Uchumi mzuri unawapa jeuri mbaya wanawake wa kichaga

Uchumi mzuri unawapa jeuri mbaya wanawake wa kichaga

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
Siwasemi vibaya dada zangu wa kichaga, mnasifika kote kwa uwezo wenu wa kusaka mahela.

changamoto ninayoiona kwa manka walio wengi, uchumi ukichangamka mnakuwa jeuri na kiburi sana. Haijalishi hata kama mwanaume kamzidi kwa uchumi.

Manka akishajihakikishia kuwa ana uwezo wa kusustain maisha yake bila msaada wa mwaume hapo dharau na jeuri huanza.

Kwa mwanaume kiasaka (asiye mchaga) ukitaka kuoa uchagani ki-masculinity ujiandae vizuri kukabiliana na hizo jeuri.

Mimi mchaga na nimeoa mchaga.
 

Attachments

  • 1733979491783.jpg
    1733979491783.jpg
    249.3 KB · Views: 6
Hii sio uchagani,kwasasa hiyo sumu imezagaa nchi nzima,inafikia mwanamke naye ana amri anaanza kuongea kama mwanaume,mpaka kutembea,yani zile pozi za kike pia zinakata,sasa hapo kuna ndoa tena,yanabakia maigizo tu...
 
Ukitaka mwanamke wa kummiliki mbona wengi tuu. Tafuta asiye na hela.
 
Siyo wachagga tu hiyo ni hulka ya binadamu wote, hata mtoto anapoacha kuhudumiwa na mzazi na kuanza kujihudumia mwenyewe anakuwa hatamani tena kupangiwa cha kufanya, anataka kujifanyia maamuzi yake unabaki ule utii tu wa kwamba kwa sababu ni mzazi na ndio chanzo cha uwepo wako

Taratibu tu mtaanza kuelewa kwamba utii wa mwanamke kwa mwanaume unaambatana na kuhudumiwa kiuchumi tu na si vinginevyo, hakuna aliyekuja duniani kumtii binadamu mwenzie bila sababu za msingi, kumtii mtu siyo kazi rahisi ni lazima huyo unayemtii awe anawajibika juu yako

Sasa kama hawajibiki na mtu unajihudumia mwenyewe msingi wa huo utii unakuwa wapi, sasa ukisema hivi mtu anaanza kuleta habari za sijui mbona unamtii boss wako, sasa hiyo nayo ni hoja kweli kwani si tunajua watu walioajiriwa wanatii maboss zao sababu wanalipwa mishahara na posho au
 
Wanawake wote wakipata pesa mme hadhi inashuka hivyo wee oa mama wa nyumbani umhudumie
 
Kuna ukweli kidogo. Kekuu alikua mtiifu sana kwa mumewe, alipopata kazi bank tu dharau zikaanza.
 
Siyo wachagga tu hiyo ni hulka ya binadamu wote, hata mtoto anapoacha kuhudumiwa na mzazi na kuanza kujihudumia mwenyewe anakuwa hatamani tena kupangiwa cha kufanya, anataka kujifanyia maamuzi yake unabaki ule utii tu wa kwamba kwa sababu ni mzazi na ndio chanzo cha uwepo wako

Taratibu tu mtaanza kuelewa kwamba utii wa mwanamke kwa mwanaume unaambatana na kuhudumiwa kiuchumi tu na si vinginevyo, hakuna aliyekuja duniani kumtii binadamu mwenzie bila sababu za msingi, kumtii mtu siyo kazi rahisi ni lazima huyo unayemtii awe anawajibika juu yako

Sasa kama hawajibiki na mtu unajihudumia mwenyewe msingi wa huo utii unakuwa wapi, sasa ukisema hivi mtu anaanza kuleta habari za sijui mbona unamtii boss wako, sasa hiyo nayo ni hoja kweli kwani si tunajua watu walioajiriwa wanatii maboss zao sababu wanalipwa mishahara na posho au
Hakuna aliyekuja duniani kumtii mtu bila sababu za msingi 😂😂 Nimecheka jamani.

Ila kweli! Rais mwenyewe tunamtii kwasababu ni Rais ila basi tu…

Ndio maana wanaume huwa hawatii, sababu huwa hatuwapi hela! Na wanaume hao hao wanawatii ma boss zao hata kama ni wanawake 😊🤦🏻‍♀️
 
Nyie pambaneni na hawa wakina mwajuma, hao intellectual tuacheni sisi wenye masculinity ya kutosha.
Hadhi yake na hela zake huko, nyumbani yeye ni mshauri, maamuzi ni ya baba mwenye nyumba
 
Hakuna aliyekuja duniani kumtii mtu bila sababu za msingi 😂😂 Nimecheka jamani.

Ila kweli! Rais mwenyewe tunamtii kwasababu ni Rais ila basi tu…

Ndio maana wanaume huwa hawatii, sababu huwa hatuwapi hela! Na wanaume hao hao wanawatii ma boss zao hata kama ni wanawake 😊🤦🏻‍♀️
Yeah umeona eh hata huyo rais mwenyewe watu wanamtii kwa sababu ana wajibu mkubwa kwa nchi yake, akishindiwa kutimiza huo wajibu kwa nchi zinazojielewa ndio utasikia kapinduliwa na kutiwa nguvuni na hao hao waliokuwa wanamtii, hakuna mamlaka bila wajibu vinginevyo utumie mabavu na mtu anapokubali kuwa chini yako kwa sababu umetumia mabavu huo unakuwa siyo utii tena bali ni uoga
 
Kipigo ndo dawa ya mwanamke.piga tishia kuua akikupeleka polisi ingia gharama toka ukifika home mzibue tena atakua na adabu
Kupiga mtu siku hiziz unaeza ishia jela, magonjwa ni mengi sana na watu ni delicate sana. Unaeza mpiga mtu kaanguka kafa!
Mwanamke akikuzimgua muage achana naye chukua mkali zaidi yake, na jeuri yao yote huwa inawaumiza sana hii maana wao by default hawana uwezo wa kutongoza na kuoata partner mpya kwa muda mfupi!
 
Siwasemi vibaya dada zangu wa kichaga, mnasifika kote kwa uwezo wenu wa kusaka mahela.

changamoto ninayoiona kwa manka walio wengi, uchumi ukichangamka mnakuwa jeuri na kiburi sana. Haijalishi hata kama mwanaume kamzidi kwa uchumi.

Manka akishajihakikishia kuwa ana uwezo wa kusustain maisha yake bila msaada wa mwaume hapo dharau na jeuri huanza.

Kwa mwanaume kiasaka (asiye mchaga) ukitaka kuoa uchagani ki-masculinity ujiandae vizuri kukabiliana na hizo jeuri.

Mimi mchaga na nimeoa mchaga.
Ngojea waje wenyewe,ila kuna ukweli
 
Kupiga mtu siku hiziz unaeza ishia jela, magonjwa ni mengi sana na watu ni delicate sana. Unaeza mpiga mtu kaanguka kafa!
Mwanamke akikuzimgua muage achana naye chukua mkali zaidi yake, na jeuri yao yote huwa inawaumiza sana hii maana wao by default hawana uwezo wa kutongoza na kuoata partner mpya kwa muda mfupi!
Hujakutana na mwanamke chizi ndugu
Kuna mwanamke hata utake achana nae kwa amani anakusumbua tu.
Me na lishangazi huwa nazila naliacha liendelee na maisha yake.but linakujaga limelewa linaanza kunipigia kelele huku linagonga mlango kwa fujo nlifungulie unakuta saa saba mwenye nyumba kalala unafanyaje sasa ukichelewa linakumbia ntavunja mlangoinabidi nifungue lilale.na likiingia linafosi nilipe dudu yake kuna nini tena.
 
Hujakutana na mwanamke chizi ndugu
Kuna mwanamke hata utake achana nae kwa amani anakusumbua tu.
Me na lishangazi huwa nazila naliacha liendelee na maisha yake.but linakujaga limelewa linaanza kunipigia kelele huku linagonga mlango kwa fujo nlifungulie unakuta saa saba mwenye nyumba kalala unafanyaje sasa ukichelewa linakumbia ntavunja mlangoinabidi nifungue lilale.na likiingia linafosi nilipe dudu yake kuna nini tena.
Simama kama mwanamume.
 
Back
Top Bottom