angalia zito na uanaharakati wake, ikija dini anakuwa takataka!Mwisilamu hata akiwa professor kwenye suala la dini akili huwaruka. Wame brain washed sana na huyo Muhammad. Kipindi chao hiki
Hata mimimnapenda kusikia vya upande wa pili,Ila viwe sahihi ...Kama amefanya Utafiti ,je una Mamlaka? Ni hilo tu naikibidi 'tumpe kongole!Kubali kusikia story ya upande wa pili ili upate uhalisia.
Huenda ni kweli, maana historia ya nchi nyingi kabla na baada ya uhuru ziko twisted sana.
Kuwaje tenga?Mojawapo ya chanzo Cha matatizo katika nchi changa no ubaguzi ambao huasisiwa na wachache ,husasan Tabaka Tawala / Wassomi kwa malengo ya Kimkakati!
Nchi yetu Ina bahati kidogo ,kuwa iliwekwa msingi ya kpunguza visabqbishi ikiwemo ,ubaguzi wa kiimani,kmakabila au wa kijiografia!
Kwa kuwa tabia hizi ni za kibinadamu hazijaisha kabisa!
Kuna Mwandishi mmoja wa Historia anaitwa Mohamed Said .Mwandishi huyu no maarufu Sana kwa kuandika Historia ya Tanganyika na Zanzibar.Na kwa mujibu wake ,yeye huandika Historia ambayo anasema ..ilifichwa,makusudi .
Hapa nitatoa mifano ambayo Mwandishi huyu anaandika ambayo inaweza kuleta chuki na mtafaruku katika jamii!
Awali,amebainisha Histori ya TANU,haiwataji baadhi ya Waislam,ili kuficha jitihada za Waislam kudai Uhuru wa Tanganyika! Sijawahi kusikia au kuona hili likikanushwa!
Pili,anaandika na kusisitiza kuwa Wizara ya Elimu,imekuwa ikitumia Uwiano wa 20:80 ktk kuchagua Wanafunzi Kidato chakwanza...hapo 20 ni Waislam!
Mwisho,hivi karibuni amehoji uhalali wa Gaudensia Kabaka kuwa Mwenyekiti wa UWT CCM!,ilhali yeye, alizuia ujenzi wa msikiti na kuwanyanyasa Waislam Chuo Kikuu Cha Dodoma!Kuwa inakuwaje huyu anaioghoza Taasisi iliyoasisiwa na Waislam kina Bibi Titi!?
Bahati mbaya kwangu,sijui uhalali wa shutuma hizi.Ila ni shutuma kubwa ambazo zinalenga kupandikiza chuki!Hapa zijazungumzia mtazamo wake kuwa Nyerere alipokelewa na kutunzwa na Waislam akitokea Bara na akaja kuwa tenga!
Swali langu ni je,inakuwaje wauhusika wanafumbia macho uandishi huu! Kukaa kimya ni kumpa kibali na wasomaji wake tumuamini!
Madhara yake ni makubwa!
Tafadhalini wahusika Serikali,CCM msiache kulizungumzia makala hizi ambazo Mimi huzisoma hapa Jamii Forum!
Kwani kiandika ni mpaka awe na mamlaka?Hata mimimnapenda kusikia vya upande wa pili,Ila viwe sahihi ...Kama amefanya Utafiti ,je una Mamlaka? Ni hilo tu naikibidi 'tumpe kongole!
Ni mdini sana au ni muislamu sana?Kwani kiandika ni mpaka awe na mamlaka?
Hata ww ukitaka fanya utafiti wako kisha uje na majibu yako.
Yule mzee anachoniudhi ni mdini sana.
Ahsante Mkuu kumbe unajua kuwa fb kuna utoto,huu utoto pia um3hamia JF ! sentensi yako hii n kielelezo tosha!kwa taarifa yako JF walimpa tuzo ya heshima, kama unateseka na uandishi wa mwamed hamia fb nzi wewe...
Sikumaanisha Mamalaka unayoijua wewe...Kuna maandishi ukiyaandike n lazima yahalalishwe ,hususan utafiti!Kwani kiandika ni mpaka awe na mamlaka?
Hata ww ukitaka fanya utafiti wako kisha uje na majibu yako.
Yule mzee anachoniudhi ni mdini sana.
Yupo sahihi kwa lipi,20:80,Kwa Kabaka au Waislamkutenhwa na Historia?!Zamani nilimpinga sababu ya ujinga wangu, nilivyochunguza historia kwa undani niligundua yuko sahihi. Wewe kama una historia ya wakristo walioshiriki weka hapa.
Ila sababu mojawapo kubwa ya waislam kushiriki ni sababu uislam uliwekwa kando wakati wa ukoloni wa muingereza. Hiyo ni moja ya sababu kuu sana.
Yuko sahihi na nimejifunza mengi sana
kawaida kitu kinachopuuzwa hupotea kimya kimya. mi kwa upande wangu nadhan ccm wako sahh kumpuuza. hawa waswahil ni watu flan wamechanganyikiwa na life baada ya asilimia 85 kununuliwa nyumba zao hapa mjin. wamejikuta wako nje ya mfumo waliouzoea weng wapo huko nje ya mji. wamefeli wamebaki kuilaum serikal kwa maanguko yao wenyewe. na wasipokubal kutembea na mabadiliko ya dunia watajikuta watwana wa waarabu maisha yao yote. ukifuatilia hz hadith zake ni zile zile za waswahl kuanzia kilifi kenya mpaka kilwa huko. wanachojua ni kuhadithia ngano za kale ambazo hazibadili mlo mezani. nachoweza kuwashauri hawa ndugu zetu watambue wakat na dunia waliopo wanapoteza muda zaid. watarithisha watoto stor. kwanin wanashindwa na jamii ya kiarabu.Mojawapo ya chanzo Cha matatizo katika nchi changa no ubaguzi ambao huasisiwa na wachache ,husasan Tabaka Tawala / Wassomi kwa malengo ya Kimkakati!
Nchi yetu Ina bahati kidogo ,kuwa iliwekwa msingi ya kpunguza visabqbishi ikiwemo ,ubaguzi wa kiimani,kmakabila au wa kijiografia!
Kwa kuwa tabia hizi ni za kibinadamu hazijaisha kabisa!
Kuna Mwandishi mmoja wa Historia anaitwa Mohamed Said .Mwandishi huyu no maarufu Sana kwa kuandika Historia ya Tanganyika na Zanzibar.Na kwa mujibu wake ,yeye huandika Historia ambayo anasema ..ilifichwa,makusudi .
Hapa nitatoa mifano ambayo Mwandishi huyu anaandika ambayo inaweza kuleta chuki na mtafaruku katika jamii!
Awali,amebainisha Histori ya TANU,haiwataji baadhi ya Waislam,ili kuficha jitihada za Waislam kudai Uhuru wa Tanganyika! Sijawahi kusikia au kuona hili likikanushwa!
Pili,anaandika na kusisitiza kuwa Wizara ya Elimu,imekuwa ikitumia Uwiano wa 20:80 ktk kuchagua Wanafunzi Kidato chakwanza...hapo 20 ni Waislam!
Mwisho,hivi karibuni amehoji uhalali wa Gaudensia Kabaka kuwa Mwenyekiti wa UWT CCM!,ilhali yeye, alizuia ujenzi wa msikiti na kuwanyanyasa Waislam Chuo Kikuu Cha Dodoma!Kuwa inakuwaje huyu anaioghoza Taasisi iliyoasisiwa na Waislam kina Bibi Titi!?
Bahati mbaya kwangu,sijui uhalali wa shutuma hizi.Ila ni shutuma kubwa ambazo zinalenga kupandikiza chuki!Hapa zijazungumzia mtazamo wake kuwa Nyerere alipokelewa na kutunzwa na Waislam akitokea Bara na akaja kuwa tenga!
Swali langu ni je,inakuwaje wauhusika wanafumbia macho uandishi huu! Kukaa kimya ni kumpa kibali na wasomaji wake tumuamini!
Madhara yake ni makubwa!
Tafadhalini wahusika Serikali,CCM msiache kulizungumzia makala hizi ambazo Mimi huzisoma hapa Jamii Forum!
Unadhani CCM wana muda na mtu ambaye hana madhara yake ukiachia mbali kutoamini kwenye agenda yake ya udini, ukoo na ukabila? Wakimuandama watampandisha chati bure. Naungana na msimamo wake wa kumuacha aandike atakacho ilmradi havunji sheria. Jamani mpeni haki yake. Ana uhuru wa kutoa maoni yake kama mtanzania mwingine. Kama akina Msiba wa Musiba waliachiwa yeye ana kosa gani kaka yangu na mwanangu?Mojawapo ya chanzo Cha matatizo katika nchi changa no ubaguzi ambao huasisiwa na wachache ,husasan Tabaka Tawala / Wassomi kwa malengo ya Kimkakati!
