Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Sasa nimeelewa kwa nini mtu mzima bado unanyonya vidole.

Utachaguliwaje Katibu wa tawi wa chama fulani bila kuwa mwanachama? Nyerere alikuwa Katibu si tu Makerere bali hata alipokuwa tayari Mwalimu Tabora kabla ya kwenda Scotland na kuja Dar. Unataka kusema wakati wote huo hakuwa mwanachama? Unataka kuniambia kuwa hao wazee wake Mohamed walivutiwa na charisma yake tu katika muda mfupi wa mwaka mmoja kiasi cha kumpa urais wa chama chao? Nyerere alianza harakati muda mrefu na aliisha kuja Dar kuhudhuria kikao cha chama chake cha TAA kabla ya kuondoka kwenda ulaya. Bila shaka waliishapata habari zake na walipomjua kwa karibu zaidi ndio wakaamua kuwa anafaa kuwaongoza.

Jifunze kufikiria mwenyewe.

Amandla.......
 
THE BIG SHOW, Ritz, Mohamed Said, Jasusi, Mzee Mwanakijiji, Pasco, Yericko Nyerere,

..TIME OUT!!!

..hebu tulizaneni kwanza.

..its about time mtu akiongea kitu analeta na ushahidi kusimamia madai yake.

..mimi naomba tuletewe orodha ya wananchi waliopewa nishani na wakati Mwalimu anangatuka.

..particularly, naomba nimuombe Mzee Mohamed Said atuletee citation ya nishani aliyopewa Dossa Azizi.

..pia atueleze tukio zima lilikuwaje; Je, Mwalimu alizungumza chochote hapo Ikulu?

..zaidi, katika waasisi wale 14/17 wa Tanu ni wangapi walipewa nishani kabla ya Dossa Azizi.

..mwisho, naomba tupatiwe hotuba nzima aliyotoa Mwalimu kwa wazee wa D'Salaam.

..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nguruvi3, kiukweli namheshimu sana Maalim Mohamed Said kwa kuwa ni great "orator" ila siku zote nimekuwa nikumuita ni "a man with a mission", tukishaisikia audio, kama ni kweli Nyerere aliyatamka maneno hayo, then nitaamini moja kwa moja kuwa MS had ill motives na nikamshauri kama aliteleza, atubu akingali hai kwa kitendo sio tuu cha kumzushia marehemu, bali kumsingizia uwongo, ni dhambi kubwa hapa dunuani na ahera!.

Kwa vile kitabu kiko published kwa miaka 15 sasa na kinasomwa kote, its about time ukweli halisi uandikiwe kitabu na kum denounce rasm Maalim Mahamed Said kama muongo, mzushi na mpotoshaji!, na hiyo truth ipelekwe kule kule alikopeleka uwongo na uzushi wake ili uwe scraped off toka katika literacy books!.
Pasco.
 
Naomba bwana saidi usome hiki kitabu,


Between Social Skills and Marketable Skills : the Politics of Islamic Education in 20th Century Zanzibar
Loimeier, Roman
The present volume examines the development of Muslim traditions of reform in pre-colonial and colonial Zanzibar, focussing on patterns of cooperation between religious scholars and the British colonial state and highlights the effects of the Zanzibar revolution of 1964 on the development of Islamic education and Islamic traditions of learning in Zanzibar until today.
[TABLE="class: fullrecord-details, width: 776"]
[TR]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Title:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Between Social Skills and Marketable Skills : the Politics ofIslamic Education in 20th Century Zanzibar[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Print ISBN:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]9789004175426[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Author(s):[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Loimeier, Roman[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]eISBN:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]9789047428862[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Publisher:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]BRILL[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Dewey:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]371.077[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Series:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Islam in Africa[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Publication Date:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]02 Jun, 2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Pages:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]676[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Category:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Education[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]LCCN:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]LC911.Z36 L65 2009[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]Language:[/TD]
[TD="bgcolor: #F4F9FF"]English[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


CONTENTS

LIST OF ILLUSTRATIONS

A NOTE ON TRANSLITERATION

A NOTE ON MY PARTNERS IN CONVERSATION

A NOTE ON THE RESEARCH CONTEXT

ABBREVIATIONS

GLOSSARY

MAPS

FOREWORD - FALLING IN LOVE WITH ZANZIBAR

CHAPTER ONE - INTRODUCTION THE NEGOTIATION OF I SLAM IN AFRICA

CHAPTER TWO - ZANZIBAR: THE HISTORICAL SETTING

CHAPTER THREE - TRADITIONS OF REFORM, REFORMS OF TRADITION

CHAPTER FOUR - ISLAMIC EDUCATION IN ZANZIBAR: THE DEVELOPMENT OF THE CANON

CHAPTER FIVE - THE POLITICS OF EDUCATION IN THE COLONIAL PERIOD I: SCHOOLS

CHAPTER SIX - THE POLITICS OF EDUCATION IN THE COLONIAL PERIOD II: SYLLABUSES AND LANGUAGES

CHAPTER SEVEN - THE POLITICS OF EDUCATION IN THE COLONIAL PERIOD III: TEACHERS

CHAPTER EIGHT - THE MUSLIM ACADEMY

CHAPTER NINE - THE POLITICS OF ISLAMIC EDUCATION IN REVOLUTIONARY ZANZIBAR

CHAPTER TEN - CONCLUSION: THE LEGACY OF ISLAMIC EDUCATION IN ZANZIBAR

APPENDIX

BIOGRAPHICAL DICTIONARY

SOURCES

INDEX








 

Kuna Mohamed Said wawili. Yule aliyeandika kitabu kuhusu wakina Sykes na huyo anayeandika articles katika vijarida vya kiislamu, kutoa mihadhara kwa waislamu na kuchangia humu. Wa kwanza ni hatari lakini si kama wa pili. Kwenye kitabu chenye pretensions ya scholarly work asingeweza kukataa kata kata mchango wa wamisheni katika harakati za ukombozi wetu. Alichokifanya kule ni kujaribu kuwafanya kama machale wa mastelin wakiislamu. Huyo wa pili ni hatari mno na ndie anastahili kupingwa kwa nguvu zote. Huyo anakawaida ya kukataa kata kata mchango wa wamisheni. Akibanwa ( anapokosea na kudhani JF ni sehemu ya mhadhara) ndipo anapojitetea kuwa katika kitabu chake AMEWATAJA wakina Kyaruzi. Huyo ndiye anadai kuna conspiracy kubwa dhidi ya waislamu, akisahau kuwa alisoma katika shule zilizotaifishwa na mwalimu ili sote tusome pamoja bila ubaguzi wa aina yeyote. Huyo ndiye anamshutumu Mwalimu kwa kufa EAMWS akificha kuwa ilikufa kwa sababu waswahili waislamu hawakuwaamini waislamu wa rangi tofauti hasa mfadhili mkuu wa EAMWS, Aga Khan. Huyu ndiye anayesema bila uoga kuwa kwake yeye uislamu ndio una trump kila kitu. Kwake yeye Muiran muislam mpakistan ana undugu zaidi kwake kuliko mmanyema mmisheni! Huyu ndiye anayewaambia vijana wakiislamu kuwa kufeli kwao ni kutokana na dhulma na mpango kabambe uliowekwa na wakristu kuwafelisha waislamu. Ni huyu anayemhukumu Nyerere kwa kuwadhulumu Chuo Kikuu chao akisahau kuwa ni wazee wakiislamu ndio waliokihujumu na walipopata nafasi wakakiuza. Huyu ni hatari na sisi tunatambua hilo.

Amandla....
 
TBC ambayo ilikuwa RTD wana audio. Ingepatikana tungesikia wapi Nyerere alisema hamjui Abdul Sykes.
Tungesikia kutoka katika mdomo wake ''jinsi alivyowachukia waislam''.
Kasingiziwa sana mzee wa watu hata kwa yale asiyohusika nayo.

Huu utamaduni wa kusubiri jina lifuatiwe na R.I.P ndio waandishi wanukuu habari zao sio tu unakosa maana ya uandishi bali ni dhwambi kubwa mbele ya Mwenyezi mungu.
Mwaka jana Mzee Kyaruzi kaondoka hakuhojiwa, Kawawa kaondoka hakuhojiwa n.k. n.k.

Pasco, mission ni kujenga uhalali wa kupigania uhuru halafu kuchomeka jinsi jamii ilivyopokwa uhuru, kuingiza madai yanayokusudiwa na hata kulivuruga taifa.

Mkapa alishinda kwa asilimia 78, Kikwete 80 halafu 60. Bado kuna mtu anatuaminisha kuwa Rais wa Tanzania anaweza kupatikana kwa dini moja.

Lakini lazima tujiulize hivi kweli 2013 na matatizo tuliyo nayo bado kuna wenzetu wanaamini kuwa kiongozi anapatika kwa kuvaa baraghashia au msalaba. Real! kwamba ukienda dukani ukakuta inflation 20% basi utapata unafuu kama rais ni wa dini fulani.

Ya kwamba, mafisadi na wezi wa rasilimali za taifa unafanywa na kuathiri watu wasio na rais madarakani.
This kind of mentality is Libertine, anathema, ditasteful and myopic hence need not be condoned but condemned.
 


ni tabu sana kujaribu kuzungumza na mtu ambae tayari keshachagua upande wake pasi na hoja maridhawa za kuutetea uapnde huo,ni tabu sana,na nashangaa sana kwa nini hoja hii inapindishwa pindishwa ili kujenga taswira ya chuki,historia ya watu waliojitolea kwenye nchi hii utake usitake lazimaukubali ya kwamba ilififishwa kama sio kuzikwa moja kwa moja,na ukweli huu lazima usemwe kama livyofanya ndugu yetu moh said ili kizazi kijacho kisimeze upotofu,unamjua vizur abdulwahiid sykes na mchango wake au unaleta tu ukaidi?na kama si watu kufanya juhudi zao za dhati ungemfahamia wapi kwa undani wake?..

If you want to know the historical background of abdulwahid sykes dont rush,stay focused and read,as you have been told in the book of the life and times of abdulsykes(1924-1968),abdu and his brother ally were the sons of kleist sykes,who was born of a zulu father and nyaturu mother in pangani 1894,his father sykes mbuwane and godfather effendi plantan were a part of a mercenary force warriors recruited from mozambique to fight imposition of germany colonialism in tanganyika.,just to mention few,.
Now tel me,where can you go to explore such kind of historical background?kivukoni??

mjifunze adabu na kuchunga ndimi zenu,mshukuru kuyapata haya maarifa ya bure bure pasi na tozo ya aina yoyote ile ya kuzidi.
 
What are you trying to say?
 

To be in DENIAL is to assert that a statement or
allegation is not true. It is
a psychological defense mechanism in which a person is faced with a fact that is TOO UNCOMFORTABLE to accept and rejects it instead, insisting that it is not
true despite what may be overwhelming evidence . A person in denial may use:

simple denial : deny the reality of the unpleasant fact altogether

minimisation : admit the fact but deny its seriousness

projection : admit both the fact and seriousness but deny responsibility by blaming somebody or something else.
 
Ingekuwa vizuri kama kuna mtu anayo video clip ya hotuba hiyo ya Nyerere... Inasemekana imechakachuliwa.

Ritz,
Unaweza kutumia maarifa na influence yako utupatie ile tape pale Radio Tanzania. Sijui kama kuna video yake. Ningekuwa Dar ningeweza kuipata mara moja.
 
Mkuu Fundi Mchundo, aliyeandika kitabu ndiye huyu tuliyenae humu and I don't doubt him, he is the one unless ni imposter!.
Pasco.
 
Nilikuwa na maana ni huyu huyu lakini ana sura mbili. Moja anaionyesha kwenye kitabu na nyingine ndio hii tunayovutana nayo.

Amandla.....

Anatumia mda mwingi sana kupigania maslahi yake kwakuwadhihaki viongozi wetu wa ukombozi wa nchi hii
 
Mkuu Fundi Mchundo, aliyeandika kitabu ndiye huyu tuliyenae humu and I don't doubt him, he is the one unless ni imposter!.
Pasco.

Mohamed Said aliyeandika kitabu ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...'' ndiyo mimi
niliye humu JF na ndiye mimi ninaehadhir katika misikiti.

Kama una wasiwasi unaweza ukauliza kwa watu hapa Dar es Salaam.
Dar es Salaam ni kwetu na wengi wananifahamu toka utoto wangu.
 
Anatumia mda mwingi sana kupigania maslahi yake kwakuwadhihaki viongozi wetu wa ukombozi wa nchi hii

Hapana sifanyi dhihaka.
Niko ''serious'' katika kuandika na kufundisha.

Naamini katika maandishi yangu ambayo nimekuwekeeni hapa ukumbini.
Kwa hakika sifanyi maskhara.
 

Nimesoma fikra zako.
Una haki ya kufikiri hivyo.

Lakini na sisi Waislam tuna maelezo yetu ya kipi kilitokea hadi EAMWS ikavunjwa.
Nasi tuna haki ya kusikizwa:

...Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam. Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects. First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam. The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa. The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]

(Kutoka ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...'')

[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).
[2]Ibid. p 37.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…