Uchungu wa Kushindwa Ukoleza Utamu wa Ushindi!

Uchungu wa Kushindwa Ukoleza Utamu wa Ushindi!

Tatizo lako ni ugonjwa wa utapia mlo ulio kuwa nao utotoni mwako, hapo hujaelewa kitu gani?
ccm imeingiaje hapa, maana kila post ni VVM kuanguka itashindwa
umeelezwa ukweli unaanza kashfa
Nakushauri ungeelezea ya Mbowe ktorudisha fomu
au kwanini Tundu Lissu hatanusa alipokanyaga Membe wa ACT
 
Haya mambo ndo yalimfanya Magu abadili katiba ya CCM ili agombee peke yake manake alishajua mtu kukuchekea haina maana kwamba anakupenda!!!

Magu kabadili katiba iwe na mgombea mmoja?

Unamchukia mpaka unamtengenezea uongo mchana kweupe.
 
ccm imeingiaje hapa, maana kila post ni VVM kuanguka itashindwa
umeelezwa ukweli unaanza kashfa
Nakushauri ungeelezea ya Mbowe ktorudisha fomu
au kwanini Tundu Lissu hatanusa alipokanyaga Membe wa ACT
Sasa umeandika nini nawewe ukwaju mbona hueleweki? Tulia andika vema usomeke
 
Magu kabadili katiba iwe na mgombea mmoja?

Unamchukia mpaka unamtengenezea uongo mchana kweupe.
Eti kumchukia, very stupid! Halafu we jamaa unapenda sana kuongea hoja ya kwamba eti namchukia Magufuli! Yaani nyie wengine Jiwe akisemwa mnaumia kuliko hata anavyoumia Mama Janneth!

Haya endelea basi kuonesha mapenzi yako kwake na ujinga wako wa kufanya siasa as if it's personal issue.
 
Tatizo huko watu bado wanaendelea kuisikiliza tiibiisiii
According to Maria Sarung's Tweet, jamaa kala za uso, na sasa miongoni mwa maiti zilizobaki nchi hii ni ile maiti ya Kongwa!
 
Ndiyo waramba miguu hao
Eti kumchukia, very stupid! Halafu we jamaa unapenda sana kuongea hoja ya kwamba eti namchukia Magufuli! Yaani nyie wengine Jiwe akisemwa mnaumia kuliko hata anavyoumia Mama Janneth!

Haya endelea basi kuonesha mapenzi yako kwake na ujinga wako wa kufanya siasa as if it's personal issue.
 
Back
Top Bottom