Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nilicho sikia ni kwamba mtoto mmoja Hana jicho na ametolewa ngozi kwenye paji la uso hizi hospital zetu isije kua ni panya Mana mie kunandugu wa mke wangu huko mikoani walishakuta marehem Hana jicho na baadhi ya vidole vimetafunwa na panyaWauguzi wanne katika mkoa wa Tabora Magharibi nchini Tanzania watafikishwa Mahakamani kwa kosa la kuvuna viungo vya watoto mapacha, afisa wa mkoa amesema.
Kamati iliyoundwa kuchunguza tukio hilo iligundua kuwa miili ya mapacha hao waliozaliwa kabla ya wakati wao ilikuwa imeharibika baada ya kufariki.
Mama huyo alikuta macho ya watoto wake yametobolewa na sehemu ya ngozi yao ikiwa imetoka kwenye paji la uso.
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Batilda Buriani alisema wauguzi hao ambao wako chini ya ulinzi wamesimamishwa kazi.
Alisema uvunaji wa viungo hivyo unahusishwa na uchawi.
Wauguzi hao waliipotosha kamati ya uchunguzi kwa madai ya uwongo kwamba miili hiyo ilihifadhiwa katika wadi ya wazazi wakati, ilipatikana katika chumba cha wauguzi, Bi Buriani aliongeza.
Wauguzi hao bado hawajazungumzia madai hayo.
Taarifa hiyo pia inaeleza kuwa pacha hao walifariki dunia kutokana na kukosa huduma za watoto wachanga ambazo hazikupatikana katika kituo walichozaliwa.
Hii lugha ya kuita Uvunaji nafikiri haipo sawa...binadamu anahitaji kuheshimiwa.Wauguzi wanne katika mkoa wa Tabora Magharibi nchini Tanzania watafikishwa Mahakamani kwa kosa la kuvuna viungo vya watoto mapacha, afisa wa mkoa amesema.
Kamati iliyoundwa kuchunguza tukio hilo iligundua kuwa miili ya mapacha hao waliozaliwa kabla ya wakati wao ilikuwa imeharibika baada ya kufariki.
Mama huyo alikuta macho ya watoto wake yametobolewa na sehemu ya ngozi yao ikiwa imetoka kwenye paji la uso.
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Batilda Buriani alisema wauguzi hao ambao wako chini ya ulinzi wamesimamishwa kazi. Alisema uvunaji wa viungo hivyo unahusishwa na uchawi.
Wauguzi hao waliipotosha kamati ya uchunguzi kwa madai ya uwongo kwamba miili hiyo ilihifadhiwa katika wadi ya wazazi wakati, ilipatikana katika chumba cha wauguzi, Bi Buriani aliongeza.
Wauguzi hao bado hawajazungumzia madai hayo.
Taarifa hiyo pia inaeleza kuwa pacha hao walifariki dunia kutokana na kukosa huduma za watoto wachanga ambazo hazikupatikana katika kituo walichozaliwa.
Mbona ujasema itumike lugha gani brother.Hii lugha ya kuita Uvunaji nafikiri haipo sawa...binadamu anahitaji kuheshimiwa.
Ili kurudisha Imani ya umma kwa watumishi wa afya, ni vyema Kesi hii ikaendeshwa mfululizo mwanzo hadi mwisho.Ikiwezekana ikamilike ndani ya mwezi mmoja tu kuanzia hapo itakapofikishwa Mahakamani, iend3shwe kwa utaratibu wa "fast track" ili watu wengi zaidi wasiendelee kupoteza Imani dhidi ya manesi na madaktari.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Burian @batilda.burian amesema jalada la uchunguzi wa tukio tata la Watoto pacha waliozaliwa kabla ya muda katika Kituo cha Afya Kaliua na mmoja wao kunyofolewa jicho la kulia na ngozi ya paji la uso, limekamilika na Watumishi wanne wa Kituo hicho watafikishwa Mahakamani wakati wowote kuanzia sasa.
Akiongea na CG FM Dkt. Batilda amesema uchunguzi umebaini miili ya Watoto hao ilitunzwa katika chumba cha Wauguzi na sio katika wodi ya Wazazi kama ilivyosemwa awali na Wauguzi hao.
RC Batilda amewataja Wauguzi hao kuwa ni Theresia Kakiziba, Asha Magidi, Paulo James na Benson Maikase na kwamba amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua kuwasimamisha kazi Wauguzi wengine wawili walioongezwa katika kesi hiyo.
Itakumbukwa tukio hilo lilitokea May 9, 2023 katika Kituo cha Afya Kaliua ambapo inadaiwa Mtoto mmoja kati ya wawili pacha waliozaliwa kabla ya muda na kufariki alinyofolewa jicho na kuondolewa ngozi ya paji la uso hali iliyozua taharuki iliyopelekea Familia ya Isaka Rafael kugoma kuzika miili ya Watoto hao hadi leo.
Pia soma:
Sio kwa watoto waliokuwa chini ya uangalizi,Mie nilicho sikia ni kwamba mtoto mmoja Hana jicho na ametolewa ngozi kwenye paji la uso hizi hospital zetu isije kua ni panya Mana mie kunandugu wa mke wangu huko mikoani walishakuta marehem Hana jicho na baadhi ya vidole vimetafunwa na panya
Ulimwengu upi uliostaarabika ???Ni aibu sana kwa ulimwengu uliostaarabika [emoji17]
Tamaa ya kutaka ukwasi bila jasho.Baadhi ya wauguzi sijui wamekuaje.
Bhalaa Kubwa Sana HiliSo sad indeed
Nakazia NakaziaTamaa ya kutaka ukwasi bila jasho.
Maadili kuanzia juu hadi chini yamekuwa adimu
KumbeHii hatari sana Hawa watoto huenda waliuliwa makusudi,manake jamaa alikuja na usafiri wakagoma kumpa hao watoto
SanaNi aibu sana kwa ulimwengu uliostaarabika [emoji17]
Lazima Wengi Sana HawasemiAsingekuwa mzazi mwenye msimamo ingepita kimyakimya,imagine mtu mpaka anaanza kuomba msaada mtandaoni?
Je ni watoto wangapi wameshafanyiwa ukatili huo na imeachwa tu?