Uchomaji wa Maandazi

Uchomaji wa Maandazi

Na unakandia na maji moto au na kama huna siagi au samli unaweza Weka kitu gani.
 
Samli zipo every where sijui tu huko uliko wanaitaje ila mzungu anaitwa ghee lol....

Kama huna samli tumia mafuta
farkhina kama tutatumia mafuta ya kawaida je vipimo vinakuwaje?
Kwa mfano siagi 3tbsp samli 3tbsp, replacement yake ya mafuta ni ?tbsp
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom