Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
- Thread starter
-
- #21
Yeeee baba, uhakika mwamba kachoma Jani, ashtue ubongo. Akiona haelewi atachoma na spirit. πππππSEMA NINI YENYEWE WACHUCHU WANACHORESHA ILE KIWAKI MWAMBA APATE SK NA K VANT KUBWA APO MAELEKEZO YA KICHWA YARUDI KWENYE MSTARI
Madogo mnatafuta wapenzi waliowazidi ujanjaNi mwanangu Sana, yaani mshikaji tu wa kushare nae mawazo mbili tatu, Basi akanidekeree ( kunipigia simu ) kunichana wazi kuhusu maelekezo wake ( mchumba wake )
View attachment 2671014 amefuma meseji zake akimpiga kibomu mchizi boti mwingine akiomba pesa, ile kusearch zingine eeeh bhanaa meseji zingine ametumiwa pesa za sikukuu na kuombwa mtoko wa siku.
Ameshindwa kuvunga amemwonyesha maelekezo wake ( mchumba wake ) kuhusu madhambi yake, maelekezo kajaa kaomba msamaha, kalia
Basi mwamba kafunguka ni miezi michache tu ametoka kwao kutambulishwa na maelekezo wake, kumbe ni hookah, mbaya mbovu kuliko meseji ilielekezwa huyu mchuchu apelekwe location akaliwe na mshua mmoja hapo down town. Mchizi boti ameumizwa kimwili, nafsi na roho mpaka ubongo kisaikolojia. Nimemshauri mwanangu Sana hao maelekezo tuishi nao kwa akili na vibe, chukua rizla nyonga majani ya uzima π¬π¬ vuta ondoa stress za kiboya, ishi kwa amani Kama rastafari.
Sikukuu bado maelekezo amezingua ... ππ
Wahuni mliooa na wenye maelekezo yao take care sikukuu wasiwe vitoweo. π
Uhakika yaani, ukila Kaya huna Mambo mengi. Kwanza mademu wengi sio dili, uzuri wa demu ni mmoja tu. Khumma mmammakee. ππππKuna jamaa yangu ni mla kaya, aisee yule mwamba akinyooka na manzi mmoko ni huyohuyo hapindi hachepuki kama kaoa vile.
Hatuna pigo za kirembo, mapenzi hayana mjanja. Ni wewe tu na akili yako mhuni wangu. ππππππ¬π¬π¬π¬π¬Madogo mnatafuta wapenzi waliowazidi ujanja
ndio waswahili mshaamua tufanyaje? πππViswahili hivyoπ
ni mwendo wa maelekezoLugha za kaskazini huko chuganian. πππ
Ajabu sana, sina hata la kusema.Mc
Siku hizi maisha yamebadilika, hata ukiishi na demu Basi ni mkeo na wazazi wake hawajui na unamzalisha. ππππ
Ndiyo maana vijana wanakuwa wagumu kuoa. ππππAjabu sana, sina hata la kusema.