Nchi yetu Ina bahati kidogo ,kuwa iliwekwa msingi ya kpunguza visabqbishi ikiwemo ,ubaguzi wa kiimani,kmakabila au wa kijiografia!
Kwa kuwa tabia hizi ni za kibinadamu hazijaisha kabisa!
Kuna Mwandishi mmoja wa Historia anaitwa Mohamed Said .Mwandishi huyu no maarufu Sana kwa kuandika Historia ya Tanganyika na Zanzibar.Na kwa mujibu wake ,yeye huandika Historia ambayo anasema ..ilifichwa,makusudi .
Hapa nitatoa mifano ambayo Mwandishi huyu anaandika ambayo inaweza kuleta chuki na mtafaruku katika jamii!
Awali,amebainisha Histori ya TANU,haiwataji baadhi ya Waislam,ili kuficha jitihada za Waislam kudai Uhuru wa Tanganyika! Sijawahi kusikia au kuona hili likikanushwa!
Pili,anaandika na kusisitiza kuwa Wizara ya Elimu,imekuwa ikitumia Uwiano wa 20:80 ktk kuchagua Wanafunzi Kidato chakwanza...hapo 20 ni Waislam!
Mwisho,hivi karibuni amehoji uhalali wa Gaudensia Kabaka kuwa Mwenyekiti wa UWT CCM!,ilhali yeye, alizuia ujenzi wa msikiti na kuwanyanyasa Waislam Chuo Kikuu Cha Dodoma!Kuwa inakuwaje huyu anaioghoza Taasisi iliyoasisiwa na Waislam kina Bibi Titi!?
Bahati mbaya kwangu,sijui uhalali wa shutuma hizi.Ila ni shutuma kubwa ambazo zinalenga kupandikiza chuki!Hapa zijazungumzia mtazamo wake kuwa Nyerere alipokelewa na kutunzwa na Waislam akitokea Bara na akaja kuwa tenga!
Swali langu ni je,inakuwaje wauhusika wanafumbia macho uandishi huu! Kukaa kimya ni kumpa kibali na wasomaji wake tumuamini!
Madhara yake ni makubwa!
Tafadhalini wahusika Serikali,CCM msiache kulizungumzia makala hizi ambazo Mimi huzisoma hapa Jamii Forum!
Ingekuwaje shutuma hizo akazitoa Tundu Lissu!Unadhani CCM wana muda na mtu ambaye hana madhara yake ukiachia mbali kutoamini kwenye agenda yake ya udini, ukoo na ukabila? Wakimuandama watampandisha chati bure. Naungana na msimamo wake wa kumuacha aandike atakacho ilmradi havunji sheria. Jamani mpeni haki yake. Ana uhuru wa kutoa maoni yake kama mtanzania mwingine. Kama akina Msiba wa Musiba waliachiwa yeye ana kosa gani kaka yangu na mwanangu?
Kwahiyo 20:80 ni nini mbona huwa anaiongea kwa kuimung'unya mung'unya.Zamani nilimpinga sababu ya ujinga wangu, nilivyochunguza historia kwa undani niligundua yuko sahihi. Wewe kama una historia ya wakristo walioshiriki weka hapa.
Ila sababu mojawapo kubwa ya waislam kushiriki ni sababu uislam uliwekwa kando wakati wa ukoloni wa muingereza. Hiyo ni moja ya sababu kuu sana.
Yuko sahihi na nimejifunza mengi sana
Mkuu Nyakageni , huyu ndugu Mohamed Said ni mwanahistoria mzuri na hilo nakubaliana nawe na yeye pia.Zamani nilimpinga sababu ya ujinga wangu, nilivyochunguza historia kwa undani niligundua yuko sahihi. Wewe kama una historia ya wakristo walioshiriki weka hapa.
Ila sababu mojawapo kubwa ya waislam kushiriki ni sababu uislam uliwekwa kando wakati wa ukoloni wa muingereza. Hiyo ni moja ya sababu kuu sana.
Yuko sahihi na nimejifunza mengi sana