Uchumba wa Jackline Wolper wavunjika

Uchumba wa Jackline Wolper wavunjika

DOKTA-FADHILI-AMZAWADIA-ZARI-BAISKELI1.jpg

Mhhhhh!Ndio nani huyu hapa mjini?
 
Hili sasa gundu.... Kila siku anachwa tu au ndo yale mambo ya kaska yanahusu ha ha ha mbona kwa mwonekano ni mzuri sana
 
Hili sasa gundu.... Kila siku anachwa tu au ndo yale mambo ya kaska yanahusu ha ha ha mbona kwa mwonekano ni mzuri sana

gogoz....gogoz.Akina Mwajuma ndala ndefu ni mafundi ila ndo hawapati hizo deal.
 
Huyu ana shida kwenye bench la ufundi sio bure, kila mwanaume anamuacha afu hata hawadumu mmmh

proffessional kungwi babe anahusikaaa...kule kukoboa tunashukuru kama alistaafu.Hivi Wema kachumbiwa kweli au kiki? Maana ana historia yq kuyeyusha uchumba.
 
proffessional kungwi babe anahusikaaa...kule kukoboa tunashukuru kama alistaafu.Hivi Wema kachumbiwa kweli au kiki? Maana ana historia yq kuyeyusha uchumba.

Ha ha ha huyo si alisema kaolewa ila mmewe hamuoneshi lol ncheke mie, kachumbiwa wapi kiki tu ile ilikua kupunguza attention ya Mvua ya matusi.... Besdei vepe bado?
 
Ha ha ha huyo si alisema kaolewa ila mmewe hamuoneshi lol ncheke mie, kachumbiwa wapi kiki tu ile ilikua kupunguza attention ya Mvua ya matusi.... Besdei vepe bado?

birthday bado.
Are you invited to!!!
 
Aiiii wala hata sijaalikwa, nasikia shemeji yao kaombwa apeleke gari akiwaza mwenyewe hana akafunga account yake instagram he he he ncheke mie

Teh teh teh

Alipoifungua ni kafuta picha za mwanamke huyo na video zote.
 
Back
Top Bottom