Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Ha ha haa kumbe kuna watoto rasmi na watoto ambao sio rasmi dah JF kuna mambo haya Yericko kazi kwako wewe ni rasmi au sio rasmi! usiseme nimekutukana hii ni kwa mujibu wa vyanzo vya WildCard na kuhusu Andrew Nyerere kumzungumzia mzee Mohamed Said hata neno moja , hakuna kitu kibaya kama kuchonganisha familia za watu ni bora hizi munazoziita ngano za mzee MS kuliko kusema mimi ni mtoto wa fulani na kumbe sio haya ni matusi makubwa na kwasisi watoto wa madrasa tutaamini mzee alitembea nje ya ndoa na hili jambo sio zuri.Andrew Nyerere,
Badala ya kumkana Yericko Nyerere ungemshukuru kwanza kwa namna anavyojitahidi kumlinda na kumtetea Mwalimu katika enzi hizi ambazo hata viongozi katika chama alichokiasisi yeye hakuna anayejitokeza kufanya hivo!
Nilidhani ungesema japo neno moja tu juu ya Mohamed Said, kati ya wengi humu wanaomshambulia Mwalimu kwa hadithi nyingi za kutunga ambazo zimeanza kuaminiwa na baadhi ya watu.
Watoto "rasmi" wa Mwalimu tunawafahamu. Hili lisikuhangaishe hata kidogo.