Uchunguzi wabainisha Kombora lililoishambulia Poland lilitokea Ukraine

Hii ndo ilikua sababu nzuri ya NATO kuingia front lakini nawaona nao wanatepeta.
Awawezi kufanya ujinga wowote ule maana wanajua kabisa Urusi anawatafuta waingie kwenye 18 yake ili awafanye kuwa makoloni yake.

Usishangae miaka ya baadae Urusi kutuzia watumwa wa kizungu kutoka nchi za ulaya.na sisi tulipe kisasi walivyotufanyia hao mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…