UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

We ndo punguani, rui Costa alikuwepo millan.kama unabisha hali je unaikumbuka Milan ya Franco baresi ? Mpira uliopigwa na super depo ulikuwa ni balaa, lkn Milan wana history mbaya ya kugeuziwa matokeo mara nyingi tu,rejea Milan vs PSV ya akina ji sung park au Milan vs Liverpool pale instabul


wewe zeZeta wapi nimepinga rui costa hajawahi kukiputa rossonelli?
Nimekataa habari inayosema rui costa alikuwa mshambuliaji.
Soma uelewe, na si kukurupuka tu
 
Tunafanana mkuu mimi kulikuwa na Nourdine Naybet,Juan Carlos Valeron na muuaji Walter Pandiani.Hivi Javier Irureta yuko wapi?


mie bana kuna wabrazil watatu...
1. Mauro $ilva
2. Donato Gama da Silva
3. Djalma Feiltosa Fotso Diaz almaaruf kama Djalminha.

Huyu Djalminha aliwahi kumtwanga ndosi Iruretta na ndo ikapelekea asiitwe timu ya taifa 2002...

Huyo Donato alikuwa anamaliza pale nyuma na Naybet.

Na Mauro Silva alikuwa anakamata dimba.
Kwenye fainali ya word cup mwaka 1994 huyu bwana alikuwa anakamata dimba na Dunga.
Na siku ya fainali alipiga bunduki ya maana kisha kipa wa Italy Pagriuca akaidaka na kisha ikamtoka na kwenda kugonga nguzo na hatimae ikamrudia tena na akaidaka...kisha akaenda kuubusu mwamba coz ulimwokoa...

Data kama hizi ndio mtoa mada unatakiwa uzishushe, na sio kuleta porojo tu.

Jiulize kwa nn sijamsemea mbovu belo, ziroseventwo, gutierez, mourinho, juve2012, na manguli wengine?...coz hawa ni watu kweli wa soka na si wakurupukaji...

Ntarudi
 
Kabla ya enzi za kina Diegeo Tristan kulikuwa na enzi za Bebeto wa Brazil hapo Deportivo la Coruna, rejea:

"Bebeto spent four years in Spanish football at Deportive La Coruña, scoring an impressive 86 goals in 131 games. Bebeto became top score in La Liga in his first season at Deportive, scoring 29 goals in the 1992-93 season. In the next season, 1993–94 season, Deportivo had the chance to win their first ever La Liga title by beating Valencia in the last match of the season. In a very evenly matched contest Deportivo had a golden opportunity to seal the victory and thus the league title. They were given a penalty kick just minutes from the end. The official penalty taker all season had been Bebeto (after Donato, who wasn't in the field), who this time, refused to take the penalty. Eventually, Miroslav Đukić took the penalty and failed (0-0), effectively handing Barcelona the title" - http://en.wikipedia.org/wiki/Bebeto#Deportive_La_Coru.C3.B1a
 
mie bana kuna wabrazil watatu...
1. Mauro $ilva
2. Donato Gama da Silva
3. Djalma Feiltosa Fotso Diaz almaaruf kama Djalminha.

Huyu Djalminha aliwahi kumtwanga ndosi Iruretta na ndo ikapelekea asiitwe timu ya taifa 2002...

Huyo Donato alikuwa anamaliza pale nyuma na Naybet.

Na Mauro Silva alikuwa anakamata dimba.
Kwenye fainali ya word cup mwaka 1994 huyu bwana alikuwa anakamata dimba na Dunga.
Na siku ya fainali alipiga bunduki ya maana kisha kipa wa Italy Pagriuca akaidaka na kisha ikamtoka na kwenda kugonga nguzo na hatimae ikamrudia tena na akaidaka...kisha akaenda kuubusu mwamba coz ulimwokoa...

Data kama hizi ndio mtoa mada unatakiwa uzishushe, na sio kuleta porojo tu.

Jiulize kwa nn sijamsemea mbovu belo, ziroseventwo, gutierez, mourinho, juve2012, na manguli wengine?...coz hawa ni watu kweli wa soka na si wakurupukaji...

Ntarudi

Mauro Silva kwenye world cup ya 1994 alikua na baba yake mzazi wa huyo bwana mdogo Thiago Alcantare wa Bavarians kwenye dimba la chini, shavu la kulia unamkuta Leonardo(mbrazil mzungu aliyemtia kiwiko yule mmarekani mpaka akala nyekundu) mbele yake unamkuta Bebeto na mbrazil mwingine ambaye namuheshimu siku zote, mtu mzima Romario, aliwafunga wadutch goal kali sana kwenye semi finals.

Doh ukimuongelea Mauron Silva nakumbuka sana Brazil ya 1994 na Azzuri ya kina Baggio, Baresi, Maldini, Costacurta, Donadoni, Tassotti na kocha wetu wa sasa wa Bianconeri
 
Mauro Silva kwenye world cup ya 1994 alikua na baba yake mzazi wa huyo bwana mdogo Thiago Alcantare wa Bavarians kwenye dimba la chini, shavu la kulia unamkuta Leonardo(mbrazil mzungu aliyemtia kiwiko yule mmarekani mpaka akala nyekundu) mbele yake unamkuta Bebeto na mbrazil mwingine ambaye namuheshimu siku zote, mtu mzima Romario, aliwafunga wadutch goal kali sana kwenye semi finals.

Doh ukimuongelea Mauron Silva nakumbuka sana Brazil ya 1994 na Azzuri ya kina Baggio, Baresi, Maldini, Costacurta, Donadoni, Tassotti na kocha wetu wa sasa wa Bianconeri


je mtoa mada hiyo 94 alikuwa keshazaliwa?
 
Out of topic...
Kuna kiumbe aliitwa Mazinho...kisha kukawa na Maurisio Santos mkoba...
 
Deportivo pana watu wa kuitwa Manuel Pablo, lionel Scaloni na Capdevila...
Kisha kuna winga alikuwa ana sura kama taahira flani hivi akiitwa Fran...
 
mtu kama wewe ndio huwa unapata mimba bila kujuwa nani kakutundika...

Mtu yeyote anaekuja JF basi anatakiwa awe amekamilika kwa data...na si kutuletea vitu vya uongo uongo hapa.

Kama haupo nondo kwenye data basi weka wowowo chini na usome threads za wenzio...

Rui Costa ni kiungo mchezeshaji kwa kila alipokuwa.
Alikuwa anamchezesha Batistuta pale Fiorentina...kisha akaja kuwachezesha Inzaghi, Sheva, Rivaldo na Crespo pale Milan.
Na hata chama la taifa mara kibao tu alishatoa assist kwa Nuno Gomez...

Kama vitu hamjui fungeni mabakuli hayo...

Mkuu, Rivaldo naye alikuwa anachezeshwa?
 
Out of topic...
Kuna kiumbe aliitwa Mazinho...kisha kukawa na Maurisio Santos mkoba...
shifta Mazinho a.k.a Lomar do Nascimento ndio baba mzazi wa Thiago kama nilivyosema hapo juu, hicho kitasa kilikua cha pekee
 
Last edited by a moderator:
Deportivo pana watu wa kuitwa Manuel Pablo, lionel Scaloni na Capdevila...
Kisha kuna winga alikuwa ana sura kama taahira flani hivi akiitwa Fran...

Bila shaka atakua Francisco Javier González Pérez
 
mi namkumbuka altor duscher na mauro silva hapo dimbani. Man u alikufa tatu kwa mbili.
 
wewe zeZeta wapi nimepinga rui costa hajawahi kukiputa rossonelli?
Nimekataa habari inayosema rui costa alikuwa mshambuliaji.
Soma uelewe, na si kukurupuka tu

We zuzu uwe unaandika comment zako fresh,kiukweli ulicomment vibaya kwa kuonyesha kuwa mreno Costa hajawahi kukipiga Milan lkn umerekebisha Leo, bravo mkuu sisi wote ni wana sports ingawa machama yangu mwaka huu ni majanja tupu..! Lkn tutasimama tu,tunaanza na liver jpili
 
Hapo kwenye Javie ni Javier na hapo kwenye Irurruta ni Irurreta mkuu..teh teh,ahsante kwa kunikumbusha pweza!wewe ulikuwa unamkubali nani kwenye kile kikosi?mimi binafsi nilikuwa nakoseshwa raha na yule Juan Carlos Valeron,Roy Makaay na Walter Pandiani!hawa watu walikuwa deadly!usiombe wa-pay a visit kwa golikipa wako!

kitambo mkuu, ahsante kwa masahihisho. Pale la coruna mi nilikuwa namzimia Albeto Lique, ambaye baadae alikwenda pale st james park kukipiga na kaka mkuu, Alan Sheare. Ingawa pale hakufanya makubwa. Mourinho amekumbusha mechi dhidi ya monaco ambayo walikula 8-2...dah kweli kitambo
 
Last edited by a moderator:
Mauro Silva kwenye world cup ya 1994 alikua na baba yake mzazi wa huyo bwana mdogo Thiago Alcantare wa Bavarians kwenye dimba la chini, shavu la kulia unamkuta Leonardo(mbrazil mzungu aliyemtia kiwiko yule mmarekani mpaka akala nyekundu) mbele yake unamkuta Bebeto na mbrazil mwingine ambaye namuheshimu siku zote, mtu mzima Romario, aliwafunga wadutch goal kali sana kwenye semi finals.

