Uchunguzi wabainisha Kombora lililoishambulia Poland lilitokea Ukraine

Uchunguzi wabainisha Kombora lililoishambulia Poland lilitokea Ukraine

Hii ndo ilikua sababu nzuri ya NATO kuingia front lakini nawaona nao wanatepeta.
Awawezi kufanya ujinga wowote ule maana wanajua kabisa Urusi anawatafuta waingie kwenye 18 yake ili awafanye kuwa makoloni yake.

Usishangae miaka ya baadae Urusi kutuzia watumwa wa kizungu kutoka nchi za ulaya.na sisi tulipe kisasi walivyotufanyia hao mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Awawezi kufanya ujinga wowote ule maana wanajua kabisa Urusi anawatafuta waingie kwenye 18 yake ili awafanye kuwa makoloni yake.

Usishangae miaka ya baadae Urusi kutuzia watumwa wa kizungu kutoka nchi za ulaya.na sisi tulipe kisasi walivyotufanyia hao mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom