Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

tafuta fursa nyingine ya kunijua mkuu, kwa hapa si mahali pake,

nitafute kwa njia nyingine tuonane ana kwa ana kisha utanijua na utaridhika mkuu!

Naishi kigamboni,

ofisi yangu ipo mtaa wa samora posta,

namba yangu ya simu +255715865544

karibu sana ndugu jisikie huru!

sihitaji kukujua personally,,!

Ukumbi huu unahitaji kukujua wewe kiunaga ubaga kama vile mwenzio moh said alivokuja hapa huku akiwa amejiverify na kutuelezea kwa ufupi kuhusu yeye na uhalisia wake.
Kunieleza mimi pekee haitoshi,elezea ukumbi huu wajue,kama kuna walakini futa jina hilo,ongea na mods waondoe jina hilo kwenye bandiko la jina lako hapo mwishoni,kisha ujiskie aibu kwa hilo,na uombe radhi kwa wanaukumbi kwa uwongo wako wa kujihusisha na familia ya nyerere hali ya kuwa haipo ivo,
ama la ujuze ukumbi huu wewe una mahusiano gani na julius nyerere,,full stop..!
 
Sijasema kuwa kubuni ni kuasisi! Ila kusema kuwa HATA JINA NIMELIKUTA LIMESHABUNIWA kuna maanisha kuwa hata kitu cha mwisho kama jina vilikuwa tayari vimeshatayarishwa!

Kama mnataka kuwaenzi wapigania uhuru basi nyerere aitwe kwa jina linalomstahiki kiufupi lsiwe muasisi (senksi jokakuu kwa hotuba) maana yake kama ingeletwa na M.Said kungekuwa na ulau wa kila aina.
Nipe sifa angalau mbilitatu zinazomfanya mtu aitwe MUASISI. Za kwangu ni hizi:
-Unakuwepo na unashiriki kikamilifu kukianzisha kitu;
-Unatambuliwa na wenzako wote mnaoanzisha kitu hicho;
-Unakuwa ni kati ya WANACHAMA wa MWANZO kabisa;
-Unachagua au kuchaguliwa katika UONGOZI wa MWANZO kabisa;
Yote haya Mwalimu anayo kuihusu TANU. Mwalimu sio muasisi wa AA au TAA. Mwalimu ni muasisi wa taifa linaloitwa TANZANIA. Hivyo ndivyo ninavyoelewa mimi. Mwenzetu tuambie sifa za mtu kuwa kuwa muasisi.
 
Hapa tunajadili historia iliyofichwa kuhusu harakati za Waislam dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika.

Sasa wewe kwa ukereketwa wa Ukiristu wako roho inakuuma sana kusikia habari za wazee wa hawa kuwa mvumilivu tu huo ndiyo ukweli au wewe unapinga hawa wazee hawakupigania huu wa Tanganyika. Mohamed Said kafungua mlango kaandika kitabu.

Ni zamu yako na wewe ambae unasema Waislam wanalalamika kuandika kitabu tena wewe unajitapa msomi utajenga hoja nzuri kukifunika kabisa kitabu cha Mohamed Said.

Kitabu ninachoweza kuandika mimi ni kuhusiana na ufisadi wa maliasili unaofanyika nchini, chini ya mwamvuli wa chama chako. Hicho ndicho kinachonikereketa zaidi, ndicho kinachooweza kuwasaidia watoto na wajukuu wangu. Sina shida, hata kama walioleta uhuru ni waislam tu na wengine hawakushiriki.

La muhimu kwangu ni huo uhuru unanisaidia nini? Uhuru una maana gani kama maana yake ni kumuondoa mzungu na kumuweka mwafrika anayeshirikiana na wazungu(wawekezaji) kuninyonya? Kumbe ni heri niwe na mzungu-nitanyonywa mara moja, kuliko kunyonywa na wote wawili-mzungu na ndugu yangu mwenye ngozi nyeusi kama mimi.

Kama kweli nyie watu wa dar mna damu ya waasisi wa taifa hili, basi tushirikiane kupata uhuru wa mara ya 2. La sivyo, habari ya wazee wa dar ni porojo tu maana mazingira ya dar ya leo hayana tofauti na yalivyokuwa wakati wa ukoloni, ukilinganisha na mikoani. Leo, watu wa dar ni waoga kushiriki harakati kama za arusha na mbeya kwa sababu wako karibu na watawala-hivyo nao wanajiona watawala. Hata wazee wa dar walikuwa na priviledge kuliko wa mikoani. Hawa wa dar walikuwa wasaidizi wa mkoloni, waliajiriwa na mkoloni-leo eti ndio walioongoza mapambano!
 
sihitaji kukujua personally,,!

Ukumbi huu unahitaji kukujua wewe kiunaga ubaga kama vile mwenzio moh said alivokuja hapa huku akiwa amejiverify na kutuelezea kwa ufupi kuhusu yeye na uhalisia wake.
Kunieleza mimi pekee haitoshi,elezea ukumbi huu wajue,kama kuna walakini futa jina hilo,ongea na mods waondoe jina hilo kwenye bandiko la jina lako hapo mwishoni,kisha ujiskie aibu kwa hilo,na uombe radhi kwa wanaukumbi kwa uwongo wako wa kujihusisha na familia ya nyerere hali ya kuwa haipo ivo,
ama la ujuze ukumbi huu wewe una mahusiano gani na julius nyerere,,full stop..!

Sitakujibu tena!
 
Mkuu THE BIG SHOW anzisha thread nyingine itakayojishughulisha na familia ya Mwl Nyerere na Yerico Nyerere hapa tunajadili upotoshaji wa historia ya Tanganyika uliofanywa na Mohamed Said usichanganye mambo.Vipi ule mkakati wenu kuzuia gesi isisfirishwe toka Mtwara kwenda Dar umefikia wapi ?.

exactly,kwa kua tunajua fika yeye ni verified user ndio kwa maana tunahoji uhalali wa hilo jina,ya kwamba ana uhusiano nae gani?
Lait angekuwa hajajiverify isingekua ni tatizo,tungemchukulia kawaida tuh kama wana ukumbi wengine,
sasa tunachoshangaa ni yeye kuverify hilo jina kisha kugoma kutuambia ana uhusiano gani na julius kambarage..!
Hapo ndipo kwenye swali letu kuu.
 
Last edited by a moderator:
Tafuta fursa nyingine ya kunijua mkuu, kwa hapa si mahali pake,

Nitafute kwa njia nyingine tuonane ana kwa ana kisha utanijua na utaridhika mkuu!
L
Naishi Kigamboni,

Ofisi yangu ipo Mtaa wa Samora Posta,

Namba yangu ya simu +255715865544

Karibu sana ndugu jisikie huru!
Funguka zaidi! Kama sivyo basi jitayarishe kuwa "punching bag" wa JF.
 
tafuta fursa nyingine ya kunijua mkuu, kwa hapa si mahali pake,

nitafute kwa njia nyingine tuonane ana kwa ana kisha utanijua na utaridhika mkuu!

Naishi kigamboni,

ofisi yangu ipo mtaa wa samora posta,

namba yangu ya simu +255715865544

karibu sana ndugu jisikie huru!

na katika kuthibitisha ya kwamba huyu yericko si mwana familia wa nyerere kama anavoshupalia na kujinasibbisha nae tumekuja kujiridhisha beyond our reasonable doubt..!

Katika sehemu nyingi anazotumia huduma zake kama m-pesa,tigo pesa n.k,hajamalizia kuandika jina lake hilo kama alivyothubutu kuandika hapa jukwaani,

kaishia tu kuandika yericko,na kuondoa surname yake,
basi tunamtaka afanye hivyo na huku na kisha kukiri waz waz ya kwamba amejisingizia kuwa yeye ni mwana familia wa mzee huyo.
 
Kitabu ninachoweza kuandika mimi ni kuhusiana na ufisadi wa maliasili unaofanyika nchini, chini ya mwamvuli wa chama chako. Hicho ndicho kinachonikereketa zaidi, ndicho kinachooweza kuwasaidia watoto na wajukuu wangu. Sina shida, hata kama walioleta uhuru ni waislam tu na wengine hawakushiriki.

La muhimu kwangu ni huo uhuru unanisaidia nini? Uhuru una maana gani kama maana yake ni kumuondoa mzungu na kumuweka mwafrika anayeshirikiana na wazungu(wawekezaji) kuninyonya? Kumbe ni heri niwe na mzungu-nitanyonywa mara moja, kuliko kunyonywa na wote wawili-mzungu na ndugu yangu mwenye ngozi nyeusi kama mimi.

Kama kweli nyie watu wa dar mna damu ya waasisi wa taifa hili, basi tushirikiane kupata uhuru wa mara ya 2. La sivyo, habari ya wazee wa dar ni porojo tu maana mazingira ya dar ya leo hayana tofauti na yalivyokuwa wakati wa ukoloni, ukilinganisha na mikoani. Leo, watu wa dar ni waoga kushiriki harakati kama za arusha na mbeya kwa sababu wako karibu na watawala-hivyo nao wanajiona watawala. Hata wazee wa dar walikuwa na priviledge kuliko wa mikoani. Hawa wa dar walikuwa wasaidizi wa mkoloni, waliajiriwa na mkoloni-leo eti ndio walioongoza mapambano!

Mkuu asante sana, umeongea maneno mazito na ya hekima sana,

Hakika yamenichoma sana mpaka najihisi kama sina maana ya kuwepo Tanzania
 
Ulikuwa unalijuwa hilo? au ulijazwa ujinga kuwa madai ya Uhuru yalianzia na kuishia kwa nyerere?

Jee, kabla ya kumsoma Mohamed Said ulijuwa kuwa aliwekwa nyumbani kwa Abdulwahid Sykes, mtaa wa Stanley?
Zomba, bahati mbaya sana huna hoja zidi ya kurudia upuuzi na uchochezi wa huyo mzee mwenzio muovu na muimba nyimbo za fitina humu jamvini. Mbona mwenyewe Mohamedi Saidi mzushi ameshindwa kuthibitisha hayo unayo mpamba nayo!
 
Ndugu yangu usiitafsiri hiyo hotuba kama gazeti la Kiu,

Maneno ya Mwalimu hapo kwenye hotuba yanatafsirika bila kuweka mawaa,

Tenganisha vitu viwili muhimu katika tafsiri hiyo mkuu:

1) Jina
2) Uwepo wa chama.

Ukifanikiwa hapo utapata kuona waasisi halisi wa chama ni kina nani?

Kadi namba 1 ndio ya muongoza uasisi wa chama!

Hiyo TANU kabla ya kuanzishwa kulikuwa na chama gani na waasisi walikuwa ni kina nani?
 
..Hii habari kwamba 'wazee wa dar' waliuchukia ukoloni inatoka wapi? Hivi hawa wakoloni walikuja kwa ndege? Si walikuja kwa mashua, na watu wa pwani a.k.a mzizima, a.k.a dar waliwapokea kwa mikono miwili!? Ni wapi ktk historia tunaona watu wa pwani wakipambana na wakoloni? Au Mkwawa na Mirambo ngome zao zilikuwa bagamoyo? Hapa historia hairekebishwi, inapotoshwa, tena sana.

Bila mimi kupata majibu ya lini 'wazee wa dar' walianza kuuchukia ukoloni, habari na kitabu cha MS kinabakia kuwa hadithi za paka na panya.
 
Zomba, bahati mbaya sana huna hoja zidi ya kurudia upuuzi na uchochezi wa huyo mzee mwenzio muovu na muimba nyimbo za fitina humu jamvini. Mbona mwenyewe Mohamedi Saidi mzushi ameshindwa kuthibitisha hayo unayo mpamba nayo!

Wewe mwenye hoja mbona unashindwa kukubali kuwa nyerere aliwekwa na Abadulwahid Sykes hapo mtaa wa Stanley, au hilo nalo linauma kulikubali?

Jee, ulikuwa unamjuwa Mshume kabla ya kumsoma Mohamed Said?
 
..Hii habari kwamba 'wazee wa dar' waliuchukia ukoloni inatoka wapi? Hivi hawa wakoloni walikuja kwa ndege? Si walikuja kwa mashua, na watu wa pwani a.k.a mzizima, a.k.a dar waliwapokea kwa mikono miwili!? Ni wapi ktk historia tunaona watu wa pwani wakipambana na wakoloni? Au Mkwawa na Mirambo ngome zao zilikuwa bagamoyo? Hapa historia hairekebishwi, inapotoshwa, tena sana.

Bila mimi kupata majibu ya lini 'wazee wa dar' walianza kuuchukia ukoloni, habari na kitabu cha MS kinabakia kuwa hadithi za paka na panya.

Unaonesha hujamsoma kabisa Mohamed Said, ungepata jibu, hebu tulizana umsome ujuwe harakati zilianza lini na kina nani. Unaingia kutaka kubisha kitu ambacho huelewi. Kilichopindishwa ni nini?
 
Wewe ndiye Mohamed Said!? Mbona unamsemea? Mnaona fahari kwamba 'wazee wengi waliopigania uhuru bega kwa bega na Mwalimu walikua waumini wa dini ya kiislam', vip uhuru wa mara ya pili? Mbona hatuwaoni mkipigana bega kwa bega na watanzania wengine kama kweli mna historia hiyo? MS anaona fahari kuwazungumzia 'wazee wake' kwa sababu agenda kuu ni uislamu na sio utanzania. Naamini, hata baadhi ya wapigania uhuru kama babu yake MS, agenda yao ilikuwa uhuru na uislam, sio uhuru na utaifa ndo maana wakahitilafiana na mwalimu.

Nchini mwetu, hakujawahi kuwapo dhuluma kubwa kama ya watawala na 'wawekezaji'. Huko ndo tuelekeze nguvu, na kama kweli tuna wajukuu wa waasisi wa taifa hili, wajipambanue ktk hili. Wanyama wanaibiwa na madini yanaporwa mchana kweupe halafu wajukuu wa 'wazee wa dar' wapo kimya. Hii inaonyesha hata hao wazee mnaowatetea walikuwa na agenda nyingine tofauti na ya utaifa.
Mkuu Sooth, watakuja hapa na kelele nyingine kwamba unamkoso raisi kwa sababu ya uislam wake! subiri kidogo tu.
 
..Hii habari kwamba 'wazee wa dar' waliuchukia ukoloni inatoka wapi? Hivi hawa wakoloni walikuja kwa ndege? Si walikuja kwa mashua, na watu wa pwani a.k.a mzizima, a.k.a dar waliwapokea kwa mikono miwili!? Ni wapi ktk historia tunaona watu wa pwani wakipambana na wakoloni? Au Mkwawa na Mirambo ngome zao zilikuwa bagamoyo? Hapa historia hairekebishwi, inapotoshwa, tena sana.

Bila mimi kupata majibu ya lini 'wazee wa dar' walianza kuuchukia ukoloni, habari na kitabu cha MS kinabakia kuwa hadithi za paka na panya.

Unakijuwa kisa cha Abushiri? au umepata kusikia kisa cha vita ya majimaji? hebu tumuombe Mohamed Said akupe historia fupi ya resistance ya pwani.
 
Watu wengine hamna haya hata chembe. Mnapora uchumi wa nchi yetu halafu mnasingizia wanasiasa. Mtu akilalamika mnamwita mdini. Acheni tabia mbaya.
 
sihitaji kukujua personally,,!

Ukumbi huu unahitaji kukujua wewe kiunaga ubaga kama vile mwenzio moh said alivokuja hapa huku akiwa amejiverify na kutuelezea kwa ufupi kuhusu yeye na uhalisia wake.
Kunieleza mimi pekee haitoshi,elezea ukumbi huu wajue,kama kuna walakini futa jina hilo,ongea na mods waondoe jina hilo kwenye bandiko la jina lako hapo mwishoni,kisha ujiskie aibu kwa hilo,na uombe radhi kwa wanaukumbi kwa uwongo wako wa kujihusisha na familia ya nyerere hali ya kuwa haipo ivo,
ama la ujuze ukumbi huu wewe una mahusiano gani na julius nyerere,,full stop..!
Chandimu, nani kakutuma utusemee?
 
Back
Top Bottom