We ndo punguani, rui Costa alikuwepo millan.kama unabisha hali je unaikumbuka Milan ya Franco baresi ? Mpira uliopigwa na super depo ulikuwa ni balaa, lkn Milan wana history mbaya ya kugeuziwa matokeo mara nyingi tu,rejea Milan vs PSV ya akina ji sung park au Milan vs Liverpool pale instabul
Tunafanana mkuu mimi kulikuwa na Nourdine Naybet,Juan Carlos Valeron na muuaji Walter Pandiani.Hivi Javier Irureta yuko wapi?
mie bana kuna wabrazil watatu...
1. Mauro $ilva
2. Donato Gama da Silva
3. Djalma Feiltosa Fotso Diaz almaaruf kama Djalminha.
Huyu Djalminha aliwahi kumtwanga ndosi Iruretta na ndo ikapelekea asiitwe timu ya taifa 2002...
Huyo Donato alikuwa anamaliza pale nyuma na Naybet.
Na Mauro Silva alikuwa anakamata dimba.
Kwenye fainali ya word cup mwaka 1994 huyu bwana alikuwa anakamata dimba na Dunga.
Na siku ya fainali alipiga bunduki ya maana kisha kipa wa Italy Pagriuca akaidaka na kisha ikamtoka na kwenda kugonga nguzo na hatimae ikamrudia tena na akaidaka...kisha akaenda kuubusu mwamba coz ulimwokoa...
Data kama hizi ndio mtoa mada unatakiwa uzishushe, na sio kuleta porojo tu.
Jiulize kwa nn sijamsemea mbovu belo, ziroseventwo, gutierez, mourinho, juve2012, na manguli wengine?...coz hawa ni watu kweli wa soka na si wakurupukaji...
Ntarudi
Mauro Silva kwenye world cup ya 1994 alikua na baba yake mzazi wa huyo bwana mdogo Thiago Alcantare wa Bavarians kwenye dimba la chini, shavu la kulia unamkuta Leonardo(mbrazil mzungu aliyemtia kiwiko yule mmarekani mpaka akala nyekundu) mbele yake unamkuta Bebeto na mbrazil mwingine ambaye namuheshimu siku zote, mtu mzima Romario, aliwafunga wadutch goal kali sana kwenye semi finals.
Doh ukimuongelea Mauron Silva nakumbuka sana Brazil ya 1994 na Azzuri ya kina Baggio, Baresi, Maldini, Costacurta, Donadoni, Tassotti na kocha wetu wa sasa wa Bianconeri
mtu kama wewe ndio huwa unapata mimba bila kujuwa nani kakutundika...
Mtu yeyote anaekuja JF basi anatakiwa awe amekamilika kwa data...na si kutuletea vitu vya uongo uongo hapa.
Kama haupo nondo kwenye data basi weka wowowo chini na usome threads za wenzio...
Rui Costa ni kiungo mchezeshaji kwa kila alipokuwa.
Alikuwa anamchezesha Batistuta pale Fiorentina...kisha akaja kuwachezesha Inzaghi, Sheva, Rivaldo na Crespo pale Milan.
Na hata chama la taifa mara kibao tu alishatoa assist kwa Nuno Gomez...
Kama vitu hamjui fungeni mabakuli hayo...
Deportivo pana watu wa kuitwa Manuel Pablo, lionel Scaloni na Capdevila...
Kisha kuna winga alikuwa ana sura kama taahira flani hivi akiitwa Fran...
wewe zeZeta wapi nimepinga rui costa hajawahi kukiputa rossonelli?
Nimekataa habari inayosema rui costa alikuwa mshambuliaji.
Soma uelewe, na si kukurupuka tu
mi namkumbuka altor duscher na mauro silva hapo dimbani. Man u alikufa tatu kwa mbili.
Hapo kwenye Javie ni Javier na hapo kwenye Irurruta ni Irurreta mkuu..teh teh,ahsante kwa kunikumbusha pweza!wewe ulikuwa unamkubali nani kwenye kile kikosi?mimi binafsi nilikuwa nakoseshwa raha na yule Juan Carlos Valeron,Roy Makaay na Walter Pandiani!hawa watu walikuwa deadly!usiombe wa-pay a visit kwa golikipa wako!
