopedia


Unasemea hii?Babylonian Talmud: Yebamoth 59
Hembu soma tena, halafu pange point zako vyema bila kuwa thisi desperate.



Nakujibu hapo kwenye Suratul An'biyaa Verse no 30,hujaimaliza iyo verse,

Suratul an biyaa verse no 30 inasema,

"DO NOT THE UNBELIEVERS SEE THAT THE HEAVENS AND THE EARTH WERE JOINED TOGETHER(AS ONE UNIT OF CREATION),WE CLOSE THEM ASUNDER??,WE MADE FROM WATER EVERY LIVING THING.WILL THEY NOT THEN BELIEVE??

IKAFUATIA VERSE NO 31,"AND WE SET ON THE EARTH MOUNTAINS STANDIND FIRM"

kitu unachopaswa kutambua katika qur an kila aya ina mafuhum yanayolink na aya inayofuatia katika mtiririko wa kushuka kwake au wa maudhui yake,unapojaribu kutenganisha na kuzikata ili utimize mission fulan unakua umejipotosha wewe mwenyewe,ss tunakuacha kama ulivyo,

verse no 30 ambayo hukutaka kuimalizia na explanations zake kuhusu kuumbwa kwa mwanadam na concentration kubwa ya maji ktk kuumbwa kwa viumbe kwa ujumla,

About 72percent of the earth's surface of our globe is still covered with water,and it has been estimated that if the inequalities of the surface were all levelled,the whole surface would be under the water,as the mean of elevation of landsphere-level would be 7,000 - 10,000 feet below the surface of the ocean.This shows the predominance of water on our globe.That all life began in the water is a conclusion to which our latest knowledge in biological sciences points,Apart from the fact that protoplasm,the original basis of living matter is liquid or semiliquid and in a state of constant flux and instability,there is the fact that land animals like higher vertebrates including man,show in their embryological history,organs like those of fishes,indicating the watery origin of their original habitat.The constitution of protoplasm is about 80-85percent of water,
THATS THE EXPLANATION OF THIS VERSE WHICH SAYS THAT "WE MADE FROM WATER EVERYLIVING THING,WILL THEY NOT THEN BELIEVE??

Usione watu tupo kimya ukahis hatuisomi dini yetu,au hatuifaham dini yetu,
Tunaisoma sana,tunasoma sana facts za kisayansi na jins zinavyoshahabiana na uislam wetu,na tunasoma sana jins gani wagalatia na wayahudi wanavyohangaika kujaribu kuukashifu na kuuchallange kwa namna mbali mbali na jins wanavyofeli mfano wako kama wewe,

Hatupo hapa kwenye mahubiri ya dini,lipo jukwaa lake linalohusu mambo haya,ila sasa kwa kuwa unakuja hapa kutaka kupotosha hatuwez kukaa kimya na kukuacha ukipata kiburi cha ujinga,

Uislam hautauweza,umekuta,utakufa na utaucha watu wakiendelea nao,

Ni mfumo uliokamilika kila sekta,kisheria,kiuchumi,kimahakama,kibenki,kijeshi,kiutawala just to mention few...

Kama uchochez wa moh said mmeshindwa kuuonesha mtauwezea wapi uislam??
 
Nakujibu hapo kwenye Suratul An'biyaa Verse no 30,hujaimaliza iyo verse,

Suratul an biyaa verse no 30 inasema,

"DO NOT THE UNBELIEVERS SEE THAT THE HEAVENS AND THE EARTH WERE JOINED TOGETHER(AS ONE UNIT OF CREATION),WE CLOSE THEM ASUNDER??,WE MADE FROM WATER EVERY LIVING THING.WILL THEY NOT THEN BELIEVE??

IKAFUATIA VERSE NO 31,"AND WE SET ON THE EARTH MOUNTAINS STANDIND FIRM"

kitu unachopaswa kutambua katika qur an kila aya ina mafuhum yanayolink na aya inayofuatia katika mtiririko wa kushuka kwake au wa maudhui yake,unapojaribu kutenganisha na kuzikata ili utimize mission fulan unakua umejipotosha wewe mwenyewe,ss tunakuacha kama ulivyo,

verse no 30 ambayo hukutaka kuimalizia na explanations zake kuhusu kuumbwa kwa mwanadam na concentration kubwa ya maji ktk kuumbwa kwa viumbe kwa ujumla,

About 72percent of the earth's surface of our globe is still covered with water,and it has been estimated that if the inequalities of the surface were all levelled,the whole surface would be under the water,as the mean of elevation of landsphere-level would be 7,000 - 10,000 feet below the surface of the ocean.This shows the predominance of water on our globe.That all life began in the water is a conclusion to which our latest knowledge in biological sciences points,Apart from the fact that protoplasm,the original basis of living matter is liquid or semiliquid and in a state of constant flux and instability,there is the fact that land animals like higher vertebrates including man,show in their embryological history,organs like those of fishes,indicating the watery origin of their original habitat.The constitution of protoplasm is about 80-85percent of water,
THATS THE EXPLANATION OF THIS VERSE WHICH SAYS THAT "WE MADE FROM WATER EVERYLIVING THING,WILL THEY NOT THEN BELIEVE??

Usione watu tupo kimya ukahis hatuisomi dini yetu,au hatuifaham dini yetu,
Tunaisoma sana,tunasoma sana facts za kisayansi na jins zinavyoshahabiana na uislam wetu,na tunasoma sana jins gani wagalatia na wayahudi wanavyohangaika kujaribu kuukashifu na kuuchallange kwa namna mbali mbali na jins wanavyofeli mfano wako kama wewe,

Hatupo hapa kwenye mahubiri ya dini,lipo jukwaa lake linalohusu mambo haya,ila sasa kwa kuwa unakuja hapa kutaka kupotosha hatuwez kukaa kimya na kukuacha ukipata kiburi cha ujinga,

Uislam hautauweza,umekuta,utakufa na utaucha watu wakiendelea nao,

Ni mfumo uliokamilika kila sekta,kisheria,kiuchumi,kimahakama,kibenki,kijeshi,kiutawala just to mention few...

Kama uchochez wa moh said mmeshindwa kuuonesha mtauwezea wapi uislam??

Tumeueleza kwa mapana na marefu, kama ulikuwepo tangu mwanzo bila shaka utakuwa umeona na kama hujauona hiyo ni bahati mbaya kwako mkuu!
 
Double standards to the best level tunaishuduia humu ndani,

Sisi tukiongea maneno ambayo hayawafurahishi wanatureport na tunafungiwa,

Kuna quote ya yericko humu ndani muda si mrefu akinitukana mimi na kuniita SHOGA/SI RIZIKI kisa nimemuhoji uhalali wa jina lake na jins wanafamilia ya nyerere wanavyomkana,

nimemcopy Mods Invisible na Buchanan,

Maajabu walichokifanya wao ni kuifuta,na ile comment ya matusi ya yericko pia siion,nadhan imefutwa,

Mods kwanin mna double standards??

Haina maana,haina maana hata kidogo,

Ametumia lugha za matusi kama walivyotumia wengine,aadhibiwe,na kumreport nimemreport kwenu,

Achani hizi double standards,Tunataka kuona sheria ikuchukua mkondo wake,hili ni jukwaa huru lakini,
 
Last edited by a moderator:
Miezi 6 mmeshindwa kuonesha uchochezi.Tumebaki hapa tunazungushana na hoja zile zile.
Sasa wewe Nicholas nakushauri uwe na adabu unapozugumzia Uislamu.
Fatwa kama uliyoitaja hapo juu huwezi kujua kuwa kweli imetolewa na Osama,halafu waliosaini ni wale wale walio kwenye mkanda wa kimarekani.
Kumbuka uzushi na uonevu pamoja na uadui wa Amerika kwa waislamu ndio sumu utakaoliua taifa hilo.Hivyo unapoquote vitu kama hivyo angalia sana kuchunga heshima yako.
Elewa kuwa waislamu wengi hatushughulishwi tena na uzushi kama huo wala huu wa Yerico.

