Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Halafu ukishatajiwa hizo jumuiya ndio iweje! haya kuna Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi Tanzania(BARAZA KUU) sio Bakwata iliyoanzishwa na Waislamu wenyewe tena wa nchi nzima mwaka 1991! baraza hili limefanya kazi nyingi na za faida kwa Waislamu mfano: kutoa mikopo isiyo na riba kwa wajasirimali, kutetea na kuwaelimisha Waislamu haki zao, kujenga na kuulinda umoja wa Kiislamu, kutoa elimu ya uraia kwa Waislamu kinyume na bakwata ambayo hujenga fitina na kuwachonganisha Waislamu!, jumuiya zingine siwezi kuzitaja hapa kwani tunajua umetumwa na maadui wa Waislamu ili uchukue habari zetu kwa kusudio la kutudhuru! lakini tambua Jumuiya hizi kwa kushirikiana na Waislamu wameweza kujenga shule nyingi za Kiislamu mfano: Shule zinazosimamiwa na African Muslim Agency, Jabal Hira High Schoo Morogoro, Kirinjiko Islamic high School Same, Mudio High School Machame, Thaqafa School Mwanza, Ansaar Sunna Islami primary, secondary and high School Tanga, na shule nyingi Jijini Dar na mikoa mingine!

Kumbuka Jumuiya hizi nyingi zimeanzishwa kipindi cha ruksa! haya wewe mwanachama na mtetezi wa Bakwata nitajie shule zenu na nini mmewafanyia Waislamu tangu Nyerere alipowaanzishia Bakwata lenu mwaka 1968?

Kadogoo,

Salaam Al Akhiy.

Ahsanta kwa kutujuza na kutupa ilm hii,mimi binafsi nasoma pia vitu fulani kupitia kwako kila wakti unaponyambua kwa bayana zako.

Mola takulipa fadhila zako Insha Allah.

Shukran.
 
Jasusi,
Umekereka kwa kuona salama imepatikana?

Hujui hasama ambayo ingejengeka kwa Sheikh Ponda
kufungwa kwa kuupigania Uislam?

Sasa hivi viongozi wetu wanahimizi uelewano katika
jamii.
Hapana. Haijanikera chochote. Sina beef yoyote na Sheikh Ponda. Nilikuwa namweka sawa tu Ritz kuwa kapewa kifungo cha nje.
 
Mohamed na wafuasi wako, pateni chakula cha mchana hapa,



UNDANI KUHUSU C.I.A

Taifa la Marekani lina vyombo vingi vya usalama vinavyofanya kazi mbali mbali, inamulikwa CIA tu kwa sababu ndio tunao suguana katika maisha ya kila siku. Maamuzi ya siasa za ndani na nje za Marekani hufanyika baada ya ripoti ya CIA, hata FBI inafanya kazi chini ya ripoti ya CIA. FBI kirefu chake ni Federal Bureau Investigation, ambayo ni sawa na kitengo cha upelelezi makosa ya jinai hapa kwetu yaani (C.I.D) na CIA kirefu chake ni Central Intelligence Agency

Vyombo vingine vya usalama Marekani ni kama:-

1. Wakala wa usalama wa Taifa (National Security Agency)
2. Wakala wa ulinzi (Defence Security Agencies)
3. Ujasusi wa kijeshi (Military intelligence)
4. Kitengo cha ujasusi wa Navy (Wanamaji)
5. Ujasusi wa anga
6. Ofisi ya Ujasusi na utafiti teknolojia
7. Ofisi ya umoja wa upelelezi makosa ya jinai FBI
8. Kamati ya nguvu za Atomic .kitengo cha ujasusi
9. Kamati ya ujasusi hazina.


Vyombo vyote hivi vya ujasusi viko chini ya CIA kwa njia moja ama nyingine. Pia ieleweke kuwa vitengo hivyo vinaweza kuzidi au kupunguza kutokana na mahitaji ya mahali na wakati munasibu, Kwa mfano: kulikuwa na kitengo kipya cha kumfuatilia Osama Bin Ladeni na kumtafuta yeye tu, hicho ni kitengo maalum kwa ajili yake tu.

Hapa tutaangalia vitengo viwili tu kutokana na kusuguana navyo katika nyanja mbali mbali hasa wanaharakati wa kiislamu kwa ujumla nazo ni:.

1. Kitengo cha kupambana na majasusi (CENTRAL INTELLEGENCE)
2. Kitengo cha kupambana na ugaidi duniani,
CENTRAL INTELLEGENCE

Kitengo hiki kina majukumu muhimu ya kuwafuatilia wageni wote kwa ukaribu sana. Kama vile wanadiplomasia, wafanyabiashara , wafanyakazi wa kigeni, waandishi wa habari, watalii na wanafunzi kwa ujumla bila ya kusahau kusomabarua zao, kurekodi simu zao, kuwafuatilia katika mizunguko na shughuli zao, kufumbua mafumbo ya ishara (shafron) Kitengo hiki kina uwezo wa kumfuatilia mtu kwa masaa 24 kwa muda wa mwezi bila mtu kujua, lakini wapo wale majasusi waliokubuhu, mfano majasusi kutoka Urusi na Uchina wanazo mbinu za kuwapoteza kwa urahisi sana.

Kitengo hiki pia humfuatilia jasusi kwa kumpiga picha, kurekodi sauti kwa kupandikiza microphone chumbani kwake au kupandikiza kamera ndogo (microcamera). Kitengo hiki vile vile huwafuatilia wale majasusi waliopandikizwa deep cover au (Natural deep cover). Kitengo hiki cha kupambana na majasusi hufanya kazi ngumu ya kugundua wale wenye nia mbaya na Taifa lao (Marekani)
KITENGO CHA KUPAMBANA NA UGAIDI

Kitengo hiki kinakazi ya kufuatilia taasisi zote za kigaidi duniani za ndani na nje ya nchi, kujua wanapata wapi mapato yao, Viongozi wao, Kazi zao, Watu gani ni active (hai) katika taasisi hizo, Watu wangapi wanasilimu, kiwango cha kukua kwa ugaidi kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni, kiulinzi, kiteknolojia, kijamii na kuutekeleza ugaidi kwa vitendo. Ugaidi unaenea kwa kiwango gani huko Mashariki ya mbali, Asia ya kati, Mashariki ya kati, Afrika, Ulaya na Marekani ya kaskazini na kusini.

Kitengo hiki hakiishii hapo tu bali huwatafuta wale magaidi wote waliojitolea nafsi zao baada ya kuvunjika kwa muungano wa Kisoviet. Kila mpiganaji ambaye hakupata shahada kuwa ni gaidi! au Mujahidina kama ambao walitokea karibu dunia nzima kujibu wito wa jihadi dhidi ya wakomonisti baada ya jihadi walisambaratika duniani kote na wale waliokuwa wanatafutwa na serikali zao waliamua kubaki huko wengine walienda huko Bosnia, Tajikstani Chechnya, Algeria, Yugoslavia na kwingineko duniani na kuendelea kusimika serikali za zenye msimamo mkali na jihadi wakiwa wanaomba wafe wakiwa mashahidi, Watu hawa wameuoanisha ugaidi na imani yao na kufanya dunia igawike.





Na Yericko Nyerere

Kutoka "Vita dhidi ya Ugaidi"
 
