Uchunguzi kashfa ya upangaji matokeo FDL

Kama anazingua sema tumshushe tezi dume [emoji83]
 
Swiss me...........Huwa simuelewagi mkuu msamehe Bure.....
 
Jamal Malinzi anahusika kwenye hili sakata ndio maana yupo kimya muda wote kama vile hajui kinachoendelea kwenye mpira wetu wa miguu. Juzi tena huko Katavi kuna timu tena zilipanga matokea baada ya timu moja kushinda goli 16-0 kwenye mchezo mmoja. Hili kama halitadhibitiwa mapema litatokea hata kwenye ligi kuu siku za hivi karibuni.
 
Hii kashfa itaondoka na mtu tena huyu Malinzi ndio tatizo.
Si useme tu kuwa Jamal Malinzi!!!!!!!, mbona unapata shida ya kuuma uma meno wakati muhusika anajulikana!!!!????
 
Hii kashfa itaondoka na mtu tena huyu Malinzi ndio tatizo.
Kwa kweli ianasikitisha sana. Kuna siku nilikuwa nasikiliza kipindi cha michezo cha Clouds FM, Alex Luambano kwa kujiamini kabisa alisema atatuwekea mawasiliano ya sauti kati ya watu waliokuwa wakilifanya hili dili na kiongozi mkubwa saana katika soka. Nikaa uzuri ili kumsikiliza kwa bahati mbaya akaweka matangazo, nikasubiri huo ubuyu, alivyorudi hewani kaja namengiiine kabisa, akapotezea kama kulikuwa hakuna kitu. Nikajua hiyo ndiyo kampa kampa tena! Mbwigaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Sasa hili unalolisema linanikumbusha uwepo wake, yawazekana siku ile Bwana Alex Luambano alipotaka kutujuza kuna kanuni zilimfunga na wengi tunaelewa uandishi wa kiuweledi unatakiwa ubalance story na kwa kuwa muda ulikuwa hautoshi nikajua habari ile ilimshinda kuutangazia umma.
Ndugu Gentamycine, kaza uzi baba hivi ndivyo taaluma inavyotaka, kuna watu wapuuzi wengine wanataka kulifanya soka letu kama taasisi ya familia yake.
 

Na Ndiyo Maana Nimeamua Kujitoa Muhanga Na Nawaomba Tuunganishe Nguvu Ili Tumalize Hili Tatizo Hata Kama Litatugharimu. Mataifa Yote Makubwa Na Yaliyopiga Hatua Wale Watu MAJASIRI Waliamua KUJITOA MUHANGA Kwa Maslahi Ya Nchi Yao Na Sasa WANAKUMBUKWA.
 

Na KATUDHARAU Na KUTUDHIHAKI Sana Sisi Wana JF Katika Press Conference Yake TFF Huku AKIFURA Kabisa Hadi Macho Yakitaka Kumtoka. Ukweli Ni Kwamba AMESHASHIKWA Pabaya.
 
Hili suala JAMAL MALINZI anahusika kwa 100% na siku ya mechi alikuwa anawasiliana na mtu ambaye alikuwa anaratibu matokeo ya viwanja vyote viwili na mambo yako wazi. Ajabu na kweli,kamati ya akina Tarimba inajua hilo ila ikataka kugeuza mpira kwa baadhi ya viongozi wa mikoa ili waadhibiwe kuficha upuuzi wa Malinzi. Angalia watu wa Polisi Tabora wanalalamika kwa kutoa ushahidi lakini TFF iliyobobea rushwa haitaki kusikiliza. Mimi nimemwambia Malinzi,na ninaomba nirudie humu tena kuwa,MWISHO WA MALINZI NI MBAYA SABABU ATAPATA AIBU ISIYOWEZA KUBEBEKA USONI KWAKE
 
Mambo ya kuoneana haya bado yanaendelea kuitafuna nchi hii gentamycine tupo pamoja kwa hili maana kuna vitu vingine vipo wazi kabisa huhitaji collage education kuvijua hili lisipo fanywa kwa haki sijui soka letu litazidi kudidimia kabsaa wote walio shiriki kuratibu hujuma hii wawajibike wakishindwa wawajibishwe.Tulijua hizi taasisi ya majeshi nidhamu na uadilifu ndio dira yao kumbe wa hovyo kabisa.
 

