Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Andrew Nyerere,
Badala ya kumkana Yericko Nyerere ungemshukuru kwanza kwa namna anavyojitahidi kumlinda na kumtetea Mwalimu katika enzi hizi ambazo hata viongozi katika chama alichokiasisi yeye hakuna anayejitokeza kufanya hivo!

Nilidhani ungesema japo neno moja tu juu ya Mohamed Said, kati ya wengi humu wanaomshambulia Mwalimu kwa hadithi nyingi za kutunga ambazo zimeanza kuaminiwa na baadhi ya watu.

Watoto "rasmi" wa Mwalimu tunawafahamu. Hili lisikuhangaishe hata kidogo.
Ha ha haa kumbe kuna watoto rasmi na watoto ambao sio rasmi dah JF kuna mambo haya Yericko kazi kwako wewe ni rasmi au sio rasmi! usiseme nimekutukana hii ni kwa mujibu wa vyanzo vya WildCard na kuhusu Andrew Nyerere kumzungumzia mzee Mohamed Said hata neno moja , hakuna kitu kibaya kama kuchonganisha familia za watu ni bora hizi munazoziita ngano za mzee MS kuliko kusema mimi ni mtoto wa fulani na kumbe sio haya ni matusi makubwa na kwasisi watoto wa madrasa tutaamini mzee alitembea nje ya ndoa na hili jambo sio zuri.
 
Naona unampangia mtu mzima cha kusema hili akufuhishe wewe, jamaa anajiepusha na huu mjadala ni hekima kwake na familia yao. wana utaratibu maswala ya Mzee wao kuna msemaji wao Mzee Butiku.
Basi akae kimya tu badala ya kuhangaika na Yericko ambae kwa maoni yangu amesaidia sana kukiumbua kitabu cha Mohamed ambacho wengi tulikisoma na kukaa kimya tu.
 
Inaonyesha wazi kuwa hujui Fatwa inatolewa katika masuala gani:

Muislamu anaweza kumuendea Mufti yoyote na kumwambia ammpe Fatwa ili asiswali kwa siku kadhaa kwa vile tu hujisikii kuswali?

Anaweza kumwambia Mufti amtolee Fatwa ya kuwa asifunge Ramadhani kwa vile haipendezi kwake?

Anaweza kumuomba Mufti ampe Fatwa ya kwenda kulala na mwanamke mmoja aliyempenda? ...

Mfano mwingine wa kuwa Fatwa inatolewa kutokana na utayari uliopo katika Shariah;
Mtume SAW amekataza kuwaua viongozi wa Kikristo na wa Kiyahudi (hii ni katika Hadith)
Lakini kama kuna Askofu au Rabbi ameshika silaha na yeye anatuua, hapa kwa watu kama mimi tutakuwa na utata; je Askofu yule na yeye hatumuui au tunamuua?

Naomba acha uongo..ili tusiendelee bishana na waislam wenzio wakakwazika..sioni ubingwa unaoutaka hapa..Quran ina mistari iliyoshuka ktk matukio husika....na hivyo kuifany amara nyingi iwe na mistari inayogongana...kuna kuua mtu anayeacha dini, na nyingine inasema dini ni hiari, nyingine inasema dini kuwa si hiari.sitaki kukupa mistari for the sake of hisia za wenzio.
Bila shaka yoyte nitahitaji msaada wa Mufti anitolee Fatwa, na hata kama atatoa Fatwa ya kumuua basi itakuwa ni kwa Askofu yule tu (na anauliwa kwa sababu anatuua, si kwa Uaskofu), mahali pale tu mathalan Fatwa hii imetolewa Kenya siwezi nikaichukua na kuja kuitumia Tanzania,na kwa wakati ule tu ina maana kama baada ya miaka miwili tunaweka fungamano la amani kati yetu na Wakristo hii Fatwa inakuwa batili.
Baada ya Mzunguko wote huo unaona kuwa mafundisho ya asili yapo palepale.

