Uchunguzi wa mapacha njiti waliochunwa ngozi ya uso wakamilika. Wanne kufikishwa Mahakamani kwa Uvunaji wa Viungo vya Binadamu

Mie nilicho sikia ni kwamba mtoto mmoja Hana jicho na ametolewa ngozi kwenye paji la uso hizi hospital zetu isije kua ni panya Mana mie kunandugu wa mke wangu huko mikoani walishakuta marehem Hana jicho na baadhi ya vidole vimetafunwa na panya
 
Kingine hizi hospital za serikali kuna Mapaka, yaan sijui ni Paka sijui misukule.

Ilikua Songea kuna mtoto mdogo wa week 3 alikutwa kafa huku mwili umetafunwa na paka.

Tena huwa yanazurura, afu mabishi na makavu balaa, hayaogopi watu
 
Tukipiga vita mnasema maslahi madogo ndio chanzo. Peleka jela hao
 
Hii lugha ya kuita Uvunaji nafikiri haipo sawa...binadamu anahitaji kuheshimiwa.
 
Ili kurudisha Imani ya umma kwa watumishi wa afya, ni vyema Kesi hii ikaendeshwa mfululizo mwanzo hadi mwisho.Ikiwezekana ikamilike ndani ya mwezi mmoja tu kuanzia hapo itakapofikishwa Mahakamani, iend3shwe kwa utaratibu wa "fast track" ili watu wengi zaidi wasiendelee kupoteza Imani dhidi ya manesi na madaktari.
 
Mie nilicho sikia ni kwamba mtoto mmoja Hana jicho na ametolewa ngozi kwenye paji la uso hizi hospital zetu isije kua ni panya Mana mie kunandugu wa mke wangu huko mikoani walishakuta marehem Hana jicho na baadhi ya vidole vimetafunwa na panya
Sio kwa watoto waliokuwa chini ya uangalizi,
Watoto walitunzwa wapi mda huo make walikaa mda mrefu wakati ilibidi wawahishwe hospitali
Ilikuwaje wakawafunga moja kwa moja kwenye mabox?
Ni ushirikina
 
Halafu utasikia mtu anaponda kwamba tumeacha tamaduni zetu tumefuata za wayahudi na waarabu...sasa madhara ya upagani ndio kama haya!
 
Hii hatari sana Hawa watoto huenda waliuliwa makusudi,manake jamaa alikuja na usafiri wakagoma kumpa hao watoto
 
Kwa ufupi hapa serikali imepata sehemu ya kukimbia lawama pia... Inakuwaje zahanati inakosa mafuta ya gari la dharura.. kutoa cha afya cha karibu kitakosaje standby ambulance?! DMO ahusishwe kwenye hii case kuachana na hao washirikina wapo ambao wanatakiwa kuwajibishwa ?! Ummy anakwamnia hospitali zetu zina kila kitu .. pumbavu?? Wilaya inakosa standby ambulance?!
 
Hivi Sasa kwaiyo watashtakiwa Kwa kesi ya mauaji ya kukusudua na watakwenda jela Maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…