Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kwani Mohamed Said alitaka ukubaliane nae? lakini leo hii jina la Mshume unalijuwa, au sio? Jina la Siso ushawahi kulisikia kabla ya kumsoma Mohamed Said? Dosa Aziz?

Zomba,

Siku zote namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuandika historia hii.

Kwa kweli ingelipotea Waislam tungekuwa si lolote si chochote katika
nchi hii.

Angalau leo tunasema uhuru wa nchi hii tuliupigania sisi.

Rashid Sisso alikuwa mtu muhimu sana katika uhamsishaji umma.
Hebu mtazame hapa chini:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 601"] One of the founding leaders of the Bantu Group was Rashid Sisso.

During the struggle Sisso came to be very close to Nyerere and Nyerere gave him the nickname ‘Officer’.

During rallies Sisso would stand right behind Nyerere, and when Nyerere wanted to emphasise a point in his speech he would stop to speak and turn back to Sisso and ask him, “Is it not so, Officer?” and Sisso would shout a peculiar cry into the microphone and the people would shout back and applaud.

Nyerere and Sisso’s act never failed to raise the morale of the audience.

Later when Nyerere became Prime Minister, Sisso had nothing useful to do for the Party and he turned himself into a court jester, hanging around at the TANU office to while away the time and amusing people with anecdotes from the struggle.

Whenever Nyerere came down from the Government House to the Party office at New Street with his motorcade, Sisso would go to him to amuse him with jokes or to show how close they were.

Sisso would approach him in an easy manner, shake hands and joke with him, while bodyguards and the crowd watched, wondering who that simple man was holding Nyerere’s hand and attention.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=1] [/h] [h=1][/h] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Sihitaji kuwa chadema kujua kwamba mambo hayaendi sawa nchini. Najaribu kufuatilia trend. Naelewa Mkurya wa Kitunda dar, anashabihiana na mkurya wa Mara. Mbona sioni wale 'wazee wa dar' waliopigania uhuru wakishabihiana, japo kwa mbali na 'wazee wa dar' wa sasa? Imekuwaje jamii ya wenye kuchukia dhuluma, leo hii inakula na kulala na wanaodhulumu? Kama kweli wazee wa dar walipigania uhuru kwa kiasi wanachotaka tuamini, basi ilikuwa kwa ajili ya maslahi binafsi.
Kuna kipi kilienda sawa wakati wa nyerere?
 
Abushiri wa Tanga? Majimaji ya Kusini (Ruvuma,Mtwara,Lindi na Iringa)? Nataka harakati za 'Mzizima' kupinga ujio wa wakoloni, dar-nyumbani kwa 'wazee wa dar'.

Kuna historia ndefu na nzuri sana ya harakati za ukombozi kabla ya vita kuu ya kwanza na yapili ya dunia!

Wazee hawa anaowalalamikia Mohamed Said kuwa hawakumbukwi michango yao katika uhuru ambao ni kweli kabisa walishiriki, kwa asili ni wahamiaji kutoka afrika ya kusini, Msumbiji, Malawi, Ethiopia, Kongo nk hapa mzizima,

Walikuwa vibaraka wa mjerumani na ndiomaana hawakuendesha harakati zozote za kupinga ukoloni chini ya Mjerumani,

Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Muingereza aliingia na hawa vibaraka maslahi yao

Hapo ndio sasa wakaanza harakati za kudai uhuru!

Jambo la muhimu ili kuwajua kwa undani waitwao wazee wa kariakoo na kujua FILOSOFIA ya AA na TAA.

Je AA ilikuwa kwaajili ya kudai uhuru wa Tanganyika au ilikuwa kwa maslahi ya watwana wa Mzizima?

TAA je?

Kwanini baada ya Mwalimu kujiunga na TAA ilibadili filosofia na mwenendo mzima na kuwa ndicho chama tishio kwa Twaingi na si zile himaya imara za Chifu Adam Sapi, Chifu Marealle, Chifu Fundikila na wengine?

Historia ya nchi hii ukitaka kuifaidi uianza baada ya ujio wa Mjerumani, sio hii ya 1950 utapotosha watu!
 
Sihitaji kuwa chadema kujua kwamba mambo hayaendi sawa nchini. Najaribu kufuatilia trend. Naelewa Mkurya wa Kitunda dar, anashabihiana na mkurya wa Mara. Mbona sioni wale 'wazee wa dar' waliopigania uhuru wakishabihiana, japo kwa mbali na 'wazee wa dar' wa sasa? Imekuwaje jamii ya wenye kuchukia dhuluma, leo hii inakula na kulala na wanaodhulumu? Kama kweli wazee wa dar walipigania uhuru kwa kiasi wanachotaka tuamini, basi ilikuwa kwa ajili ya maslahi binafsi.

Nitajie mafanikio ya Nyerere wakati utawala wake ambayo unayajua wewe!
 
Mnakasha wa ''kuasisi'' TANU ilikuwa kitendawili hata cha waasisi wa TANU zaidi ya miaka 50 sasa.

Nilipokuwa nafanya mahojiano na Mzee Germano Pacha Tabora kuhusu historia ya TANU Mzee Pacha
alisema maneno haya: ''Kama isingekuwa kwa ile picha tuliopiga leo hii kungekuwa na waasisi wengi
sana wa TANU.''

Maneno aliyasema mbele ya Sheikh Ilunga Kapungu aliyekuwa mwenyeji wangu Tabora na ndiye
aliyefanikisha kunikutanisha na wazee wa Tabora.

Nilikutana na Mzee Pacha ndani ya ofisi ya Mzee Rashid Mussa katika ofisi ya duka la wazee wa
pale Tabora.

Nakuwekea hapa chini ili uone uzito wa Mzee Rashid Mussa katika historia ya African Associatio na
TANU.

Katika maelezo haya vilevile utaona jinsi African Association ilivyokuwa inaanzishwa na utaona historia
ya uasisi.

Huenda historia hii ikatoa mwanga katika kujua nani muasisi na nani si muasisi.

I am also grateful to Omar Suleiman, Haruna Taratibu and Hassan Suleiman,[1] the brilliant political organiser of the period between the two World Wars, and to Germano Pacha, the last TAA provincial secretary and a TANU founder member, for his information on the formation of the Party; and to Rashid Mussa who, not knowing that the person he was referring to was my grandfather, informed me about my grandfather’s early political career and his role in the first General Strike in colonial Tanganyika in 1947.

[SUP][SUP][1][/SUP][/SUP]A biography of Hassan Suleiman appears in Iliffe (ed) ‘The Politicians Ali Ponda and Hassan Suleiman,’ in Modern Tanzanians, pp.227-253.

Hapo juu nimekuwekea kuonesha kuwa ni mzee wangu. Sasa endelea hapa chini:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Western Province, 1955
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora began to participate in active politics in 1945 when the African Association was introduced to the township from Dodoma through the efforts of Edward Mwangosi.

The initiative in Tabora itself in forming the association of Africans came mainly from the Combine Dancing Club, a club formed by a group of young men of the township which had as one of its main activity the organisation of social affairs.

Strong members of the club were two Manyema brothers-Maulid Kivuruga and Abdallah Kivuruga; Chamnganda Usingizi, Ramadhani Nasibu, Rashid Mussa, Issa Kibira, Hamis Wabeba, Mwinyi Khatib Hemed, Swedi Juma, Issa Hamisi Pama and Rajab Kanyama.



[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]On 3 rd March, 1945 the African Association was formed in Tabora with the following office bearers: Hamisi Simbe (President), Ramadhani Nasibu Vice-President, M.K. Hemed (Secretary), Chamng’anda Usingizi (Chairman), Fimbo Mtwana (Treasurer) and Rashid Mussa (Auditor). The African Association, like the club it had originated from, was dominated by Manyemas. It was in this way that the Muslim Manyema became the trailblazers of political development in Tanganyika.

Julius Nyerere witnessed the inauguration ceremony of the Association.[1]

Hemed wrote to the African Association headquarters in Dar es Salaam informing the leadership of its intention to open a branch in Tabora.[1]


[1]M.K. Hemed to the Secretary, African Association, Dar es Salaam, 11 th January 1945, TAA Tabora Party Archives File 741. For more information on African Association, Tabora, see Iliffe, A Modern History of Tanganyika op. cit. pp. 430-431.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"]In 1946, Makerere intellectuals started to show interest in the association when Hamza Mwapachu and Julius Nyerere, both graduates of Makerere College, were elected Secretary and Assistant Secretary respectively, with the other posts remaining in the hands of the Manyemas.

After the transfer of Mwapachu from Tabora, Nyerere became secretary of the Association. In the same year Nyerere travelled to Dar es Salaam as the Tabora delegate to the annual conference of the Association. This was the first time that Dossa Aziz came to know Nyerere.

But the friendship between Dossa and Nyerere did not flourish until 1952 when the latter came to Dar es Salaam and teamed up with other young nationalists like Abdulwahid, who was the president of the Association, and his young brother, Ally.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] E. A. M. Mang'enya, Discipline and Tears, Dar es Salaam University Press, 1984, p. 173.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Muhimu ni kuwa hao wote niliowataja hapo juu walikuja kuwa waasisi wa TANU inategemea
msomaji amesimama vipi na wapi katika hiyo filosofi ya kuasisi. Hao wote waliingia TANU kwa
wakati mmoja ilipoasisiwa Tabora.

Katika tatizo la Nyerere na Abdulwahid Sykes tatizo lilikuwa hili.

Nyerere hakutaka la kwanza historia ya TANU ihusishwe na akina Sykes. Yeye akisimama kuwa
kuja kwake yeye ndiyo TANU ikazaliwa.

Lakini ni kweli yeye ndiye aliyeifanya TANU izaliwe?

Ukitaka jibu la swali hili inabidi urudi nyuma kwa baba yake Abdu, Kleist Sykes aliyeasisi African
Association na chama kikaendeshwa na wanawe hadi TANU ilipoasisiwa.

Baadhi ya watu wakawa wanasema lau kwa pembeni mmojawapo baba yangu Said Salum, rafiki wa
Abdu Sykes Ahmed Rashad Ali na watu wengine wa Dar es Salaam kuwa ''Nyerere hana asili na TANU.
Chama hiki mwenyewe Abdu Sykes mimi nikimshuhudia akifanya mambo yale siku nyingi.''

Leo nusu karne mjadala bado unafukuta na unaendelezwa na wajukuu...
Mzee Mohamed,

Muasisi ni nani kwa maoni yako. Hotuba ile ya Mwalimu iliyobandikwa hapo juu haikuwabagua wazee wako hawa. Aliwataja mara kadhaa mmojammoja na kundi lao. Umemalizia vizuri kuwa wote waliotajwa hapo ni WAASISI akiwemo Mwalimu ambaye kadi yake ya TANU ni namba moja.
 
Ubavu ninao, lakini sina agenda ovu kama ya mzee mwenzio MS! Maana unahitaji agenda ovu ili uandike kitabu cha kusadikisha yasiyo sadikika.

Hebu tupe nukuu moja ya kitabu cha Mohamed Said ambayo wewe huafikiani nayo.

Ubavu wa kuandika kitabu huna, ungeshaandika zamani, iliyobaki unatapatapa hata unachokipinga hukijuwi, ni kama bendera tu, yafata upepo.
 
Kuna historia ndefu na nzuri sana ya harakati za ukombozi kabla ya vita kuu ya kwanza na yapili ya dunia!

Wazee hawa anaowalalamikia Mohamed Said kuwa hawakumbukwi michango yao katika uhuru ambao ni kweli kabisa walishiriki, kwa asili ni wahamiaji kutoka afrika ya kusini, Msumbiji, Malawi, Ethiopia, Kongo nk hapa mzizima,

Walikuwa vibaraka wa mjerumani na ndiomaana hawakuendesha harakati zozote za kupinga ukoloni chini ya Mjerumani,

Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Muingereza aliingia na hawa vibaraka maslahi yao

Hapo ndio sasa wakaanza harakati za kudai uhuru!

Jambo la muhimu ili kuwajua kwa undani waitwao wazee wa kariakoo na kujua FILOSOFIA ya AA na TAA.

Je AA ilikuwa kwaajili ya kudai uhuru wa Tanganyika au ilikuwa kwa maslahi ya watwana wa Mzizima?

TAA je?

Kwanini baada ya Mwalimu kujiunga na TAA ilibadili filosofia na mwenendo mzima na kuwa ndicho chama tishio kwa Twaingi na si zile himaya imara za Chifu Adam Sapi, Chifu Marealle, Chifu Fundikila na wengine?

Historia ya nchi hii ukitaka kuifaidi uianza baada ya ujio wa Mjerumani, sio hii ya 1950 utapotosha watu!

Jifunze kutoka kwa Mohamed Said, hakuna haja ya kejeli naona nafsi yako imekusuta umefuta kejeli ulizokuwa umendika.
 
Mzee Mohamed,

Muasisi ni nani kwa maoni yako. Hotuba ile ya Mwalimu iliyobandikwa hapo juu haikuwabagua wazee wako hawa. Aliwataja mara kadhaa mmojammoja na kundi lao. Umemalizia vizuri kuwa wote waliotajwa hapo ni WAASISI akiwemo Mwalimu ambaye kadi yake ya TANU ni namba moja.

Ukichambua kwa undani hawa ndugu zetu hoja yao kuu ni kwa nini Nyerere anaitwa MUASISI?

Lakini moja kwa moja wanakubali kuwa Nyerere ni sehemu kuu ya waasisi na wanazidi kuafiki kuwa kadi namba moja ya TANU ni ya Nyerere na cha kufurahisha zaidi wanatuunga mkono tukiwaambie rais wa kwanza wa TANU alikuwa ni Nyerere,

Tatizo moja tu kwao, kwanini Nyerere aitwe muasisi???

Haahaaa sijui tuwasaidieje!
 
Nakupa hongera sana ndg Mohamed Said kwa kutufumbua macho kinachowauma kina Yericko ni kwa vp waislam ndo walikua wengi na mstar wa mbele ktk harakat za ukombozi tofauti na imani yao lkn hukulenga swala la udini bali ni kuonesha ni kwa vp wazee wa kiislam hawakuthaminiwa kwa mchango wao tofauti na huyo mzanaki ambaye nae ni mkimbiz wa toka rwanda
Kuwa na adabu kidogo. Mkimbizi kutoka Rwanda? Mohamed mwenyewe kasema ametoka Umanyema. So who is who?
 
Mzee Mohamed,

Muasisi ni nani kwa maoni yako. Hotuba ile ya Mwalimu iliyobandikwa hapo juu haikuwabagua wazee wako hawa. Aliwataja mara kadhaa mmojammoja na kundi lao. Umemalizia vizuri kuwa wote waliotajwa hapo ni WAASISI akiwemo Mwalimu ambaye kadi yake ya TANU ni namba moja.

WC,

Unajua wazee wangu hawakuwa na tatizo na Nyerere kama kiongozi wao.
Hilo halikuwako hata kidogo.

Heshima alokuwanayo Nyerere kwa wazee hawa hakuna kiongozi yeyote
atakaekuja ipata ingawa sijua mipango ya Allah.

Tatizo ni Nyerere mwenyewe.
Yeye hakutaka historia hii awe pamoja na wazee wangu.

Nyerere hakupenda atajike na wenzake.

Unasema Nyerere kawataja wazee wangu.
Isome na isikize ile hotuba.

Hivi kule ndiyo kuwaadhimisha wapigania uhuru wenzake wazalendo?

Jiulize ni nani alikuwa anatoa amri ya kukusanywa lile gazeti la Africa
Events lililomtaja Abdu Sykes na Waislam kama waasisi wa TANU na
waliopigania uhuru wa Tanganyika?

Nani aliyekuwa anazuia historia ya kweli isitafitiwe na kuandikwa?
Nani anaweza kuwa na uwezo wa kukamilisha mambo kama haya?

Vipi maisha yake yote alikuwa kimya kuhusu Abdulwahid Sykes?
Ikitajwa TANU anatokeza yeye peke yake?

Hivi mtu yoyote wa kawaida asingeweza kujiangalia na kuona kuwa
historia na sifa anazopachikwa yeye katika uasisi wa TANU zina kasoro?

Kadi no. 1 ni ya Nyerere.
Unajua ile kadi kaitoa na ina sahihi ya nani?

Sahihi ni ya Ally Kleist Sykes.
Imekuwaje ndugu wawili mtu na mdogo wake wote waasisi wa TANU?

Je hapahitaji maelezo?
Na angalia basi.

Wakati wajumbe wako ndani wanaasisi TANU mdogo wao Abbas Sykes
yuko nje anahudumia wajumbe wa mkutano.

Hiivi hapa hapahitaji maelezo?

Maneno ni mengi hatuwezi kuyamaliza yote.

Unaniuliza mimi nikupe jibu muasisi ni nani?

Sheikh Hassan bin Amir alikuwa akiulizwa swali la mtego alikuwa na majibu
haya, ''Soma ukisoma na ukaelewa wewe hutaniuliza mimi swali utakuwa jibu
ushalipata.''

WC soma historia ya uhuru wa Tanganyika na jinsi TANU ilivyoasisiwa jibu
utalipata Insha Allah.
 
Hayo ni matusi? Ama wewe sio mswahili?

Ndo maana hatuelewani kumbe. Kwa msomi, hayo ni matusi makubwa sana kama ulikua hujui.

Mtu kafanya utafiti, unasema "ukajifungia ukaandika kitabu". Kaka hayo sio maneno ya mtu msomi. Hayo ni maneno ya mtu ambaye hajenda shule kaka. Sasa unanilazimisha niamini kuwa shule ulienda kutalii. Please prove me otherwise ili Munaaqasha uendelee

Nimekuwekea bold hapo, nadhani utasoma kwa upeo mwengine

Ninawasilisha
 
Wana JF, tulianzia mbali...huyu hapa chini ni cousin wake zomba akiyatamka haya humu humu JF, nadhani kuna uwezekano wengi wakati huo hamkuwa mmejiunga na jamvi hili ila JF kwa kumbukumbu! Usidanganyike ukafikiri uko kwenye zile blogu za uswahilini. Shuhudieni cousin wake zomba akimpa somo Mohamed Said hapo zamani kidogo...kweli tulianzia mbali!

Hivi sasa zomba mwenyewe yuko humu ndani na bila haya wala aibu eti anamfagilia Mohamed Said, anatetea simulizi alizopewa na wazee wake Manyema na Wazulu...je, amewatupa wenyeji...hamnapo hakunapo! Dunia kweli mviringo.

I loove JF!
 
bibi+titi.jpg


Bibi Titi Mohamed.
 
2005 ccm ilitumia ubaguzi kwa kumdhalilisha waziri mkuu mstaafu,salim ahmed salim kwa kusema ni muarabu,ccm hiyo hiyo 2012 imemteua mwarabu mweusi(msomali)abdurahamani kinana.kinana ni mmoja wa wamiliki wa kampuni yenye tender ndani ya bomba la gesi mtwara dar,ccm chini ya kikwete imempa kazi kinana kuendeleza na kulinda wizi wa rasilimali ya nchi.serikali ya ccm chini ya kikwete inatumia polisi kukandamiza demokrasia kwa kuzuia mikutano mingi ya chadema kwa kisingizio cha kutokuwa na polisi wa kutosha.lakini wanaposisitiza kuwa wataendelea na mikutano yao idadi kubwa ya polisi inasambazwa kwa kuzuia mikutano yao.
Sasa litakalotokea tanzania ni umwagaji mwingi wa damu hadi kufikia 2015 sababu serikari chafu ya ccm haisikilizi wananchi bali inawalinda wachache wao wezi wa mali ya taifa letu,tumeona polisi wakiuwa raia kuanzia arusha,tabora,morogoro,mbeya ,songea na hakuna aliyechukuliwa hatua yeyote kwa mauwaji hayo.wananchi sasa wameanza kujibu mapigo kwa kuua askari,na kuna taafifa kuwa sasa ni jino kwa jino raia wakiuwawa na polisi mchana raia watauwa polisi usiku sasa amani iko wapi kama si ubaguzi uaolelewa na serikari ya ccm?
Mod ukiifuta hii habari nitakuwa nairidisha kila kukicha kwa watu mbalimbali mpaka ujumbe huu uenezwe kwa wapenda amani kote tanzania
 
Abushiri wa Tanga? Majimaji ya Kusini (Ruvuma,Mtwara,Lindi na Iringa)? Nataka harakati za 'Mzizima' kupinga ujio wa wakoloni, dar-nyumbani kwa 'wazee wa dar'.

"Wazee wa Dar es Salaam, na baadaye wa nchi nzima, wakatuunga mkono, na kila nilipokwenda, watu wa kwanza walionielewa, walikuwa wazee."
 
Naona wewe unachanganya mambo hujui hata kinachojadiliwa unaleta mambo ya Chadema na CCM hujui hata hawa wazee baada ya TANU waliachana na siasa wala CCM haiwahusu CCM ni ya Nyerere. Hawa wazee hawausiki tena nyie Chadema ndiyo mpambane kuing'oa CCM. Historia itaandikwa Chadema ambayo imejaa Wakiristu wamekitoa madarakani chama cha Nyerere. Umenipata nadhani.
Osama walimshika,wakamkata kichwa na kumzika baharini.

Sadam Husein walimfuata,wakamshika, na wakamnyonga kama mzoga.

Wateleban walifuatwa Kwao,wakakimbilia milimani na inchi amepewa kibaraka wa mfumo Kristo.

Mohamari Gadaffi na mijitambo yake yote mfumo kristo ulimtilia fitina,wakasaidia waasi,wakamshika na wakamnyongeleambali.

Rais wa chama chako Kikwete kila siku kiguu na njia kwenda kuomba misaada kwenye inchi za mfumo kristo.

Chezea mfumo kristo wewe?.... Je unalingine?
 
Kazi yangu mimi hapa ni kukata nyama ya shingo za watu hadi kwenye mfupa kwa kutumia kisu chenye kutu kali sana....nyambafu nyie. Oooh wazee wa Dar mara oooh waislaam wa Dar....what for?
 
Back
Top Bottom