Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

KWA hiyo hapa kulikuwa na mkalimani?? au waliongea kiarabu naomba utujuze Mohamed Said

""Nitakuongeza pia kuwa Baraza la Udhamini lilipokuja Tanganyika mwaka 1950 aliyetoa maelezo ya TAA alikuwa
Said Chamwenyewe"
 
Last edited by a moderator:
KWA hiyo hapa kulikuwa na mkalimani?? au waliongea kiarabu naomba utujuze Mohamed Said

""Nitakuongeza pia kuwa Baraza la Udhamini lilipokuja Tanganyika mwaka 1950 aliyetoa maelezo ya TAA alikuwa
Said Chamwenyewe"

Son...

Yericko sahib wangu alinitahadharisha wakati huo mie mgeni hapa
barzani akanambia nisikasirike nikitaniwa hapa jamvini kwani si vyema
tukawa serious wakati wote.

Tunahitaji kuchekeshana.
 
nimeshasoma mahali huyu Said cha mwenyewe akipanda baiskeli toka dar mpaka rufiji kuhamasisha watu kujiunga na TANU-hii kweli inawezekana au ndio ku prop up un sung heroes-what i know hii njia ilikuwa infested na man eating lions
 
Son...

Yericko sahib wangu alinitahadharisha wakati huo mie mgeni hapa
barzani akanambia nisikasirike nikitaniwa hapa jamvini kwani si vyema
tukawa serious wakati wote.

Tunahitaji kuchekeshana.

hakuna kucheckeshana hapa-sisi tunauliza maswali hili tujaze jigsaw ya historia yetu-tukihisi kitu hakieleweki tunauliza
 
MM na Darwin,

Wale wanajopo wa Chuo Cha Kivukoni walitatizwa sana inaelekea na historia
ya ukoo mzima wa Sykes katika historia ya siasa katika Tanganyika kama vile
Nyerere mwenyewe alipotatizwa na ule mradi wa kuandika historia ya TANU pale
walipojaribu kuiandika mwaka 1962.

Na tatizo linakuja pale unapomtia Abdu.

Ukimtia Abdu katika historia ya uhuru wa Tanganyika inakubidi umtaje na baba
yake kwa sababu baba yake alikuwa muasisi wa African Association kama katibu
mwaka 1929.

Sasa ikiwa nia ni kumkweza Nyerere kama wewe ni mtu jasiri itakubidi na uandike
habari za Chief Burito Nyerere baba yake Nyerere kuonyesha kuwa wazee wa wakati
ule wote walikuwa hadhir katika kuwakusanya wananchi kuleta umoja.

Hii kwa mtafiti wa historia ya Tanganyika itakuwa kazi ngumu sana.

Mtafiti ambae atapenda kuandika historia ya uhuru kwa kuanza na Nyerere kwa ajili
hii ni lazima amtoe Abdu na asimtaje kabisa.

Kwa mimi kule kumleta Abdu katika maisha ya siasa ya Nyerere hii ikawa imewaleta
wazalendo wengi vijana waliokuwa katika harakati toka siku ile 1950 vijana walipokichukua
chama kutoka uongozi wa wazee akina Thomas Plantan.

Matokeo yake ndiyo leo tuko hapa JF.

Mbona kina Sykes wametajwa katika maandiko mbalimbali ya TANU na mchango wao?
 
Hakukuwa na UONGOZI wa KISIASA wala CHAMA cha siasa wakati huo. Walikuwepo akina Abdu na TAA yao ya Kariakoo lakini hawakuwa viongozi wa kisiasa wala TAA hakikuwa chama cha siasa. Ni ukweli mchungu mno kwako huu.

wakati huo kilikuwa chama cha ghahawa na kucheza bao
 
Hakukuwa na UONGOZI wa KISIASA wala CHAMA cha siasa wakati huo. Walikuwepo akina Abdu na TAA yao ya Kariakoo lakini hawakuwa viongozi wa kisiasa wala TAA hakikuwa chama cha siasa. Ni ukweli mchungu mno kwako huu.

WC,

Huyu Abdu Sykes hakuwa lolote ndugu yangu wala asitushughulishe.
Hiyo TAA yao wakinywa kahawa kutwa nzima.
 
Nyambala,
Huna jingine ungependa niongeze?

Unajua Said Chamwenyewe ndiye aliyetumwa na Abdu Sykes kwenda
Rufiji kuiletea TANU wanachama wake wa mwanzo Julai 1954?

Chamwenyewe akienda Rufiji kwa baiskeli njiani akisimama kila kijiji
kutangaza TANU na kuuza kadi.

Baada ya Kura Tatu 1958 akatoka TANU kujiunga na Congress ya Mtemvu.
Baadae alirudi TANU.
Baada ya Julai 7, 1954, Abdu alibaki na cheo gani ndani ya TANU ya St Francis Pugu?
 
inabidi ujifunze mantiki tena; huwezi kutengeneza hoja huku unavunja kanuni zote za mantiq... huitendei kazi hiyo elimu...

MM,

Haya yote yule mwalimu alikuwa hana moja alijualo na matokeo
yake ndiyo mimi mwanafunzi wake natia aibu JF.

Wala sisomi tena nimkomeshe yule mwalimu.
 
Back
Top Bottom