[SIZE=+4]ISLAM AND POLITICS IN TANZANIA[/SIZE]
By BROTHER MOHAMMED SAEED
Muslim Writer’s Organization
Dar es Salaam, Tanzania. INTRODUCTION
Islam has been in existence in East Africa since the eighth century. With Islam, emerged the lingua franca, Kiswahili, spoken throughout East and Central Africa and the Swahili culture which is mostly associated with Muslims. About two-thirds of East Africa’s Muslims reside in Tanzania which is the most populous of the East African countries i.e. Kenya, Uganda and Tanzania. According to the 1957 population census, Muslims outnumbered Christians at a ratio of three to two. This means Tanzania is a leading Muslim nation in the region. But the 1967 census the total figures for Tanzania Mainland are 32% Christian, 30% Muslim and 37% local belief. This shows Pagans as a leading majority. The 1967 census has not been able to show the reasons for the sudden decrease of Muslim population nor the growth of Paganism. This was the last population census showing religious distribution. It is widely believed that the figures for the 1967 census were doctored for political reasons to show Muslims were trailing behind Christians in numerical strength. This paper "lnsha Allah", will try to show the reasons behind such a move and many others.
Christianity is a relatively new religion in Tanzania having introduced into the country during the 18[SUP]th[/SUP] Century by professional missionaries. Christianity was resisted by Muslims right from the beginning. In any uprising against the colonial state Muslims took that opportunity to attack missionaries and Christian establishments.[SUP]2[/SUP] Muslims perceived both missionaries and the colonial state as fellow collaborators and therefore enemies to Islam. Islamic radicalism has therefore a long history in the struggle against colonial rule and Christianity. Christianity meanwhile became a reactionary force siding with the colonial state. In the Maji Maji War of 1905 some Christians fought alongside the German army against the people to safeguard Christianity.[SUP]3[/SUP] In this war some Muslims were hanged particularly for killing missionaries and for waging a war against German rule.
The British took over Tanganyika (as Tanzania was then known) from the Germans after the First World War, by then the Germans had done more than their fair share in opening up Tanganyika for Christian influence through various Christian establishments. Tanganyika was divided among different Christian organizations originating from various European countries. The White Fathers were in Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza and Bukoba; Holy Ghost Fathers - Morogoro and Kilimanjaro; Benedictine Fathers Peramiho and Ndanda; Capuchin Fathers - Dar es Salaam; Consolata Fathers - Iringa and Meru; Passionists Fathers - Dodoma; Pallotine Fathers - Mbulu; Maryknoll Fathers Musoma; and Rosmillian Fathers -lringa.[SUP]4[/SUP]
When the People started to organize themselves in political entities during the British rule through various associations, Muslims in Dar es Salaam formed the African Association in 1929 and Jamiatul lslamiyya fi Tanganyika in 1933. Missionaries sensing these African organisations as organised African resistance against the colonial state warned Christians not to get themselves involved in any movements that were challenging the government.[SUP]5[/SUP] The church and state provided education to African Christians and denied it to majority Muslims. The two worked hand in hand to mould loyal subjects out of the educated Christians alienating them from the main stream of the struggle against British rule. Resistance against British colonialism was therefore left to Muslims and the struggle for independence and nationalist politics in Tan9anyika assumed strong Muslim characteristics.
MUSLIMS AND COLONIAL POLITICS:THE POLITICS OF CONFORMITY
The church gradually managed to create a special relationship between the colonial state and the educated African Christians as beneficiaries of the colonial system. Muslim suffered as a people whose faith was antagonistic to the state religionthe Church of England. Muslims suffered also as a colonised subject singled out for discrimination by being denied education curtailing any chances for self-advancement. The survival of Muslims as a people and Islam as a religion therefore lay in the total overthrow of the colonial state.
The first uprising against the British occurred in predominant Muslim areas of Tanga and Dar es Salaam in 1939. Strikes occurred in the ports of Tanga and Dar es Salaam followed by a violent general strike a few years later in Dar es Salaam port in 1947. Muslim predominance in port employment to a large extent helped to create the solidarity which ignited the working class movement responsible for the strikes. In the 1947 general strike Muslim symbols were used effectively showing for the first time the influence and extent of Islamic radicalism in resisting colonial oppression. The strike was very successful as it spread through Tanganyika lasting for almost a month and paralysing the colonial economic machinery.[SUP]6[/SUP] This strike created the necessary conditions to force the colonial state to pass appropriate legislation allowing the formation and eventual registration of the Dock Workers Union. It is interesting to note that the leader of this movement Abdulwahid Sykes was the first ever general secretary of a trade union in Tanganyika in 1948. Abdulwahid was later to be elected secretary of Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika and went on to found the Tanganyika African National Union (TANU) -the first open political party in colonial Tanganyika.
The British, in their tactics of divide and rule, isolated Muslims for oppression and elevated Christians to a higher status by giving them educational opportunities. In this way religion was used as a colonial weapon to stratify the people, creating out of African Christian a special class of colonised subjects. The church meanwhile maintained the doctrine: "Render unto Caesar the things which are Caesar’s and unto God the things that are God’s." (Mathew xxii:21). Muslims, however, were able to distinguish between British Christian colonialism which was the immediate enemy and the African Christians an appendage of the colonial system.
When TANU was formed out of the African Association in 1954 as a nationalist party to prepare the people of Tanganyika towards achieving independence, the strategy adopted for the struggle right from the start, was to form a united front of all Tanganyikans irrespective of religious identity or ethnic affiliations. Most scholars who have written on Tanzania’s political history have focused on Julius Nyerere as a founding leader of TANU. This is a fallacy yet to be rectified. This approach obscures a very important part of Islamic radicalism and Muslim personalities who had, before Nyerere, been working for the formation of the Party. Consequently a most important part of colonial history which laid the formation for resistance against colonial history which laid the formation for resistance against the British is eroded.[SUP]7[/SUP] It is beyond the scope of this paper to trace the origins of party system in Tanzania, but for the purpose of setting the record straight it should be noted that the desire to initiate a political movement can be traced from the African Association, but it was the Political Sub-Committee formed in 1905 within the Tanganyika African Association which actually formed TANU. Members of the TAA Political Sub-Committee were: Sheikh Hassan bin Amir, Abdulwahid Sykes, Hamza Kibwana Mwapachu, Said Chaurembo, Vedast Kyaruzi, John Rupia and Stephen Mhando. It is also interesting to note that a group of Muslim TAA members in Tabora had passed a resolution in 1953 to transform the association into an open political party. Suffice to state that two members of the Political Sub-Committee, Sheikh Hassan bin Amir and Abdulwahid Sykes were executive members of Da'wat AI-Islamia and Jamiatul lslamiyya respectively providing the link between the new party and Islam.
Roman Catholic Julius Nyerere was elected TANU president. A faction within the Party against Christian leadership emerged. Because of their superior education the few Christians who dared to venture into TANU were immediately offered leadership positions[SUP]8[/SUP]. The main reason advanced for this opposition was the history of the Church as a guardian of the African Christians. Some Muslims in the Party had no confidence in the mission-educated Christians. Christians were perceived as too close to the colonial state to take up a leading role in the struggle against the colonial state. This Islamic ideology did not get support of Muslims although Muslims enjoyed preponderance over Christians in the Party. Muslims wanted to build in TANU a party of national unity national aspirations overrode immediate Muslim interests.
In 1955 TANU still in the formative stage called a meeting to clarify the status of Christianity in the Party and to establish a nationalist-secularist ideology as a way of preserving national unity.[SUP]9[/SUP] Where as the colonial state, had over the years of its rule used religion to stratify the people and create divisions among them, the Muslims leadership In TANU through the Elders Council suppressed the long standing Islamic radicalism to forge unity between the people. Christians however, for seasons already stated, did not play any significant role in the early years of TANU until 1958 when TANU contested its first election. This period is important in the political history of colonial Tanganyika because the outcome of TANU's decision to contest the election on those conditions came to adversely affect the future role of Islamic radicalism in the post independence politics.
This was the first election in which TANU took part since its formation in 1954. The colonial government of Governor Edward Twining had put very discriminatory conditions to the African electorate which required each constituency to vote for a European, an Asian and an African. Other conditions of eligibility for voting required the prospective voter to have an annual income of £200, Standard XII education and be employed in a specific post. These were stiff conditions for TANU to accept. Muslims who were active in politics could notmeet those conditions and could not therefore vote nor could they stand as candidates. The British, in alliance with missionaries, had denied Muslims education - the very condition which it put to deny them participation in shaping the future of the country. TANU had, therefore, to look outside its own rank and file for qualified Christian candidates to contest the election. This was to be the beginning of a Christians hegemony over the Party leadership.
Some Muslims within the Party rose to challenge this new development. Sheikh Suleiman Takadir, Chairman of TANU Elders Council, and all Muslim body wanted the Party to discuss this problem. There were fears that the emerging Christian leadership in TANU which would obviously go into the Legislative Council would also go on to form the first independence government. It was feared that these would use Church influence to suppress Islam as a political force. This conflict threatened to split the Party. 1958 was very crucial time for TANU. For over thirty years Africans had been working towards having democratic principles established in Tanganyika. TANU in 1958 was on the verge of knocking the doors of the Legislative Council but for the problem of Christianity which was again cropping up for the second time in the Party. The majority of Muslims in TANU did not see the African Christians as posing any threat to Islam in free Tanganyika. Many saw the Christian influx into the Party’s leadership positions as a catalyst for accelerating the thrust of the struggle - a consolidation of its own strength vis-a-vis the conspiracies of the colonial state. No one saw this rapid changing pattern of Party leadership as a neutralising agent against Muslim influence in TANU. The Takadir faction which was calling for equal representation between Muslims and Christians in the party leadership and in the independence government was seen as a divisive element. Sheikh Takadir was relieved of his post in TANU, suspended and later expelled from the Party for raising the sensitive issue, which it was feared, would divide the party along religious lines and consequently slow down the tempo of the struggle.[SUP]10[/SUP] TANU, therefore, selected the following to contest the 1958 election: Julius Nyerere, John Keto, Nesmo Eliufoo, John Mwakangale and Chief Abdallah Said Fundikira.[SUP]11[/SUP]
Failing to pursue Islam as a mobilizational ideology in TAN U, a group of Muslims crossed over from the Party and formed the All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT). AMNUT could not also get support from the Muslim majority in Tanganyika. No political party had emerged in Tanganyika on the basis of religious or ethnic rivalry. Having dominated the political Muslims were already de-tribalised by Islam. This diminished the chances of ethnicity over~1ing religious identity while at the same time consolidating Islam as an ideology of resistance and a unifying force of all Tanganyikans. The TANU Elders Council initiated a campaign against AMNUT. 43 prominent Muslim scholars in Dar es Salaam together with 80 of their counterparts in Tanga signed a declaration opposing AMNUT and what it stood for and reaffirming their loyalty and support to TANU.[SUP]12[/SUP] Many believed AMNUT was a reactionary party which had to be fought and eliminated for the sake of national unity. It was believed that after independence there would be appropriate forums to discuss suchissues of national importance.
[SIZE=+1]MUSLIMS AND POST-COLONIAL POLITICS:[/SIZE][SIZE=+1]THE POLITICS OF ANTAGONISM[/SIZE]
After independence had been achieved in 1961 Muslims looked forward to the future with confidence. In 1962 a pan-territorial congress of all Muslim organisations was called in Dar es Salaam to discuss the future role of Islam in then free Tanganyika. The following organizations attended the East African Muslims Welfare Society, Da' wat Al Islamia Jamiatul lslamiyya fi Tanganyika, Jamiatil lslamiyya fi Tanganyika "A" and the Muslim Education Union. The congress agreed among other things of importance to establish a department of education under the auspices of the EAMWS. Muslims did not wait for the independence government to start fulfilling its pre-independence promise of redressing educational disparity between them and Christians. Muslims initiated their own plans to compliment government efforts. Plans were put on drawing board to build schools throughout Tanganyika and eventually build the first Islamic University in East Africa. The congress elected Tewa Said Tewa a Cabinet Minister, a veteran politician of the TAA and TANU founder member as Chairman of Territorial Council of the EAMWS. This was to be the beginning of antagonism between Muslims and the Christian dominated central government. Politics of conformity practiced during the struggle for independence now started to give way to politics of antagonism as Muslims started to initiate plans to change the colonial status quo.
The predominantly Christian government and the Christian establishment felt threatened by these nation wide Muslim mobilisation efforts for development. The EAMWS leadership and its executive committee was now in the hands of Muslim party bureaucrats. The government saw this mobilization as Muslims bracing up for a second struggle to take over the country from Christian leadership. Without warning the state found itself in direct confrontation with a strong Muslim organisation in which every Muslim of Tanganyika was virtually a member and within its ranks were opponents of TANU as well as committed party members. At the same time the all-Muslim TANU Elders Council in its advisory role to the Party started to exert pressure to the government which the government perceived as smacking of Islamism. The Elders Council had overtime transformed itself from a vanguard committee to a Muslims pressure group within the Party.
Events started to move in rapid succession. In January 1963 some trade unionists were detained along with prominent Muslim Sheikhs. Rumours making the rounds in Dar es Salaam was that the Sheikhs were planning a coup against the government. Soon after, a prominent Muslim scholar Sherif Hussein Badawiy and his young brother Mwinyibaba who had established in Dar es Salaam a well patronised madras were declared prohibited immigrants and had to leave the country. In March, the TANU National Executive voted to dissolve the eleven-men working committee of Dar es Salaam Elders Council now under the Chairmanship of Mzee Iddi Tulio. The reason given by the Party for this action was that the Elders Council was mixing politics with religion[SUP]13[/SUP]. This was to be the beginning of a campaign of de-Islamisation of TANU and its history and the end of Muslim predominance in the post colonial party politics. Since achieving independence the Muslim card which was played against the British was seen by the government in power as a card which had outlived its usefulness. The dissolution of the Elders Council was the last hold of Muslim influence in the Party. The Church which had kept its distance during the struggle now surfaced to challenge Muslims leadership in TANU. In an unprecedented move by the Church, the Roman Catholic Church in Bukoba supported its own Christian candidates against Muslim candidates put forward by TANU in the local government elections. The church argued that it preferred its own candidates to TANU’s because the Party’s candidates were of very limited educational background.[SUP]14[/SUP] A similar campaign by the Church against Muslim candidates was also effected in Kigoma.[SUP]15[/SUP] There are no records existing which show that the government or the Party took any action against the Church for mixing religion with politics.
When the Second Muslim Congress was convened in Dar es Salaam later that year these serious issues were put forward for discussion. The Congress established beyond any reasonable doubt that there was a silent purge going on in the Party against Muslims and that there was nationwide anti Muslims campaign against leaders of the EAMWS. President Nyerere was invited to the closing ceremony and the congress registered its regrets to him. Nyerere talked at length on the problem and somehow managed to cool the situation. But there was no doubt in the minds of the EAMWS leadership that there was organised Church resistance against Islam and Muslims using the Christian leadership in the Party and government to effect its influence and decisions. The Christian leadership in state institutions was now using state power against Islam to have the Church control the government in independent Tanganyika.
In January1964 an army mutiny occurred in the Tanganyika Rifles. The government took this opportunity to detain trade unionists and some Muslims who were prominent in the post independence Muslims politics agitating against the government. When the case went on trial at the High Court there was no evidence tendered which showed that the mutiny was Muslims inspired or had any connection whatsoever with any Muslim organisation. In April a strong delegation of the EAMWS comprising of Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Said Omar Abdallah, Tewa Said Tewa, EAMWS Secretary Aziz Khaki and a TANU elder Sheikh Mwinjuma Mwinyikambi, left for a tour of Islamic countries to solicit financial support for the proposed Islamic University and to establish relations with the Muslim world. The government of the United Arab Republic of Egypt responded positively to the proposed Islamic University. An agreement was signed in Cairo between Tewa Said on behalf of the EAMWS and Vice President Sharbasy on behalf of the Egyptian government. The government of Egypt promised to build and Islamic University for the Muslims of Tanganyika to be owned and managed by the EAMWS. Capital expenditure of the project was estimated at 55 million sterling pounds to be contributed by the United Arab Republic of Egypt. From Egypt the delegation visited Jordan, Kuwait, Iraq and Lebanon. This was a significant step in the history of Islam in Tanganyika. Tanganyika has been open only to European countries and their various missionary organisations. For the first time in 1964 the country was being opened up for contact with other Islamic countries.
Soon after the delegation had returned from the Islamic countries, President Nyerere made a cabinet reshuffle. Tewa Said Tewa, Chairman of Territorial Council of the EAMWS was dropped from the government and appointed ambassador to the People’s Republic of China. This it was believed was not unconnected with Tewa’s efforts of mobilising Muslims and his efforts to unite them under one organization.
Bibi Titi Mohammed was elected Vice President to run the Organisation in the absence of the President Mr. Tewa Said Tewa. This was in January, 1965.
It is from this point that we can now start tracing and analysing how the government finally moved to subvert Muslim unity through a campaign of intrigue, sabortage, bribery and misinformation against the EAMWS leadership which it perceived as a threat to its own political domination over Muslim majority. The government was now literally in Christian hands. Apart from Zanzibaris in the union government: A.M. Maalim Minister of Commerce and Industry, Aboud Jumbe Minister of State, A.M. Babu Minister of Lands, Settlement and Water development and Hasnu Makame Minister of Information and Tourism, the only Muslim minister from the Mainland in the 15 men cabinet was Said Ali Maswanya, Minister of Home Affairs.
The main objective of the EAMWS was according to its1957 constitution was "to propagate Islam in East Africa".[SUP]16[/SUP] The society was multi-racial in membership and leadership composition. During its 21 years of existence it abstained from partisan politics. The society strictly confined itself to protecting and promoting Islam in East Africa. Since the mass detention of Muslims in 1964 after the army mutiny the EAMWS seemed to have lost its zeal and purpose. Some of its offices in the regions were closed out of fear of silent government hostility and for lack of strong leadership. Many Muslims hesitated to man those offices as they were of the opinion that such offices would be taken as centres of Muslim opposition against the government. For more than three years since the congress of 1963, the EAMWS did not meet. When at last it held its annual conference at Arusha in 1966 a separatist group emerged from Tanzania calling for the split of the society into three different autonomous entities. The separatist element from Tanzania also called for the "indigenization" of the constitution of the EAMWS.[SUP]17[/SUP] This meant constitutional changes had to be effected by the leadership to enable Tanzania become an independent body within the EAMWS. Independent minded delegates from Tanzania and the entire conference delegation from Kenya and Uganda were against such changes arguing that, such a move would isolate Tanzanian Muslims from the rest of the East African "umma". This, it was observed, would weaken not only Tanzania Muslims, but the Muslim community in East Africa. Kenya and Uganda delegates were aware of the fact that there was pressure from the Tanzanian government to split the society, and that the Tanzania delegation was working under heavy political pressure. It was an open secret that some Muslim leadership of EAMWS in Tanzania was facing silent intimidation from the government. But the conference did not address itself to these issues because such issues were taken as internal matter of the country concerned. However in the spirit of Islam delegates showed their sympathy privately to the situation which Tanzanian Muslims were facing. As delegates left for their respective countries it was clear enough that the state was encroaching into the affairs of the EAMWS making it extremely difficult to organise Muslims and to pass important decisions. To make matters worse and to drive the point home, Tanzanian State intelligence officers were very much in evidence during the whole period of the conference in Arusha.
It soon became clear that the government was working towards disbanding the EAMWS using few hand picked Muslims, the end result which was to form a new body which the state could have some control over its activities. This was to be done in order to contain Muslims as a political force. It is now from this point that we can start analysing the so-called ‘crisis’ of the EAMWS which characterised the last three months of 1968. In order to understand the whole episode it is important to trace out the nature of the ‘crisis’ and the integrity of the characters who played major roles in that ‘crisis’. Lastly, it is important to analyse the role of the government, the party and state institutions in the ‘crisis’ in order to see if it is true that there was an actual ‘crisis’ in the EAMWS, or if the ‘crisis’ was fomented by some Interested parties within the party and government and within the very Muslim fabric in order to weaken Muslims as a potential political force.
In 1967 Mwalimu Julius Nyerere announced the Arusha Declaration embarking Tanzania on a socialist path. The new economic policy was met with mass enthusiasm. An unknown Muslim school teacher by the name of Adam Nasibu who was the EAMWS Regional Secretary inBukoba seized the occasion and participated in a mass demonstration to TANU Regional headquarters in support of Mwalimu Nyerere’s new economic policy. Adam Nasibu was also quoted to have said that socialism was compatible tothe teachings of the Holy Quran. Adam Nasibu went further and issued "guidelines to all Islamic religious leaders in Bukoba providing for a basic explanation on theArusha Decleration".[SUP]18[/SUP] Non-Muslims saw Adam Nasibu as very progressive Muslim, and he being an executive of the EAMWS his support tothe new political development was perceived as an official recognition by the society to the Arusha Declaration. But before this incident, no one knew the schoolteacher as a politician, let alone being anintellectual. Under normal political climates, the EAMWS leadership at the headquarters in Dar es Salaam would have frown at such an open demonstration of partisanship. But there are no records which show that the EAMWS leadership at the headquarters did warn its Bukoba Secretary of such seemingly unbecoming behaviour. Probably the headquarters thought to do that would have been unpatriotic taking into consideration the enthusiasm shown by the people in the Arusha Declaration. After all Muslims have always provided the lead in the politics of the country. The headquarters of the EAMWS thought better of it and let the incident pass.
Adam Nasibu received some publicity in the news media because of that behaviour, particularly on his statement that socialism was compatible to the teachings of the Holy Quran. Some Muslims by observing the contemporary political climate as it affected Muslims which was at that moment not conducive to any Islamic influence to the politics for the country, saw in Adam Nasibu a person seeking cheap publicity by courting the government. All this notwithstanding the action by the Bukoba Secretary had very adverse effect on the entire society and its leadership. Adam Nasibu was seen as the champion of the people and a progressive Muslim leader who the government could depend upon. The leadership at the headquarters was seen as probably standing aloof, not being in touch with sufferings of the people and out of touch with the government policy. But still EAMWS as a religious organisation could not have come forward and support the Arusha Declaration because to do so would have been incompatible with the government policy. But still EAMWS as a religious organisation could not have come forward and support the Arusha Declaration because to do so would have been incompatible with the government hitherto unwritten law of not mixing religion and politics. Remaining uncommitted to the Arusha Declaration also was perceived as unpatriotic giving an indication that the society was unconcerned with the welfare and development of the people of Tanzania. To complicate the issue further the president of EAMWS, Tewa Saidi and his vice-president Bibi Titi Mohamed were former cabinet ministers who had lost power in previous general elections. It was therefore perceived by the government and party that being at the top hierarchy of the EAMWS the two were trying to build a new political base out of Muslims. Adam Nasibu had managed a coup against the president of the EAMWS, he had by his open overzealous patriotism proved to the government that he could be a better servant to the state than the seemingly decadent leadership at the Dare Salaam headquarters.
On 17[SUP]th[/SUP] October 1968 Adam Nasibu was again on the limelight but this time he was no longer a stranger to the people. People now knew him as the partisan Bukoba EAMWS Secretary who had supported the Arusha Declaration and issued directives to other Muslim leaders explaining the salient features of the document. Adam Nasibu made an announcement through the state radio and the party press that his region was splitting from the EAMWS.[SUP]19[/SUP] Overnight Adam Nasibu became a household name as the mass-media of the party and government started to build up his image and publicized what came to be known as the Muslim’ crisis’. The Party dailies had a field day:
"The state radio and the Party press gave very wide publicity to the defection. News headlines and front page photographs depicting Mr. Nasibu busy with Pressmen donned the Party dailies".[SUP] 20[/SUP]
It was after this announcement and the publicity by the mass-media that Muslims in Tanzania came to realise for the first time that they had a Muslim national "crisis" in their hands. Five days later on 22[SUP]nd[/SUP] October, Sheikh Juma Jambia member of the Central Committee of the EAMWS Tanga Region made a similar announcement of withdrawing from the society.[SUP]21[/SUP] Soon after, Iringa also announced its withdrawal from the EAMWS leadership at the headquarters in Dar es Salaam. The leadership of the EAMWS at the headquarters reacted immediately to these withdrawals by calling a meeting of the executive to discuss the new development in the society. The mass-media facilities which were at the disposal of the separatist group i.e., the Party newspapers and the state-controlled radio were denied to the EAMWS leadership. It was therefore clear from outset that the government was taking sides on the "crisis" and the state radio and Party newspapers were being used by the government to subvert Muslims and the EAMWS. Having known what opposition was against them the EAMWS leadership at the headquarters became engulfed with the atmosphere of insecurity and uncertainty, the EAMWS executive turned to Muslims for support.
The dissident group gave many reasons necessitating the split from the EAMWS but the main ones were as follows:
(i) The constitution of the society snot fit compared with the country’s leadership
(ii) The constitution should be Tanzanian
(iii) The Aga Khan should not be a patron
(iv) The Secretary General of the society should be an African Muslim
(v) No one knows the money given as aid from outside countries for the advancement of Muslims, not even the sources.[SUP]22[/SUP]
Islam has own basic principles and laws which guides Muslims in their every day life. The grievances given by the dissident group could never constitute a crisis of that magnitude, because some of those grievances could be solved through sheer common sense and goodwill. Others were undebatable because the basic teachings of Islam had provided guidelines. The issue of the constitution and aid were issues which could be discussed and resolved in the appropriate meetings. But questioning the multi-racial composition of Muslim organisation was to deny the universal message of Islam which cut across nationalities. This is against the teachings of the Holy Quran.
It was clear that the splinter group being learned Muslims were all aware of these teachings, and since they were persisting on splitting from the society it was obvious the over-zealous patriotism had a special mission with the backing of the government to fragment the unity of Muslims and hence weaken them politically. However on 14[SUP]th[/SUP] November 1968 the Tanzania Council of the EAMWS called a conference in Dar es Salaam to discuss the "crisis". The conference formed a seven-men commission of inquiry to probe into the "crisis"
and come out with a report. Mussa Kwikima, a lawyer by profession, was elected secretary to the commission. By then nine regions had withdrawn from the EAMWS and the Party dailies had elevated the "crisis" into a nation-wide public debate. The Party dailies were diverging and publishing information of the society with impunity inflaming an already volatile situation.
In order for the commission to work without prejudice it was necessary to ask the government to stop immediately the state controlled radio and the Party dailies from being used by the dissident group as its propaganda forum. The commission met the Minister of Information and Broadcasting to discuss the issue in his office on 20[SUP]th[/SUP] November, 1968.[SUP]23[/SUP] This did not help matters. The propaganda machinery against the EAMWS leadership 6everabated. The dissident group with Adam Nasibu as the main spokesman continued on ironically, transcending the political ideals, of the the government and the party by exerting political demands at times banking on racism insisting on breaking the EAMWS. Adam Nasibu was quoted by the Party daily "The Nationalist" to have said that:
"Muslims must know why the East African Muslims Welfare Society should have a constitution which was in line with the country’s policy. We do not know the role of the Aga Khan in our society and that is why we reject him."[SUP]24[/SUP]
But most suprising was the government unprecedented silence on statements by the splinter group that it wanted Muslims to align themselves with politics of the country since it was clear and open to every Tanzanian that politics should be divorced from religion. All this notwithstanding what was unique and unprecedented was the introduction of racism into Tanzanian’s polity. It was strange that the Party dailies were quoting and giving publicity to a group of Muslim dissidents blaming Ismailis for not being Africans. A decade ago the people of Tanganyika, the very Muslims who formed the core of TANU had fought tooth and nail against racist policies of African National Congress of Zuberi Mtemvu. Mtemvu was defeated and the end result was that the independence government of Tanganyika was a multi-racial government governing over a multi-racial society free from any racial tension. These new developments were not consistent with the government policy.
At this juncture the President of the EAMWS Tewa Saidi Tewa and his Vice President Titi Mohamed decided to put the problem before Mwalimu Julius Nyerere the President of Tanzania and the Chairman of the ruling party. Kiwanuka has described this meeting very well:
"…the two Islamic leaders told Mwalimu how unhappy they were about the manner in which the state radio and the Party Press had publicised the Islamic crisis. They argued that TANU was mixing politics with religion. Alerting him to this so-called press were no people other than Mr. Tewa and Bibi Titi, old and reliable comrades. Reliable in the sense that were it not Bibi Titi, and who stood for Mwalimu during the early TANU days, when Suleiman Takadir [SIZE=-2]- [/SIZE]one of the first TANU days, elders insinuated that TANU was Christians as Mwalimu and Rupia, President and Vice-President respectively then were Christians. Herself, a devout Muslim, successfully won the day by proving that Tanzania, or Tanganyika as it then was, came first and Islam later. And now, there she was [SIZE=-2]- [/SIZE]talking about the fuss she had ably thwarted in the 195s."
The reply the two got from Mwalimu was thrilling. My informant told me that it was straightforward. "You decided to wage a war against me, so be prepared".[SUP] 25[/SUP]
Here was Mwalimu Nyerere himself telling Tewa Saidi and Bibi Titi straight on their face to be prepared for what was obvious, a crusade against Muslim unity. Sheikh Suleiman Takadir had contemplated such a situation and had proposed to TANU way back in 1958 to have assurance that the Christian leadership that was being brought into power at the expense of Muslims would not act as a deterrent force against Muslims in their efforts to share power with Christians in post-independence Tanganyika. Tewa Saidi, a former executive member of TANU, a founding member of TANU, a minister in the first independence cabinet, a former member of parliament, a former ambassador to the People’s Republic of China and the President of the Muslim Council of Tanzania EAMWS, together with Bibi Titi Mohammed, the woman who mobilized all women of Tanganyika behind Mwalimu Nyerere and TANU, were being scolded by him like naughty school children simply because they had come to ask the President of a serious breach of principle which required his urgent attention and immediate decision.
In October, the crisis took a dramatic turn when the Vice-President of Tanzania Abeid Amani Karume attacked the EAMWS as an organisation of exploitation.[SUP]26[/SUP] From here Karume made a series of attacks and allegations on the society, at time attempting to analyse the relationship between the EAMWS and Muslim community from a Marxian philosophy arguing that the society "was an instrument of the big bourgeoisie which was being controlled by the capitalists who are exploiting he common people.[SUP]27[/SUP] As the "crisis" escalated the attacks shifted from the EAMWS to the basic teachings of the Holy Quran. In a public rally in Zanzibar Karume challenged any Muslim to come out openly and fearlessly to oppose his two statements that:
"There is no difference between Islam and Christianity", and "Fasting in Islam is not obligatory."[SUP]28 [/SUP]1968 was a very trying period for Muslims.
By the first week of December with 9 out of 17 regions out of the EAMWS, the splinter group formed a committee and in collaboration with the Maulid Committee of Dar es Salaam which was under the chairmanship of Sheikh Abdallah Chaurembo, convened a meeting of all Muslims at the Arnautoglo Hall on 3[SUP]rd[/SUP] December 1968. Sheikh Abdallah Chaurembo was once a student of Sheikh Hassan bin Amir and was under his tutorial until 1961 when there arose a conflict between the Sheikh and Sheikh Chaurembo on issues of politics of Tanganyika. Because of that conflict Sheikh Abdallah Chaurembo cut short his studies under Sheikh Hassan bin Amir and became very much involved in TANU politics to the extent that he was consequently elected to the TANU National Executive Committee. As long as Sheikh Hassan bin Amir was in Dar es Salaam it was not possible for anyone to assume national Muslim leadership in Tanzania less so Sheikh Chaurembo. Sheikh Hassan bin Amir was therefore arrested and deported to Zanzibar to pave way for pro-government Muslim leadership. The splinter group committee was a fusion of the government backed Adam Nasibu (who was the secretary of the committee) and party bureaucrats like Sheikh Abdallah Chaurembo and Juma Suedi from Bukoba TANU Branch and others who although not in the committee were highly influenced by the anti Muslim politics of the state. This committee announced a conference which was to be known as Islamic National Conference. The conference was o be held in Iringa from l2th-lSth December 1968. The main agenda of the conference was to discuss a constitution for a new Muslim organisation.
Meanwhile Muslim bureaucrats in the government completely refused to assist the Kwikima Commission in any way arguing that to do so was mixing religion and politics. The splinter group also refused to meet with Commission. Muslim scholars who could have intervened in the crisis could not do so because most of them were convinced that the splinter group had a backing of the government and were under instructions to wreck the EAMWS. The splinter group, it turned out, was not interested in any compromise short of forming another pro-government organisation.[SUP]29[/SUP] More over there were rumours also that "anyone who would take part in the activities of society would be detained".[SUP]30[/SUP] Members of the Commission and other Muslims could not easily ignore such threats.
The Commission of Inquiry knew that the dissident group on its own did not have the power nor the mandate to break the EAMWS. Following the announcement by the splinter committee of the Iringa conference, the Commission made public its report on 11[SUP]th[/SUP] December [SIZE=-2]- [/SIZE]a day before the Iringa Conference was scheduled to begin. The report addressed to all Muslims of Tanzania called for a general conference of the EAMWS in February the following year to discuss and make a final ruling on the "crisis".[SUP]31[/SUP]. The meeting was later re-scheduled for January due to the urgency of the "crisis" at hand. The Party English daily "The Nationalist" after studying the report of the commission decided to pick on the financial report of the EAMWS and label it as "incorrect".[SUP]32[/SUP] This was a calculated move meant to portray the Muslim leadership of the society as dishonesty. That very same week the Aga Kahn who had been a point of attack by the splinter group resigned his post in Paris as patron of the society.[SUP]33[/SUP]
While the Commission was waiting for the response of its report from the Muslim community the dissident group now with open backing of the government and party assembled in Iringa for the Islamic National Conference on 13[SUP]th[/SUP] December, 1968. The government working behind the scene went out of its way to make the conference a success. It financed the conference, gave it publicity and provided security for the delegates. The conference was attended by Muslim Party and government bureaucrats, Muslim Area and Regional Commissioners and Muslim Areas and Party Chairmen. All Muslim notables were invited including Party Chairmen. All Muslim notables were invited including Party National Executive Committee members and some delegates from Zanzibar. It was literally a conference of Muslim politicians. The most significant thing about the conference was that first it was dominated by very controversial Muslim personalities. Under normal circumstances such an important congregation of Muslims from Zanzibar and Mainland would have seen in its midst renowned Muslims scholars who have a history of commitment, sincerity and devotion to Islam. None of these personalities was there with the exception of Sheikh Mohamed Ramiya of Bagamoyo. The conference was opened and closed by the First Vice-President Karume and Second Vice President Kawawa respectively. The conference passed a new constitution which was a replica of the constitution of the ruling party TANU, and a new Muslim organisation [SIZE=-2]- [/SIZE]the National Muslim Council of Tanzania (BAKWATA) was formed.
The new Muslim organisation elected Salehe Masasi as the National Chairman, Sheikh Abdallah Chaurembo - Deputy National Chairman and Adam Nasibu - Secretary General. All the top executive of the National Muslim Council expected came from the dissident group. This leadership asked the government, TANU and Afro Shiraz Party "to keep a keen eye and make serious investigation on all territorial leaders of EAMWS especially the President, his Vice President, their Secretary and some Regional and District leaders who bore ill will to the new body".[SUP]34[/SUP] The leadership of the new Muslims organisation at their hour of triumph did not extend a hand of conciliation to fellow Muslims in the EAMWS according to Islamic spirit, instead it asked the Party and the government to persecute them, particularly the top leadership. After the formation of the National Muslim Council, in order to clear the air and instill confidence to the Muslim community the secretary of the commission Mussa Kwikima issued a statement saying: "no one could threaten the existence of the EAMWS except its members, the law and the government, but not individuals even if all 17 regions would not automatically mean that the society was legally dead since its existence was not determined by the number of regions affiliated to it but by the number of its members, the Muslims."[SUP]35[/SUP] At this point the new organisation was not yet registered by the Registrar of Societies, and on a legal point there was no way that the dissident group could form a new organization when it had objectives similar to those of another society in existence. For about three days the two Muslim organisations existed together side by side. For a time it seemed as if the EAMWS was going to wither the storm. Then on 19[SUP]th[/SUP] December, 1968 the government as if jolted by Kwikima’s statement issued a Certificafe of Exemption to the new organisation and banned the EAMWS.[SUP]36[/SUP] The government issued a short statement:
"The Minister for Home Affairs has by command of the President declared the Tanzania Branch of the East African Muslim Welfare Society and Tanzania Council of the East African Muslim Welfare Society to be unlawful societies under the provisions of section 6(1) of the Societies Ordinance ".[SUP]37[/SUP]
Muslims were by that declaration of the President of Tanzania denied the chance to discuss and make a final ruling on the crisis which so to speak was a conflict among Muslims. To ensure that Muslims complied with the ban order the government put armed policemen outside the offices of the society. It was in that manner that the curtain of the EAMWS saga was lowered. A saga which began with a simple school teacher marching in a mass demonstration in the streets of Bukoba in support of Mwalimu Julius Nyerere's Arusha Declaration and ended with him holding a responsible post in a weak and controversial Muslim organisation. The school teacher now General Secretary of the newly formed National Council of Tanzania started his new job in style. In a statement he made to the press on 19[SUP]th[/SUP] December, 1968 he said his organisation was similar to the Christian Council of Tanzania.[SUP]38[/SUP] Since Muslims did not hold their meeting to deliberate on the "crisis" we can only speculate the outcome of that meeting had it been allowed to convene. The Muslims of Bukoba who were reported to have demonstrated behind the school teacher in support of Arusha Declaration did not voice support nor did they organise a mass demonstration in support of the new organization. In Dar es Salaam and in many places in Tanzania, the National Muslim Council widely know by its Swahili acronym Bakwata (Baraza Kuu Ia Waislamu Tanzania) is a word of insult. To refer to a Muslim as a Bakwata member is like calling a Christian [SIZE=-2]- [/SIZE]a disciple of Judas Iscariot who sold Jesus for 30 pieces of silver.
Of the Commission of Inquiry one member of that Commission deserve special mention - Mussa Kwikima. Mussa was a young judge appointed by the President. He was to very large extent because of his expertise the force behind the commission. When he offered his services to the EAMWS he was warned of the risk exposing to himself and his career. Mussa Kwikima replied that the threat facing Muslim unity was above his personal interest. After the formation of Bakwata and hence the end of the "crisis" Kwikima was transferred from Dar es Salaam to Mwanza as a Senior Resident Magistrate and his name was dropped from the list of Judges appointed by the President.[SUP]39[/SUP]
What remained after the demise of the EAMWS was to try to establish Bakwata in the regions as an organisation representative of all Muslims of Tanzania Mainland. The most part of 1969 Adam Nasibu and his four-men committee toured the regions campaigning for Bakwata’s acceptance by Muslims. The committee offered personal financial assistance to any Regional Secretary of the now defunct EAMWS who would cooperate with the Bakwata headquarters in establishing the new organisation in his region. Muslim did not show any enthusiasm towards Bakwata. In Tabora a region which did not withdraw from the EAMWS, the committee was permitted by the government to hold a public meeting. But before Adam Nasibu could speak Maulidi Kivuruga [SIZE=-2]- [/SIZE]a veteran of the African Association, a founder member of TANU in Tabora and now a respectable elder politician took the floor and on behalf of the Muslims of Tabora put up a condition that Muslims were not ready to listen to the dissident group unless Waikela, one of the members of the Commission of Inquiry from Tabora was also allowed to address the meeting. This was unacceptable condition to the committee.
Few days later Waikela was summoned by the Director of Criminal Investigation for interrogation about his political activities and about his opposition to Bakwata. In a room at Tabora Hotel, Sawaya, the Director of C.I.D. interrogated Waikela as to why he was not ready to cooperate with the government in establishing Bakwata in Tabora, at times threatening him. Waikela was drilled for four hours and asked to sign some papers which he did. Waikela was never to hear from the government again. Despite the silent resistance Bakwata has been established in Tabora and in all regions of Tanzania.
Kiwanuka’s thesis since published in 1987 has stood as a conclusive authority to the Muslim "crisis". Kiwanuka is of the opinion that the government was right to do what it did to protect national unity. Kiwanuka supports the government stand that religion and politics should not be mixed. The two should be separated. Like many works on political history of Tanganyika the thesis fails to link the role of Muslims in forging national unity in the struggle for independence and hence fail to show the pre-independence aspirations of Muslims of Tanganyika. The work does not analyse how the present Christian leadership rose to power and from what background did it build its political base. Kiwanuka simply introduces Muslims in confrontation with the government and does not clearly show the role of the state on the whole confrontation. If he had researched on the political history of Tanganyika he would have found the reasons for the confrontation between Muslims and the Christian dominated government of independent Tanganyika. Further still he would have known the reasons why the government wanted in earnest to have a Muslim organisation which it could control just as it was controlling other mass organisations like the trade unions. If Muslims did not desire the unity of the country they would have supported Sheikh Takadir in 1958 and AMNUT in 1959. What Muslims had asked after independence was equal representation in government coupled with equal educational opportunities, this is not mixing religion and politics.
Christian teachers supported by the Roman Catholic Church challenged TANU Muslim candidates in local government election in Bukoba in 1963 and the Muslim candidates were defeated. No records exist which show that the government took any action against the Church as an institution or against individual Christian candidates. But Muslims were detained obviously for resisting Christian hegemony over the Party. The Party National Executive Committee purged the Muslim dominated Dar es Salaam Elders Council from TANU for mixing religion with politics.
The Roman Catholic Church in Bukoba lacked tactics and exposed itself. The new forces against Islam used subtle means and were able to subvert the EAMWS and imposed its own organisation on Muslims. How can one explain the fact that a government which had always been against racial discrimination and worked for national unity allow a group of not more than five people to use the state mass media to propagate disunity and racism. How can one explain the fact that such an important body like the National Muslims Council could be formed by and its top leadership be in the hands of people considered controversial in the Muslim Community. How possible can Muslims initiate a body to propagate Islam without having the support of Muslims themselves or without having a single respectable Muslim scholar on its entire leadership. Bakwata was not formed with the interest of Muslims in mind. Bakwata was imposed upon Muslims to subdue them as a political force. The new leadership in the party and government feared to face the future with Muslims organising themselves independent of the central authority.
As the independence government showed no intention of giving equal opportunity to Muslims on education persisting to maintain the colonial status quo, it was obvious that a second struggle would be launched against the Christian dominated government as Muslims did against the British Christian administration. And there were indications that Muslims were bracing themselves for the second struggle and that struggle was not through TANU because already a purge against them was underway. The second struggle was to be through the unity of all Muslims. This created a state of fear and the government kept itself on perpetual guard against such eventuality. Out of fear the government pounced on any Muslim which it felt was a threat to its authority. It is out of fear that even the history of the country Is being erased. This is one of the ways the government thinks it could stop evoking past Muslim sentiments.
At the time when the splinter group with state backing was rejecting the Aga Khan from the EAMWS for being an Ismaili Muslim no one pointed a finger to the Christian establishments and administration in Tanzania which are dominated and financed by different foreign powers. No one pointed an accusing finger to the Roman Catholic Church which has diplomatic accreditation of the Pope in the country. If the Aga Khan was a threat to the security of the state then there was no serious threat than the threat posed by all the Christian establishments in the country. The Catholic Church demands total allegiance from all its adherents, the Church moving its members in important positions in the Cabinet, the Party and in the Civil Service, could have posed and caused government instability. By weakening Muslims through the divide and rule tactics Christians were being made stronger.
By 1970 the furore of the Muslim "crisis" had died down. In that year Mwalimu Nyerere attended a seminar for religions and organised political leaders in Tabora conveniently organised by the Tanzania Episcopal Conference. In that seminar for the first time Mwalimu publicly addressed himself to the issue of TAN U’s religious identity. Mwalimu said: "Our Party, the TANU, has no religion. It is just a political party and there are no arrangements or agreements with a particular religion".[SUP]40[/SUP] This statement can only mean one thing that is, TANU had over the years lost its Muslim identity; because TANU since 1954 had an identity and the political history of the Party testifies to this. If in 1970 the party had lost its Muslim identity it means that the Muslim influence and identity has been successfully wiped out. This fact is confirmed by Mwalimu’s own statement when he said:
"I have established in TANU a department of political education and I have put a Lutheran Minister in charge. He was not a great politician, but I selected him because of his balance, his gentleness and his strong solid faith..."[SUP]41[/SUP] Mwalimu has proved that it is one’s faith which determines politics in Tanzania and TANU could not be a party with no religion. Religious sentiments and convictions are important since they determine thoughts and actions which go a long way in the administration of a country. Muslims have to wake up to these realities and recapture their lost political power.
[SIZE=+1]THE AFTERMATH[/SIZE]
The Party is weak, it no longer commands respect, dignity and enthusiasm it did in the days of yore. The Party has alienated itself from its founders. The de-Islamisation of the Party has gone full circle and its Muslim history has been erased. Bakwata has sided with the government thus failing to uphold Muslim values and principles. As a reaction to this Muslims have started to organise themselves independent of the central authority. Tanzania Mainland has more than 100 Muslim youth organisations scattered throughout the country. Few of these are registered with the Registrar of Societies as required by law, a majority operate without registration. Few of them operate underground for effectiveness. The government is reluctant to register Muslims organisations because to do so is to erode the power of Bakwata.
We cannot talk of any Muslim development because the colonial status quo still persists. The ratio of Muslim joining higher institutions of learning trails behind Christians 1:10. In desperation Muslims have opened up their own schools but all of them are poorly organised and equipped. The state look at these school as centres of Muslim militancy and agitation against the established system and are therefore frustrated in many ways to discourage their opening. Muslim organisations from outside the country who want to help Muslims in Tanzania are met with all kinds of hostility from other state institutions to drive home to them that their presence in the country is undesirable. These anti Muslim campaigns have of late become so pronounced to the extent that even the most liberal among Muslims have become radicalised, so to speak and are joining the movements. Muslim issues which few years were unheard are now being discussed in camera in the Party and state institutions. These are fruits of underground movements which have conscientised the few Muslims in positions of power and authority. National salvation lies in justice to be done to all. What has happened in other countries can easily happen in Tanzania. There is still time to avoid such a situation. All is well that ends well. [SIZE=+1]REFERENCE[/SIZE]
1. August H Nimtz Jr Islam and Politics in East Africa, University of Minnesota Press, Minneapolis, 1980, p. 11 [SIZE=-2]. [/SIZE]Also see Jan Pvan Bergen, Development and Religion in Tanzania, Madras, 1981 p.23.
2. See P. Gerold Rupper, OSB, Pugu Hadi Peramiho: Miaka 100 Ya Wamisionari Wabenediktini Katika Tanzania, Benedictine Publications, Ndanda [SIZE=-2]- [/SIZE]Peramiho, 1980, pp. 31-42.
3. See Yusuf Halimoja, Historia ya Masasi, East African Literature Bureau, Nairobi, 1977, pp. 163-175. For the linkage between Islam and Mali Maji War see Nimtz op. cit., pp. 12-13.
4. See "Kiongozi’ No. 6, June 1950. For more information on missionary penetration in East Africa see M. Langley & T. Kiggins:
A Serving People, Oxford University Press, Nairobi, 1974, p. 19.
5. See Daisy Sykes Buruku "The Townsman: Kleist Sykes’ in Iliffe (ed.). Modern Tanzanians, East African Publishing House 1973, p. 1.06.
6. For a detailed account of the strike see John Iliffe, "History of Dockworkers of Dar es Salaam" in Tanzania Notes and Records (Dar es Salaam) 71: (1970).
7. The author has published two articles on the subject See "Africa Events’ (London) March/April, 1988 and September 1988.
8. Tanganyika, "Membership of Political Associations. Tanganyika Government Circular No. 5 (1 August 1953) Dar es Salaam, 1953. The Circular barred African civil servants from politics.
Christians being the most, educated were employed in the civil service. This prevented them from active politics.
9. See "UHURU" 3[SUP]rd[/SUP] July, 1974 article by Rajab Diwani member of TANU National Executive ommittee: "TANU Ilipambana na Misukusuko Mingi’.
10. "Mwafrika’ 11[SUP]th[/SUP] October, 1958.
11. See Historia ya Chama cha TANU, kivukoni Ideological College, 1981, p. 56.
12. "Mwafrika" 3[SUP]rd[/SUP] October, 195g.
13. "Tanganyika Standard’ 12[SUP]th[/SUP] March, 1963.
14. See K. Mayanja Kiwanuka, "The Politics of Islam in Bukoba District" B.A. Thesis, University of Dar es Salaam, pp. 57-58.
15. See H. Mapunda, Historia ya Mapambano ya Mtanzania. Tanzania Publishing House, Dar es Salaam, 1979, p. 172.
16. Constitution, Rules and Regulation of the EAMWS/ Sheria za EAMWS (Chama cha Kustawisha Uislam Katika Afrika ya Mashariki). Dar es Salaam Printers Ltd., Reprint 1960.
17. See Kiwanuka op. cit., p. 75.
18. Ibid.
19. "Taarifa ya Kamati ya Utendaji EAMWS Mkoa wa Tanga"
23[SUP]rd[/SUP] October, 1968 Ripoti ya Sheikh A.J. Jambia.
20. Kiwanuka, op. cit., p. 2.
21. See Kwikima Report in "The Standard’ 12[SUP]th[/SUP] December,
1968. Also "The Nationalist’ 24[SUP]th[/SUP] October, 1968.
22. See Kwikima Report.
23. Barua ya Mwenyekiti Halmashauri ya Uchunguzi Migogoro ya Waislamu kwa Waziri wa Habari na Utangazaji 21[SUP]st[/SUP] November, 1968.
24. "The Nationalist’ quoted in Kiwanuka p.81.
25. Kiwanuka, pp. 2-3.
26. lbid., p.81.
27. "The Standard’ 9[SUP]th[/SUP] November,1968 quoted in Kiwanuka p. 81. Also see "The Standard’ 20[SUP]th[/SUP] November, 1968.
28. "The Standard’ 31[SUP]st[/SUP] December, 1968.
29. See Kwikima Report.
30. Ibid.
31. Ibid.
32. "The Nationalist" 15[SUP]th[/SUP] December, 1968.
33. "Baraza’ (Nairobi) 12[SUP]th[/SUP] December, 1968.
34. See Kiwanuka p. 85. Also Proceedings of the Iringa Conference 12[SUP]th[/SUP] -15[SUP]th[/SUP] December, 1968 in Bakwata File Maktaba ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma. Also "The Standard" 17[SUP]th[/SUP] December, 1968.
35. "The Standard’ 18[SUP]th[/SUP] December, 1968.
36. "The Standard" 20[SUP]th[/SUP] December, 1968.
37. Ibid.
38. Ibid.
39. Kiwanuka p. 86. Other information from Bilali Rehani Waikela
40. See Bergen, p. 238. 41. lbid., p.335.

The Big Show,

Ahsanta sana Al Akhiy,hii fadhila njema ulofanza kwa kuurejesha huu mpini adimu hapa jamvini. Mnakasha wetu nahisi utarejea kwenye kwenye Mada kwa utulivu.

Shukran Mola takulipa Insha Allah.

Cc;Ritz
 
Mimi nitaendelea kushikilia msimamo wangu ya kwamba julius was very very bright and clever,na hawez kuzaa mtoto Dull wa sampuli yako hata siku moja,,

Kwa kupitia hilo bandiko lako umeshindwa kabisa kujua maana ya uasisi??

Julius anakuambia hao jamaa walishalifikiria hilo jina long time ago hata kabla ya huo mwaka 1954,sasa kipi kinachokushangaza wewe na kukufanya ushindwe kung'amua ni nani ana jua chimbuko la jina la chama hiko??

wao waliokawepo burma au huyu alieibuka mwaka 1954??

Kweli umechuja sana bwana mdogo..,mdandia nasaba za watu...

What a shame...!!

THE BIG SHOW,

Naomba nikuulize je? Wakati hao waasisi wanaasisi hicho chama cha Tanu je? Walipendekeza majina mangapi? Au walikuja na jina la Tanu moja kwa moja bila ya mapendekezo mengine?
 
Yericko Nyerere,

Naona hapa kwenye mnakasha umetoweka kitambo,maswali ya wanajamvi kwako hutaki kuyajibu unadai ati "huyaoni" au "hayana mshiko"(japo sifahamu mshiko maana yake ni nini!?),mengine unadai ni ya kipuuzi!? Najua pia unafanza kusudi, kutuharibia kila wakati na kutuchanganyia mambo na upuuzi wako wa ngonjera za kigaidi. Kuna wakti pia ulileta mpaka picha za matusi na kashfa za yule Padri hapa jamvini!? Sidhani kama vile vitu vilikua relevant hapa!
Nahisi wewe unaona raha tu ya hii publicit ya kitoto ulopata/upatayo kutokana na Mada/mnakasha huu.

Kwa taarifa yako sisi walamba boots za Sheikh Mohammed Said,tunakupa Ilani ya siku sabaa-7 tu ili ujirekebishe tabia yako. Ikiwa kama mleta mada,basi yatakiwa uwe responsible.

La kama si hivyo, sisi soote tunaondoka rasmi kwenye hii thread yako na tutafungua thread yetu wenyewe na Sheikh mohammed wetu, ili tukapate ilm zaidi na huku tukiendelea kulamba boots zake!

Natumai utanifaham japo kiduchu.

Shukran.

Cc;Sheikh Mohammed Said

NB:
Hizo siku7 zinaanzia leo hii!
 
Mohamed na wafuasi wako, pateni chakula cha mchana hapa,



UNDANI KUHUSU C.I.A

Taifa la Marekani lina vyombo vingi vya usalama vinavyofanya kazi mbali mbali, inamulikwa CIA tu kwa sababu ndio tunao suguana katika maisha ya kila siku. Maamuzi ya siasa za ndani na nje za Marekani hufanyika baada ya ripoti ya CIA, hata FBI inafanya kazi chini ya ripoti ya CIA. FBI kirefu chake ni Federal Bureau Investigation, ambayo ni sawa na kitengo cha upelelezi makosa ya jinai hapa kwetu yaani (C.I.D) na CIA kirefu chake ni Central Intelligence Agency

Vyombo vingine vya usalama Marekani ni kama:-

1. Wakala wa usalama wa Taifa (National Security Agency)
2. Wakala wa ulinzi (Defence Security Agencies)
3. Ujasusi wa kijeshi (Military intelligence)
4. Kitengo cha ujasusi wa Navy (Wanamaji)
5. Ujasusi wa anga
6. Ofisi ya Ujasusi na utafiti teknolojia
7. Ofisi ya umoja wa upelelezi makosa ya jinai FBI
8. Kamati ya nguvu za Atomic .kitengo cha ujasusi
9. Kamati ya ujasusi hazina.


Vyombo vyote hivi vya ujasusi viko chini ya CIA kwa njia moja ama nyingine. Pia ieleweke kuwa vitengo hivyo vinaweza kuzidi au kupunguza kutokana na mahitaji ya mahali na wakati munasibu, Kwa mfano: kulikuwa na kitengo kipya cha kumfuatilia Osama Bin Ladeni na kumtafuta yeye tu, hicho ni kitengo maalum kwa ajili yake tu.

Hapa tutaangalia vitengo viwili tu kutokana na kusuguana navyo katika nyanja mbali mbali hasa wanaharakati wa kiislamu kwa ujumla nazo ni:.

1. Kitengo cha kupambana na majasusi (CENTRAL INTELLEGENCE)
2. Kitengo cha kupambana na ugaidi duniani,
CENTRAL INTELLEGENCE

Kitengo hiki kina majukumu muhimu ya kuwafuatilia wageni wote kwa ukaribu sana. Kama vile wanadiplomasia, wafanyabiashara , wafanyakazi wa kigeni, waandishi wa habari, watalii na wanafunzi kwa ujumla bila ya kusahau kusomabarua zao, kurekodi simu zao, kuwafuatilia katika mizunguko na shughuli zao, kufumbua mafumbo ya ishara (shafron) Kitengo hiki kina uwezo wa kumfuatilia mtu kwa masaa 24 kwa muda wa mwezi bila mtu kujua, lakini wapo wale majasusi waliokubuhu, mfano majasusi kutoka Urusi na Uchina wanazo mbinu za kuwapoteza kwa urahisi sana.

Kitengo hiki pia humfuatilia jasusi kwa kumpiga picha, kurekodi sauti kwa kupandikiza microphone chumbani kwake au kupandikiza kamera ndogo (microcamera). Kitengo hiki vile vile huwafuatilia wale majasusi waliopandikizwa deep cover au (Natural deep cover). Kitengo hiki cha kupambana na majasusi hufanya kazi ngumu ya kugundua wale wenye nia mbaya na Taifa lao (Marekani)
KITENGO CHA KUPAMBANA NA UGAIDI

Kitengo hiki kinakazi ya kufuatilia taasisi zote za kigaidi duniani za ndani na nje ya nchi, kujua wanapata wapi mapato yao, Viongozi wao, Kazi zao, Watu gani ni active (hai) katika taasisi hizo, Watu wangapi wanasilimu, kiwango cha kukua kwa ugaidi kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni, kiulinzi, kiteknolojia, kijamii na kuutekeleza ugaidi kwa vitendo. Ugaidi unaenea kwa kiwango gani huko Mashariki ya mbali, Asia ya kati, Mashariki ya kati, Afrika, Ulaya na Marekani ya kaskazini na kusini.

Kitengo hiki hakiishii hapo tu bali huwatafuta wale magaidi wote waliojitolea nafsi zao kwa Allah S.AW baada ya kuvunjika kwa muungano wa Kisoviet. Kila mpiganaji ambaye hakupata shahada kuwa ni gaidi! au Mujahidina kama ambao walitokea karibu dunia nzima kujibu wito wa jihadi dhidi ya wakomonisti baada ya jihadi walisambaratika duniani kote na wale waliokuwa wanatafutwa na serikali zao waliamua kubaki huko wengine walienda huko Bosnia, Tajikstani Chechnya, Algeria, Yugoslavia na kwingineko duniani na kuendelea kusimika serikali za kiislamu zenye msimamo mkali na jihadi wakiwa wanamuomba Allah wafe wakiwa mashahidi, Watu hawa wameuoanisha ugaidi na uislamu na kufanya dunia igawike.





Na Yericko Nyerere

Kutoka "Vita dhidi ya Ugaidi"



Huu ni upumbavu na upuuzi wa hali ya juu uliouandika hapa,and you must be ashamed kwa bandiko lako hili lilikosa weledi na staha dhidi yetu sisi waislam,

Mara nyingi nakuambia ya kwamba kwa jins nyerere alivyokwa bright n smart hawez kuacha offspring dull na ya kikanjanja ya sampuli yako,na hata hao wamarekani wenyewe unaowasema wakekufadhili kwa unandishi wa kitabu chako hawawez kuwa wapuuz kias hicho,

Naona umekuja moja kwa moja kumdhalilisha Allah kwa kusema wale wanaojitolea kufa kwaajili yake ni magaidi na kwamba waislam wote ni magaidi kwa itikadi hizo,huo ni upuuzi wa hali ya juu,unashindwa kuelewa kulikuwa na mikataba gani baina ya osama bin laden na marekani kabla ya hizo pande mbili kuhitilafiana kikaz na marekani wakaamua kuuvisha umma mzima wa kiislam kwa shutuma ya ugaidi ili hali uhalisia wanaujua,,

Sasa kitu unachotakiwa kujua,hata hao waamerika hawaangalii tafsiri ya ugaid kwa kuangalia aliefanya ni nani,hata wasiokuwa waislam wanafanya hayo anayoyasema yeye mmarekani,ila sasa kwa kuwa ana ajenda yake ya kuufight uislam katika kuamua kuchagua kumpa mbwa jina baya kisha amshoot vizur risasi alichokiona kinafaa zaid kwa uislam ni kuunasibisha na ugaid,,

Wewe upeo wako ni wa hali ya chini sana,tunakuuliza unatuletea upumbavu kama huu,je uchochez wa Moh Said umekushinda??umetosheka nao??

Sisi tunazid kukupuuza na kukudharau kwa kias kikubwa saana,kwa sababu umeanza mwenyew kujidharaulisha,

Allah s.w unaemtaja taja kwa dhihaka sisi ni muumba wetu na tegemeo letu la kila kitu,unapoanza kuja kumtaja taja kwa dhihaka na kejeli tutazid kukuweka katika daraja la kilimbuken au la kihayawani yericko,jifunze adabu sana...

Mufilisi mkubwa we..
 
Yericko Nyerere,

Naona hapa kwenye mnakasha umetoweka kitambo,maswali ya wanajamvi kwako hutaki kuyajibu unadai ati "huyaoni" au "hayana mshiko"(japo sifahamu mshiko maana yake ni nini!?),mengine unadai ni ya kipuuzi!? Najua pia unafanza kusudi, kutuharibia kila wakati na kutuchanganyia mambo na upuuzi wako wa ngonjera za kigaidi. Kuna wakti pia ulileta mpaka picha za matusi na kashfa za yule Padri hapa jamvini!? Sidhani kama vile vitu vilikua relevant hapa!
Nahisi wewe unaona raha tu ya hii publicit ya kitoto ulopata/upatayo kutokana na Mada/mnakasha huu.

Kwa taarifa yako sisi walamba boots za Sheikh Mohammed Said,tunakupa Ilani ya siku sabaa-7 tu ili ujirekebishe tabia yako. Ikiwa kama mleta mada,basi yatakiwa uwe responsible.

La kama si hivyo, sisi soote tunaondoka rasmi kwenye hii thread yako na tutafungua thread yetu wenyewe na Sheikh mohammed wetu, ili tukapate ilm zaidi na huku tukiendelea kulamba boots zake!

Natumai utanifaham japo kiduchu.

Shukran.

Cc;Sheikh Mohammed Said

NB:
Hizo siku7 zinaanzia leo hii!

gombesugu
Salaam sana,hilo ulilolisema litakuwa la maana zaid,kama hoja zishatolewa humu na hakuna jipya analolifanya huyu chakubimbi zaid ya kuja kuuonesha pishi lake jingi la ujinga hapa,,

Me nadhan hakuna haja ya kuendelea kumpa umaarufu usio na sababu,huu alioupata unatosha sana,kama kuna uwezekano tumwombe tuh mwalimu wetu Mohamed Said akapumzike na tuanzishe uzi mwingine ili wenye nia ya kutaka kuipata ilm kutoka kwake tuipate bila bughdha za aina yyte,kwa maana sasa tushaanza kufanyana wote ni watoto wadogo,mtu mpuuzi anakuja hapa na mabandiko yake ya kifedhuri ati ugaid ugaid na yericko nyerere anachokiandika na anachokisema cha maana wala hakionekani,mpumbavu sana huyu jamaa,,ndio kwa maana Invisible anawaambia wafiche upumbavu wao na waoneshe werevu wao lakini walizingatii kabisa hili..
Yericko umaarufu ulioupata hadi sasa nadhani unakutosha sana,kama unataka kuuuza kitabu chako na kukitangaza fungua uzi watu wenye kukitaka watakufuata huko,usitegemee kusafiria nyota ya Moh Said hapa umeskia we limbuken???
 
Last edited by a moderator:
Wild Card,
kwani huzioni shule zetu zinavyojengwa?

Huoni hijab asubuhi mabinti wakenda shule?
Tunajenga shule nyingi tatizo letu ni NECTA.
Hijab naziona mzee ingawa hakuna zinachoongeza kwenye elimu kwa aliyezivaa! Hawa mabinti usiku tunakumbana nao mitaani kama wale wengine. Jitahidini na wavulana wavae kanzu na kale kakofia. Kasi ya ujenzi wa shule ni ndogo mno ukilinganisha na wale wa upande wa pili. Kazania sana hili kwa kweli.

Hii NECTA mnaweza kuiruka mkasajili shule zenu kwa mitihani ya Cambridge au kule Uarabuni kama kuna boards za mitihani kama hii NECTA (@Barubaru atasaidia). Natamani JK akuteua kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA tuone mabadiliko ya kweli. Asiangalie umri wako bali nia yako njema ya kuleta mabadiliko ya ELIMU kwa watoto wa Kiislam.
 
Wild Card,
Ponda hana wafuasi ana nduguze Waislam.

Hayo ya kwenda Markaz nakuachia mwenyewe.
Nilidhani unataka mjadala wa adabu na heshima.

Ikiwa umeshindwa staha na tuagane kwa amani.
Mzee nimekosa staha kwa lipi? Msaidieni Sheikh Ponda kwa vitendo. Naamini kwa muda alookaa kule kuna kitu amejifunza. Hatarudia upuuzi kama ule wa Markaz ambayo ilianza kuuzwa siku nyingi kwa waYemen.

Nikuulize swali dogo tu mzee Mohamed, Markaz itarudi?
 
Mohamed Said said:
kwani huzioni shule zetu zinavyojengwa?
Mohamed Said said:
Huoni hijab asubuhi mabinti wakenda shule?
Tunajenga shule nyingi tatizo letu ni NECTA.




..mbona Seminari ya Kirinjiko, Mudio, Feza, etc zinafanya vizuri?

..kinachotakiwa kufanyika ni ku-replicate best practices za Kirinjiko.

..mnawa-distract vijana na haya mambo ya udini-udini.

..nimesoma watoto wanataka kuandamana kumuondoa Ndalichako!! sasa mwanafunzi mwenye mawazo hayo atakuwa na wa kujisomea??

..pia hili tatizo la elimu ni la kitaifa, mmeshafikiria kuunganisha nguvu na taasisi kama Haki Elimu na nyingine zinazopigania haki ya mtoto kupata elimu??

..sasa hivi viwango vya ufaulu vya Tanzania ni vya chini kulinganisha na majirani zetu, pamoja na nchi nyingine nyingi za Kiafrika.

cc: gombesugu


 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,

nafikiri itakubidi ufanye utafiti kidogo katika mambo ya kiuchumi hususan ya uthibiti wa wa fedha lakini pia kujua sharia za nchi yako kuhusu utaratibu wa kuthibiti fedhwa haramu.

Kifupi wenye mamlaka ya kuthibiti fedhwa kutoka nje ni kazi ya Serikali kupitia wizara yake ya Fedha katika Benki Kuu. Kwani wana kitengo maalum kufuatilia hayo wakishirikiana na vyombo vingine vya usalama.

labda nikuulize je kwa wakristo wanathibitiwa na nani? nakushauri pitia bajeti yenu ya mwaka wowote uone jedwali la msamaha wa kodi kwa taasisi za kidini utaona na kuthibitisha hicho unachosema kuwa si kweli kwa upande wa wakristo huko Tanzania.

Vipi lakin umeshaondoka Bonde?
Tiugusie

Baubaru, ninachosema hapa ni kuwa baadhi ya Waislam ndio wameufikisa Uislam katika picha inayoonekana.
Tumekupa mfano na Mag3 kaliongelea vizuri sana suala la Sheikh Malik huko nyuma.

Huyu hakuja na pesa alikuja na cheti lakini matatizo aliyoyaacha nyuma ni makubwa sana.
Sasa kama ukimpa mtu wa aina hii pesa basi ujue chochote kinaweza kutokea.

Ndio maana mimi nilidhani watu wangewalaani akina Ilunga kwa kuweka taswira chafu juu ya Uislam.
Hivi nani atakubali msaada wa fedha kupitia Ilunga uingie nchini bila kujua unakwenda au unatoka wapi.
Huwa nasema lazima watu wawe na mtazamo mpana wakati wanatoa kauli zao.

Hata kama leo nitasikia Mohamed amepata msaada wa kujenga kituo cha afya bado nitajiuliza sana, huyu mtu aliyefundishwa na Maliki na anayemuunga mkono Ilunga anadhamira ya kutenda alichokusudia au amejificha nyuma ya jambo jingine! Yote hayo ni kwasababu ya kauli na presentation ya baadhi ya waislam.

Kuhusu msamaha wa kodi, naomba tusiliongelee hilo. Huo ni mradi mkubwa sana wa wafanyabiashara wa kiislam wa Dar es Salaam na mamlaka kama BAKWATA. Ni mradi wa kuingiza magari na vitu vingine kwa jina la waislam lakini si kweli kuwa vinawafikia waislam

Na ndivyo ilivyo kwa dini zingine, magari na kila aina ya vitu vinapata misamaha kumbe ni miradi ya watu.
Kuna tuhuma za kuthibitika kuhusu hili.

Mimi binafsi siamini kwa msamaha wa kodi wa yoyote awe mwislam, mpagani au mkristo kwasababu kuna abuse kubwa sana kwa hilo. Ninachotaka kukuasa ni kuwa usiongelee kuwa waislam wanadhulumiwa, waislam wanajidhulumu kwasababu wanaotumia loophole hiyo ni waislam tena Ma-alhaji na masheikh wenye biashara siyo Kapuku wa mtaani.

Baru baru hivi unahitaji Microscope ya resolution gani kuona tatizo la waislam wa Tanzania?
Wauziane viwanja lawama watupe kwa Nyerere na wakristo.
Waingize bidhaa kwa msamaha wa kodi kwa biashara zao lawama itupiwe serikali.
Shule zao zifanye vibaya lawama watupiwe NECTA n.k.
Ninahitaji kuwasha taa ya kandili mchana, watu hawaoni.

Kitu kimoja tu sikubalini nacho ni kaucha pesa ziingie hovyo! sasa ni kwa wote hilo sijui ila kwa waislam niseme wazi wamejenga mazingira ya kutoaminika si hapa nchi tu bali duniani kwasababu ya baadhi yao.
Nitasema ninachotaka kukuambia siyo unachotaka kusikia. Hawa akina Mohamed, Ilunga sijui kama wanajenga mazingira mazuri kwa taswira ya dini.


Nikukumbushe kula Amani Muheza, pale ni karibu na nyumbani Kiwanda baada ya kupita KM7 na Bombani.
Ile ni green belt.
Ngoja nijazie ngogwe katika pakacha la Gombesugu.
 
Mzee nimekosa staha kwa lipi? Msaidieni Sheikh Ponda kwa vitendo. Naamini kwa muda alookaa kule kuna kitu amejifunza. Hatarudia upuuzi kama ule wa Markaz ambayo ilianza kuuzwa siku nyingi kwa waYemen.

Nikuulize swali dogo tu mzee Mohamed, Markaz itarudi?

Wild Card,
Usipende kutumia neno ''upuuzi'' ni tusi.

Leo Ponda kazungumza Msikiti wa Mtambani.
Kwa mukhtsari kawaambia Waislam wasisikilize propaganda za wanasiasa.

Kama wao kweli wanataka amani wajibu kwanza maswali ambayo Waislam
wamekuwa wakiiuliza serikali kuhusu dhulma dhidi ya Waislam.

Ponda huyo.

Na kweli kaeleza kuwa kajifunza mengi Segerea na kubwa ni jinsi
mfumo wa sheria inavyowabagua Waislam.

Markaz irudi kwani ilikwenda wapi?
 
Wild Card,
Usipende kutumia neno ''upuuzi'' ni tusi.

Leo Ponda kazungumza Msikiti wa Mtambani.
Kwa mukhtsari kawaambia Waislam wasisikilize propaganda za wanasiasa.

Kama wao kweli wanataka amani wajibu kwanza maswali ambayo Waislam
wamekuwa wakiiuliza serikali kuhusu dhulma dhidi ya Waislam.

Ponda huyo.

Na kweli kaeleza kuwa kajifunza mengi Segerea na kubwa ni jinsi
mfumo wa sheria inavyowabagua Waislam.

Markaz irudi kwani ilikwenda wapi?
Neno hilo upuuzi linatumika kwingi tu tena hadharani. Mpe pole Sheikh Ponda. Yote haya anajitakia tu huku ninyi wenzake mkisubiri tiketi za ndege kwenda nje kutoa paper za ugaidi!

Hata jela mnabaguliwa? Hii kali. Tugawane tu nchi hii. Unapokuwa na RAIS na MAKAMU wake wote Waislam safi bado dhulma inaendelea hadi jela ujue suluhu hapo ngumu kupatikana.
 
Kadogoo,

Huwa nasikiliza sana radio iman, na watangazji huwaaminisha wasikilizaji kuwa Mrema amelaaniwa kwa kuwapiga mabom enzi zile alikuwa waziri wa mambo ya ndani.
Kumbe mtu mwenyewe alikuwa mgonjwa wa sukari na alikuwa kapigika mbaya. Ila toka amepata uhakika wa mlo wa maana anatoka shavu kaka.

Mgashi;
Tuwekee picha basi tuone shavu lilivyovimba na kupendeza!
 
Mkuu Ritz

Sielewi ni kwa jinsi gani serekali inaweza kuwalazimisha waIslamu wote Tanzania wawe chini ya BAKWATA.Jambo moja lililowazi pasipo shaka ni kuwa jumuiya nyingi za kiIslamu kukosa mtandao ulioenea Tanzania nzima.Ukijaribu kuangalia kwa undani utakuta taasisi nyingi zimejazana hapo Dar ukitoka nje ya Dar hazipo sasa utakapoitaka serekali ifanye mawasiliano na jumuiya yenye mtandao unaoanzia Kariako na kuishia Kibaha inakuwa taabu kubwa.

Shida nyingine ya BAKWATA ni Sheikh Mkuu kuchaguliwa na waIslamu 20 baraza la maulama (wewe umesema kikundi ambao wamechaguliwa na serekali mimi nimeweka tafsiri yangu ni waIslamu nadhani unasema kikundi kwasababu haukubaliani nao).Hivi Sheikh Ponda na Ilunga wamechaguliwa na kikundi cha watu wangapi ?,tangu nianze kumsikia Ponda miaka mingi imepita sijasikia taasisi yake ikifanya uchaguzi,utaona ni afadhali BAKWATA wanaomchagua kiongozi wao kuliko Ponda &... wasiotaka utaratibu wa uchaguzi kabisa.

Taabu nyingine ni uteuzi wa Masheikh wa mikoa kuteuliwa na Sheikh Mkuu na umetoa mfano wa Sheikh wa Dar hana Ilm yoyote ya kuwa kiongozi wa waislam.Nadhani huo ni utaratibu waliojiwekea BAKWATA wa kuwateua masheikh wa mikoa,kwani jumuiya zenu zimenyimwa kuchagua viongozi wa mikoa ?.Umesema BAKWATA haina uhalali wa kuwaamulia waislam wote shida ni pale wanapojiwekea taratibu zao linawakera !.Iweje BAKWATA usiyoikubali ikifanya jambo likukere,kwanini usijushughulishe zaidi na taasisi uanyoikubali.

Mkuu Ngongo,

Hivi taasisi za Wakiristo Tanzania uwa zinawakilishwa na taasisi gani naomba utupe darsa.
Sielewi ni kwa jinsi gani serekali inaweza kuwalazimisha waIslamu wote Tanzania wawe chini ya BAKWATA.
Bakwata peke yake ndiyo wanaruhusiwa kutangaza maswala ya ibada, wamepewa mamlaka ya kutangaza mwezi, kutangaza idd, yoyote atakayekwenda kinyume na Bakwata ni makosa, ni marufuku taasisi yeyote kutangaza mwezi wala idd wakati ni ibada.
Jambo moja lililowazi pasipo shaka ni kuwa jumuiya nyingi za kiIslamu kukosa mtandao ulioenea Tanzania nzima.Ukijaribu kuangalia kwa undani utakuta taasisi nyingi zimejazana hapo Dar ukitoka nje ya Dar hazipo sasa utakapoitaka serekali ifanye mawasiliano na jumuiya yenye mtandao unaoanzia Kariako na kuishia Kibaha inakuwa taabu kubwa.
The Islamic Foundation


Education

Through out of Islamic history one of the most important and is a key to paradise is knowledge. We Muslim were very well educated and scholars. For example, Daughter of Mohammed al-Fihri, Fatima al-Fihri, also called Umm al Banine, ‘Mother of the Boys', is known for creating the oldest academic degree-granting university in existence today. TBut even way before this many teachers sacrificed there whole life in order to educate their student so that they become successful in this world and the hereafter. And this is the aim of the Islamic Foundation to develop leader for our children into the next generation as we won't be there looking after them but our leaders will. The Islamic Foundation Education Department was started on 1998 which was first started in a masjid, then moved to a rented place in Forrest hill. They taught in that nursery school nursery subjects as well as Islamic studies. Allhamdullilah after 2 years of struggle on 2000 we bought a huge land about 2.5 hector in order to plant our seed of education so that through this education of secular as well as islamic studies we can then develop Muslim scholars of the next generation for the betterment of this world and the akhirah. This was the beginning of Dar al Arqam Academy. Up-to-date now not only did we open a nursery school but also primary school was launched as well as secondary school. Another school such as Muzdalifah Nursery school and primary which is in Masasi District, in Mtwara region southern part of Tanzania. And lastly a third school called Nusra English Medium in which has a nursery school and primary school which is in Mafia District in coast region. In total The Islamic Foundation opened 7 schools.

FUTURE PLAN

The future plan is to:

Open girls boarding school
Safaa girls seminary secondary boarding school is in a process to being built in Msamvu where Dar al Rahma Orphanage hostel, al jami'ah mother and child care center is located. The architect of the building is already designed but we haven't started construction yet. The only problem now is finance. We need your help and support in order to start this project. Without you there will be no Girls boarding school.

Transforming Dar al Arqam into a boarding school and open a day school in Hilux
Same as the Girls boarding school the boys boarding school is ready in terms of the paper work, architect and design. All we need is Financial support. Remember that everything in life is business. So remember that you are investing in our children future and yes every Muslim child is our children and it is our responsibility to equip our children with the best quality of education in order to create great leaders of our next generation.

Dar-ul-Arqam Academy

Dar-ul-Arqam Academy (soon to be boarding inshallah) now consist of three school nursery, primary and secondary. Altogether there are about 755. Nursery has about 130 students, Primary have 521 students, and secondary 104 students. Nursery School The Nursery school have three sections.

The first section is baby class which is made up of 1 class in it has 30 students.The second section is kindergarten 1 which consist of 2 classes, the boy class and the girl class. In the boys class has 30 student and the girls class 25 student. and lastly the third section kindergarten 2 which consist of 2 classes, the boys class and the girls class. Same as kindergarten 1 in boys class there are 30 students and in the girls class 25. Alhamdullilah we have enough classes in the nursery school. Since 2011 the nursery school so far are doing very well. This nursery building consist of:
- 5 classes
- 16 toilet
- kitchen
Primary School The primary school is consist of standard 1 up to standard 7 each has two stream except for standard 7 where to classes were put into one as we are shortage of classes. Altogether the building consist of:
- 13 classes
- 20 toilet
- Wudhu Area
- Prayer room for boy and for girls
- Library (still under-construction)
- Stationary shops (still under-constructions)
- Staff room (under-construction)
The Primary school in Dar-ul-Arqam Academy won number one out of 69 primary schools in Morogoro 5 times in Mucipal district which was in 2006, 2007, 2008, 2009, 2010 and we won number one 4 times in 2006, 2007, 2008, 2009. However sadly in 2010 in Morogoro region we fell down very hard to becoming number 9. The reason being possibly because: 1. Too many student in primary plus not enough classes 2. Lack of teacher due of salary increase in government school and other private school many of our teacher left. About 9 of our teachers left some without even notice 3. Lack of Facilities such as library, equipment and materials 4. More new school are being established, meaning more competitions
Dar-ul-Arqam Secondary School The Islamic foundation wanted to establish secondary in 2007 however we failed to do so because lack of building. Sadly our first standard 7 intake went to other schools in 2007. But all of this is by the will of Allah (s.w.t). We never gave up until 2008 we commenced on the building. Form 1 was started 2008 and every year we open a new form and now we have until form 4. This year it will be our first Dar-ul-Arqam National Examination. Make du'a for our children to get good result. Until now the building is still under construction but inshallah this year we will Finnish. This building will consist of
: - 3 laboratory
- One library
- 9 classes
- Toilet
Shida nyingine ya BAKWATA ni Sheikh Mkuu kuchaguliwa na waIslamu 20 baraza la maulama
Maulama wanachaguliwa na nani hebu tupe darsa ndugu yangu Ngongo,

Taabu nyingine ni uteuzi wa Masheikh wa mikoa kuteuliwa na Sheikh Mkuu na umetoa mfano wa Sheikh wa Dar hana Ilm yoyote ya kuwa kiongozi wa waislam.Nadhani huo ni utaratibu waliojiwekea BAKWATA wa kuwateua masheikh wa mikoa,kwani jumuiya zenu zimenyimwa kuchagua viongozi wa mikoa ?.Umesema BAKWATA haina uhalali wa kuwaamulia waislam wote shida ni pale wanapojiwekea taratibu zao linawakera !.Iweje BAKWATA usiyoikubali ikifanya jambo likukere,kwanini usijushughulishe zaidi na taasisi uanyoikubali.
Tatizo siyo kutukera hao Masheikh ndiyo wanaopanga maswala yote ya ibada hao ndiyo wanaipa taarifa serikali kuwa leo ni IDD kusiwe na kazi watoto wasiende shule, katika Uislam ni marukfuku kumpangia mtu ibada.
afadhali BAKWATA wanaomchagua kiongozi wao kuliko Ponda &... wasiotaka utaratibu wa uchaguzi kabisa.
Naona hapa umeitimisha vizuri kabisa umeipenda Bakwata kwa maendeleo yao kwa Waislam, kuna taasisi nyingi zinafanya vizuri zingine hatuwezi kuweka ramani ya vita hapa jamvini.

[h=2]Muzdallifah English Medium Pre and Primary School[/h] Just like nusra Muzdaliffah English Medium School started in 2006 which is based in the southern part of Tanzania, Masasi district in Masasi region which is in the border of Mozambique. It is the first Islamic school in the region. It started with a Nursery then slowly each year we open a new class until now we reached to standard 4 of primary school. Altogether there are 60 students, 16 of them are in Nursery school and 44 of them are in primary school. Alhamdullilah we started with very few student but now it is increasing which means that people are getting more and more interested to educate their children. Also our Facilities:
- 3 student toilet and 2 staff toilet for the whole compound
- They have 4 classes which are used by standard 1 to standard 4 and the nursery school are using another building as we are low in classes
- and primary, teachers, staff offices.

[h=2]Nusra[/h] Nursa English medium pre and primary school at kilondoniarea , Mafia district 8 acres. Mafia district is an island. Although it is a Muslim dominant island they lack schools and more specifically muslim schools. The Nursery school was opened in 2006 and primary school was opened in 2008. There are about 160 students, 122 students are nursery and 38 students in primary school.

Nusra Primary school

The building consist of:
- 4 classes
- 4 toilets
- Kitchen

Nusra primary school

The building is made up of:
- 4 classes
- 4 toilet
- kitchen

Nusra English medium pre and secondary school also have the same problem as other school which is:

- Parent still do not pay their school fees
- Lack of resources and materials
- No library or sports and games for children
- No prayer room All of these things are necessities for the school to be in good standard.
[h=2]AL JOMAIH FOR MOTHERS AND CHILD CARE DISPENSARY[/h] UNDER CONSTRUCTION INSHALLAH IT WILL BE READY SOON
[h=2]SARATEIN DISPENSARY[/h] UNDER CONSTRUCTION INSHALLAH IT WILL BE READY SOON











[h=2][/h]
 
Kadogoo,

Salaam Al Akhiy.

