Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Wewe na Joni Mbatizaji nawaweka kapu moja, mnachanganya madesa kwa kuwa kila kitu mnakiangalia kwa macho ya kijani hadi mnaona vitu ambavyo havipo.Ndio kazi ya serikali ya awamu ya tano,pesa ipate thamani.
Hongera serikali kwa kudhibiti mfumuko wa bei