Uchovu na usingizi siku moja baada ya ku-sex

Uchovu na usingizi siku moja baada ya ku-sex

The Genius

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
822
Reaction score
2,095
Wakuu habari za muda.
Juzi kati kuna demu flani hivi nilisex nae, sasa siku iliyofuata nikawa nahisi uchovu na usingizi kutwa mzima.
Wakuu hii ni dalili ya nini?
 
Wakuu habari za muda.
Juzi kati kuna demu flani hivi nilisex nae, sasa siku iliyofuata nikawa nahisi uchovu na usingizi kutwa mzima.
Wakuu hii ni dalili ya nini?
Ni dalili mojawapo kwamba umeshika mimba hiyo,ni ujauzito huo wala usitie shaka......hongera.
 
Back
Top Bottom