Uchumi unaimarika bei ya mchele yashuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo!

Uchumi unaimarika bei ya mchele yashuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo!

Pumbafff sana wewee..
Hujui lolote kwenye haya masuala ya bei za vyakula..
Wewe subiri jpm akiwa sehemu anazindua stendi sijui vyoo ujulishe watu kwamba yupo live kwenye ile television yenu marehemu.

Kama mtoa mada hakusema kweli wajibu wako kueleza unaloliua kuhusu hiyo taarifa yake sio kuropokwa
 
Anauzia wapi mchele wake huyo afisa masoko?
 
Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Utakuwa mchele wa vitumbua uo usituletee story shoga hapa
 
nimeamini usiku huu ITV imetangaza kushuka bei kwa mchele tena wachuuzi wenyewe wamehojiwa na wamekiri utashuka mpaka 1,300/ kwa kilo
jamani tuacheni ubishi
huyu Yohana mbatizaji kazipata za kweli
Nashukuru mkuu, mimi huwa sibaatishi!
 
Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Uchumi uimalike kwa kushuka bei? Bei inaweza ikashuka kwa sababu hakuna demand.
 
Umeshuka kidogo coz supply imeongezeka maana huu ni msimu wa mavuno na mwaka huu mavuno hasa mpunga yameongezeka,hata mafuta huku Sumbawanga bei hazikupanda kama huko keingine
Hilo ndio tataizo la kuangalia kila kitu kisiasa hadi mtu anasahau kua mazao yana mzunguuko wake wa bei. Hata hakutaka kujiuliza kama huu ni msimu wa mavuno au vipi? Anatulisha matango pori hati uchumi umeimarika-nafikiri huyu ni mchumi kanjanja.
 
Back
Top Bottom