Kuna Waliodhani GENTAMYCINE Nimekurupuka Tu au Nina AGENDA Ovu Na TFF Na Malinzi Yake ILA Nakushukuru Sana Mkuu Kwa Kuja Nawe Kwani UMEMALIZA KILA KITU. Na Kile KITENDO Chake Cha KUIKASHIFU JF Pale Mkutanoni Ndicho KILINIUMIZA Na Sasa Kwa GHARAMA YOYOTE ILE Nimeamua KUJITOA MHANGA. Na Napenda Nimuambie Na Nimuhakikishie Pia Kuwa Najua SASA ANAHAHA KUTAKA KUINGILIA KATI MAAMUZI YA KAMATI YA TARIMBA ABBAS ILI TU Timu ( TAJIRI ) IPANDE LIGI KUU Hivyo Nami Pia Namuhakikishia Kuwa ENDAPO HIYO TIMU ( TAJIRI ) ITAPANDA LIGI KUU BASI NA MIMI NAKWENDA KUTOA SIRI ZINGINE ZOTE ZILIZOJIFICHA ILI WATANZANIA WAELEWE MBIVU NA MBICHI NA NITAMUUMBUA KWELI KUANZIA NAMBA ZA SIMU, SAUTI ZAKE NA MAELEKEZO YAKE KWA HIYO TIMU NA VIONGOZI WA MPIRA WA MKOA. AKITAKA TWENDE SAWA NAOMBA AZISHUSHE DARAJA HIZO TIMU NA TIMU YA MBAO NDIYO IPANDE DARAJA KWAKUWA YENYEWE IMECHEZA KWA HAKI NA HAKUNA ASIYELIJUA HILO. Nasubiri Tu Timu ( TAJIRI ) Ipande DARAJA Nifunguke Zaidi Ya Hapa.
 

Tushirikiane Kwa Pamoja Wakuu Peke Yangu SITAWEZA. Huyu Mtu Ni JIPU LILILOTUKUKA Hapo TFF Na Hata WAFANYAKAZI Wenyewe Tu Wa Hapo WANAKIRI HILO Na WAMEMCHOKA Kwa Tabia Zake Zingine Ambazo Leo Sitaziweka Hapa Kwakuwa Siyo Mahala Pake.
 
We unaona kufungwa hizo goli pekee ndio upangaji matokeo? Unawaruhusu watu waende bonanza na kisha baadae unaona kuwa baadhi ya timu kuwa na viporo tena bila sababu huku wasemaji wao wakijigamba ni upangaji pia matokeo. Unatoaje favour pale pasipokuwa na favour? Tunajua una mechi za kimataifa cheza uje umalize viporo,hakuna kitu yaani inaonekana sababu Rambaramba pesa IPO na Maanjii pesa IPO basi wengine wasiwatishe,haikubaliki. Sasa viongozi wote TFF na Bodi ya ligi wamekuwa mabubu mpaka wakumbushwe majukumu yao
 

Akhsante Kaka Endeleea " Kuwatiririkia " Ili Wajue Kuwa Kuna Watu WANAJUA YANAYOENDELEA Kuliko Hata WAFANYAKAZI Waliopo Hapo TFF. Mimi Alichonikera Tu Hadi Nikaamua Sasa NIMFUNGIE KAZI NI KITENDO CHAKE CHA SISI TULIOPO HUMU HUKU AKIIPONDA JF AMBAYO NI YEYE HUYO HUYO AMEKUWA AKIITUMIA KATIKA KULETA HABARI ZAKE NA KUNA WAKATI HATA THREADS ZIPO HUMU ALIIPONGEZA SANA JF NA KUISIFU MNO LAKINI NASHANGAA ILE MAJUZI KABADILIKA NA KUANZA KUISEMA VIBAYA KANA KWAMBA SISI MEMBERS HUMU NI WACHOCHEZI au TUNA CHUKI NAE. Na Haya Ndiyo ALIYOYATAKA Na Nitamshikia BANGO Hadi Dakika Ni Nikiona Tu Hiyo Timu ( Tajiri ) INAPANDA LIGI KUU HAPO SASA NDIPO ATAJUA WATU HATUNA MASIHARA Juu Ya Anayoyafanya.
 
Wamsimbazi mna matatizo kweli kweli, yaani ni fitina, majungu, longo longo ili mrafi mumchomoe malinzi!
 
rushwa siku zote haijifichi, kama mlungulula ulitembea ukweli utajulikana tuu, kwanza tuviachie vyombo husika kufanya uchunguzi na kuja na majibu.... Kuwa hukum tff kabla hatujawasikiliza tutakuwa hatuwatendei haki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…