Kenya has for the first time bought more than she sold to African countries in the half-year period.
www.businessdailyafrica.com
Taarifa ya Benki kuu ya Kenya inaonyesha kwamba, Kenya inapoteza nguvu ya kupambana katika biashara katika EAC kutokana na gharama kubwa za uzalishaji nchini, hii imesababisha Kenya kuwa mnunuzi zaidi wa bidhaa kutoka Kenya na Tanzania, kuliko kuwa muuzaji.
Hii inaonyesha ni jinsi gani " Manufacturing sector" ya Kenya inavyoporomoka ukilinganisha na zile za Kenya na Tanzania, ambazo kwa sasa zinakua kwa kasi kubwa kutokana na kutumia tehnolojia ya kisasa ambayo inapunguza gharama za uzalishaji.
Ikumbukwe kwamba, Kenya ilikua nchi ya kwanza kupata maendeleo ya viwanda katika ukanda huu, pale ilipoamua kuegemea wazungu na kuwasaliti waafrika katika kipindi cha vuguvugu la ukombozi wa Africa, lakini baada ya uwanja wa biashara kuwekwa sawa kwa nchi zote za EAC, imeonekana wazi kwamba manufacturing sector ya Kenya haina uwezo wa kupambana na zile za Tanzania.