Uchoyo Ukifkia hapa!

Uchoyo Ukifkia hapa!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Uchoyo ukifikia hapa bora kifo,

mama mmoja alikuwa anapakua chakula ghafla akackia hodi,
akaficha chakula chini ya kochi,
mgeni alipoingia akaona moshi unatoka chini ya kochi.
Mgeni: Moshi wa nini huo?
Mama: Mwenzangu utaiweza mipanya ya humu kwa kuvuta bangi..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom