Uchumi wa kati matukio mawili, kipigo cha Yanga na Kipigo cha Shilole

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana Jf, katika matukio hatari na ya kutia hasira, tangia tupate uchumi was kati, tumepata vipigo vya mbwa mwizi viwili chakwanza cha Shilole cha pili cha yanga.

Kipigo cha yanga ndicho kinatisha kwani kilitendeka kwa uwazi, wakati cha Shilole kilikuwa kwa kificho sana mpaka alivyojitoa na kujipambanua kupata mguminza uhakika.
 
Tatizo Yanga ni rangi -njano na kijani haifai ,nuksi.
 
Ila Simba wajiandae Yanga tutalipa kwa kuanzia,wasahau ubingwa miaka mitano mfululizo.Huu ndio wa mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…