Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
- Thread starter
-
- #41
We jamaa aseee ahahaha.We usinitanie..!
Mi kwa uchumi wangu jinsi ulivyoimarika kwa sasa nina uwezo wa kununua bidhaa yoyote ya Apple bila kupepesa macho..!
Mfano Apple juice, apple moja nk
Ndio uchumi unachoruhusu mkuu πWe jamaa aseee ahahaha.
Uliposema Apple nikasema tajiri si ndiyo huyu,Mzee wa aifoni. Kumbe unaongelea apple punch ya mo.
Hahaha mimi naweza kuchoma mguu wa mbuzi!Mimi nimejifanyia tathmini nimegundua uchumi wangu Nina uwezo wa kununua jogoo lolote ninalotaka,nikatengeneza supu,nikanywa nikashiba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiWe mtoto!!
Kwa hiyo Hela ya chuo unanunulia sex tools!?
Nakurudisha msamara kukugawa bure.
Mkuu,
Viwanja kaka.Kaka hivi viwanja au nyumba ??, maana aisee sio powa
Swadakta, ugali ni jambo muhimu sana, vingine nyongezaKila mtu anafanya manunuzi katika level yake ya maisha aliyonayo.
Hata mtu anayenunua private jet kuna vitu na yeye anaona bado hawezi fika bei kuvinunua.
View attachment 2939122
Swaumu ya leo kali sana, nipo hapa na wife tunasubiri adhana tupate futari.
Ahsante sana umenikumbusha nipitie sokoni, na leo tena ningesahau.Kwa uchumi wangu kaka naweza kununua dagaa wa mwanza Sado moja lakini yote kwa yote kikubwa uhai
Kunawatu wanafedha lakin hawapendi kufahamika kabisaNilikuwa napita pita zangu huko mtandaoni,nikakutana na tangazo la wauza viwanja (madalali).
Nilisikitika sana baada ya kusoma like tangazo. Nikasema Bongo Kuna watu Wana uchumi ambao wanaweza kununua kiwanja chochote na mahali popote. Na Hawa siyo kina Mo na Bahresa,ni watu tu ambao wapo low key ila ni wanene(mafogo/matajiri).
Nikijiangalia, najiona Sina uwezo wa kununua kiwanja mahali popote pale ninapotaka,Wala kujenga nyumba yeyote ninayoitaka kwa sababu uchumi wangu upo limited.
Siku nimeenda Kidimbwi nikagundua kumbe Mimi Bado sana. Yani hata kinywaji (pombe) Sina uwezo wa kununua pombe yoyote ninayojisikia kununua. Kwa sababu nilikutana na pombe za hadi milioni mbili,alafu chupa Moja tu jamani!! Mbaya zaidi Kuna watu wananunua bila kumuuliza uliza bei Wala kujikuna kichwa.
Kuna watu Wana uchumi wa kwenda mahali popote pale duniani kula Bata.
Mwingine ana uwezo/uchumi wa kula chochote anachojisikia na muda waowote akitaka.
Mwingine ana uwezo wa kununua gari lolote linalouzwa hapa duniani,wakati Kuna kina sisi hata Toyota Passo inakuwa kipengere.
Anyways,turudi kwenye swali;
Uchumi wako una nguvu ya kufanya nini unachojisikia?
Ujinga ni kuwa na fedha nyingi nakuishi kama vile hunaNilikuwa napita pita zangu huko mtandaoni,nikakutana na tangazo la wauza viwanja (madalali).
Nilisikitika sana baada ya kusoma like tangazo. Nikasema Bongo Kuna watu Wana uchumi ambao wanaweza kununua kiwanja chochote na mahali popote. Na Hawa siyo kina Mo na Bahresa,ni watu tu ambao wapo low key ila ni wanene(mafogo/matajiri).
Nikijiangalia, najiona Sina uwezo wa kununua kiwanja mahali popote pale ninapotaka,Wala kujenga nyumba yeyote ninayoitaka kwa sababu uchumi wangu upo limited.
Siku nimeenda Kidimbwi nikagundua kumbe Mimi Bado sana. Yani hata kinywaji (pombe) Sina uwezo wa kununua pombe yoyote ninayojisikia kununua. Kwa sababu nilikutana na pombe za hadi milioni mbili,alafu chupa Moja tu jamani!! Mbaya zaidi Kuna watu wananunua bila kumuuliza uliza bei Wala kujikuna kichwa.
Kuna watu Wana uchumi wa kwenda mahali popote pale duniani kula Bata.
Mwingine ana uwezo/uchumi wa kula chochote anachojisikia na muda waowote akitaka.
Mwingine ana uwezo wa kununua gari lolote linalouzwa hapa duniani,wakati Kuna kina sisi hata Toyota Passo inakuwa kipengere.
Anyways,turudi kwenye swali;
Uchumi wako una nguvu ya kufanya nini unachojisikia?
Wanaishi low key,kumbe ni mafogo balaa.Kunawatu wanafedha lakin hawapendi kufahamika kabisa
Kiberiti na chumvi ya mawe ππππNilikuwa napita pita zangu huko mtandaoni,nikakutana na tangazo la wauza viwanja (madalali).
Nilisikitika sana baada ya kusoma like tangazo. Nikasema Bongo Kuna watu Wana uchumi ambao wanaweza kununua kiwanja chochote na mahali popote. Na Hawa siyo kina Mo na Bahresa,ni watu tu ambao wapo low key ila ni wanene(mafogo/matajiri).
Nikijiangalia, najiona Sina uwezo wa kununua kiwanja mahali popote pale ninapotaka,Wala kujenga nyumba yeyote ninayoitaka kwa sababu uchumi wangu upo limited.
Siku nimeenda Kidimbwi nikagundua kumbe Mimi Bado sana. Yani hata kinywaji (pombe) Sina uwezo wa kununua pombe yoyote ninayojisikia kununua. Kwa sababu nilikutana na pombe za hadi milioni mbili,alafu chupa Moja tu jamani!! Mbaya zaidi Kuna watu wananunua bila kumuuliza uliza bei Wala kujikuna kichwa.
Kuna watu Wana uchumi wa kwenda mahali popote pale duniani kula Bata.
Mwingine ana uwezo/uchumi wa kula chochote anachojisikia na muda waowote akitaka.
Mwingine ana uwezo wa kununua gari lolote linalouzwa hapa duniani,wakati Kuna kina sisi hata Toyota Passo inakuwa kipengere.
Anyways,turudi kwenye swali;
Uchumi wako una nguvu ya kufanya nini unachojisikia?
Ahaha,kwa nini chumvi ya mawe?Kiberiti na chumvi ya mawe ππππ
ππππHata sina cha kujiteteaAhaha,kwa nini chumvi ya mawe?
Siyo neel salt tena?
Dah acha tuzidi kutafuta hela, msechu aje aimbe msimbani kwanguπ.Viwanja kaka.
Alafu vuta picha Kuna watu hawawazi kabisa kuhusu Hela ya kununua hivyo viwanja. Yani mtu anaangalia hiyo list kama mimi ninavyoangalia list ya viwanja vya milioni 2 kule vikindu.