Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ule wa viwanda nao umezamia wapi🤔Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Uko Makaburini Chattle ya BurigiYule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Lilikuwa lizee shamba sana. Ndio maana hata kuongea kiingereza lilikuwa halijuiYule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Ni kweli tuliingia uchumi wa kati wa chini maana tulikidhi vigezo vyao, japo tuliondolewa tena.Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Mtu muongo, laghai hasa akiwa mwanasiasa, namchukia kama ukoma.Ni kweli tuliingia uchumi wa kati wa chini maana tulikidhi vigezo vyao, japo tuliondolewa tena.
Mmejaa chuki tu zisizo na sababu kwa Marehemu, ndio maana hamuogopi kumzushia uongo, acheni Utoto.
Watanzania wengi ndio wanaanza kujua Magufuli alikuwa mtu wa jinsi gani lakini wapo wengine hawatakaa waelewe hayo.Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Ila mpo tayari kuwakabidhi nchi mafisadi 'wajanja'.Hatutarudia tena kumkabidhi nchi mtu mshamba
Yeye mwenyewe alikuwa mwongo hakuna mfano wake.Ni kweli tuliingia uchumi wa kati wa chini maana tulikidhi vigezo vyao, japo tuliondolewa tena.
Mmejaa chuki tu zisizo na sababu kwa Marehemu, ndio maana hamuogopi kumzushia uongo, acheni Utoto.
Mama anaupiga mwingi.Sasa hivi tunafix mauchafu yake😁😁😁
View attachment 2225652
Kwakweli tukawa kwenye coma, in a vegetative state!Tulipigwa na kitu kizito.
Umerudi KatikatiYule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.