Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Duh teknolojia inarahisisha mambo,kamuacha kwa kuandika kwenye twitter hatari sana.
Duh teknolojia inarahisisha mambo,kamuacha kwa kuandika kwenye twitter hatari sana.
Duh teknolojia inarahisisha mambo,kamuacha kwa kuandika kwenye twitter hatari sana.
Duh teknolojia inarahisisha mambo,kamuacha kwa kuandika kwenye twitter hatari sana.
Hata kama umemuacha jamaa ashakukula tayari.
siku hizi unaweza ukawa uko sehemu unaangalia kwenye mtandao unakuta mchumba wako kaandika am single again and i'm happy.
ni kawaida sana
Kama walivyoachana Chris Brown na Karrueche through Insta tu
jamaa ashakula vitu sana naona amemchoka akamfanyia visa .
Weeee CB yupi?km uyu wa Mtogole basi kule Insta kamalizia tu nenda TMZ kaangalie mitusi ya kizaramo kuanzia mtaani mpaka kwenye show zake anayamwaga kama mwehu naamini Karrueche aamini kama yule ndo CB ambae walikua wanakaa na kulala uchi pamoja bababekiii CB kazaliwa State kimakosa.
Weeee CB yupi?km uyu wa Mtogole basi kule Insta kamalizia tu nenda TMZ kaangalie mitusi ya kizaramo kuanzia mtaani mpaka kwenye show zake anayamwaga kama mwehu naamini Karrueche aamini kama yule ndo CB ambae walikua wanakaa na kulala uchi pamoja bababekiii CB kazaliwa State kimakosa.