Uchungu wa Kushindwa Ukoleza Utamu wa Ushindi!

Uchungu wa Kushindwa Ukoleza Utamu wa Ushindi!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Wanasiasa wasiojua Kushindwa hawastahili kushinda. Kuelekea Uchaguzi Mkuu tutaona na kusikia mengi; tutaona watakaocheka na watakaonuna, watakaolia na watakaochukia, Watakaokenua na watakaokimbia.

Vigogo wataanguka na kupigwa na butwaa, vijana wataibuka na watu wakashangaa, tutaona na kinyume chake; vijana wataangushwa na wazee na manjemba wakibwagwa na kina dada!

Tuwapime Hawa wanaoangushwa na kukataliwa, wanaitikia vipi. Tusiwatengenezee njia ya kuwabeba. Walioshindwa waachwe wanuse na walambe ladha chungu ya Kushindwa! Tutajua wametengenezwa kwa udongo gani...

#kurazamaonizisimame2020
 
Waliounga mkono juhudil lazima wamwage mboga baada ya nyingi kumwaga ugali.

Hata hivyo,hawana nafasi tena ndani ya upinzani.
 
Usishangae wakahamia kwa ACT maana naona jamaa vetting yao haipo sawa
Waliounga mkono juhudil lazima wamwage mboga baada ya nyingi kumwaga ugali.

Hata hivyo,hawana nafasi tena ndani ya upinzani.
 
Haya mambo ndo yalimfanya Magu abadili katiba ya CCM ili agombee peke yake manake alishajua mtu kukuchekea haina maana kwamba anakupenda!!!

Yaani kweli wana Kigamboni kijana wenu Daud Albert Bashite anawaletea hadi Yanga Complex na bado mnampa za uso?! Hivi kule Kigamboni hakukuwa na Wapiga Kura wa Kike ambao kijana wao aliapa kuwatetea kwa nguvu zote... including kuwasaka na kuwatia korokoroni wale wanaowatelekeza na watoto!

Yaani hata wapiga kura wa kiume ni kwamba hawana watoto wa kike ambao wangekuwa influence ya kumchagua kijana aliyeapa kuwatetea mabinti wao, au?! Au wameamua tu kumkomoa kwa sababu na wenyewe si ajabu ni miongoni mwa wale mabaradhuli waliotelekeza wanawake!!!

Simba! Kweli nyie watu wa Simba wa kumtupa mkono Daudi nyinyi?! Huyu jamaa si anapambana kufa na kupona kule kwenye ujumbe wake kuhakikisha mnakuwa mabingwa milele!!!

Yaani Yanga mna miaka zaidi ya 80 lakini hamkuwahi kupata sehemu ya kujenga Yanga Complex! Kijana Daud kapambana kawapa eneo leo hii mnaamua kumsaliti, kweli?!

Sasa kama wale wajumbe sio wanawake, Simba wala Yanga kuna wajumbe gani lakini?!

Ama kweli, bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi kuliko kumfadhili Mwana Kigamboni atakayeishia kukugamboni!!!
 
Haya mambo ndo yalimfanya Magu abadili katiba ya CCM ili agombee peke yake manake alishajua mtu kukuchekea haina maana kwamba anakupenda!!!

Yaani kweli wana Kigamboni kijana wenu Daud Albert Bashite anawaletea hadi Yanga Complex na bado mnampa za uso?! Hivi kule Kigamboni hakukuwa na Wapiga Kura wa Kike ambao kijana wao aliapa kuwatetea kwa nguvu zote... including kuwasaka na kuwatia korokoroni wale wanaowatelekeza na watoto!

Yaani hata wapiga kura wa kiume ni kwamba hawana watoto wa kike ambao wangekuwa influence ya kumchagua kijana aliyeapa kuwatetea mabinti wao, au?! Au wameamua tu kumkomoa kwa sababu na wenyewe si ajabu ni miongoni mwa wale mabaradhuli waliotelekeza wanawake!!!

Simba! Kweli nyie watu wa Simba wa kumtupa mkono Daudi nyinyi?! Huyu jamaa si anapambana kufa na kupona kule kwenye ujumbe wake kuhakikisha mnakuwa mabingwa milele!!!

Yaani Yanga mna miaka zaidi ya 80 lakini hamkuwahi kupata sehemu ya kujenga Yanga Complex! Kijana Daud kapambana kawapa eneo leo hii mnaamua kumsaliti, kweli?!

Sasa kama wale wajumbe sio wanawake, Simba wala Yanga kuna wajumbe gani lakini?!

Ama kweli, bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi kuliko kumfadhili Mwana Kigamboni atakayeishia kukugamboni!!!
Siyo wana kigamboni, sema wana dsm woote wamekataa
 
Siyo wana kigamboni, sema wana dsm woote wamekataa
Yaani ni tukio ambalo jana lilinifanya nilale usingi mzuri sana!! Jana ilikuwa ni moja ya siku bora kabisa kwangu, manake kabla sijakaa sawa, nasikia Mzee wa Miaka 7 nae kapewa za uso huko Kondoa!!
 
Tatizo lako ni ugonjwa wa utapia mlo ulio kuwa nao utotoni mwako, hapo hujaelewa kitu gani?
Hapa napenyezewa na watu wako wa karibu kuwa hata wao pia hawajaelewa chungio limetoboka pumba zinatoka!
 
Yaani ni tukio ambalo jana lilinifanya nilale usingi mzuri sana!! Jana ilikuwa ni moja ya siku bora kabisa kwangu, manake kabla sijakaa sawa, nasikia Mzee wa Miaka 7 nae kapewa za uso huko Kondoa!!
Wacha bhana kagongwa?
 
Unawakilisha mazuzu wenzako wa lumumba kwa maana wote vichwani mwenu ni maji tupu
Hapa napenyezewa na watu wako wa karibu kuwa hata wao pia hawajaelewa chungio limetoboka pumba zinatoka!
 
Unawakilisha mazuzu wenzako wa lumumba kwa maana wote vichwani mwenu ni maji tupu
Napenyezewa nyingine na mtu wako wa karibu zaidi ulikuwa nae dk tano zilizopita kuwa leo hukumeza vidonge!
 
Kudadadeeeki, kweli wewe ni kipara kipya yaani unaishi kwa kuangalia upepo unavuma vipi.

Baada ya kukosa uteuzi na ukuu wa mkoa sasa unamgeuka bosi wako uliyekuwa unashinda unamsifia?
Muueni kabisa wala hanihusu!
 
Kudadadeeeki, kweli wewe ni kipara kipya yaani unaishi kwa kuangalia upepo unavuma vipi.

Baada ya kukosa uteuzi na ukuu wa mkoa sasa unamgeuka bosi wako uliyekuwa unashinda unamsifia?
Naguswa hapa na watu wa karibu wanasema rudi ukapate dawa
 
Back
Top Bottom