Uchumi wa Kenya umewacha kuwa wa kishambashamba, sasa unaendelea kuwa more developed

Uchumi wa Kenya umewacha kuwa wa kishambashamba, sasa unaendelea kuwa more developed

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Fact moja katika somo la uchumi ni kwamba nchi zilizoendelea kiuchumi, sector ya ukulima huwa ni asilimia ndogo sana ya uchumi wao. Nchi nyingi za magharibi, sector ya agriculture ni takriban asilimia tano tu yaani 5%. Huku Afrika unakuta nchi zetu ni mbovu na hovyo kabisa maana unakuta kuna nchi ambayo sector ya ukulima ni 40% ya uchumi wa nchi. Hii ni ishara tosha kwamba nchi kama hizi bado zipo nyuma sana kimaendeleo. Sector ya agriculture ni muhimu ila hii ya Afrika huwa haina value addition, tunauza mazao yakiwa bado raw bila kuyaprocess kwa hivyo mapato kwa wakulima ni madogo sana. Mapato kwa sector ya ukulima ni ndogo sana. Sector ya ukulima inahujumu na kuendeleza umasikini hapa Afrika maana mapato ni madogo mno kwa sababu ya low value addition and low technology use. Kwa hivyo tukumbatie sector zingine za uchumi maana hizo ndizo zina mapato ya juu kushinda sector ya ukulima. Sector kama finance, real estate au transportation zina income ya hali ya juu ukilinganisha na primitive agricultural practices za Waafrika za low technology use, no value-addition, poor seed choice, no fertilizer or poor quality fertilizer use e.t.c. Sector ya agriculture bado ni muhimu lakini tuiwachie mabwenyenye wanaoweza kuafford kununua matractors na wanaomiliki shamba kubwa kubwa maana wao ndio wanaoweza kutengeneza faida katika sector hii.


Kenya imebadilisha structure ya uchumi wetu. Agriculture ilikuwa 32% of Kenya's Gdp kwa muda mrefu ila sasa Agriculture ni 21% of Kenya's Gdp. Yaani kwa kiswahili, sector ya kilimo ilikuwa 1/3 ya uchumi wa Kenya ila baada ya kurebase uchumi, sasa sector ya kilimo ni 1/5 ya uchumi wa Kenya. Kenya inaanza kuwacha kutegemea kilimo kwa sana. Tunawacha kuwa typical primitive agrarian economy proliferating the African continent.

Cheki hii screen shot ya hio table inayoonyesha jinsi agriculture imepoteza nafasi katika uchumi wa Kenya. Nimeitoa KNBS kwa report ya rebasing of the economy.

Screenshot_20210910-082106.jpg
 
Watu milioni mbili wanakufa njaa huko, huwezi kua tajiri bado chakula hauna cha kutosha, labda Ruto awaokoe maana mnahali mbaya sana
 
Fact moja katika somo la uchumi ni kwamba nchi zilizoendelea kiuchumi, sector ya ukulima huwa ni asilimia ndogo sana ya uchumi wao. Nchi nyingi za magharibi, sector ya agriculture ni takriban asilimia tano tu yaani 5%. Huku Afrika unakuta nchi zetu ni mbovu na hovyo kabisa maana unakuta kuna nchi ambayo sector ya ukulima ni 40% ya uchumi wa nchi. Hii ni ishara tosha kwamba nchi kama hizi bado zipo nyuma sana kimaendeleo. Sector ya agriculture ni muhimu ila hii ya Afrika huwa haina value addition, tunauza mazao yakiwa bado raw bila kuyaprocess kwa hivyo mapato kwa wakulima ni madogo sana. Mapato kwa sector ya ukulima ni ndogo sana. Sector ya ukulima inahujumu na kuendeleza umasikini hapa Afrika maana mapato ni madogo mno kwa sababu ya low value addition and low technology use. Kwa hivyo tukumbatie sector zingine za uchumi maana hizo ndizo zina mapato ya juu kushinda sector ya ukulima. Sector kama finance, real estate au transportation zina income ya hali ya juu ukilinganisha na primitive agricultural practices za Waafrika za low technology use, no value-addition, poor seed choice, no fertilizer or poor quality fertilizer use e.t.c. Sector ya agriculture bado ni muhimu lakini tuiwachie mabwenyenye wanaoweza kuafford kununua matractors na wanaomiliki shamba kubwa kubwa maana wao ndio wanaoweza kutengeneza faida katika sector hii.


Kenya imebadilisha structure ya uchumi wetu. Agriculture ilikuwa 32% of Kenya's Gdp kwa muda mrefu ila sasa Agriculture ni 21% of Kenya's Gdp. Yaani kwa kiswahili, sector ya kilimo ilikuwa 1/3 ya uchumi wa Kenya ila baada ya kurebase uchumi, sasa sector ya kilimo ni 1/5 ya uchumi wa Kenya. Kenya inaanza kuwacha kutegemea kilimo kwa sana. Tunawacha kuwa typical primitive agrarian economy proliferating the African continent.

Cheki hii screen shot ya hio table inayoonyesha jinsi agriculture imepoteza nafasi katika uchumi wa Kenya. Nimeitoa KNBS kwa report ya rebasing of the economy.

View attachment 1931504
That's nonsense kama hari ya wa Kenya wa kawaida inaendelea kua mbaya kila ukicha na wengi wanakufa kwa njaa kwasababu ya umasikini ulio kithiri. Income disparity ya Kenya iko juu kuliko nchi yoyote Africa mashariki, wanao faidika na index zenu hizo ni wa hindi, wazungu na Kenyan politician ni kama 2% ya Wakenya wote. 98% ya wakenya hari yao ya uchumi ni mbaya wakipewa nafasi kuhamia TZ wako tayari ili kupata unafuu wa maisha.
 
Ni kweli mkuu maana hata kwa Tanzania kwa sasa imekuwa chini ya 30% huku service sector ikiendelea kukua kwa kasi

All in all kwa nchi za kiafrika, tukisema tuachane na kilimo zaidi sidhani kama tutaweza kuhimili inflated prices kutoka developed worlds in case of shortage

Vitu vingi tu bado tupo dependent na kwangu naona ni risk kubwa putting our food security into their hands..

Mind You economic growth doesnt translate into economic development,

will there be any form of economic development if our national incomes 'll be highly contributed by the products which do not promote "citizens welfare"

the main issue iwe diversification of our economies but also comperative advantage in whatever a country may opt to produce
 
Fact moja katika somo la uchumi ni kwamba nchi zilizoendelea kiuchumi, sector ya ukulima huwa ni asilimia ndogo sana ya uchumi wao. Nchi nyingi za magharibi, sector ya agriculture ni takriban asilimia tano tu yaani 5%. Huku Afrika unakuta nchi zetu ni mbovu na hovyo kabisa maana unakuta kuna nchi ambayo sector ya ukulima ni 40% ya uchumi wa nchi. Hii ni ishara tosha kwamba nchi kama hizi bado zipo nyuma sana kimaendeleo. Sector ya agriculture ni muhimu ila hii ya Afrika huwa haina value addition, tunauza mazao yakiwa bado raw bila kuyaprocess kwa hivyo mapato kwa wakulima ni madogo sana. Mapato kwa sector ya ukulima ni ndogo sana. Sector ya ukulima inahujumu na kuendeleza umasikini hapa Afrika maana mapato ni madogo mno kwa sababu ya low value addition and low technology use. Kwa hivyo tukumbatie sector zingine za uchumi maana hizo ndizo zina mapato ya juu kushinda sector ya ukulima. Sector kama finance, real estate au transportation zina income ya hali ya juu ukilinganisha na primitive agricultural practices za Waafrika za low technology use, no value-addition, poor seed choice, no fertilizer or poor quality fertilizer use e.t.c. Sector ya agriculture bado ni muhimu lakini tuiwachie mabwenyenye wanaoweza kuafford kununua matractors na wanaomiliki shamba kubwa kubwa maana wao ndio wanaoweza kutengeneza faida katika sector hii.


