The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
SawaMatunda ya Uongozi wa Rais SSH yaanza kuonekana kutokana na ukuaji wa Uchumi.
Hongera Sana Mama juhudi zako zimeanza kuzaa matunda,Watanzania tutegemee Neema zaidi kwa miaka ijayo
View attachment 2070360
Fungua codes zaidi mkuuWengi wanaukubali ukweli huu moyoni, na kuukataa machoni. Wanajua wakiukubali machoni wataonekana mtandaoni, afu zile data za bure na buku buku wanazotumiwa na katibu mkuu watazikosa. Kwahiyo hiyo ndio sababu ya kuuza uhuru wao wa kufikiri na utu wao kwa sababu ya njaa zao.
Hahahaha.. mkuu, kuna watu humu hawaupendi upinzani na hawawaamini kabisa wapinzani. Lakini kutokana na njaa zao, eidha kwa kutopenda kufanyakazi nk, wanajikuta wanaandika thread za kupinga maendeleo yoyote yanayoletwa na serikali kwa niaba ya upinzani ili angalau waweze kujiingizia buku buku kwa siku bila kuitolea jasho, pia data za bure ili wapate nguvu za kuendelea kuandika ujinga wao kuhusu serikali. Siku katibu mkuu na chama chake watasimamisha malipo haya, utaoni thread nyingi za kuiponda serikali zinapotea na zile ID fake zitapungua.Fungua codes zaidi mkuu