Najua unaweza ku skip jina la kati na ukaenda la la ukoo..kama vile Benjamin Mkapa (haimaanishi kama baba yake sio William)...au Jakaya Kikwete (haimaanishi kama baba yake sio Mrisho).
Swali lilio mbele yetu...je wewe ni mtoto wa Julius Kambarage Nyerere?...
Kwemwale,
Salaam ndugu yangu. Niwie radhi naingilia hili suali lako kiduchu kwa huyu nduguyo
Yericko Kambarage.
Kwa kifupi,huyu mtoto
Yericko lazim atakua ana nia mbaya fulani moyoni mwake.
Ni yeye binafsi
Yericko ndie anaesababisha na kuendeleza hizi kashfa kwake mwenyewe na pia kwa
Wanafamilia wa Nyerere.
Kamba anayotumia
Yericko na kuwarubuni wengi hapa
jamvini na walioko nje/pembeni,ni ya kwamba yeye ndo "anamtetea"
Nyerere a.k.a "Baba wa Taifa", dhidi ya "chuki" za
Waislamu kwa Nyerere na
Ukristo!?...pure rubbish!!
Kwa kutumia mitego au maneno kama hayo ya
kichochezi mara nyingi utaweza kuwapata na kuwavuta wengi duniani kwa hisia zao!
Kwanini yeye asijibu tu hili suali kiduchu ambalo ni
closed question...je wewe
Yericko ni mtoto wa kuzaliwa na
Julius Kambarage Nyerere aliewahi kuwa
Rais wa
TANU na Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania!?...
Hata kama Mama yako sio
Mama Maria,sisi hatutojali...maana hayo itakua ni malumbano yenu ya
"kifamilia".
Hao
viwavi wanaojifanza ati kumstaajabu
Andrew Nyerere na kuanza kumkebehi,kwa kifupi wao ndo watu wa ajabu mno!
Nafikiri wanashindwa kufahamu yakuwa
Andrew Nyerere anakwenda/anafikiri beyond this silly thread/"mnakasha".
Kwasababu kama
Yericko ameweza kuja hapa
Jf na kufanza
fraudulently verification na kujifanza yeye ni "mtoto" wa
Marehemu Julius Kambarage Nyerere,which by itself can amount to
criminality...
Je kama labda itatokea siku nyingine huyo
Yericko akianza kudai wale ngo'mbe watatu pale
Butiama ambao
Mama Maria maskini alopewa na
JWTZ!?
Hapa
Andrew Nyerere,hana chuki yoyote na huyo
Yericko wao. Atamchukia vipi mtu asomjua asilan na wala hawajapata hata kukutana/kuwasiliana!? Lakini imemlazim awe
responsible na kutoa ufafanuzi.
Kwa kifupi mimi binafsi nampongeza na kumshukuru mno
Bwana Andrew Nyerere,kwa kutumia busara na hikma zake na kutufafanulia kwa hili.
Nashukuru kwa kunisikiza japo kiduchu ndugu yangu.
Ahsanta.
Cc;The Big Show, Ritz