Uchumi wetu upo kwenye hatua ipi?Recovering,Recession,Peak ama Depression?
Leo humu mtandaoni nimeona matangazo ya kampuni moja kubwa ya simenti na benki moja zikitangaza hasara huku jana niliambiwa kuwa kuna benki moja imetangaza kufunga baadhi ya matawi yake ikilitangaza tawi la Wilaya ya Babati!.
Nadhani wachumi mlitakiwa kutupa ufafanuzi kuhusu uchumi wetu,"cycle" yake ipo wapi kwenye dhana ya "economic cycle" na je kesho yake ni njema?na tahadhari zipi zinatakiwa zichukuliwe na mtu mmoja mmoja pamoja na wawekezaji wakubwa?
Je hatua tuliyo nayo sasa kwenye mzunguko wa kiuchumi,nini kinashauriwa kichumi? "Kusave" sana?kutumia sana ama kuwekeza sana/kuingiza pesa nyingi kwenye uwekezaji!.
Huu ni wakati wa kuona maandiko,mijadala na hoja za kutosha kutoka kwa wachumi wetu,wao ndiyo vyanzo sahihi(credible),sasa mkituacha sisi vyanzo vya kawaida vinavyoguswa na mzunguko huu aa uchumi(reliable),tunachambua mambo,tutachambua kwa kadri tunavyoona mifuko yao,na mkiwaacha serikali (Authoritative)wachambue wao tu,wao watachambua kwa kujilinda.
Ndiyo maana sijafurahishwa sana na matumizi ya sheria ya takwimu ta mwaka 2016,inatia hofu watafiti!.
by
D:Bulendu.
Leo humu mtandaoni nimeona matangazo ya kampuni moja kubwa ya simenti na benki moja zikitangaza hasara huku jana niliambiwa kuwa kuna benki moja imetangaza kufunga baadhi ya matawi yake ikilitangaza tawi la Wilaya ya Babati!.
Nadhani wachumi mlitakiwa kutupa ufafanuzi kuhusu uchumi wetu,"cycle" yake ipo wapi kwenye dhana ya "economic cycle" na je kesho yake ni njema?na tahadhari zipi zinatakiwa zichukuliwe na mtu mmoja mmoja pamoja na wawekezaji wakubwa?
Je hatua tuliyo nayo sasa kwenye mzunguko wa kiuchumi,nini kinashauriwa kichumi? "Kusave" sana?kutumia sana ama kuwekeza sana/kuingiza pesa nyingi kwenye uwekezaji!.
Huu ni wakati wa kuona maandiko,mijadala na hoja za kutosha kutoka kwa wachumi wetu,wao ndiyo vyanzo sahihi(credible),sasa mkituacha sisi vyanzo vya kawaida vinavyoguswa na mzunguko huu aa uchumi(reliable),tunachambua mambo,tutachambua kwa kadri tunavyoona mifuko yao,na mkiwaacha serikali (Authoritative)wachambue wao tu,wao watachambua kwa kujilinda.
Ndiyo maana sijafurahishwa sana na matumizi ya sheria ya takwimu ta mwaka 2016,inatia hofu watafiti!.
by
D:Bulendu.