Ahmad Nasibu
Member
- Oct 16, 2013
- 86
- 66
KUSADIKIKA itakuwa.....!Nchi gani unaongelea mkuu? Alafu acha kuandika upuuzi kabla hujafanya hata karisechi kadogo!!
Cc: maafisa masoko!Kweli neno uchumi limetumika vibaya kwenye mjadala huu! Sasa sijui isemeke tu neema imepanda kwa walaji? Maana kwa wakati huohuo mkulima anaumia kimtindo mpaka hapo soko litakapokaukiwa mchele....
Tembea uone...Geita 9001300? Hata Kyela hakuna bei hii.
Hongera kiongoziBora ninayejilimia mchele wangu hata bei ya mchele siijui mwaka wa tano sasa
Debe?!
!
Sure Mkuu..... Debe linagonga 35,000tsh Kwa Mchele Mpya
Za kuambiwa changanya na zako dogo..Nimewanukuu maafisa masoko kwa mujibu wa Eatv!
Huko pananifaa kuishiTembea uone...Geita 900
Nielekeze soko gani kuna bei hiyo niufuate kesho asb mkuu!Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Niliagza mtu akanichukulia huko Geita, kwa 900, nikautuma kwenda musoma jamaa wameniuzia huko kwa bei ya 1600, ni kweli umeshuka sana baadh ya sehemu wakuuHuko pananifaa kuishi
Aisee kama mwamala bei hiyo sijui mambali,mbutu,nkindwa watauzajeNjoo vijiji vya kata ya Mwamala wilaya ya Nzega mkoani Tabora gunia ni 36,000 mwisho 45,000 na bado wanavuna hapo.
Duru zinadai kilo itafika hata 800 huko lakini hii wala siyo ishara ya uchumi kuimarika,Kuna watu wataumia.
Kwa bei hiyo Naskia harufu ya shehena za Mchele wa plasticImeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Hata Hiyo 900 kama ulichukua kilo nyingi Jamaa alipata hata miamia. Nimelima huko geita gunia eflu40 hadi najiuliza utapanda kweli? Hadi nafikilia kuuza shamba lenyewe. Wakulima tuna umia kweliNiliagza mtu akanichukulia huko Geita, kwa 900, nikautuma kwenda musoma jamaa wameniuzia huko kwa bei ya 1600, ni kweli umeshuka sana baadh ya sehemu wakuu
Tandale mkuu, tena nenda mwenyewe ukituma mtoto atakununulia ule wa sh 900 itapendeza!Nielekeze soko gani kuna bei hiyo niufuate kesho asb mkuu!
Kweli ndgu hali ni ngumu sana kwa mkulima wa kawaidaHata Hiyo 900 kama ulichukua kilo nyingi Jamaa alipata hata miamia. Nimelima huko geita gunia eflu40 hadi najiuliza utapanda kweli? Hadi nafikilia kuuza shamba lenyewe. Wakulima tuna umia kweli
Bado upo kweli?Labda kitumbo.
Hata Hiyo 900 kama ulichukua kilo nyingi Jamaa alipata hata miamia. Nimelima huko geita gunia eflu40 hadi najiuliza utapanda kweli? Hadi nafikilia kuuza shamba lenyewe. Wakulima tuna umia kweliNiliagza mtu akanichukulia huko Geita, kwa 900, nikautuma kwenda musoma jamaa wameniuzia huko kwa bei ya 1600, ni kweli umeshuka sana baadh ya sehemu wakuu
Mpunga imebidi niweke ghalani gunia elfu40 wata tumaliza ghalama za palizi dah, sielewi iseeNgoja nibane m.a.p umbu maharage yasishuke bei....maana yakishuka tu basi nitakula hasara ambayo sikuwahi kukumbana nayo.