Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Ni mwanangu Sana, yaani mshikaji tu wa kushare nae mawazo mbili tatu, Basi akanidekeree ( kunipigia simu ) kunichana wazi kuhusu maelekezo wake ( mchumba wake )
amefuma meseji zake akimpiga kibomu mchizi boti mwingine akiomba pesa, ile kusearch zingine eeeh bhanaa meseji zingine ametumiwa pesa za sikukuu na kuombwa mtoko wa siku.
Ameshindwa kuvunga amemwonyesha maelekezo wake ( mchumba wake ) kuhusu madhambi yake, maelekezo kajaa kaomba msamaha, kalia
Basi mwamba kafunguka ni miezi michache tu ametoka kwao kutambulishwa na maelekezo wake, kumbe ni hookah, mbaya mbovu kuliko meseji ilielekezwa huyu mchuchu apelekwe location akaliwe na mshua mmoja hapo down town. Mchizi boti ameumizwa kimwili, nafsi na roho mpaka ubongo kisaikolojia. Nimemshauri mwanangu Sana hao maelekezo tuishi nao kwa akili na vibe, chukua rizla nyonga majani ya uzima 🚬🚬 vuta ondoa stress za kiboya, ishi kwa amani Kama rastafari.
Sikukuu bado maelekezo amezingua ... 👊😎
Wahuni mliooa na wenye maelekezo yao take care sikukuu wasiwe vitoweo. 😀
Ameshindwa kuvunga amemwonyesha maelekezo wake ( mchumba wake ) kuhusu madhambi yake, maelekezo kajaa kaomba msamaha, kalia
Basi mwamba kafunguka ni miezi michache tu ametoka kwao kutambulishwa na maelekezo wake, kumbe ni hookah, mbaya mbovu kuliko meseji ilielekezwa huyu mchuchu apelekwe location akaliwe na mshua mmoja hapo down town. Mchizi boti ameumizwa kimwili, nafsi na roho mpaka ubongo kisaikolojia. Nimemshauri mwanangu Sana hao maelekezo tuishi nao kwa akili na vibe, chukua rizla nyonga majani ya uzima 🚬🚬 vuta ondoa stress za kiboya, ishi kwa amani Kama rastafari.
Sikukuu bado maelekezo amezingua ... 👊😎
Wahuni mliooa na wenye maelekezo yao take care sikukuu wasiwe vitoweo. 😀