Shida yako kubwa si nia yako bali ni logic uliyokuzwa nayo haitoshi kukusaidia wewe kuweza analyse vitu....Waislma hawana mipata ya kitaifa km unavyodhani..ndio maana wana mamluki kibao wanazunguka duniani....Wao wanamjua Khalifa ambaye wanataka atawale dunia..Osama ni mmojawapo wa believer hiyo notion...Bahati mbaya huoni hata kati yenu hata uzalendo wa nchi hauwezi wazuia desires za dini.
Hili ni tusi kwa Waislamu:
Fatwa hutolewa kutoka kwenye vyanzo ambavyo ni Wahy(revelation) Quran na Sunnah wakati sheria za manispaa zinatungwa (kama sikosei) bungeni ambapo wabunge wa aina mbalimbali huwepo na kuathiri pamoja na kushiriki katika utungwaji wa hizo sheria, ninamaanisha Wabunge na Mawaziri Mafisadi, walevi, wachawi,wevi, wasagaji, n.kNikikuambia kuwa hiyo ni Declaration of War iliyotangazwa na Amir wa Jihad na Mujahidina (kama alivyokuwa akijiona mwenyewe) na kusainiwa na Ma-Amir mbalimbali na si Fatwa iliyotolewa na Bin Laden utasemaje?
Pole sana hujapata concept km kawaida yako..Nimekuambia "Fatwa " Ni km extention ya Sheria....ndio maana ipo open...N inajadilika ktk wanazuoni...ila sidhani km mambo ya msingi ya quran wanaweza hat thubutu yafuta achilia mbali kusema hadharani nia hiyo.
Kwa sababu Amir ndiye anayeweza kuja na kusoma tangazo au kutangaza Jihad (na inawezekana tamko lake likawa lina Fatwa ndani yake)..unaweza kuiposti hiyo unayoiita wewe na mwandishi fatwa ili tuiangalie pamoja?Povu la nini?
...ulitakiwa uonyeshe huo uongo wake!Vipi umeshachanganyikiwa nini?
Uongo mtakatifu si sehemu ya imani yangu..kwa hiyo sipendi kuruka ruka ktk mistari inayotofautiana kutokana na malengo yangu.Ndio mnakifanya hap ana sehemu nyingi duniani.Wakati tamaa zenu zinataka timiza kitu fulani basi nyie mnachagua mstari mnaoupenda na kukomaa nao.Nadhani nimekupa Fatwa moja uliyoitaka.
Nilkuwa nikikuthibitishia uchawi wa Mayahudi, nyingine hiyo nikinukuu:

Pharisaic Rituals:Erubin 21b (p. 150). "Rabbi Akiba said to him, "Give me some water to wash my hands." "It will not suffice for drinking," the other complained, "will it suffice for washing your hands?"
"What can I do?' the former replied, "when for neglecting the words of the Rabbis one deserves death? It is better that I myself should die than that I transgress against the opinion of my colleagues." [This is the ritual hand washing condemned by Jesus in Matthew 15: 1-9].
Naona umejijibu....kuwa Yesu alipinga....nadhani Yesu aliyajua mafundhisho ya wayahaudi kuliko hata walimu wengi "Rabbi" wa kipindi chake.Ndio maana alipoelezea kutimiliza Torati...wengine walipata "kichaa kuwa kakufuru"..Ndipo akasema wanafanya mapokeo ya wazee wao ,ya binadamu...Wayahudi walipotoka kila mara na walirudishwa ktk mstari na manabii wao.

Sipo kutetea wayahudi..ila nakupa tuu Logic ..hata ktk mafundhisho kuna mengi yanalaumiwa wayahudi kwa kubadili sana mambo kwa kalamu zao.So usijiisahau sana huko...haitakusaidia hapa wala popote..Ni km mimi nikuletee historia ya wapagani wa Mecca walivyokuwa wakiishi na majinn ,kutoa kafara mabinti...pale al kaabah..

By the way naona umeskip tena "Issue ya Evolution na kujiingiza line kwa waislam"
 
Hivi kweli ulihitaji kumfahamu Mshume Kiyate aliyepeleka maharage na mchicha nyumbani kwa Mwalimu kule Magomeni?


Thanks Wilcard,

KAMA HUYU YERICKO SI MTOTO RASMI,KWANIN ABABEBA MIKOBA YAKE NA KUJA NAYO JF KUJIVERIFY??

HUONI KWAMBA ANATULETEA USUMBUFU MKUBWA KIAS HIKI??
 
Nilikuwa naongea na Joseph Butiku sasa hivi,na Mama Maria. Nimewauliza kuhusu huyu Yericko Nyerere. Hawamfahamu. Butiku amesema,watu wanajipa majina wanavyopenda; Adam Marwa ana mtoto wake mmoja tu,anaitwa Lumumba. Mimi[Butiku],mtoto wangu anaitwa Kaunda. Magige Nyerere ana mtoto anaitwa Moringe. Halafu Mama Maria akasema,Rose Nyerere ana mtoto anaitwa Luis Rwagasore,Mfalem wa Rwanda.
Kwa hiyo Butiku amesema huyu kijana kama angekuwa na namba ya simu,ningeweza kumtafuta,ili aweze kujieleza. Kwa hiyo nimempa Butiku namba ya simu ya Yericko Nyerere.
Heshima kwako mkubwa asante kwa ufafanuzi tunamsubiri bwana mkubwa aje alete ngano zake,huyu jamaa jinsi asivyo kuwa na soni anaweza bishana na Butiku tunasubiri majibu mkuu.
 
Nilikuwa naongea na Joseph Butiku sasa hivi,na Mama Maria. Nimewauliza kuhusu huyu Yericko Nyerere. Hawamfahamu. Butiku amesema,watu wanajipa majina wanavyopenda; Adam Marwa ana mtoto wake mmoja tu,anaitwa Lumumba. Mimi[Butiku],mtoto wangu anaitwa Kaunda. Magige Nyerere ana mtoto anaitwa Moringe. Halafu Mama Maria akasema,Rose Nyerere ana mtoto anaitwa Luis Rwagasore,Mfalem wa Rwanda.
Kwa hiyo Butiku amesema huyu kijana kama angekuwa na namba ya simu,ningeweza kumtafuta,ili aweze kujieleza. Kwa hiyo nimempa Butiku namba ya simu ya Yericko Nyerere.

Nakushukuru sana mkuu,

Nimefurahi kusikia hivyo, hii ni heshima kwangu na jf pia kwakuwa imefungua ukurasa mpya wa historia wazee wetu wanaukombozi iliyokua inaharibiwa na baadhi ya Watanzania wenzetu wasiolitakia mema taifa letu na historia yake!

Nitafurahi sana kuongea na ikiwezeka kuonana na Mzee wangu Mh Joseph Butiku!
 
Nilikuwa naongea na Joseph Butiku sasa hivi,na Mama Maria. Nimewauliza kuhusu huyu Yericko Nyerere. Hawamfahamu. Butiku amesema,watu wanajipa majina wanavyopenda; Adam Marwa ana mtoto wake mmoja tu,anaitwa Lumumba. Mimi[Butiku],mtoto wangu anaitwa Kaunda. Magige Nyerere ana mtoto anaitwa Moringe. Halafu Mama Maria akasema,Rose Nyerere ana mtoto anaitwa Luis Rwagasore,Mfalem wa Rwanda.
Kwa hiyo Butiku amesema huyu kijana kama angekuwa na namba ya simu,ningeweza kumtafuta,ili aweze kujieleza. Kwa hiyo nimempa Butiku namba ya simu ya Yericko Nyerere.
Andrew,
Jina hili Nyerere( kwa kweli ni Nyerre) sio la ukoo au familia yenu tu kule Mara.
 
The Big Show na Ritz,

Ninarudia kusema suala hilo si mahali pake hapa,

Nimetoa ufafanuzi kidogo hapo nyuma kuwa kwa yeyote anataka kunifahamu mimi kama Mods walivyonifahamu aje nilipo nimeweka kila kitu peupe mahali ninapopatikana!

Kwahali mnayokwenda nayo msije kulalamika kuwa Mods akawapa haki yenu ya likizo ya lazima!

Nawaomba zingatie sheria za jf,

Kihaiba mimi na nyinyi tunatofautia sana hapa jf,

Labda sifa za Verified member hamzijui!

Nawaomba achaneni na huo upuuzi, jadilini hoja ikiwa mnataka kukaa na kujifunza katika uzi huu!

Karibuni mihogo ya kuchoma na juisi ya parachichi hapa Posta baharini!

Acha mikwara wewe kama Mods wanafanya kazi zao kwa maagizo yako watupige ban tu wala hakuna tatizo hakuna kitu kigumu kama kusimamia haki.

Wewe umemtukana THE BIG SHOW, kuwa shoga mtoto si riziki, mods wameifuta hiyo post kimya kimya.

Haya maandiko kuhusu Nyerere baba yako umeyaandika mwenyewe toka mwanzo wa mnakasha ndiyo maana hata Mohamed Said, anakuita mtoto wa Nyerere kama ulivyojitambulisha humu ukumbini na ushahidi upo.

Hivi Mods wapo kwa ajili yetu tu humu wewe kutakana hakuna tatizo?
 
Last edited by a moderator:
The Big Show na Ritz,

Ninarudia kusema suala hilo si mahali pake hapa,

Nimetoa ufafanuzi kidogo hapo nyuma kuwa kwa yeyote anataka kunifahamu mimi kama Mods walivyonifahamu aje nilipo nimeweka kila kitu peupe mahali ninapopatikana!

Kwahali mnayokwenda nayo msije kulalamika kuwa Mods akawapa haki yenu ya likizo ya lazima!

Nawaomba zingatie sheria za jf,

Kihaiba mimi na nyinyi tunatofautia sana hapa jf,

Labda sifa za Verified member hamzijui!

Nawaomba achaneni na huo upuuzi, jadilini hoja ikiwa mnataka kukaa na kujifunza katika uzi huu!

Karibuni mihogo ya kuchoma na juisi ya parachichi hapa Posta baharini!

Acha mikwara wewe kama Mods wanafanya kazi zao kwa maagizo yako watupige ban tu wala hakuna tatizo hakuna kitu kigumu kama kusimamia haki.

Wewe umemtukana THE BIG SHOW, kuwa shoga mtoto si riziki, mods wameifuta hiyo post kimya kimya.

Haya maandiko kuhusu Nyerere baba yako umeyaandika mwenyewe toka mwanzo wa mnakasha ndiyo maana hata Mohamed Said, anakuita mtoto wa Nyerere kama ulivyojitambulisha humu ukumbini na ushahidi upo.

Hivi Mods wapo kwa ajili yetu tu humu wewe kutakana hakuna tatizo?
 
Last edited by a moderator:
Thanks Wilcard,

KAMA HUYU YERICKO SI MTOTO RASMI,KWANIN ABABEBA MIKOBA YAKE NA KUJA NAYO JF KUJIVERIFY??

HUONI KWAMBA ANATULETEA USUMBUFU MKUBWA KIAS HIKI??
Mimi nawaomba msumbuliwe na hoja zake sio jina lake. Tangu anaanza thread hii hakuna mahala Yericko amesema Mwalimu ni babayake mzazi.

Mohamed Said hana undugu wa damu na akina Sykes. Kwenye msiba wa juzi wa Ally yeye alijitwika jukumu kubwa zaidi ya wanafamilia wenyewe
 
Mkuu WildCard kwa kiasi fulani hata mimi nimeshangazwa na tabia ya ubinafsi ya Andrew Nyerere kumshambulia Yericko Nyerere Kwake yeye Andrew matusi,kashfa ,uongo,uzushi dhidi ya Mwl J K Nyerere si masuala ya msingi/muhimu.

Andrew Nyerere,
Badala ya kumkana Yericko Nyerere ungemshukuru kwanza kwa namna anavyojitahidi kumlinda na kumtetea Mwalimu katika enzi hizi ambazo hata viongozi katika chama alichokiasisi yeye hakuna anayejitokeza kufanya hivo!

Nilidhani ungesema japo neno moja tu juu ya Mohamed Said, kati ya wengi humu wanaomshambulia Mwalimu kwa hadithi nyingi za kutunga ambazo zimeanza kuaminiwa na baadhi ya watu.

Watoto "rasmi" wa Mwalimu tunawafahamu. Hili lisikuhangaishe hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa naongea na Joseph Butiku sasa hivi,na Mama Maria. Nimewauliza kuhusu huyu Yericko Nyerere. Hawamfahamu. Butiku amesema,watu wanajipa majina wanavyopenda; Adam Marwa ana mtoto wake mmoja tu,anaitwa Lumumba. Mimi[Butiku],mtoto wangu anaitwa Kaunda. Magige Nyerere ana mtoto anaitwa Moringe. Halafu Mama Maria akasema,Rose Nyerere ana mtoto anaitwa Luis Rwagasore,Mfalem wa Rwanda.
Kwa hiyo Butiku amesema huyu kijana kama angekuwa na namba ya simu,ningeweza kumtafuta,ili aweze kujieleza. Kwa hiyo nimempa Butiku namba ya simu ya Yericko Nyerere.


Shukrani sana Brother,ni ukweli usio na shaka kwamba huyu jamaa hana lolote lile,

MWALIMU NYERERE FOUNDATION HAPO KUNA MZEE WANGU,NADHAN UTAKUWA UNAMFAHAM,

YEYE YUPO BEGA KWA BEGA NA MZEE BUTIKU KATIKA MANAGEMENT YA HIYO FOUNDATION TOKEA KUANZISHWA KWAKE,
ANAITWA GALLUS ABEID,

HUYO NI MMAKONDE,NA MTU WA NYERERE WA MDA MREFU SANA,ASHAWAHI KUWA MKUU WA MKOA WA KILAMANJARO ENZI HIZO,

Nishawahi kumuuliza kuhusu hili pia kaniambia hiki kitu hakipo,na namba zake za simu ninazo na tunafanya mawasiliano mara kwa mara,

Sisi tunashukuru kwa uwepo wako hapa,
Nasisi hatupo hapa kumkejeli mwalimu nyerere ama kumdhihaki,nadhan hata wewe umeliona hilo,
Huyo Bwana mdogo alidhan anaweza kujipatia umaarufu kirahis rahis kupitia familia yenu kumbe sasa kaishia kujidhalilisha tuh,
Shukrani sana....
 
Naaaaam naaaam mkuuu!

Umelifungua baraza kimang'amuzi ya nera!

Sasa hawa maamuma tunaweza kwenda nao hatua kwa hatua na kuwasomesha vema!

Ritz, GombeSugu na wenzio ninaomba jitulizeni hapa tuwape elimu na sio ilm yenu!

Hawa watoto wa "binamu nyama ya hamu" wanayo shida ktk ubongo na Fikra....wamehami ktk matusi na shari wakidhani wanatisha watu waogope..nimewashauri wajitahidi kuondoka ktk unazi wa dini zao...ili wawe rational..Ni huo udini ndio uliwapelekea kuleta "uchochezi,dhihaka na mengine" naona wao dhihaka hata kidogo hawataki .Kumbe mkuki kwa nguruwe mtamu....

Hawajaui kazi yetu ilikuwa kuthibitisha walichokisema,kiandika ktk machapisho na kukiamini ni uongo na uzushi...wao watete..sasa wameshindwa..wameahamia ktk matusi na kujifanya victims...
 
Basi akae kimya tu badala ya kuhangaika na Yericko ambae kwa maoni yangu amesaidia sana kukiumbua kitabu cha Mohamed ambacho wengi tulikisoma na kukaa kimya tu.

WildCard,

Ungekuwa kiongozi ungekuwa dikteta yaani hautaki wengine watoe maoni yao wakae kimya wewe maoni yako ni muhimu.
 
Last edited by a moderator:
Acha mikwara wewe kama Mods wanafanya kazi zao kwa maagizo yako watupige ban tu wala hakuna tatizo hakuna kitu kigumu kama kusimamia haki.

Wewe umemtukana THE BIG SHOW, kuwa shoga mtoto si riziki, mods wameifuta hiyo post kimya kimya.

Haya maandiko kuhusu Nyerere baba yako umeyaandika mwenyewe toka mwanzo wa mnakasha ndiyo maana hata Mohamed Said, anakuita mtoto wa Nyerere kama ulivyojitambulisha humu ukumbini na ushahidi upo.

Hivi Mods wapo kwa ajili yetu tu humu wewe kutakana hakuna tatizo?
Wewe,unatumia mchina nini? mbona posting zako,zinaji duplicate sana???? omba msaada utasaidiwa-technology ya bei rahisi sio lazima ikutese,ilhali ndugu zako tupo
 
Mkuu WildCard kwa kiasi fulani hata mimi nimeshangazwa na tabia ya ubinafsi ya Andrew Nyerere kumshambulia Yericko Nyerere Kwake yeye Andrew matusi,kashfa ,uongo,uzushi dhidi ya Mwl J K Nyerere si masuala ya msingi/muhimu.

Anamshambuli kivipi??
Yeye anasema hamfaham ukitaka aseme vipi??
Hata kama mtu hamfaham yeye aseme tuh anamfaham ili afurahishe jamvi??

ANDREW NI MTU MZIMA NA AKILI ZAKE,HAWEZ KUONGEA MAMBO YA KIPUUZ NA KISHABIKI,

NA KUHUS MAANDIKO YA MOH SAID YEYE ANAJUA FIKA HAKUNA MAHALA AMBAPO NYERERE AMEKASHIFIWA WALA KUKEJELIWA,

KILICHOELEZWA NI UHALISIA TUH,FACE IT..!
 
Mimi nawaomba msumbuliwe na hoja zake sio jina lake. Tangu anaanza thread hii hakuna mahala Yericko amesema Mwalimu ni babayake mzazi.

Mohamed Said hana undugu wa damu na akina Sykes. Kwenye msiba wa juzi wa Ally yeye alijitwika jukumu kubwa zaidi ya wanafamilia wenyewe

Mkuu

Unadhani kuwa hawa hawajui wanachokifanya hapa? Wanajua fika!

Mwanzo walininukuu nilipomaanisha kwamba wanaukombozi wote ni wazazi wangu kama Mohamed Said asemavyo kwa wazee wake!

Tena nilisema hivi

"mimi Mwalimu Nyerere kama mzazi wangu ninakufahamisha..."

Sasa nukuu hiyo nimewapa ufafanuzi zaidi ya mara miamoja hapa kuwa namaanisha wanaukombozi wote ni wazazi wangu, lakini wao wamegeuza agenda yao kuu kutuondoa kwenye mjadala huu!

Wewe waache waendelee lakini sisi tupo kwenye ukweli husika
 
Ulamaa Ally Kombo karibu sana,
Jamaa yao Maxishimba yuko wapi!?
Uchochez wameushindwa wanabadilisha kibao,tukibadilika nao wanalia na kusaga meno,
Moh Said hawataki kumpa nafasi ili asomeshe hapa wao wamekua wanamtusi na kumkejeli,
Mufilisi ni mufilisi tuh,
Mission yao imefeli natural death,ukweli umesimama na wenye kuuelewa tumeuelewa..

Sikujua kweli wewe ni big show na si mtu mwenye grey matter....bato tupo well alive..nyie ndio mmekufa...kabisa.Kwa vile si tabi ayenu kuambiana mapungufu..Hata mashuleni mpo tayari kupitisha junks halafu kesho zije waongoza...ndio mnaishia kuwa na akina Ritz, MS na wengine ....Naona sasa mmeshafikia mahali mna walimu junks, mna mwanachama Junks.Mmesishia kuwa club ya "Zeroes ".

Tunawasikiliza na kuwasoma ktk show yenu.
 
Back
Top Bottom