Hakuna waislam walijielekeza kutoa Fatwa na atangazo la kutomtambua Osama.Osama ana millions of muslim followers wanaoswali misikitini,Tena misikiti hilihile ya orthdox Islam.

Utakaa san aili uweze tushawishi kuwa ni uzushi.
 
nicholas] Kwanza amani ya bwana iwe juu yako!
La pili nimesoma mistari kadhaa ambayo imenifanya nikuandikie huu ujumbe,
Unaonekana kuwa ni mtu mwenye jazba saaana juu ya imani yako, na hilo halikatazwi lakini ukivuka mipaka ukaanza kutoa kashfa hapo ndipo unachafua mazingira ya malumbao kabisaa na unatangasha shari na watu woote wenye imani ambayo una ikashifu,

sasa kabla ya kuendelea zaidi hebu nikuulize,
We una tatizo gani na uislamu??
Au uislamu umekufanya nini mpaka unaanza kuwaita watu wendawazimu, vichaa, wehu n.k?

Siku zote mwerevu hutoa hoja zake na kuwaachia watu wafaidike, ukiona mtu anakimbilia kuanza kashfa, ni mawili hapo:
Aidha ameshindwa hoja sasa hii inakuwa ni njia ya kujihami, au ana matatizo ya akili,

Sasa wewe unasema uislamu unaufahamu saaana,

SWALI NAKUULIZA :nini tatizo lako tukusaidie??
Ila naomba kitu kimoja tu! usinichanganyie lugha! kama unataka kutumia lugha ya wakoloni unakaribishwa,
!la unataka ktumia lugha yetu hii vilevile tutakuwa pamoja,

Onyo: Tafadhali jenga hoja na matusi waachie walevi!

pengine unge reverse hilo swali kwenda kwa waislam..uchochezi huu umetokana na dini "hujasikia mfuomo kristu?".Acha uhuni wapi nimekashfu? Hapa mjadala wameu push uwe hivyo..baada wakata ushahidi, sasa hata wewe km ungekuwa na ushahidi wa usemayo ungejika huko..Lakini mnapoona hali si shwari kwenu halafu mnaaza singizia kashfa..nyie ndio mnakuwa kashwa kwa wengine.

Lugha ipi si ni yakigeni na ipi si ya kigeni?Anyway waarabu hawakua wakoloni walikuwa watumikishaji...wao hawakufanya haya ukoloni ila unyama wa "Kitumwa".Unayo haki ya kuchukia ukoloni ukaupenda "Utumwa".
 
Double standards to the best level tunaishuduia humu ndani,

Sisi tukiongea maneno ambayo hayawafurahishi wanatureport na tunafungiwa,

Kuna quote ya yericko humu ndani muda si mrefu akinitukana mimi na kuniita SHOGA/SI RIZIKI kisa nimemuhoji uhalali wa jina lake na jins wanafamilia ya nyerere wanavyomkana,

nimemcopy Mods Invisible na Buchanan,

Maajabu walichokifanya wao ni kuifuta,na ile comment ya matusi ya yericko pia siion,nadhan imefutwa,

Mods kwanin mna double standards??

Haina maana,haina maana hata kidogo,

Ametumia lugha za matusi kama walivyotumia wengine,aadhibiwe,na kumreport nimemreport kwenu,

Achani hizi double standards,Tunataka kuona sheria ikuchukua mkondo wake,hili ni jukwaa huru lakini,
Cry baby-fight to the last drop of blood-unawaumiza vichwa mods kwa ku report trivial matters-pole sana(courtesy of Barubaru
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom