Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Wickama,

Si tu Mkapa atajwe kwa kuwapa Waislam chuo bali atajwe kama mmoja wa wale waliokuwa wakitumika kupiga vita EAMWS na kumpiga vita Sheikh Hassan bin Amir katika ''mgogoro'' wa EAMWS wa 1968.

Wakati ule akitumia nafasi yake kama Mhariri wa The Nationalist. Mwingine aliyetumika kupiga vita Waislam alikuwa Martin Kiama Mkurugenzi wa Radio Tanzania.

Achilia akina Geofrey Sawaya waliokuwa wanatembea na fedha za serikali katika mikoba mikoani kuwahonga vibaraka waikubali BAKWATA.

Hii ndiyo historia ya Waislam ambayo leo tunashukuru JF imetupa nafasi kuieleza.
Umemsahau Ali Maswanya aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani na ambaye alitoa tangazo. Wakati huo Rashid Kawawa alikuwa waziri mkuu na makamu wa pili wa Rais.
Makamu wa kwanza alikuwa Sheikh Karume.
 
Wickama,

Si tu Mkapa atajwe kwa kuwapa Waislam chuo bali atajwe kama mmoja wa wale waliokuwa wakitumika
kupiga vita EAMWS na kumpiga vita Sheikh Hassan bin Amir katika ''mgogoro'' wa EAMWS wa 1968.

Wakati ule akitumia nafasi yake kama Mhariri wa The Nationalist.

Mwingine aliyetumika kupiga vita Waislam alikuwa Martin Kiama Mkurugenzi wa Radio Tanzania.

Achilia akina Geofrey Sawaya waliokuwa wanatembea na fedha za serikali katika mikoba mikoani
kuwahonga vibaraka waikubali BAKWATA.

Hii ndiyo historia ya Waislam ambayo leo tunashukuru JF imetupa nafasi kuieleza.

Ok, that said, THEN?
 
Mohamed Said;6122202]Wickama,Among the TANU founding members, it is only those from the headquarters who couldgive a correct account of the formation of the Party.These are: John Rupia,Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Julius Nyerere, Dome Budohi, Abdulwahid and AllySykes.
Sawia! Kwahiyo Abdul Sykes siyo founder ni among the founding members. Record ipo straight sasa.
The two Sykes brothers, Abdulwahid and Ally, have a family connection in the African Association, their father Kleist Sykes having been founder Secretary of the Association in 1929. These records contain information on Nyerere's early political career and it is surprising that when Party historians were researching, these records, which have so much information about Nyerere, and the party itself, were not consulted.
Bado hapa hujakaa sawa. Political Career ya Nyerere haikuanza na A.Sykes na hivyo information alizonazo ni zile za wakati walipokuwa pamoja katika harakati,siyo wakati akianza politics.

Kwanini isiwe Kasellabantu, aliyekuwa naye Tabora kama Mwenyekiti wake au Mwapachu waliyekuwa wote Makerere n.k.. Nadhani kama mtu anataka kupata habari za Nyerere kuhusu early political career Sykes si mtu sahihi.

Huyu alimjua Nyerere mwaka 1950+ sasa atawezaje kuwa na info za Nyerere aliyekutana na Dosa mwaka 1947 wakati wa National conference? na Nyerere huyo huyo akiwa tayari katika Politics
[/QUOTE]
 
Nimeweka bandiko la Nyerere anasema alikuwa anatoka Pugu kwa miguu mpaka mjini kila jumamosi kufanya kwenye mikutano na wazee.

Wazee wakamnunulia baiskeli kama usafiri akawa anakuja nayo mjini kwenye mikutano.

Mohamed Said akiwaambia kuwa wazee walikuwa wanajaza kapu la Nyerere kina Mshume Kiyate walikuwa wana mahaba na Nyerere wamejitolea chakula watu wanakataa sababu kasema Mohamed Said.

Nyerere kakiri kanunuliwa baiskeli na wazee lakini amsemi chochote.
 
Wickama,
Kufifilisha ndiko kulikonifanya mimi niandike kitabu.

Matokeoa ya kitabu changu ndiyo haya leo tuko JF.

Mmesoma mambo ambayo hamkupata kuyasikia na
msingeyasikia.

Kuhusu ile hotuba starehe yake ni si hotuba tu bali
urudi nyuma ujifunze chanzo na historia ya hotuba ile.

Mambo kama haya ndiyo yamefanya leo wasikizaji wako
140,000 and counting...


