Uchumi wa Kenya upo ICU: Benki ya Taifa ya Kenya imetangaza kupunguza wafanyakazi 150

Uchumi wa Kenya upo ICU: Benki ya Taifa ya Kenya imetangaza kupunguza wafanyakazi 150

Shukrani sana kwa majibu yako ila wewe na aliyeanzisha post hamjapishana sana uwezo weno wa kujenga hoja ndio maana nasema kupasishwa kwa "KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA " kama kigezo rasmi cha kuwa na weledi bila kuwa na uwezo wa " KUFIKIRI" ni tatizo litakalo chukua miongo kadhaa kulifuta by the way kwa Tanzania mpaka sasa ni wafanya kazi wangapi wameachishwa kutokana na mdororo wa kimya kimya wa ukuaji wa uchumi? ni viwanda vingapi vimepunguza uzalishajia na kupunguza wafanyakazi mpaka sasa ndani na nchi yetu ukitaka kujenga hoja FIKIRI njoo na data si kutukana kutakupa werevu wakuonekana UJUVI wa unalosema kumbe nawe ni walewale wanaojua " KUSOMA NA KUANDIKA BILA KUFIKIRI" JENGENI NYUMBA YENU INAMOMONYOKA ACHANENI NA MAJIRINI " HANGAIKENI NA SHIDA ZENU KWANZA, Madawati bado, madarasa bado ya Tembe halafu mgombea Urais anasema Atatoa Laptop kwa kila mwalimu kwasababu tu nyumba ya jirani naye alijinasibu na ameweza sisi? Mthalani wenzetu wameweza hili :-
View attachment 688605 Sisi tumefanya nini au Tunasubiri tumalize kununua WAVULANA wote na uchaguzi wa ndani? jamani kujua KUSOMA NA KUANDIKA NI HATUA YA KWANZA ILA MSISAHAU KUFIKIRI NI KWA MUHIMU SANA SANA especially kwa MAFWAFWA KAMA WEWE NA WENZAKO
Kaka hoja unayojenga ninahisi ni kubwa kuliko uwezo wako, serikali yoyote makini na ambayo uchumi wake unafanya vizuri kamwe haiwezi kuachisha kazi watumishi wake, wewe unachanganya kati ya biashara na ajira, katika biashara ni kweli kwamba kupunguza watumishi ni sehemu moja wapo ya kupunguza matumizi na kuongeza faida, lakini serikali haifanyi biashara, ila inatoa huduma kama, elimu, afya, polisi, magereza, jeshi na huduma zingine za kijamii, ufanisi wa huduma hizi kama elimu kwa mfano, inategemea sana na idadi ya waalimu, kupunguza watumishi katika serikali ni tatizo kubwa sana.

Huku Tanzania kama unafuatilia mambo vizurI, ukiachana na watumishi waliokutwa na vyeti feki, serikali haijafanya zoezi lolote la kuachisha kazi, badala yake wanatoa ajira kwa wingi sana. Kazi na jukumu muhimu la serikali zote duniani ni kuhakikisha kwamba wananchi wake wanapata ajira, sio serikali kutengeneza faida, na kumbuka kwamba serikali ndiye the single biggest employer duniani kote japo haifanyi biashara, sio lazima ajira zitoke katika business making sector.
 
Nilifikiri ukirudi utakuja na hoja kumbe ni pumba pumbastik sasa ndugu mwerevu naomba unipe manufaa ya hiyo satellite ya Kenya kwenye uchumi wa Kenya.

Uje na hoja mujarabu sio vimaneno vitupu vilivyoboldiwa na herufi kubwa kumbe ni shudu.

Yaani nikikuita FWAFWA unakataa, hata uwezo wa kujiongeza huwezi, unasubiri kulishwa kila kitu kama KINDA LA NDEGE, shame upon you , Kujua kuandika unajua, ingaweje nadhani kuna wakati unapenda uandike hata lugha ya Malkia ila UWEZO ndio shida, pole,jitahidi kuna siku utaweza kuwa na uwezo wa KUFIKIRI, kujitenga na MAFWAFWA WENZAKO, na utaweza kujua utofauti wako na wao pindi ukifanikiwa KUFIKIRI
 
Kaka hoja unayojenga ninahisi ni kubwa kuliko uwezo wako, serikali yoyote makini na ambayo uchumi wake unafanya vizuri kamwe haiwezi kuachisha kazi watumishi wake, wewe unachanganya kati ya biashara na ajira, katika biashara ni kweli kwamba kupunguza watumishi ni sehemu moja wapo ya kupunguza matumizi na kuongeza faida, lakini serikali haifanyi biashara, ila inatoa huduma kama, elimu, afya, polisi, magereza, jeshi na huduma zingine za kijamii, ufanisi wa huduma hizi kama elimu kwa mfano, inategemea sana na idadi ya waalimu, kupunguza watumishi katika serikali ni tatizo kubwa sana.

Huku Tanzania kama unafuatilia mambo vizurI, ukiachana na watumishi waliokutwa na vyeti feki, serikali haijafanya zoezi lolote la kuachisha kazi, badala yake wanatoa ajira kwa wingi sana. Kazi na jukumu muhimu la serikali zote duniani ni kuhakikisha kwamba wananchi wake wanapata ajira, sio serikali kutengeneza faida, na kumbuka kwamba serikali ndiye the single biggest employer duniani kote japo haifanyi biashara, sio lazima ajira zitoke katika business making sector.

What? unasema serikali inatoa ajira au imeajiri wengi wapi japo a single example any way let me spot here! Siku njema
 
What? unasema serikali inatoa ajira au imeajiri wengi wapi japo a single example any way let me spot here! Siku njema
Wizara ya Afya peke yake imeshatoa zaidi ya ajira 1500, JWTZ limeajiri watu 3000, TRA utakumbuka foleni ilivyokua ndefu siku ya usaili, Air Tanzania imetangaza kazi nyingi tu, hivi hizi zote huzioni?
 
Wizara ya Afya peke yake imeshatoa zaidi ya ajira 1500, JWTZ limeajiri watu 3000, TRA utakumbuka foleni ilivyokua ndefu siku ya usaili, Air Tanzania imetangaza kazi nyingi tu, hivi hizi zote huzioni?

Ok nimeshakuelewa ni wale wafia chama, kila lakheri katika uchumi wa V- WONDER, watu kama ninyi huwa mnasubiri kulishwa taarifa bila kufanya tafiti kuwa je nilichoambiwa na tatizo lililokuwepo unafuu ukoje. Mimi niseme mshindi wewe kila aheri tena katika ujenzi wa V-WONDER, by the way umesikia leo tumebisha hodi BARCLAY tunaomba fedha za kujenga Reli, na mradi wa Umeme wa Rufiji, while in the beginning tuliaminishwa kuwa TUNA JENGA KWA HELA ZA NDANI, leo tunabadilika, wengine wakisema NCHI haina hela wanaonekana wachochezi
 
Back
Top Bottom