Warioba E. W
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 163
- 64
JF ni shule tosha, nilipigiwa simu kuufwatilia huu mjadala. Umenifanya nijiunge kuwa member Jf.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaukumbi neno "ngano" lina maana gani.
JF ni shule tosha, nilipigiwa simu kuufwatilia huu mjadala. Umenifanya nijiunge kuwa member Jf.
JF ni shule tosha, nilipigiwa simu kuufwatilia huu mjadala. Umenifanya nijiunge kuwa member Jf.
Ndiyo haya nisemayo tufanye staha na mijadala ya busara na adabu kiasi iwavute watu kuja kusoma humu.
Ikiwa mijadala yetu ni ghadhabu, kejeli na matusi hakuna atakaetaka kubisha hodi humu.
Karibu sana mkuu, tunajaribu kudurufu na kuhuisha historia ya uhuru wa Tanganyika
kweli kabisa mzee wangu, kwa leo mimi naomba kuwa msikilizaji/msomaji.
Mohamed Said,Itakuwa vizuri kama tunaweza kupata hiyo barua ambayo Nyerere aliliandikia Kanisa. Katika kitabu changu niemandika maneno haya yafuatayo kueleza mambo yalivyokuwa:
''...baada ya kupatikana kwa uhuru, ile nguvu ya Waislam iliyotumika kupambana na Waingereza kuleta uhuru, ikaonekana haina maana yoyote na haifai kitu tena. Kuvunjwa kwa Baraza la Wazee ndiyo ilikuwa kishiko cha mwisho cha Waislam katika TANU.
Baada ya hapo Kanisa lililokuwa pembeni wakati wa kudai uhuru sasa likajitokeza waziwazi kuwapiga vita Waislam katika TANU.
Katika kitendo ambacho kanisa halikupata kufanya, Kanisa Katoliki Bukoba liliteua wagombea wake wenyewe wapambane wa wagombea Waislam walioteuliwa na TANU kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kanisa lilisema limeweka wagombea wake binafsi kwa kuwa wana elimu kupita wagombea wa TANU Waislam.
Kampeni kama hii ilifanyika vilevile Kigoma. Hakuna ushahidi wowote unaoonyesha kuwa Nyerere, serikali au TANU yenyewe ilichukua hatua zozote dhidi ya Kanisa kwa kuchanganya ''dini na siasa.''
Yericko Nyerere,
1} Mzee wako alipokuwa hai alikuelezea chochote kuhusu wazee wa kariakoo katika harakati za kutafuta uhuru.
2} Tupe ushahidi kuwa Chifu Maliale ndiyo aliyetoa pesa za kumpeleka Mwalimu Nyerere UN.
3} Kabla Mwalimu Nyerere ajafariki ameishawahi kuuwambia ni nani aliyekuwa rafiki yake kipenzi wakati yupo TANU.
Karibu sana, tata. Karibu JFJF ni shule tosha, nilipigiwa simu kuufwatilia huu mjadala. Umenifanya nijiunge kuwa member Jf.
jokaKuu,Mohamed Said,
..kuna mwana JF mwenzetu Companero anasema hiyo barua inapatikana kwenye index ya kitabu cha Van Bergen.
Yericko asante kwa darasa; keep it up.
Mohamed Said,
..kuna mwana JF mwenzetu Companero anasema hiyo barua inapatikana kwenye index ya kitabu cha Van Bergen.
Pamoja sana mkuu!
Yericko asante kwa darasa; keep it up.