Doh ukimuongelea Mauron Silva nakumbuka sana Brazil ya 1994 na Azzuri ya kina Baggio, Baresi, Maldini, Costacurta, Donadoni, Tassotti na kocha wetu wa sasa wa Bianconeri

kikosi cha brazil 1994. Kilikuwa na manguli wafuatao.
1. Tafarel
2. Maurius Santos
3. Jorginho
4. Aldair
5. Branco
6. Mauro Silva
7. Leonardo
8. Dunga
9. Mazinho
10. Romario na
11. Bebeto
sub
Rai, Zinho, Cufu, viola, Ronaldo di lima akiwa bado kinda, lakini hakupa nafasi ya kucheza...
 
We zuzu uwe unaandika comment zako fresh,kiukweli ulicomment vibaya kwa kuonyesha kuwa mreno Costa hajawahi kukipiga Milan lkn umerekebisha Leo, bravo mkuu sisi wote ni wana sports ingawa machama yangu mwaka huu ni majanja tupu..! Lkn tutasimama tu,tunaanza na liver jpili


ndo madhara ya viloba na ugolo.
Mie nimempinga gagulo mwenzio aliesema milan walikuwa na mshambuliaji mwenye uchu alieitwa Rui Costa.

Rui Costa alikuwa ni kiungo.
 
Heshima nyingi sana kwenu wadau na wanazi wa soka hususani ulaya.
Tukiwa tunasubiri kuangalia mtanange wa UEFA Leo,naomba niwakumbushe timu hii iliyopotea katika michuano hii na katika La liga pia, lakini iliwahi kutisha na kutikisa kigogo wa soka la ulaya wakati huo

Katika msimu wa 2003/2004 wa Uefa champions league hatua ya robo fainali, deportivo ilipigwa goli 4-1 katika mechi ya kwanza na timu iliyokuwa Moto wakati huo, Ac Milan ya Anceloti pale katika dimba la San Siro Italia. Katika mechi ya marudiano dimba la Riazor, Spain, Anceloti na Jeshi lake waliamini kwamba wana kazi ndogo sana ya kumalizia, kwani kwa hakika hakuna timu hata moja ambayo iliwahi kupindua matokeo ya aina ile katika michuano ya Uefa. Ilichukua dakika 5 tu baada ya kipenga, Walter Pandiani akampga chenga ya kumgeuza mtu mzima, Paolo Maldini, na kumimina mkwaju mkali ambao golikipa Dida hakuuona. Deportivo walizidi kupapasa soka balaa, ambapo kwa kifupi tu, hadi mapumziko walikuwa wakiongoza 3 bila, kipindi cha pili wakapga la 4, na kuitoa Milan kwa 5-4. Hadi mechi inaisha Anceloti hakuamini kilichokuwa kikitokea mbele ya macho yake, akaamini huenda anaota. Pamoja na kuwa na washambuaji walafi wa magoli kama Filipo Inzagi na Rui Costa, akajikuta akitupwa nje ya michuano hii.

Vikosi vilikuwa hivi.
Deportivo la Coruna.
Jose Francisco Molina (GK), Manuel Pablo, Enrique Romero, Nourredine Naybet, Mauro Silva (C),Walter Pandiani,Sergio Gonzalez, Jorge Andrade, Sanchez Victor, Albert Luque na Juan Carlos Valeron.

Ac Milan.
Dida (GK),Cafu, Paolo Maldini (C),Andry Chevchenko,Genaro Gattuso, Alessandro Nesta, Joh Dahl Tomasson, Clarence Seedorf, Andrea Pirlo, Ricardo Kaka na Giussepe Pancaro.
leo jumanne ya tarehe 10/04/2018 As Roma wamelipa hio rekodi kwa kumfurusha nje ya mashindano Barcelona.
 
Back
Top Bottom