Hiyo ni kweli mkuu,Kushuka kwa bei ya mchele ni kilio kwa mkulima. The world is unfair
Kwa wachumi wa kilimo kushuka kwa bei wakati wa mavuno ni kitu cha kawaida, na hili ndio kubwa hapo na sijaona analysis ya ziada inayoweza kukuruhusu wewe kusema uchumi umekuwa. Data yako very likely imetolewa na reliable source lakini interpretation yako sidhani kama iko sahihi.Kudhibitiwa kwa walanguzi na madalali waliokuwa wananunua mazao kabla hsyajavunwa ni sababu mojawapo ya bei za nafaka katika ujumla wake kushuka!
Mbona umepanic!Huyu ndugu yetu ni wa kumuhurumia bure tu.
Ndo maana kuna mdau humu alisema kua
Inawezekana huyu jamaa ni kula kulala kwa shemeji.
Kazi yake ni kutumwa tu supermarket.
WATU KM HAWA HATA HAWAJUI UCHUMI UNAKUAJE.
Ni msimu wa mavuno mkuuImeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Usilegeze macho avatani!Fala kweli hii habari
Sjaamini kabisa kama unaweza KUSAPOTI ujinga km huo, eti uchumi umepandaMbona umepanic!
Wewe ni mbumbumbu au Tutusa maana unajua kabisa huu ni msimu wa mavuno na mchele ni mwingi na kushuka ni kukosa wanunuajiImeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Maafisa masoko wa jiji la Dsm wanakucheka...mimi si mchumi!Sjaamini kabisa kama unaweza KUSAPOTI ujinga km huo, eti uchumi umepanda
Kwani miaka mingine haukosi wanunuaji?...wale wakenya na wazambia waliokuwa wananunua mazao kabla ya kuvuna wamejificha Ufipani?!!Wewe ni mbumbumbu au Tutusa maana unajua kabisa huu ni msimu wa mavuno na mchele ni mwingi na kushuka ni kukosa wanunuaji
Nenda Tandale utajua kama ni chenga au bismark!Mkuu pia ukiona mchele unauzwa kilo sh 1300 tambua kundi kubwa la wakulima wameumia wa zao hilo.
- Mkuu unazungumzia bei ya chenga za mchele au mchele wenyewe?.
- Je kama mchele wenyewe una uhakika na ubora wake?
- Kilo Tsh 1300 kwa kilo moja?
Tambua KUPUNGUZA IDADI YA WATU HAIMANISHI KUUA WALIO HAI LAHASHA BALI KUZUIA WATU WASIZALIANE OVYO. Namanisha huwezi kupima kukua kwa uchumi kwa kukandamiza wakulima ili bei dogo ya mazao kiashiria cha uchumi kupanda.
Unakumbuka baazi imeukwa kilo sh 200 je uchumi umepanda mkuu?
Wewe si umezoea kula kwenu hujui kinachoendelea.Kwani miaka mingine haukosi wanunuaji?...wale wakenya na wazambia waliokuwa wananunua mazao kabla ya kuvuna wamejificha Ufipani?!!
Mkuu mimi huwa nakula kwa mkeo labda kanidanganya!Wewe si umezoea kula kwenu hujui kinachoendelea.
Wakenya hata mahindi sasa wananunua Zambia na Brazil bei ya mahindi hifai tena.
Mchele wanaonunua wametemana nao vikwazo ni vingi kuliko kuagiza kutoka Asia wameachana nao
Mimi hilo naliangalia in Mathematic perspective if my wife has a girlfriend means I have two wivesMkuu mimi huwa nakula kwa mkeo labda kanidanganya!