Uchumi unaimarika bei ya mchele yashuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo!

Uchumi unaimarika bei ya mchele yashuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo!

Wewe kula kulala huelewi lolote kuhusu maisha kaa kimya pimbi wewe. Hujui bei ya mchele wala ya sukari wala mafuta.

Bei imepunguwà soko la Tandale kwa stock mpya waliyoipokea na si madukani.

Hata vitu kama nyanya, vitunguu,choho, karoti na vinginevyo soko la stereo Temeke ndio vinapitakana kwa bei nafuu, kwakuwa wewe ni kula kulala na kodi ya nyumba shikamoo basi unakuja tu kuropoka hapa.

Hapo unapoishi kwa shemeji nenda dukani sasa hivi kaulize bei ya mchele halafu njoo hapa utowe ushuhuda.

Na isitoshe sisi wengine tunanunuwa mchele super tu wa Mbeya kilo sh 2600/=.

Sasa wewe kula kulala kesho nenda soko la Tandale kaangalie mchele walioshusha bei kama siyo wa Morogoro.

Mnajipendekeza hadi mnatia aibu wakati ndugu zenu vijijini wanashindia mlo mmoja stupid.
Nashukuru mbwiga wa msimbazi center umekiri ni kweli mchele wa Morogoro umeshuka bei, haya wajulishe na mbwiga wengine hapo Ufipa!
 
Mamamayo,, Shinyanga kwenyewe kwa wakulima maarufu wa mpunga tunauza 1700 -1800/= sasa wewe makalio utasemaje 1,300? Harafu usituambie eti uchumi umepaa wakati wakulima hatuna pa kuuzia mpunga wetu!!
Mkuu mbona huku Kahama siku ya jana nimechukua kwa 1,200/= mashineni
 
Wewe ni ku..... kabisa mwaka huu mchele utafika chini ya TZS 1,000.00 wakulima hasa kanda ya ziwa wamelima sana na kupata mpunga mwingi sana na hizo data ni average ya TZ nzima endelea kubisha kwa kuwa ulizoea kufisadi nchi sasa umebanwa ile mbaya... mpaka utakufa kwa kukosa pesa ya kununua chakula.... fanyakazi acha kukaa kwenye keyboard muda wote!!
Ufipa wamebanwa kila kona mkuu!
 
Sina hakika huyo mtu ana taaluma gani,ila ni msimu wa mavuno ya mpunga,and mahidi ni mengi na mengine yanavunwa,aache unaa huyo mtu
 
Kwahiyo ulipoona kilo ya mchele imeshuka uka conclude uchumi umepanda, tuna safari ndefu sana, lazima utakuwa imesoma shule za serikali una qualify kupewa mkopo.
Ndiyo uchumi unakuwa kwa kuwa na bidhaa nyingi ambazo utauza kwenye masoko ya nje!! Wewe kila kitu kubisha tuuuu??
 
Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Umepotosha....

Hiki ni kipindi cha mavuno....supply kubwa kuliko mahitaji....haina uhusiano na kukua kwa uchumi...
 
Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
ukiona unakula kwa bei nafuu ujue mkulima anauawa
 
Kipindi unapanda hadi iyo 2600 hukuwai kuja na post humu ukisema uchumi waporomoka.
 
Bw Juma kahamisha magoli JF na mijadala ya sasa unaweza lia sijui members wanakaribia kudata au wamevamia vichaa na mods wamewekewa bastola shingoni na hawajitambui.

Sasa bora siku ziende tu!
 
Gharama za kuzalisha huo mpunga nazo zimeshuka au hilo lipo nje ya kibarua chako.
 
Kumbe ccm wana maduka yao na Ufipa wana maduka yao? Hilo nilikuwa silijui.
Tatizo lenu mnakariri sana maafisa masoko wamesema mchele umeshuka bei Ufipa mnabisha!....Jana Mbowe naye amekariri lazima mfungwa atokee mlango ule ule alioingilia....hajiongezi kuwa mambo hubadilika!
 
Back
Top Bottom