Si haba..
Si haba hata kidogo..
 
Ritz, hongera kwa article nzuri yenye historia nzuri. Ila sikuona ikimpa Mkapa angalau credit ya kuwapa waislamu facility ya kuanzishia Chuo Kikuu pale Morogoro. Ni uungwana kuwa fair.

Fahamu hata panya ukimtega unampa chakula lakini umekitia sumu
 
Duh!
(nilivyoelewa mimi) Nyerere anakiri kabisa katika hotuba yake ya kuaga kuwa siasa hasa ameanzishwa na wazee wa Dar es salaam!

‘"Mimi nimeanza siasa na wazee wa Dar es Salaam; na wazee wa Tanzania. Nimeanza nao mapema sana; mapema kweli. Nilirudi kutoka masomoni, Uingereza Oktoba 1952 – miaka 33 nyuma. Wakati huo nikiwa kijana mdogo wa miaka thelathini na kidogo hivi.
 
Nimeweka bandiko la Nyerere anasema alikuwa anatoka Pugu kwa miguu mpaka mjini kila jumamosi kufanya kwenye mikutano na wazee.

Wazee wakamnunulia baiskeli kama usafiri akawa anakuja nayo mjini kwenye mikutano.

Mohamed Said akiwaambia kuwa wazee walikuwa wanajaza kapu la Nyerere kina Mshume Kiyate walikuwa wana mahaba na Nyerere wamejitolea chakula watu wanakataa sababu kasema Mohamed Said.

Nyerere kakiri kanunuliwa baiskeli na wazee lakini amsemi chochote.

Ritz,

Akitoka Pugu Nyerere alikuwa anafika kwanza Mtaa wa Mbaruku alipokuwa akiishi
Dossa Aziz na baada ya hapo ndipo wanapofatana kwenda kwa Abdu Sykes Mtaa wa
Stanley.

Hizi ndizo sehemu mbili ambazo walikuwa wakifanya mazungumzo yao.
 
Sawia! Kwahiyo Abdul Sykes siyo founder ni among the founding members. Record ipo straight sasa.

Bado hapa hujakaa sawa. Political Career ya Nyerere haikuanza na A.Sykes na hivyo information alizonazo ni zile za wakati walipokuwa pamoja katika harakati,siyo wakati akianza politics.

Kwanini isiwe Kasellabantu, aliyekuwa naye Tabora kama Mwenyekiti wake au Mwapachu waliyekuwa wote Makerere n.k.. Nadhani kama mtu anataka kupata habari za Nyerere kuhusu early political career Sykes si mtu sahihi.

Huyu alimjua Nyerere mwaka 1950+ sasa atawezaje kuwa na info za Nyerere aliyekutana na Dosa mwaka 1947 wakati wa National conference? na Nyerere huyo huyo akiwa tayari katika Politics

Nguruvi,

Utahangaika sana katika historia hii.

Ridhika na unavyoona imekukalia sawa. Unajua kwa nini mimi niko bukheri wa hamsa ishirini?

Naamini kile ninachokijua. Nakushauri na wewe amini unachoamini.

Amini kuwa TANU iliasisiwa Pugu na hutopata shida ya kuniuliza hili wala lile.

Hustaajabu kwa nini mimi siulizi mtu swali lolote? Siulizi kwa kuwa najua na ukijua unauliza nini?
 
Umemsahau Ali Maswanya aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani na ambaye alitoa tangazo. Wakati huo Rashid Kawawa alikuwa waziri mkuu na makamu wa pili wa Rais.
Makamu wa kwanza alikuwa Sheikh Karume.

Nguruvi,
Sijawasahau.

Wote wako katika kitabu changu.
 
Nimeweka bandiko la Nyerere anasema alikuwa anatoka Pugu kwa miguu mpaka mjini kila jumamosi kufanya kwenye mikutano na wazee.

Wazee wakamnunulia baiskeli kama usafiri akawa anakuja nayo mjini kwenye mikutano.

Mohamed Said akiwaambia kuwa wazee walikuwa wanajaza kapu la Nyerere kina Mshume Kiyate walikuwa wana mahaba na Nyerere wamejitolea chakula watu wanakataa sababu kasema Mohamed Said.

Nyerere kakiri kanunuliwa baiskeli na wazee lakini amsemi chochote.

Ritz, nadhani hapa hakuna "conflict". Nyerere amekiri KILA alikoenda wazee walimpa support kubwa kuliko VIJANA. Sababu pia kazitaja (refer Mbeya). Baiskeli na vyakula vinaashiria mahaba na uzalendo wa hao wazee. Lakini haviashirii kama wao ni Shia au Sunni au Freemason.
 
Mohamed, hawa WML walipewa kibali na nani, walikuwa wanashughulikia nini, walikuwa wanajamii gani wanayoihudumia?
Je, walifukuzwa au waliondoka wenyewe?

Majibu ya hapa yanamafaa zaidi kwa eaamini wa mnakasha huu.
 
Waheshimiwa Nguruvi3 na Mag3,

I must admit that sometimes when I read your comments I get bit depressed. But still both of you have my utmost respect for your contributions in here.

Ile "habari ya Mwai Kibaki" kupewa jina la mtaa/barabara hapo Mzizima,mimi niliitaja sababu iliniumiza moyo kwa uzalendo na wala si udini,u-wana mjini au u-Dar Es Salaam. Nastaajabu yale maelezo marefu na dhana yalihusu nini!? Lakini haina neno, tuendelee na mnakasha.

Huyo Mwai Kibaki, wala sifa zozote za kuwa kiongozi mwadilifu au alofata uadilifu. Na hii ni kabla ya kuingia madarakani na mpaka kesho. Nafikiri mtakumbuka vitimbi vyao vingi enzi zao za u-playboy na akina D. Moi,Baraka H. Obama Snr na wengineo wengi pale Nairobi!? Mwai Kibaki hana credibility ya maana pahala pengi saana duniani,na hata huko kwao Kenya. Scandals zake na "udhalim" ni nyingi mno na unatisha saana.Hata self discipline yake na dignity yake binafsi ni utata mtupu!? Tuyaache hayo maana si yetu!

Ndo maana nilipostaajabu na kujiuliza hivi hao "viongozi wetu" na Serikali walitumia criteria na kufata taratibu, vipengele vipi mpaka walipoamua kumtunuku hiyo "zawadi"!? Lakini naona wenzangu hapo hamkuona uzalendo wangu bali udini tu!?ahaha!! Viongozi wengi wageni kama vile Patrice Lumumba,Augustino Neto,Ngouabi na wengineo nawakubali saana,lakini huyo Mwai Kibaki nafikiri ni Taifa/Nchi yetu kuzidi kujivunjia heshima tu.

Gombesugu;

Wenzetu ndivyo wanavyofikiri tuwahurumie! Rais Kikwete aliposhinda uchaguzi mwaka 2010 walimshambulia ile mbaya kwa kudai hakushinda kihalali na alimpora kura mgombea wao!

Mwaka 2007 pia hawakumwacha Kibaki kwa madai kama hayo ya uporaji wa kura! leo ni hawa wanashangilia Kibaki kupewa Jina ktk barabara zetu! Kibaki kupewa barabara ni sawa lakini mtaje Abdu Syke nae apewe barabara utasikia huo ni udini! lakini majina ya Nyerere road, Sokoine road, Msuya road, Mkapa road watafurahia!!!!!
 
Ritz, nadhani hapa hakuna "conflict". Nyerere amekiri KILA alikoenda wazee walimpa support kubwa kuliko VIJANA. Sababu pia kazitaja (refer Mbeya). Baiskeli na vyakula vinaashiria mahaba na uzalendo wa hao wazee. Lakini haviashirii kama wao ni Shia au Sunni au Freemason.

ACCORDING to MS,zamani mitaa ya kariakoo,ukiwa mkristo unatafuta chumba unaelekezwa Mission Quarter anyway else hupati chumba-sasa hii ya African Association kuanzishiwa Mission Quarter really beats my head-does it mean townsfolk walikuwa wanakaa mission quarter? Au watu wenye financial clout ndio walikuwa wakazi wa mission quarter?? if so basi history imesahau wengi
 
Ritz, hongera kwa article nzuri yenye historia nzuri. Ila sikuona ikimpa Mkapa angalau credit ya kuwapa waislamu facility ya kuanzishia Chuo Kikuu pale Morogoro. Ni uungwana kuwa fair.

Kwani ili kuwa ni mali yake binafsi au shirika la umma? kama ilikuwa niyake binafsi, bas Waislamu wanawajibu wa kumshukuru lakini kama ni mali ya umma basi Waislamu ni miongoni mwa umma wa TZ na ni haki yao kuchukua jengo hilo maana hata Wakristo wanachotewa mabilioni ya fedha za Walipakodi wa nchi hii chini ya mkataba haramu wa MOU!

Usituletee story za kumwambia mwananchi ashukuru Serikali ati inajenga Barabara, Hospitali, Shule nk! huu ni wajibu wa Serikali kufanya kazi hizi na Wananchi ni waajiri wao! Mkapa ashukuriwe kwa lipi alilowafanyia Waislamu zaidi ya kuwauwa ndani ya Misikiti na kuwatesa Mashekhe ndani ya Magereza!

Ktk utawala wake sheria haramu ya ugaidi ilianzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuwashughulikia Waislamu lakini Mungu si Athumani leo sheria yao inawarudia wenyewe mpaka Mnadhimu wa Chadema anaishangaa Serikali kumkamata Lwakatware kwa ugaidi wakati sheria hii inawahusu Waislamu! Mtazame Tundu Lisu hapa.....Lissu: Mwigulu na Ludovick ndio waliotengeneza video ya Lwakatare - YouTube
 
Kwa mukatadha huo, sasa hivi mkuu wa usalama, mkuu wa Polisi, waziri wa elimu, Makamu wa rais na Rais mwenyewe ambao kwa kiasi fulani ndiyo serikali ukiacha baraza zima ni waislam. Hadi hapo nguvu ya mfumo ni ndogo sana kama si kuwa haipo. Inashangaza bado Mohamed anasubiri serikali itoe majibu. Sasa hapa wa kunyooshewa kidole ni nani?

Nguruvi:
Hivi nawewe Elimu yako ni ya Madrasa? nani kakufundisha kuwa Serikali ni Mkuu wa Polisi, Mkuu wa Usalama, Waziri wa Elimu, Rais, na Makamu wake? hao ndio Serikali kwa mujibu wa definition yako? Mahakama na Bunge uliambiwa sio Sehemu ya Utawala? The government is a system that decided the state of affairs for our country, state, and community. This is where new rules and laws are made. What does government mean?
 
Kwani ili kuwa ni mali yake binafsi au shirika la umma? kama ilikuwa niyake binafsi, bas Waislamu wanawajibu wa kumshukuru lakini kama ni mali ya umma basi Waislamu ni miongoni mwa umma wa TZ na ni haki yao kuchukua jengo hilo maana hata Wakristo wanachotewa mabilioni ya fedha za Walipakodi wa nchi hii chini ya mkataba haramu wa MOU!

Usituletee story za kumwambia mwananchi ashukuru Serikali ati inajenga Barabara, Hospitali, Shule nk! huu ni wajibu wa Serikali kufanya kazi hizi na Wananchi ni waajiri wao! Mkapa ashukuriwe kwa lipi alilowafanyia Waislamu zaidi ya kuwauwa ndani ya Misikiti na kuwatesa Mashekhe ndani ya Magereza!

Ktk utawala wake sheria haramu ya ugaidi ilianzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuwashughulikia Waislamu lakini Mungu si Athumani leo sheria yao inawarudia wenyewe mpaka Mnadhimu wa Chadema anaishangaa Serikali kumkamata Lwakatware kwa ugaidi wakati sheria hii inawahusu Waislamu! Mtazame Tundu Lisu hapa.....Lissu: Mwigulu na Ludovick ndio waliotengeneza video ya Lwakatare - YouTube

Kadogoo punguza ukali bwana, ukiwa na jirani anayeku-bore sana lakini siku moja akakusaidia kumkamata mwizi basi japo mwambie ahsante kwa siku hiyo. Si ndiyo desturi yakheee!!!! weee vipi bwana. Nadhani hapa mwisho utasema Subhanallah, Mtazame huyuuuu!!!!
 
ACCORDING to MS,zamani mitaa ya kariakoo,ukiwa mkristo unatafuta chumba unaelekezwa Mission Quarter anyway else hupati chumba-sasa hii ya African Association kuanzishiwa Mission Quarter really beats my head-does it mean townsfolk walikuwa wanakaa mission quarter? Au watu wenye financial clout ndio walikuwa wakazi wa mission quarter?? if so basi history imesahau wengi

Sijui wenye MJI wao watasemaje. Navyojua miji karibu yote ilipangwa kwa rangi (Uzunguni, uhindini, na Uswahilini) huku uswahilini waliishi pia Arabs kwa vile wakoloni waliwaona wana ukaribu na waswahili, la wakristo kuelekezwa na wenyeji wa kariokoo waende eneo lao hapo Dar litahitaji verification ya anayelijua. I hope somebody will respond.
 
Back
Top Bottom