Uchunguzi wa dna

Uchunguzi wa dna

kvelia

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2009
Posts
246
Reaction score
44
Wataalam naombeni msaada ni wapi nitapata kufanya vipimo vya DNA na gharama yake ni nini?
 
Jaribu ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali au Polisi nao kama wameanza kupima.
 
Waone kwa mkemia mkuu na bei yake bado juu kama 500,000
 
Vp unahisi wamekubambikia nini?
 
Ha ha haa @Billie, ukweli siku zote unakufanya uwe na confidence.
 
Ha ha haa @Billie, ukweli siku zote unakufanya uwe na confidence.

Sivuti picha kama ukakuta Hazimatch?Mi mwenzio nilitia shaka lakin busara zangu zikaniambia nisilifanye hilo swala nilee tu maana mtoto mpaka mama kamchagua mlee wewe ujue unafaa kimalezi kushinda huyo jamaa mwingine.WABONGO NI PASUA VICHWA ASIKUAMBIE MTU.
 
Du, hii kali, siku zote wanasema mbona anafanana na wewe, nataka nidhibitishe kweli kama ni mimi basi itakuwa vema na nitaendelea kulea kwa moyo wote kama nilionao.
 
Back
Top Bottom