Naguswa hapa na watu wa karibu wanasema rudi ukapate dawa
ccm imeingiaje hapa, maana kila post ni VVM kuanguka itashindwaTatizo lako ni ugonjwa wa utapia mlo ulio kuwa nao utotoni mwako, hapo hujaelewa kitu gani?
Haya mambo ndo yalimfanya Magu abadili katiba ya CCM ili agombee peke yake manake alishajua mtu kukuchekea haina maana kwamba anakupenda!!!
Sasa umeandika nini nawewe ukwaju mbona hueleweki? Tulia andika vema usomekeccm imeingiaje hapa, maana kila post ni VVM kuanguka itashindwa
umeelezwa ukweli unaanza kashfa
Nakushauri ungeelezea ya Mbowe ktorudisha fomu
au kwanini Tundu Lissu hatanusa alipokanyaga Membe wa ACT
Watajiunga na Chadema.
Eti kumchukia, very stupid! Halafu we jamaa unapenda sana kuongea hoja ya kwamba eti namchukia Magufuli! Yaani nyie wengine Jiwe akisemwa mnaumia kuliko hata anavyoumia Mama Janneth!Magu kabadili katiba iwe na mgombea mmoja?
Unamchukia mpaka unamtengenezea uongo mchana kweupe.
According to Maria Sarung's Tweet, jamaa kala za uso, na sasa miongoni mwa maiti zilizobaki nchi hii ni ile maiti ya Kongwa!Wacha bhana kagongwa?
According to Maria Sarung's Tweet, jamaa kala za uso, na sasa miongoni mwa maiti zilizobaki nchi hii ni ile maiti ya Kongwa!
Eti kumchukia, very stupid! Halafu we jamaa unapenda sana kuongea hoja ya kwamba eti namchukia Magufuli! Yaani nyie wengine Jiwe akisemwa mnaumia kuliko hata anavyoumia Mama Janneth!
Haya endelea basi kuonesha mapenzi yako kwake na ujinga wako wa kufanya siasa as if it's personal issue.