AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
punguani wewe...
Hakuna mchezaji aliewahi kumpiga chenga paolo maldini. Hata de lima mwenyewe alimshinda kwa mbio tu ila hakumpiga chenga.
Pia milan hawakuwahi kuwa na mshambuliaji mwenye uchu alieitwa rui costa.
Kwa kifupi
umekurupuka bila kuchamba
Kama hujui mpira si ukae kimya. JELENGA kaongea ukweli sana wewe huna hata data unabisha tu. Hamnazo wewe!
Mkuu shifta Said, nahisi punguani ni mama yako aliyekuzaa, kwa vile hajakulea katika mazingira ya utu kwa watu.
RICARDO KAKA, nakushukuru sana kaka, kuna watu humu jf wapo kwa ajili ya kutukana watu na siyo kuchangia hoja. Kaka hii michuano ya UEFA ya mwishoni mwa tisini kuja mwaka 2000 hadi katikati ya 2000 Kuna timu zilikuwa zinafanya maajabu sana, ikumbuke Man U ilivyotwaa taji mbele ya Bayern.
Baraja alikuwa Valencia..kama sijakosea.
Those days...it was very nice. Nimewakumbukapia Leeds United ya kocha David O'Leary na captain wao Lucas Radebe(South Africa)... kiungo Olivier Darcout, washambuliaji Allan Smith na kitasa Rio Ferdinand...to mention afew!
Kaka nakuita kaka nikiamini ni mwanaume, umenikumbusha mbali sana, nakumbuka mechi ya Nusu fainali walitolewa na Porto ya Morinho nakumbuka mashabiki wa Deportivo walilia sana, refa Collina aliwapa Porto penati ya kimagumashi sana.
Mkuu vizazi vya sasa hawawezi kuijua Deportivo de la coruna maana imeshuka kiwango na enzi hizo ligi ya spain haikuwa maarufu sana kama sasa.
Kaka haya mambo mengine ukikumbuka unaweza kulia watu wakashangaa fainali porto ikakutana na monaco
Hawa jamaa walikuwa hawatabiriki kabisa.Sijasahau ile mechi yao dhidi ya timu ya Okocha(PSG?) ,Deportivo walikuwa washapigwa goli 2 au tatu nadhani hadi zimebakia dk 15 wakamuingiza Walter Pandiani,wakapata kona 4 na zote Pandiani aliunganisha vichwa wavuni,mpira ukaisha wafaransa hawaamini kilichowakuta!Deportivo walikuwa wagumu sana,saana!yule kocha wao anavaa miwani aliitwa nani vile?huyo mwehu anaitwa Valeron we acha tu.Juve tulikuwa tukikutana nao nazima tv dk 15 halafu nawasha dk 2 kuchungulia matokeo huku jasho linanitoka ha ha haa Mourinho upo?
Hawa jamaa walikuwa hawatabiriki kabisa.Sijasahau ile mechi yao dhidi ya timu ya Okocha(PSG?) ,Deportivo walikuwa washapigwa goli 2 au tatu nadhani hadi zimebakia dk 15 wakamuingiza Walter Pandiani,wakapata kona 4 na zote Pandiani aliunganisha vichwa wavuni,mpira ukaisha wafaransa hawaamini kilichowakuta!Deportivo walikuwa wagumu sana,saana!yule kocha wao anavaa miwani aliitwa nani vile?huyo mwehu anaitwa Valeron we acha tu.Juve tulikuwa tukikutana nao nazima tv dk 15 halafu nawasha dk 2 kuchungulia matokeo huku jasho linanitoka ha ha haa Mourinho upo?
punguani wewe...
Hakuna mchezaji aliewahi kumpiga chenga paolo maldini. Hata de lima mwenyewe alimshinda kwa mbio tu ila hakumpiga chenga.
Pia milan hawakuwahi kuwa na mshambuliaji mwenye uchu alieitwa rui costa.
Kwa kifupi
umekurupuka bila kuchamba
Hapo pekundu. Javie Irurruta.
Hapo kwenye Javie ni Javier na hapo kwenye Irurruta ni Irurreta mkuu..teh teh,ahsante kwa kunikumbusha pweza!wewe ulikuwa unamkubali nani kwenye kile kikosi?mimi binafsi nilikuwa nakoseshwa raha na yule Juan Carlos Valeron,Roy Makaay na Walter Pandiani!hawa watu walikuwa deadly!usiombe wa-pay a visit kwa golikipa wako!
Hawa jamaa walikuwa hawatabiriki kabisa.Sijasahau ile mechi yao dhidi ya timu ya Okocha(PSG?) ,Deportivo walikuwa washapigwa goli 2 au tatu nadhani hadi zimebakia dk 15 wakamuingiza Walter Pandiani,wakapata kona 4 na zote Pandiani aliunganisha vichwa wavuni,mpira ukaisha wafaransa hawaamini kilichowakuta!Deportivo walikuwa wagumu sana,saana!yule kocha wao anavaa miwani aliitwa nani vile?huyo mwehu anaitwa Valeron we acha tu.Juve tulikuwa tukikutana nao nazima tv dk 15 halafu nawasha dk 2 kuchungulia matokeo huku jasho linanitoka ha ha haa Mourinho upo?