Kenya imebadilisha structure ya uchumi wetu. Agriculture ilikuwa 32% of Kenya's Gdp kwa muda mrefu ila sasa Agriculture ni 21% of Kenya's Gdp. Yaani kwa kiswahili, sector ya kilimo ilikuwa 1/3 ya uchumi wa Kenya ila baada ya kurebase uchumi, sasa sector ya kilimo ni 1/5 ya uchumi wa Kenya. Kenya inaanza kuwacha kutegemea kilimo kwa sana. Tunawacha kuwa typical primitive agrarian economy proliferating the African continent.

Cheki hii screen shot ya hio table inayoonyesha jinsi agriculture imepoteza nafasi katika uchumi wa Kenya. Nimeitoa KNBS kwa report ya rebasing of the economy.

View attachment 1931504
Jana raisi wenu katangaza mna njaa ya kufa mtu.....wacheni hizi propaganda nyinyi ni hohehahe
 
Data za kupika

Sisi uchumi wetu hautegemei kilimo kwa sana kama wenu. Nyie endeleeni kulima sisi tutanunua mazao kutoka kwenu. Sisi tuko mbioni kukuza sector zenye mapato ya hali ya juu kama finance, transportation, real estate, ICT na kadhalika. We are becoming more developed.
 
Ndugu yangu huu sio muda mzuri wa kuisifia Kenya. Ungesubiri kidogo tuwaletee chakula mkabiliane na njaa na kulipa madeni ya chanjo halafu ndo ulete hii habari. Unaweza kuwa na hoja ila timing ndo umekosea.
 
Ni kweli mkuu maana hata kwa Tanzania kwa sasa imekuwa chini ya 30% huku service sector ikiendelea kukua kwa kasi

All in all kwa nchi za kiafrika, tukisema tuachane na kilimo zaidi sidhani kama tutaweza kuhimili inflated prices kutoka developed worlds in case of shortage

Vitu vingi tu bado tupo dependent na kwangu naona ni risk kubwa putting our food security into their hands..

Mind You economic growth doesnt translate into economic development,

will there be any form of economic development if our national incomes 'll be highly contributed by the products which do not promote "citizens welfare"

the main issue iwe diversification of our economies but also comperative advantage in whatever a country may opt to produce
Mimi sisemi kwamba tuwache kulima chakula, la hasha. Kilimo ni sector muhimu na ndio maana hata nchi za magharibi zimeweka subsidies na other grants ili kukuza sector ya kilimo. Nchi za magharibi zinaelewa kuwa sector ya kilimo ni muhimu na inahitaji kulindwa vilivyo ila sector hio huwa ni ndogo yaani asilimia tano tu ya uchumi hizo. Halafu huwa imeajiri watu wachache tu, yaani watu wachache takriban 1% of the population wanaweza kulisha hao 99% of the remaining population kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu. Lakini ujinga wa hapa Afrika ni kuwa 60% ya watu wanafanya kazi ya ukulima ila wanashindwa kulisha nchi nzima inabidi tuagize chakula kutoka nje. Hawa 60% si wangeenda kufanya kazi katika sector zingine na kuwachia kilimo watu wachache wanaotumia teknolojia ya hali ya juu walishe nchi kama inavyofanyika magharibi?
 
Sisi uchumi wetu hautegemei kilimo kwa sana kama wenu. Nyie endeleeni kulima sisi tutanunua mazao kutoka kwenu. Sisi tuko mbioni kukuza sector zenye mapato ya hali ya juu kama finance, transportation, real estate, ICT na kadhalika. We are becoming more developed.
😀 😀 😀 😀
 
That's nonsense kama hari ya wa Kenya wa kawaida inaendelea kua mbaya kila ukicha na wengi wanakufa kwa njaa kwasababu ya umasikini ulio kithiri. Income disparity ya Kenya iko juu kuliko nchi yoyote Africa mashariki, wanao faidika na index zenu hizo ni wa hindi, wazungu na Kenyan politician ni kama 2% ya Wakenya wote. 98% ya wakenya hari yao ya uchumi ni mbaya wakipewa nafasi kuhamia TZ wako tayari ili kupata unafuu wa maisha.
Kuja uondoe ndugu na dada zako omba omba huku Kenya na pia waendeshaji boda boda wengi na hawkers wanao kimbia ufukura wa Tanzania., mko ovyo zaidi licha ya rasilmali., laana ya kiaina.
 

Kenya’s economy swells by Sh520b after review but agriculture takes hit​

f831598ec719916bdf8d28b81f6fe373

Published
10 hours ago
on
September 9, 2021
By
Standard Business
Standard Business

Standard Business


Standard Business

kenyas_economy_sw613a6bcd986bc.jpg




CS Ukur Yatani speaking during the launch of the 2021 Economic Survey report.[Wilberforce Okwiri, Standard]

Kenya reviewed the structure of its economy by including new economic activities, a situation that saw other sectors eat into the contribution of agriculture.
Technically known as rebasing, the exercise is aimed at recalibrating how the country’s Gross Domestic Product (GDP), or the size of the national cake, is computed.
Besides adding or subtracting new economic activities by using a new base year as the reference period for calculating GDP, rebasing also involves adopting new compilation methods as well as new or improved data.
After rebasing the economy, nominal GDP, which had not been adjusted for the increase in prices in 2019, swelled by around Sh520 billion to Sh10.26 trillion, up from the initial Sh9.74 trillion.

“The revised and rebased national accounts has resulted in an increase in the size of GDP, increase in per-capita income, change in the production structure and revised GDP growth rates among other changes,” said Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) Director-General Macdonald Obudho yesterday following the release of the Economic Survey 2021.
Nominal GDP for 2020 was estimated at Sh10.75 trillion after the exercise.
However, the contribution of agriculture – for long known as the backbone of Kenya’s economy – shrank from a high of 34.1 per cent in 2019’s Economic Survey to 21.2 per cent as some of the activities were removed.
This as the contribution of real estate, ICT, transport and storage, financial and insurance services, and manufacturing went up.
The highest gainers were ICT, whose contribution more than doubled from 1.2 per cent to 2.5 per cent; real estate from 6.9 per cent to 9.2 per cent; transport and storage from 8.5 per cent to 11.7 per cent and financial services from six per cent to 6.4 per cent.
However, the contribution of education was flat at 4.2 per cent, while that of mining and quarrying dropped from 0.8 per cent to 0.7 per cent.
KNBS initiated the process of revising and rebasing the national accounts in 2017.
This is the seventh time that Kenya has rebased its economy, the last one having been done in 2014.
“The revision process entailed taking stock of the available data and assessing their suitability; formulation of a data collection strategy to fill the gaps; conducting various surveys and censuses; analysing and validating the data; compilation of revised and rebased estimates and a consultative review of the revised estimates,” said Ukur Yatani when he unveiled the Economic Survey 2021.
Some of the key data that informed the revision and rebasing included the 2017 Census of Industrial Production, the 2017 Integrated Survey of Services, the 2015/16 Kenya Integrated Household Survey, the 2019 Kenya Population and Housing Census and the 2016 Micro, Small and Medium Enterprises Survey, as well as a number of improved data from administrative records.
The rebasing of the economy comes at a time when the National Treasury is set to abandon the current Sh9 trillion legal ceiling of debt issuance and revert to one that is pegged on GDP.
Currently, the percentage of debt to GDP is estimated at 71.6 per cent, which has left the country with very little wiggle room to increase its borrowing. This was revealed by the International Monetary Fund (IMF) in one of its first reviews of the Extended Fund Facility and Extended Credit Facility, a Sh256 billion credit facility programme.
The IMF said Kenyan authorities had proposed an amendment to the Public Finance Management Regulations to replace the current nominal legal ceiling on debt issuance currently capped at Sh9 trillion.
Instead, they want to replace it with a medium-term debt-to-GDP anchor of 55 per cent of GDP in present value terms, discounting for low interest.
“Staff welcomes the new anchor and introduction of an accountability requirement — whereby the government explains to Parliament how planned policies would bring the debt ratio from current to targeted levels,” said IMF.
 
IMG_20210910_111208_226.jpg

Beautiful article worth a read.
 
"Only when the last tree has been cut down, the last fish been caught, and the last stream poisoned, will we realize we cannot eat money".
 
"Only when the last tree has been cut down, the last fish been caught, and the last stream poisoned, will we realize we cannot eat money".
Yes we can't eat money but money can buy anything including food.
 
Back
Top Bottom