Ahsanta kwa kutujuza na kutupa ilm hii,mimi binafsi nasoma pia vitu fulani kupitia kwako kila wakti unaponyambua kwa bayana zako.

Mola takulipa fadhila zako Insha Allah.

Shukran.

Gombesugu;

Aamin, Aamin kwa sote, wenzetu wanaudhi sana! wanafikiri Waislamu wamelala! hii nchi ni yetu sote Allah katuumbia hapa wote ima ni Mkristo au Muislamu sote tutabanana papa hapa!
 
Mohamed na wafuasi wako, pateni chakula cha mchana hapa,



UNDANI KUHUSU C.I.A

Taifa la Marekani lina vyombo vingi vya usalama vinavyofanya kazi mbali mbali, inamulikwa CIA tu kwa sababu ndio tunao suguana katika maisha ya kila siku. Maamuzi ya siasa za ndani na nje za Marekani hufanyika baada ya ripoti ya CIA, hata FBI inafanya kazi chini ya ripoti ya CIA. FBI kirefu chake ni Federal Bureau Investigation, ambayo ni sawa na kitengo cha upelelezi makosa ya jinai hapa kwetu yaani (C.I.D) na CIA kirefu chake ni Central Intelligence Agency

Vyombo vingine vya usalama Marekani ni kama:-

1. Wakala wa usalama wa Taifa (National Security Agency)
2. Wakala wa ulinzi (Defence Security Agencies)
3. Ujasusi wa kijeshi (Military intelligence)
4. Kitengo cha ujasusi wa Navy (Wanamaji)
5. Ujasusi wa anga
6. Ofisi ya Ujasusi na utafiti teknolojia
7. Ofisi ya umoja wa upelelezi makosa ya jinai FBI
8. Kamati ya nguvu za Atomic .kitengo cha ujasusi
9. Kamati ya ujasusi hazina.


Vyombo vyote hivi vya ujasusi viko chini ya CIA kwa njia moja ama nyingine. Pia ieleweke kuwa vitengo hivyo vinaweza kuzidi au kupunguza kutokana na mahitaji ya mahali na wakati munasibu, Kwa mfano: kulikuwa na kitengo kipya cha kumfuatilia Osama Bin Ladeni na kumtafuta yeye tu, hicho ni kitengo maalum kwa ajili yake tu.

Hapa tutaangalia vitengo viwili tu kutokana na kusuguana navyo katika nyanja mbali mbali hasa wanaharakati wa kiislamu kwa ujumla nazo ni:.

1. Kitengo cha kupambana na majasusi (CENTRAL INTELLEGENCE)
2. Kitengo cha kupambana na ugaidi duniani,
CENTRAL INTELLEGENCE

Kitengo hiki kina majukumu muhimu ya kuwafuatilia wageni wote kwa ukaribu sana. Kama vile wanadiplomasia, wafanyabiashara , wafanyakazi wa kigeni, waandishi wa habari, watalii na wanafunzi kwa ujumla bila ya kusahau kusomabarua zao, kurekodi simu zao, kuwafuatilia katika mizunguko na shughuli zao, kufumbua mafumbo ya ishara (shafron) Kitengo hiki kina uwezo wa kumfuatilia mtu kwa masaa 24 kwa muda wa mwezi bila mtu kujua, lakini wapo wale majasusi waliokubuhu, mfano majasusi kutoka Urusi na Uchina wanazo mbinu za kuwapoteza kwa urahisi sana.

Kitengo hiki pia humfuatilia jasusi kwa kumpiga picha, kurekodi sauti kwa kupandikiza microphone chumbani kwake au kupandikiza kamera ndogo (microcamera). Kitengo hiki vile vile huwafuatilia wale majasusi waliopandikizwa deep cover au (Natural deep cover). Kitengo hiki cha kupambana na majasusi hufanya kazi ngumu ya kugundua wale wenye nia mbaya na Taifa lao (Marekani)
KITENGO CHA KUPAMBANA NA UGAIDI

Kitengo hiki kinakazi ya kufuatilia taasisi zote za kigaidi duniani za ndani na nje ya nchi, kujua wanapata wapi mapato yao, Viongozi wao, Kazi zao, Watu gani ni active (hai) katika taasisi hizo, Watu wangapi wanasilimu, kiwango cha kukua kwa ugaidi kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni, kiulinzi, kiteknolojia, kijamii na kuutekeleza ugaidi kwa vitendo. Ugaidi unaenea kwa kiwango gani huko Mashariki ya mbali, Asia ya kati, Mashariki ya kati, Afrika, Ulaya na Marekani ya kaskazini na kusini.

Kitengo hiki hakiishii hapo tu bali huwatafuta wale magaidi wote waliojitolea nafsi zao kwa Allah S.AW baada ya kuvunjika kwa muungano wa Kisoviet. Kila mpiganaji ambaye hakupata shahada kuwa ni gaidi! au Mujahidina kama ambao walitokea karibu dunia nzima kujibu wito wa jihadi dhidi ya wakomonisti baada ya jihadi walisambaratika duniani kote na wale waliokuwa wanatafutwa na serikali zao waliamua kubaki huko wengine walienda huko Bosnia, Tajikstani Chechnya, Algeria, Yugoslavia na kwingineko duniani na kuendelea kusimika serikali za kiislamu zenye msimamo mkali na jihadi wakiwa wanamuomba Allah wafe wakiwa mashahidi, Watu hawa wameuoanisha ugaidi na uislamu na kufanya dunia igawike.





Na Yericko Nyerere

Kutoka "Vita dhidi ya Ugaidi"
mtu yeyote aliyesoma hapo juu hahitaji ilmu yeyote kujua nia yako. Unachuki na waislamu na mungu wao bila kujua kuwa huyo mungu kuna wakristu na mayahudi wanamwita kwa jina hilo hilo.

Tuombe radhi waislamu!
 
Mohamed na wafuasi wako, pateni chakula cha mchana hapa,



UNDANI KUHUSU C.I.A

Taifa la Marekani lina vyombo vingi vya usalama vinavyofanya kazi mbali mbali, inamulikwa CIA tu kwa sababu ndio tunao suguana katika maisha ya kila siku. Maamuzi ya siasa za ndani na nje za Marekani hufanyika baada ya ripoti ya CIA, hata FBI inafanya kazi chini ya ripoti ya CIA. FBI kirefu chake ni Federal Bureau Investigation, ambayo ni sawa na kitengo cha upelelezi makosa ya jinai hapa kwetu yaani (C.I.D) na CIA kirefu chake ni Central Intelligence Agency

Vyombo vingine vya usalama Marekani ni kama:-

1. Wakala wa usalama wa Taifa (National Security Agency)
2. Wakala wa ulinzi (Defence Security Agencies)
3. Ujasusi wa kijeshi (Military intelligence)
4. Kitengo cha ujasusi wa Navy (Wanamaji)
5. Ujasusi wa anga
6. Ofisi ya Ujasusi na utafiti teknolojia
7. Ofisi ya umoja wa upelelezi makosa ya jinai FBI
8. Kamati ya nguvu za Atomic .kitengo cha ujasusi
9. Kamati ya ujasusi hazina.


Vyombo vyote hivi vya ujasusi viko chini ya CIA kwa njia moja ama nyingine. Pia ieleweke kuwa vitengo hivyo vinaweza kuzidi au kupunguza kutokana na mahitaji ya mahali na wakati munasibu, Kwa mfano: kulikuwa na kitengo kipya cha kumfuatilia Osama Bin Ladeni na kumtafuta yeye tu, hicho ni kitengo maalum kwa ajili yake tu.

Hapa tutaangalia vitengo viwili tu kutokana na kusuguana navyo katika nyanja mbali mbali hasa wanaharakati wa kiislamu kwa ujumla nazo ni:.

1. Kitengo cha kupambana na majasusi (CENTRAL INTELLEGENCE)
2. Kitengo cha kupambana na ugaidi duniani,
CENTRAL INTELLEGENCE

Kitengo hiki kina majukumu muhimu ya kuwafuatilia wageni wote kwa ukaribu sana. Kama vile wanadiplomasia, wafanyabiashara , wafanyakazi wa kigeni, waandishi wa habari, watalii na wanafunzi kwa ujumla bila ya kusahau kusomabarua zao, kurekodi simu zao, kuwafuatilia katika mizunguko na shughuli zao, kufumbua mafumbo ya ishara (shafron) Kitengo hiki kina uwezo wa kumfuatilia mtu kwa masaa 24 kwa muda wa mwezi bila mtu kujua, lakini wapo wale majasusi waliokubuhu, mfano majasusi kutoka Urusi na Uchina wanazo mbinu za kuwapoteza kwa urahisi sana.

Kitengo hiki pia humfuatilia jasusi kwa kumpiga picha, kurekodi sauti kwa kupandikiza microphone chumbani kwake au kupandikiza kamera ndogo (microcamera). Kitengo hiki vile vile huwafuatilia wale majasusi waliopandikizwa deep cover au (Natural deep cover). Kitengo hiki cha kupambana na majasusi hufanya kazi ngumu ya kugundua wale wenye nia mbaya na Taifa lao (Marekani)
KITENGO CHA KUPAMBANA NA UGAIDI

Kitengo hiki kinakazi ya kufuatilia taasisi zote za kigaidi duniani za ndani na nje ya nchi, kujua wanapata wapi mapato yao, Viongozi wao, Kazi zao, Watu gani ni active (hai) katika taasisi hizo, Watu wangapi wanasilimu, kiwango cha kukua kwa ugaidi kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni, kiulinzi, kiteknolojia, kijamii na kuutekeleza ugaidi kwa vitendo. Ugaidi unaenea kwa kiwango gani huko Mashariki ya mbali, Asia ya kati, Mashariki ya kati, Afrika, Ulaya na Marekani ya kaskazini na kusini.

Kitengo hiki hakiishii hapo tu bali huwatafuta wale magaidi wote waliojitolea nafsi zao kwa Allah S.AW baada ya kuvunjika kwa muungano wa Kisoviet. Kila mpiganaji ambaye hakupata shahada kuwa ni gaidi! au Mujahidina kama ambao walitokea karibu dunia nzima kujibu wito wa jihadi dhidi ya wakomonisti baada ya jihadi walisambaratika duniani kote na wale waliokuwa wanatafutwa na serikali zao waliamua kubaki huko wengine walienda huko Bosnia, Tajikstani Chechnya, Algeria, Yugoslavia na kwingineko duniani na kuendelea kusimika serikali za kiislamu zenye msimamo mkali na jihadi wakiwa wanamuomba Allah wafe wakiwa mashahidi, Watu hawa wameuoanisha ugaidi na uislamu na kufanya dunia igawike.





Na Yericko Nyerere

Kutoka "Vita dhidi ya Ugaidi"

Umeshindwa kuonyesha kwamba Marekani si magaidi kutokana na definition yako ya ugaidi. Kitabu chako chote kinakuwa hakina maana kama wewe mwenyewe umeshindwa kunyambua tu definition yako ya ugaidi na kuhalalisha kwa nini Marekani sio magaidi? Mimi ningekushauri utafute kazi nyingine ya kufanya yenye manufaa kwako na familia yako. Hii ya kuandika kuhusu vita ya Wamarekani dhidi ya ugaidi itakudhalilisha tu na kukupotezea muda wako.
 
mtu yeyote aliyesoma hapo juu hahitaji ilmu yeyote kujua nia yako. Unachuki na waislamu na mungu wao bila kujua kuwa huyo mungu kuna wakristu na mayahudi wanamwita kwa jina hilo hilo.

Tuombe radhi waislamu!


Achahasira,
Huyu kijana hana uwezo wa kuandika kitu cha kisomi wala hana uwezo
wa uchambuzi wa kiasi cha wasomi kumsoma.

Zaidi sana anakopi mahali anabandika.

Hao Waamerika anaowasemea kuhusu ugaidi wao ndiyo wanaongoza kwa
ubaya duniani.

Naweka hapa chini machache katika ugaidi wa Waamerika miaka na miaka:

Out of its own free will Tanzania after the bombing of the United States Embassy in Dar es Salaam in 1998 and after 9/11 found itself being dragged into a war of attrition which it had no justified cause to get involved.

Despite of the Cold War politics of the post WW II era Tanzania had never considered the United States as an adversary much as it was supporting oppressive regimes and conducting illegal acts of aggression in Vietnam, Laos Cambodia, Nicaragua and in many other places.

Nowhere was this policy abhorrent than in South Africa under apartheid and in Palestine where Israel is forcefully with the full support of the United States was occupying Muslim land, killing and maiming innocent children with lethal weapons supplied by the United States.

Through its policies in the Middle East and elsewhere the United States was creating and is still creating more enemies, but it does not care because the primary objective of the United States is to guard its national interest, other matters are secondary.

And to back up its national interest the United States has in possession a formidable war machine which no country on earth can defeat in conventional warfare.


Hii inatoka katika mada niliyowasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan mwaka 2006 likiwa jibu kwa Balozi wa Marekani Robert Royall kutokana na mada yake aliyowasilisha Bungeni Dodoma.
 
Back
Top Bottom