Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Amekamatwa ikiwa ni sehemu ya uchunguzi unaoendelea dhidi ya madai ya kuwepo kwa vitendo vya rushwa katika uamuzi wa kukubali michuano ya Soka ya Kombe la Dunia ya mwaka 2022, kufanyika Qatar
Amekamatwa mapema leo na kuwekwa kizuizini huko Nanterre, Paris, nchini Ufaransa
Platini, aliyeongoza UEFA tangu mwaka 2007 hadi 2015, kwa sasa atumikia zuio la kutojihusisha na soka kwa miaka minne baada ya kukutwa na hatia ya kupokea rushwa kutoka kwa Rais wa zamani wa FIFA, Sepp Blatter
Katika hali inayodaiwa kuwa ni ya kushangaza mnamo Desemba 2010, Qatar ilishinda na kupewa idhini ya kuandaa michuano hiyo ya mwaka 2022
====
Former UEFA president Michel Platini has been arrested as part of an investigation into alleged corruption relating to the decision to award Qatar the 2022 World Cup, according to reports.
He was taken into custody in Nanterre, Paris, on Tuesday morning.
Platini, who was UEFA president between 2007 and 2015, is currently serving a four-year ban from football after he was found guilty of receiving a "disloyal payment" from ex-FIFA president Sepp Blatter.
Qatar controversially won the rights to host the 2022 World Cup nearly a decade ago, in December 2010
Amekamatwa mapema leo na kuwekwa kizuizini huko Nanterre, Paris, nchini Ufaransa
Platini, aliyeongoza UEFA tangu mwaka 2007 hadi 2015, kwa sasa atumikia zuio la kutojihusisha na soka kwa miaka minne baada ya kukutwa na hatia ya kupokea rushwa kutoka kwa Rais wa zamani wa FIFA, Sepp Blatter
Katika hali inayodaiwa kuwa ni ya kushangaza mnamo Desemba 2010, Qatar ilishinda na kupewa idhini ya kuandaa michuano hiyo ya mwaka 2022
====
Former UEFA president Michel Platini has been arrested as part of an investigation into alleged corruption relating to the decision to award Qatar the 2022 World Cup, according to reports.
He was taken into custody in Nanterre, Paris, on Tuesday morning.
Platini, who was UEFA president between 2007 and 2015, is currently serving a four-year ban from football after he was found guilty of receiving a "disloyal payment" from ex-FIFA president Sepp Blatter.
Qatar controversially won the rights to host the 2022 World Cup nearly a decade ago, in December 2010