johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Una uhakika au umeamua tu kubisha!1300? Hata Kyela hakuna bei hii.
Nina uhakika ndo maana nakataa.Una uhakika au umeamua tu kubisha!
Acha kupotosha watu humu wewe uliyezoea kulishwa taarifa! Yaani uutoe mchele shinyanga kijijini au kule pawaga au mlimba uje uuze sh. 1300/=? Unaijua bei ya kukodi gari? Ya diesel nayo unaijua? Gharama za mkulima nazo ni sifuri? Jiongeze dogo na piga simu kwenye vyanzo vya mpunga huko kyela na madibira ujuzwe sio unajiropokea humu! Yaani ni hujui lolote!Una uhakika au umeamua tu kubisha!
1300? Hata Kyela hakuna bei hii.
Pumbafff sana wewee..Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Kwahiyo ulipoona kilo ya mchele imeshuka uka conclude uchumi umepanda, hata hukuangalia bei ya mafuta ya kula, bei ya nondo, bei ya cement, bei za huduma mbalimbali, karo za shule, maji, umeme, gharama za afya nk nk, tuna safari ndefu sana, lazima utakuwa imesoma shule za serikali una qualify kupewa mkopo.Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
1300? Hata Kyela hakuna bei hii.
Basi bei ya mchele huko Ifakara ni chini ya buku hutaki acha!Nina uhakika ndo maana nakataa.
Mwanzoni nilikuwa namwona kama mtu mweledi lakini nilipomchunguza nikagundua hana tofauti na YEHODAYA.Acha kupotosha watu humu wewe uliyezoea kulishwa taarifa! Yaani uutoe mchele shinyanga kijijini au kule pawaga au mlimba uje uuze sh. 1300/=? Unaijua bei ya kukodi gari? Ya diesel nayo unaijua? Gharama za mkulima nazo ni sifuri? Jiongeze dogo na piga simu kwenye vyanzo vya mpunga huko kyela na madibira ujuzwe sio unajiropokea humu! Yaani ni hujui lolote!
Nimewanukuu maafisa masoko kwa mujibu wa Eatv!Kwahiyo ulipoona kilo ya mchele imeshuka uka conclude uchumi umepanda, tuna safari ndefu sana, lazima utakuwa imesoma shule za serikali una qualify kupewa mkopo.
Itakuwa bei ya chenga za vitumbua. Mchele mzuri wholesale bei ya chini 1800 na wanunuzi wakubwa 1700. Na itategemea mchele wa wapi? Mbeya vs Morogoro vs Shinyanga vs Magugu Vs SUMBAWANGA etcImeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!