Uchumi wa Kenya wazidi kuelekea kaburini kwa kasi

Uchumi wa Kenya wazidi kuelekea kaburini kwa kasi

Kwa hiyo ripoti Kenya inaauza bidhaa mingi Tanzania kuliko venue inanunua,lakinini kwa kueneza propaganda hujamboo wewe kichaa
Kenya exports to Tanzania-15bn
Kenya imports from Tanzania-13bn
Kenya export to Uganda- 30bn
Kenya imports fro Uganda-13bn
Bado Kenya ni king wa east Africa

Source please
 
Kama mngekua "honest to yourselves" na mkaanza kukubaliana na ukweli kwa yanayotokea kwenu, tungeweza kujadiliana njia na hatua mbalimbali za ufumbuzi. Tatizo lenu ni kujifanya mnajua kila kitu, hata penye ukweli pia mnajaribu kupinga na kuonyesha kwamba mambo yenu yapo vizuri.
Sasa hata ndio unajionyesha vibaya zaidi . Ujinga ni kujionyesha wewe ndio fundi mtaalamu ilhali nyumba yako inayumbayumba vibaya sana.Unajifanya daktari mjuaji wa matatizo ya Kenya mbona hujatibu magonjwa ya uchumi wa Tzed kwanza? Tzed is an LDC with an economy 40% smaller than Kenya's ....charity begins at home wewe mwana wa Manzeshe peleka ujuaji wako kule kwanza.
 
Bwahahaaaa...unaniongopea ndio ili iweje......wacha kudanganya bana eti ndio na wewe uonekane hujaona bidhaa za kenya tanzania...
Acha ujinga wewe, unataka kila product lazima wewe personally uwe umeiona?, Mimi huku niliko sijaona hata product moja toka Kenya, kwahiyo unataka kusema products za Kenya hazipo Tanzania?
 

Nimeitazama video. bado mnapasua miamba. Baada ya kupasua miamba ndio mtadivert river halafu ndio muanze ujenzi. Bado mko katika site preparation. Mkimaliza site preparation ndio mtaanza ujenzi. Kwa hivyo nilikuwa sawa nilivyosema ujenzi bado haujaanza. Kwa hivyo hiyo figure ya 8% completion rate sio ukweli
 
Wacha kulazimisha mambo. Dunia yote tunajua kwamba Kenya exports more goods to Tanzania than it imports from your country. Mbona nyinyi wabishi hivi?
Acha kuzungukazunguka, umesema sisi tunawauzia raw materials wakati ninyi mbatuuzia manufactured goods, nimekuuliza mtaje hizo manufactured goods mnazotuuzia, sasa unabadilisha gear kuanza kuzungumza kuhusu kuuzia zaidi Tanzania, stupid kabisa ninyi.
 
Sasa hata ndio unajionyesha vibaya zaidi . Ujinga ni kujionyesha wewe ndio fundi mtaalamu ilhali nyumba yako inayumbayumba vibaya sana.Unajifanya daktari mjuaji wa matatizo ya Kenya mbona hujatibu magonjwa ya uchumi wa Tzed kwanza? Tzed is an LDC with an economy 40% smaller than Kenya's ....charity begins at home wewe mwana wa Manzeshe peleka ujuaji wako kule kwanza.
Hahahaha, zaidi ya kusema Kenya ipo na uchumi mkubwa lakini "nothing is reflected on the ground, vipi uchumi mkubwa unashindwa kutatua matatizo yenu, wakati LDC inawazidi katika mambo karibu yote
1)Unemployment
2) Tunatibu bure wagonjwa wote wenye saratani
3)Tuna best Hospitals in the region
4)Tuna best and biggest airport in EAC
5)Tunajenga best SGR kwa pesa yetu
6)Tumenunua ndege 8 kwa pesa yetu, ninyi mna ndege 3 tu, tena chakavu
7) Tunachakula kingi sana, ninyi watu wenu wanakufa kwa njaa
8) Tumeweza kuwapatia wananchi wengi MAJI safi na salama, ninyi hadi Leo mnakufa kwa cholera hapo Nairobi
9)Tumeweza kudhibiti Amani na usalama, ninyi ni nchi ya kwanza kwa crime hapa Africa.
10) Hatuna rushwa.
 
Nimeitazama video. bado mnapasua miamba. Baada ya kupasua miamba ndio mtadivert river halafu ndio muanze ujenzi. Bado mko katika site preparation. Mkimaliza site preparation ndio mtaanza ujenzi. Kwa hivyo nilikuwa sawa nilivyosema ujenzi bado haujaanza. Kwa hivyo hiyo figure ya 8% completion rate sio ukweli
Ujenzi wa mradi ni pamoja na mobilization, kujenga nyumba na kambi za wafanyakazi, barabara na daraja,
Sasa wewe ni " indicators " zipi zinazokufanya ufikirie kwamba hili bwawa halitojengwa?.

Kama alivyosema Magufuli, hata marais wenzake na mabalozi wanashangazwa sana na jinsi abavyotekekeza miradi mikubwa kwa pesa za ndani, wengi hawaamini yanayotokea, ninahisi hata wewe pia unashangaa, huamini kama tutaweza.
 
Hahahaha, zaidi ya kusema Kenya ipo na uchumi mkubwa lakini "nothing is reflected on the ground, vipi uchumi mkubwa unashindwa kutatua matatizo yenu, wakati LDC inawazidi katika mambo karibu yote
1)Unemployment
2) Tunatibu bure wagonjwa wote wenye saratani
3)Tuna best Hospitals in the region
4)Tuna best and biggest airport in EAC
5)Tunajenga best SGR kwa pesa yetu
6)Tumenunua ndege 8 kwa pesa yetu, ninyi mna ndege 3 tu, tena chakavu
7) Tunachakula kingi sana, ninyi watu wenu wanakufa kwa njaa
8) Tumeweza kuwapatia wananchi wengi MAJI safi na salama, ninyi hadi Leo mnakufa kwa cholera hapo Nairobi
9)Tumeweza kudhibiti Amani na usalama, ninyi ni nchi ya kwanza kwa crime hapa Africa.
10) Hatuna rushwa.
Wyatt Mathewson dong yi MKWEPA KODI BAK ChoiceVariable
 
Taarifa ya Benki kuu ya Kenya inaonyesha kwamba, Kenya inapoteza nguvu ya kupambana katika biashara katika EAC kutokana na gharama kubwa za uzalishaji nchini, hii imesababisha Kenya kuwa mnunuzi zaidi wa bidhaa kutoka Kenya na Tanzania, kuliko kuwa muuzaji.
Hii inaonyesha ni jinsi gani " Manufacturing sector" ya Kenya inavyoporomoka ukilinganisha na zile za Kenya na Tanzania, ambazo kwa sasa zinakua kwa kasi kubwa kutokana na kutumia tehnolojia ya kisasa ambayo inapunguza gharama za uzalishaji.
Ikumbukwe kwamba, Kenya ilikua nchi ya kwanza kupata maendeleo ya viwanda katika ukanda huu, pale ilipoamua kuegemea wazungu na kuwasaliti waafrika katika kipindi cha vuguvugu la ukombozi wa Africa, lakini baada ya uwanja wa biashara kuwekwa sawa kwa nchi zote za EAC, imeonekana wazi kwamba manufacturing sector ya Kenya haina uwezo wa kupambana na zile za Tanzania.
Aise 😟😟😟😟 Pole kwa manyang'au, Ngoja niwasisitize watani na wakwe zangu wa kihehe na wale hawara zangu wa Mbeya wazidishe kilimo cha Mahindi na Mpunga, unajuwa jamaa wanaweza kufa njaa hivi hivi aise?! Sisi kama majirani tunawajibu wa kuwanusuru, ngoja nijaze credit nilifanyie kazi...
 
Acha kuzungukazunguka, umesema sisi tunawauzia raw materials wakati ninyi mbatuuzia manufactured goods, nimekuuliza mtaje hizo manufactured goods mnazotuuzia, sasa unabadilisha gear kuanza kuzungumza kuhusu kuuzia zaidi Tanzania, stupid kabisa ninyi.
so in your mind you believe we only sell to you raw materials and that manufactured goods don't feature anywhere? Kweli common sense is not common to some people

Soma hii link uelemike kidogo

 
so in your mind you believe we only sell to you raw materials and that manufactured goods don't feature anywhere? Kweli common sense is not common to some people

Soma hii link uelemike kidogo

Ninyi wakenya akili zenu ni ndogo sana, ndio sababu ukabila ubawashinda kupambana nao. Nimekuambia taja manufactured goods mbazotuuzia, ili tulinganishe na zile tunazowauzia, ili upumbavu wenu wa kudhani sisi hatuwauzii manufactured goods bali ni raw materials pekee. We sell you both, raw materials and finished goods.
 
Ninyi wakenya akili zenu ni ndogo sana, ndio sababu ukabila ubawashinda kupambana nao. Nimekuambia taja manufactured goods mbazotuuzia, ili tulinganishe na zile tunazowauzia, ili upumbavu wenu wa kudhani sisi hatuwauzii manufactured goods bali ni raw materials pekee. We sell you both, raw materials and finished goods.
You are just a typical danganyikan. Always resorting to insults and name calling whenever you can't prove a point. Ulisema nikutajie finished products Kenya inauza Tanzania nikakuletea link ujisomee mwenyewe but the only thing you can do nI matusi. You are retarded!If you ain't sober enough to hold a decent discussion, then don't open threads
 
Huyo jamaa ni maembe sana.
You are just a typical danganyikan. Always resorting to insults and name calling whenever you can't prove a point. Ulisema nikutajie finished products Kenya inauza Tanzania nikakuletea link ujisomee mwenyewe but the only thing you can do nI matusi. You are retarded!If you ain't sober enough to hold a decent discussion, then don't open threads
 
Back
Top Bottom