Mauro Silva kwenye world cup ya 1994 alikua na baba yake mzazi wa huyo bwana mdogo Thiago Alcantare wa Bavarians kwenye dimba la chini, shavu la kulia unamkuta Leonardo(mbrazil mzungu aliyemtia kiwiko yule mmarekani mpaka akala nyekundu) mbele yake unamkuta Bebeto na mbrazil mwingine ambaye namuheshimu siku zote, mtu mzima Romario, aliwafunga wadutch goal kali sana kwenye semi finals.
Doh ukimuongelea Mauron Silva nakumbuka sana Brazil ya 1994 na Azzuri ya kina Baggio, Baresi, Maldini, Costacurta, Donadoni, Tassotti na kocha wetu wa sasa wa Bianconeri
We zuzu uwe unaandika comment zako fresh,kiukweli ulicomment vibaya kwa kuonyesha kuwa mreno Costa hajawahi kukipiga Milan lkn umerekebisha Leo, bravo mkuu sisi wote ni wana sports ingawa machama yangu mwaka huu ni majanja tupu..! Lkn tutasimama tu,tunaanza na liver jpili
mi namkumbuka altor duscher na mauro silva hapo dimbani. Man u alikufa tatu kwa mbili.
leo jumanne ya tarehe 10/04/2018 As Roma wamelipa hio rekodi kwa kumfurusha nje ya mashindano Barcelona.Heshima nyingi sana kwenu wadau na wanazi wa soka hususani ulaya.
Tukiwa tunasubiri kuangalia mtanange wa UEFA Leo,naomba niwakumbushe timu hii iliyopotea katika michuano hii na katika La liga pia, lakini iliwahi kutisha na kutikisa kigogo wa soka la ulaya wakati huo
Katika msimu wa 2003/2004 wa Uefa champions league hatua ya robo fainali, deportivo ilipigwa goli 4-1 katika mechi ya kwanza na timu iliyokuwa Moto wakati huo, Ac Milan ya Anceloti pale katika dimba la San Siro Italia. Katika mechi ya marudiano dimba la Riazor, Spain, Anceloti na Jeshi lake waliamini kwamba wana kazi ndogo sana ya kumalizia, kwani kwa hakika hakuna timu hata moja ambayo iliwahi kupindua matokeo ya aina ile katika michuano ya Uefa. Ilichukua dakika 5 tu baada ya kipenga, Walter Pandiani akampga chenga ya kumgeuza mtu mzima, Paolo Maldini, na kumimina mkwaju mkali ambao golikipa Dida hakuuona. Deportivo walizidi kupapasa soka balaa, ambapo kwa kifupi tu, hadi mapumziko walikuwa wakiongoza 3 bila, kipindi cha pili wakapga la 4, na kuitoa Milan kwa 5-4. Hadi mechi inaisha Anceloti hakuamini kilichokuwa kikitokea mbele ya macho yake, akaamini huenda anaota. Pamoja na kuwa na washambuaji walafi wa magoli kama Filipo Inzagi na Rui Costa, akajikuta akitupwa nje ya michuano hii.
Vikosi vilikuwa hivi.
Deportivo la Coruna.
Jose Francisco Molina (GK), Manuel Pablo, Enrique Romero, Nourredine Naybet, Mauro Silva (C),Walter Pandiani,Sergio Gonzalez, Jorge Andrade, Sanchez Victor, Albert Luque na Juan Carlos Valeron.
Ac Milan.
Dida (GK),Cafu, Paolo Maldini (C),Andry Chevchenko,Genaro Gattuso, Alessandro Nesta, Joh Dahl Tomasson, Clarence Seedorf, Andrea Pirlo, Ricardo Kaka na Giussepe Pancaro.
Umeona eeeh Roma kafanya yakeleo jumanne ya tarehe 10/04/2018 As Roma wamelipa hio rekodi kwa kumfurusha nje ya mashindano Barcelona.
ilikuwa maarufu labda wewe ulikuwa bado hujajua,[emoji23]Mkuu vizazi vya sasa hawawezi kuijua Deportivo de la coruna maana imeshuka kiwango na enzi hizo ligi ya spain haikuwa maarufu sana kama sasa.